Sukuma Proverbs

989. DUJAGI DUGITUJE MBILU.

Ulusumo lunulo, lwingilile kubhanhu abho bhikomikaga kuja gujituja mbilu. Imbilu jili ng’honge ja bhugali. Ugwituja mbilu mumho gwikumhya ng’honge ulu bhalibhulya ubhugali bhunubho.

Gashinaga lulu, abhanhu bhenabho bhikomikaga gujulya bhugali, kunguno ulu bhalilija ilikubhi jidulile gwikumya ing’honge jabho, iki bhagajilanijaga moyi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagikomikaga giki, “dujagi dugituje mbilu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu bhanhu abho bhagalyaga jililwa bho gupuganila, umukikalile kabho. Abhanhu bhanebho, bhagabhizaga na nhungwa ja bhulaku bho jiliwa kunguno ya gugayiwa ililange ilya gulwa bho gwishib’ila, chiza. Abhoyi bhagapuganilaga ugulya ijiliwa kunguno ya bhulaku bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhikomikaga gujituja ng’honge, kunguno nabho bhagitujaga amakono gabho ulu bhalilya bho gupuganila ijiliwa, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiwilaga giki, “dujagi dugituje mbilu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gub’iza ni lange lya gulya nilange liza ijiliwa bho nduhu ugupuganila, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Luka 22:14-17.

Yohana 6:26-27.

KISWAHILI: TWENDENI TUKAGONGESHANE TONGE.

Methali hiyo, ilianzia kwa watu waliokuwa wakialikana kwenda  kugonganisha tonge. Tonge ni kipande cha ugali anachokiandaa mlaji kwa ajili ya kuchotea mboga kwenye chombo iliyomo. Kugonganisha tonge ni ulaji wa kutumia tonge hiyo kuchota mboga wakati wa kula ugali. Kumbe watu hao walikuwa wakialikana kwenda kula chakula au kula ugali, kwa sababu wakati huo wanaweza kugonganisha tonge wanapoichota hiyo mboga. Ndiyo maana watu hao waliakana kwa kusema kwamba, “twendeni tukagongeshane tonge.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale wanaokula chakula kwa kunyang’anyana, katika maisha yao. Watu hao, wana tabia ya ulafi wa kula chakula, kwa sababu ya kukosa maadili ya kula chakula hicho kwa heshima ya kupeana zamu vizuri. Wao hula chakula hicho kwa kunyang’anyana hivyo, kwa sababu ya ulafi wao huo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwa wakialikana kwenda kugonganisha tonge, kwa sababu nao hula chakula kwa kunyang’anyana hivyo, katika maisha yao. Ndiyo maana hualikina kwa kusema kwamba, “twendeni tukagongeshane tonge.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na maadili ya kula chakula wa heshina bila kunyang’anyana, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 22:14-17.

Yohana 6:26-27.

food--1

woman-22

ENGLISH: LET US GO TO CLASH ONE ANOTHER WITH LUMP OF UGALI.

This proverb began with people who were inviting each other to go to eat. A lump of ugali is a piece of stiff porridge that the consumer prepares for picking vegetables in a container. Hence, classing one another with lump of ugali means eating stif porridge by using such lump of ugali in taking vegetables from container.

These people invited one another to go where food was prepared enough to eat. They ate porridge by swallowing such lump of Ugali after extracting the vegetables. That is why they invited one another saying, “let us go to clash one another with lump of ugali.”

This proverb is compared to the people who eat food by snatching it from one another in their lives. These people have a habit of overeating because of their lack of morals which is needed for eating food with respect. They eat the food by snatching it from one another because of their greed in their lives.

These people are like those who invited one another to go for a meal, because they also eat food by snatching it from one another in their lives. That is why they invite one another by saying, “let us go to clash one another with lump of ugali.”

This proverb teaches people on how to maintain good rituals in eating food without snatching it from one another, so that they can well raise their family members in their lives.

Luke 22: 14-17.

John 6: 26-27.

ghana-1

988. KENAKO HA KAMANILO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya kamanilo. Akamanilo kenako jili jimanyikijo ja hape iji jigengelekile kunguno jili jagulolela bhuli munhu uyo ulolela koyi. Ijoyi jigang’wambilija nulu munhu uyo alija lugendo bho gwinhiwa lumeng’ho ulo lulihoyi kunguno lugikalaga lumanyikile ukubhanhu abho bhagikalaga koyi. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki “kenako ha kamanilo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja wiza ijo jili lumeng’ho lukwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga amanyikile uku abhanhu bha umuchalo jakwe, kunguno ya nhung’wa ja gubhagunana abhiye abho bhali na makoye. Uweyi agikalaga na bhageni bhingi aha kaya yakwe, kunguno ya lumeng’ho lokwe lunulo, ulo gwikala na bhanhu chiza, umuchalo jakwe jinijo.

Inhungwa ijawiza jinijo, jikolile nuyo alina jimanyikijo ja gubhambilija bhanhu ugumpandika wangu, kunguno ni joyi jigang’wambilija umunhu uyo alinajo, ugushigilwa wangu na bhageni bhakwe. Hunagwene abhanhu bhagajiyombaga giki, “kenako ha kamanilo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na nhungwa jawiza bho gubhambilija abho bhalina makoye, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya yabho, umuwikaji bhobho.

Luka 6:43-45.

2Wakorintho 12:12.

KISWAHILI: HIKI NDICHO KIJULISHO.

Methali hiyo, huongelea juu ya kijulisho. Kijulisho hicho, ni kitambulisho cha wazi ambacho kinajulikana kwa sababu ya kumuonesha mtu jinsi alivyo alinayekiona. Chenyewe humsaidia hata mtu aliyeko safarini kukitumia kama alama ya kumfikisha kwa haraka kule aendapo kwa sababu ya kujulikana kwake kwa watu wanaoishi huko. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hiki ndicho kijulisho.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia njema ambayo ni kitambulisho chake, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi na watu vizuri katika kijiji chake kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kuwasaidia wenzake walio na matatizo. Yeye huishi na wageni wengi kwenye familia yake kwa sababu ya kitambulisho chake hicho, cha kuishi na watu vizuri, katika kijiji chake hicho.

Tabia hiyo njema, hufanana na kile kijulisho kilichomsaidia msafiri kufika haraka alikokuwa akienda, kwa sababu nacho, huwasaidia watu kumfikia haraka yule aliye nacho. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hiki ndicho kijulisho.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo, ili waweze kuziendeleza vizuri, familia zao, maishani mwao.

Luka 6:43-45.

2Wakorintho 12:12.

cow-121

goat-

ENGLISH: THIS IS THE SIGN.

This proverb speaks of a distinctiveness. This distinctiveness is a clear identifier that identifies a person for what he or she sees. It even helps the traveler to use it as a sign to get him to his destination quickly because of his popularity with the people who live there. That is why people say that, “This is the sign.”

This proverb is compared to a person who has a good character that is his identity in his life. This man lives well with the people in his village because of his habit of helping his fellows who are in great need. He lives with many visitors in his family because of his good identity in living well with people in his village.

This positive attitude is similar to that of a traveler who helps a tourist to get to his destination quickly, because it also helps people to reach their destination quickly. That is why people say that, “This is an identity.”

This proverb imparts in people a clue on how to have a good attitude enough to help others who are in great need, so that they can better develop themselves in their families.

Luke 6: 43-45.

2 Corinthians 12:12.

sheep-21

985. JAWIB’I JIDASAB’ILAGWA.

Olihoyi munhu uyo agib’a hela ujituula mumhinda yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agandya lugendo lo guja kaya. Aho oshiga ikaya agachala nkono umumhinda yakwe kugiki ajilole ihela jinilo, ujigayiwa kunguno agajigumila mu nzila bho nduhu ugamana uweyi. Gashinaga ihela jinijo, agajigumila haho ojib’ilaga mpaga ujikuga ung’winikili ojo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila ung’wib’i ng’wunuyo giki, “jawib’i jidasab’ilagwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agib’aga jikolo ijo jidang’wenhelaga solobho yoseyose, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agib’aga jikolo ja bhanhu ogajitumamila sagala duhu kunguno adajinogelile. Uweyi agikalaga ukoya na nzala bhuli makanza kunguno ya gugayiwa jilila ijaguilisha  kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agib’a hela ujigwisha haho ujib’ilaga mpaga jukugwa nu ng’winikili ojo, kunguno nuwei agajikenagulaga sagala ijikolo ijo agajib’aga, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “jawib’i jidasab’ilagwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja wib’i bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika bhusab’i umuwikaji bhobho.

Kutoka 20: 15.

Mithali 15:9-10.

Mithali 16:8.

 

KISWAHILI: ZA KUIBA HAZITAJIRIKIWI.

Alikuwepo mtu aliyeiba hela na kuiweka mfukoni mwake. Mtu huyo, alianza safari ya kuelekea nyumbani. Alipofipa nyumbani kwake, alipeleka mkono mfukoni ili kuikagua hiyo hela, akaikosa, kwa sababu ilidondoka bila ya yeye kufahamu. Kumbe hela hiyo ilidondokea pale alipoiibia mpaka mwenye nayo, akaiokota. Ndiyo maana watu walimuambia yule mwizi kwamba, “za kuiba hazitajirikiwi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule anayeiba vitu ambavyo havimletei faida yoyote, katika maisha yake. Mtu huyo, huiba vitu vya watu na kuvitumia hovyo, kwa sababu hakuvitolea jasho. Yeye huishi kwa kusumbuliwa na tatizo la njaa kwenye familia yake, kwa sababu ya kukosa chakula cha kuilisha famalia yake hiyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeiba hela akaidondosha mpaga mwenye nayo akaiokota, kwa sababu naye huvitumia hovyo vitu alivyoviiba, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “za kuiba hazitajirikiwi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya wizi kwa kujibidisha kufanya zao vizuri, ili waweze kupata utajiri, maishani mwao.

Kutoka 20: 15.

Mithali 15:9-10.

Mithali 16:8.

woman-112

african-12

 

ENGLISH: STOLEN THINGS DO NOT MAKE ONE RICH.

There was a man who stole money from somebody and put it in his pocket. This man began his journey home. When he got home, he put his hand in his pocket to check it all over, and missed it, because it fell out without him knowing. But the money fell out when he stole it until the owner had it, and he picked it up. That is why people told the thief that “stolen things do not make one rich.”

This proverb is equated to a man who steals things that do not benefit him in his life. This person steals people’s belongings and uses them carelessly, because he does not sweat in earning them. He lives with the problem of hunger in his family because of the lack of food for feeding his family members.

This person is like the one who stole the money and dropped it off at the owner’s presence, because he also misuses the things which he stole from his life. That is why people say to him that, “stolen things do not make one rich.”

This proverb imparts in people a clue on how to stop stealing properties of others. They have to try doing their best enough to earn for their living, so that they can get rich in their families.

Exodus 20:15.

Proverbs 15: 9-10.

Proverbs 16: 8.

 

home-

983. OBYALILWA HA NZALA.

Ugubyaliwa ha nzala ili gubyalilwa hi kanza lwa nduhu ijiliwa kunguno ya mbula kuleka gutula ung’waka gunuyo. Ili gubyalilwa hikanza lya nduhu jiliwa. Hunagwene uyo obyalilwa hikanza linilo, agawilagwaga giki, “obyalilwa ha nzala.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo osangaga bhanhu bhamalaga gulya jiliwa, aha kaya yiniyo. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga nzala kunguno yagusanga jamalagwa guliwa ijiliwa jinijo ijo jali jazugagwa, aha kaya yiniyo. Uweyi agakoyiyagwa na bhutubhu bhunubho, ubho gulindila ikanza lingi ilya guzugilwa jiliwa jingi, kunguno ya gukeleja mpaga usanga jamalaga guliwa ijiliwa ijo jali jalijazugagwa jinijo, aha kaya yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo abyalilwa ha nzala, kunguno nuweyi agasanga abhiye bhajimalaga gujilya pye ijiliwa ijo jalijazugagwa, aha kaya yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagang’wilaga giki, “obyalilwa ha nzala.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwanguha gushiga uko bhalalikagwa guja, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 26:1.

2Wafalme 4:38-39.

KISWAHILI: UMEZALIWA KIPINDI CHA NJAA.

Kuzaliwa kwenye kipindi cha njaa ni kuzaliwa kwenye wakati wa kutokakuwa na chakula kwa sababu ya kutosekana kwa mvua mwaka huo, au sababu zingine. Kipindi hicho ni cha kuzaliwa wakati chakula hakipo. Ndiyo maana yule aliyezalwa kwenye kipindi hicho, watu humwambia kwamba, “umezaliwa kipindi cha njaa.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyekuta watu wamemaliza kula chakula chote, kwenye familia hiyo. Mtu huyo, huwa anashinda njaa kwa sababu ya kukuta wenzake wamekimaliza kukila chakula chote kilichokuwa kimepikwa, kwenye familia hiyo. Yeye husumbuliwa na njaa tumbuni mwake anaposubiri mpaka wakati mwingine watakapo pika chakula kingine, kwa sababu ya kuchelewa kwake mpaga akakuta wenzake wamekula chakula chote, kwenye familia hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyezaliwa wakati wa njaa, kwa sababu naye amekuta wenzake wamekula chakula chote kilichokuwa kimepikwa, kwenye familia hiyo. Ndiyo maana wenzake hao, humwambia kwamba, “umezaliwa kipindi cha njaa.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwahi kufika kule walikoalikwa kwenda katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mwanzo 26:1.

2Wafalme 4:38-39.

namibia-21

woman-211

 

ENGLISH: YOU WERE BORN DURING FAMINE.

Being born in a famine-stricken period is a time of little or no food due to a lack of rain, or other reasons. Anyone who is born during this period suffers from hunger because food is not available. That is why people say to him/her that, “you were born during famine.”

This proverb is related to a man who finds people having eaten all food in the family. This man remains hungry because he finds his colleagues have finished eating all the food that was cooked in that family. He suffers from hunger in his stomach as he waits until the next time of cooking another meal after delaying to arrive in that family.

This man in like the one who was born during the famine time, because he also found his fellows had eaten all the food that had been cooked in that family. That is why his colleagues tell him that, “You were born during famine.”

This proverb imparts in people an idea on how to get earlier to where they are invited to go in fulfilling their duties, so that they can have more successes in their families.

Genesis 26: 1.

2 Kings 4: 38-39.

 

979. KILI KILI KUB’UTOLWA B’ONG’WIYO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile kili kili ya ng’wa munhu uyo ojaga kuwinga bho bhiye. Ikili kili yiniyo, bhuli bhukimbi bho gutumya lub’ub’u ubho owitaga umunhu ng’wunuyo, ukuwinga bho bhiye. Aliyo lulu uweyi oliadatolilwe, kunguno ya gubhatumija lub’ub’u chiniko abhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “kili kili kub’utolwa b’ong’wiyo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli nkima uyo alina nhungwa mb’ib’ib’i, umukikalile kakwe. Unkima ng’wunuyo, adabyedechaga ugutolwa kunguno ya bhukololo bho gutumama milima na nhani jakwe jinijo. Uweyi agajaga ogabhakenaguja ikaya abhiye abho bhatolilwe, kunguno ya nhungwa jakwe jab’ub’i jinijo, umuwikaji bhokwe.

Unkima ng’wunuyo, agikolaga nu munhu uyo witaga kili kili ya gub’atumija lub’ub’u abhiye abho bhatolilwe, kunguno nuweyi agajaga ogabhakenaguja ikaya abhiye abho bhatolilwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “kili kili kub’utolwa b’ong’wiyo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwikala na nhungwa jawiza ija gubhambilija ugwibhegeja bhiniki ikaya jabho, na kuleka bhuyungi bho guyugula kaya ja bhangi, kugiki bhadule gujilela chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yakobo 1:26-27.

Yakobo 3:5-6.

Yohana 8:44.

KISWAHILI: MKIKI MKIKI KWA ALIKOOLEWA MWENZIO.

Methali hiyo, huongelea juu ya mkiki mkiki wa mtu mmoja aliyeenda kwenye harusi ya mwenzie. Mkiki mkiki huo, ni utumuaji wa vumbi aliokuwa akiufanya mtu huyo kwenye harusi za wenzake, wakati anacheza.

Lakini yeye alikuwa hajaolewa, kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kuwatimulia vumbi hivyo wenzake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mkiki mkiki kwa alikoolewa mwenzio.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mwanamke yule aliye na tabia mbaya, katika maisha yake. Mwanamke huyo, hafaulu kuolewa kwa sababu ya uvivu, na kiburi chake hiyo. Yeye huenda kuzivuruga familia za wenzake walioolewa, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake.

Mwanamke huyo, hufanana na yule mtu aliyeenda kuwatimulia watu vumbi kwenye ndoa za wenzake, kwa sababu naye huenda kuzivuruga ndoa za wale walioolewa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkiki mkiki kwa alikoolewa mwenzio.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuziendeleza familia zao wao wenyewe, na kuacha uzururaji wa kuvuruga ndoa wa wengine, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Yakobo 1:26-27.

Yakobo 3:5-6.

Yohana 8:44.

dance-12

music-1

eyes-

ENGLISH: FREQUENT VISITS TO THE PLACE YOUR FELLOW IS MARRIED TO.

This proverb speaks of a woman who went to another woman’s wedding. She jumped while playing to the point of causing dust to audiences. Her fellows were unhappy of her dancing ways because of such dust she made.

Nonetheless she was not married, because of her tendency of causing dust to other’s weddings. That is why people said to her that, “Frequent visits to the place your fellow is married to.”

This proverb is equaled to the immoral woman in her life. This woman is unable to marry because of laziness, and her pride. She normally goes to disrupt families of her married fellows, because of her bad behavior in life.

This woman, in effect, is like the woman who went to cause dust to the weddings of her fellows, because she too may have disrupted the marriages of fellows in her life. That is why people say to her that, “Frequent visits to the place your fellow is married to.”

This proverb teaches people on how to have good attitude for the development of their own families enough to stop disrupting marriage of others, so that they can better raise their families in their societies.

James 1: 26-27.

James 3: 5-6.

John 8:44.