Sukuma Proverbs

1175. NG’WASANGA LYAB’ELWA ILIWE.

Ulusumo lunulo, luhoyelile bhub’eji bho liwe. Ubhub’eji bhunubho bhugitwa na munhu uyo ulina nguzu ningi ija gudula gulib’inzagula iliwe linilo haho bhatali abhangi ugwiza. Uweyi agandya gugutumama unimo gunuyo mpaga ugumala wangu na bhushiga abhiye bhenabho. Hunagwene agabhawila aho bhashiga giki, “ng’wasanga lyab’elwa iliwe.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo usabha majikolo mingi haho atali ugubyala abhana bhakwe, aha kaya yake yiniyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, wigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga opandika sabho ijo ojilanhanaga chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agasabha majikolo mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo haho atali ugupandika abhana, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo chiza bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agalib’inzagula iliwe bho nguzu jakwe, haho bhatali abhiye ugwiza, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo chiza mpaga osabha majikolo mingi haho atali ugubyala abhana aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene agabhawilaga abhana bhakwe giki, “ng’wasansa lyab’elwa iliwe.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhabyaji higulya ya gwigulambija gutumama milimo ya gubhapandikila sabho ja gubhambilija abhana bhabho chiza, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji umu kaya jabho.

Mwanzo 13:5-6.

Ayubu 1:1-5.

1Thimotheo 6:9-10.

KISWAHILI: MUMEKUTA JIWE LIMEVUNJWA.

Methali hiyo, huongelea juu ya uvunjaji wa jiwe. Uvunjaji huo, ulifanywa na mtu mmoja aliyekuwa na nguvu nyingi za kuweza kulivunja jiwe hilo kabla ya wengine kufika kwenye kazi hiyo. Yeye alianza kuifanya kazi hiyo mpaka akaimaliza haraka ndipo wakafika wenzake. Ndiyo maana yeye aliwaambia kwamba, “mumekuta jiwe limevunjwa.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ametajirika kwa kupata mali nyingi kabla ya kupata watoto, kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi vizuri mpaga onapata mali ambazo huzitunza vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hutajirika kwa kupata mali nyingi sana kwenye familia yake kwa sababu ya bidii yake ya kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtu mwenye nguvu aliyelipasua jiwe peke yake kabla wenzake hawajafika, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi mpaka anapata mali nyingi, kabla ya kupata watoto katika familia yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watoto wake kwamba, “mumekuta jiwe limevunjwa.”

Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri mpaka wapate mali za kutoka kuwaachia watoto wao, ili waweze kuishi kwa furaha, katika familia zao.

Mwanzo 13:5-6.

Ayubu 1:1-5.

1Thimotheo 6:9-10.

ENGLISH: YOU FOUND THE STONE BROKEN.

This proverb speaks of breaking a stone. Such breaking was done by one person who had a lot of power to break it before others had arrived at the work. He started doing the work until he finished it quickly and then his colleagues arrived. That is why he told them that, “you have found the stone broken.”

This proverb is compared to a person who has become rich by getting a lot of wealth before having children, in his family. Such person tries to work well when he finds assets that he takes good care of, because of his attention. He becomes rich by getting a lot of wealth in his family because of his hard working activities, in his life.

This person is similar to the strong man who split the stone alone before his companions had arrived, because he also has to work until he gets a lot of wealth, before having children in his family. That is why he tells his children that, “you have found the stone broken.”

This proverb teaches parents to work hard in doing their jobs well until they have enough assets to leave to their children, so that they can live happily in their families.

Genesis 13:5-6.

Job 1:1-5.

1 Timothy 6:9-10.

hike-986020__480

1170. YAPYAGA INDULU.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya ndulu iyo yapyaga. Indulu yiniyo igikalaga munda ya mitugo nulu ndimu iyo agailujaga inyama yayo ulu yutinikila mumho mugati ahikanza ilya guibhaga inyama yiniyo. Iyoyi igaikenagulaga chiniko inyama ya ndugo gunuyo ulu yubhagwa bho nduhu witegeleja. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “yapyaga indulu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapelanaga bho nduhu uguyangulwa nulu okenyiyagwa hadoo duhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapelanaga wangu nulu ukenyiyagwa bho kamhayo kadoo duhu, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho. Uweyi agabhakoyaga abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya gulema guyangulwa bhuli makanza ulu upelanaga, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ndulu iyo igakumiyaga hadoo duhu yatanduka mpaga yayiluja pye inyama, kunguno nuweyi agakenyiyagwa hadoo duhu opelana mpaga olema uguyangulwa umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “yapyaga indulu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka upelanu bho gulema guyangulya ulu bhakenyiyagwa nulu hadoo duhu, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 19:45-48.

Luka 22:47-50.

Luka 14:21.

KISWAHILI: NYONGO IMEIVA.

Methali hiyo, huongelea juu ya nyongo iliyoiva. Nyongo hiyo, hupatikana tumboni mwa mifugo ambayo hufanya nyama iwe chungu endapo itapasukia ndani wakati wa kumchuna huyo mnyama. Yenyewe huiharibu hivyo hiyo nyama yote, asipokuwa na uangalifu mchunaji wa mnyama huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “nyongo imeiva.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukasirika upesi mpaka kufikia hatua ya kukataa kuamriwa hata anapokesowa kwa jambo dogo tu, katika maisha yake. Mtu huyo, hukasirishwa haraka na hata kwa jambo dogo tu, na kukataa kuamriwa kwa sababu ya hasira yake hiyo. Yeye huwahangaisha watu wa kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya ukali wake huo wa kukataa kuamriwa na wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ile nyongo ambayo huguswa kidogo na kupasuka mpaka inaiharibu nyama yote, kwa sababu naye hukasirishwa hata na jambo dogo tu, na kukataa kuamriwa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “nyongo imeiva.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha hasira ya kukasirika upesi kwa sababu ya jambo dogo tu na kukataa kuamriwa, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 19:45-48.

Luka 22:47-50.

Luka 14:21.

ENGLISH: THE GALL IS RIPE.

This proverb speaks of a ripen gall. The gall is found in a stomach of livestock, which makes the meat bitter if it bursts inside while slaughtering the animal. It itself destroys all the meat, if the slaughterer of such animal is not so careful. That is why people say that, “the gall is ripe.”

This proverb is compared to the person who gets angry quickly to the point of refusing to be ordered even when he is wronged in a small thing, in his life. Such person, gets angry quickly and even in a small thing that he refuses to be ordered because of his anger. He worries the people in his family, because of his harshness in refusing to be ordered by his colleagues, in his life.

This person is like the gall that is touched a little and bursts until it destroys all the meat, because he also gets angry even in a small thing to the point of refusing to be ordered, in his life. That is why people speak about him that, “the gall is ripe.”

This proverb teaches people about stopping getting angry quickly because of a small thing to the point of refusing to be ordered by others, so that they can raise their families well, in their lives.

Luke 19:45-48.

Luke 22:47-50.

Luke 14:21.

 

 

stick-fight-412666__480

1169. ALINA NKONO NDITO.

Olihoyi munhu uyo alina nkono ndiko uyo wikalaga muchalo ja Miyuguyu. Umunhu ung’wunuyo agubhuchaga unkono gokwe bho hado hado na witegeleja bhutale kinguno ya bhudito bhogo bhunubho. Uweyi wikalaga chene nose abhanhu bhagandebha kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “alina nkono ndito.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe hado hado iyo agayimalaga chiza aliyo wikanza lilihu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe hado hado mpaka oyimala chiza bho nduhu ugulekela nulu hadoo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi bhuli ng’waka kunguno ugutumama na witegeleja bhutale imilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ali na nkono ndito uyo otumamaga hado hado mpaga oyimala chiza imilimo yakwe, kunguno nuweyi agatumama na witegeleja bhutale mpaga uyimala chiza imilimo yake yiniyo, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “alina nkono ndito.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika, matwajo mingi, umumilimo yabho.

2Wathesalonike 3:7-9.

2Wathesalonike 3:13-16.

Mathayo 12:33.

Yoshua Bin Sira 20:9.

KISWAHILI: ANA MKONO MZITO.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na mkono mzito katika kijiji cha Miyuguyu. Mtu huyo, alikuwa akiubeba mkono wake huo kwa umakini mkubwa sana kwa sababu ya uzito wake huo. Yeye aliishi hivyo mwishowe watu walimfahamu kutokana na namna yake hiyo ya kuishi. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “ana mkono mzito.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake pole pole mpaga anazimaliza vizuri bila kuacha sehemu hata ndogo. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake pole pole mpaga anatumia muda mrefu kuyamaliza vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo, katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio mengi kila mwaka katika familia yake kwa sababu ya kuwa na umakini huo mkubwa katika kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na mkono mzito ambaye aliyatekeleza pole pole mpaga akayamaliza vizuri majukumu yake, kwa sababu naye huzitekeleza kazi zake kwa umakini mkubwa mpaka anazimaliza vizuri, katika utendaji wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ana mkono mzito.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini mkubwa wa kuwawezesha kuyakamilisha vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika kazi zao, maishani mwao.

2Wathesalonike 3:7-9.

2Wathesalonike 3:13-16.

Mathayo 12:33.

Yoshua Bin Sira 20:9.

farmer-2832679__480

1165. SHULI MAB’ELE HA NYANGO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya ng’ombe ja mab’ele aha kaya ndebhe, kunguno ishuli hi ng’ombe. Yalihoyi kaya imo iyo yali na ng’ombe kaganda umuchalo ja Sanjo. Ikaya yiniyo yikalaga yuliila mab’ele bhuli lushugu kunguno ya mitugo ijo bhali najo jinijo umukikalile kabho. Hunagwene bhayombaga giki, “shuli mab’ele ha nyango.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajilanhanaga chiza imitugo jabho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagajichilulaga diyu imitugo jabho jinijo bhagajidima mpaga jiguta buli lushigu kunguno bhayidebhile isolobho ya mitugo jabho jinijo, umubhulamu bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhuliila mab’ele bhuli lushugu aha kaya yabho yiniyo kunguno ya gujilabhila chiza imitugo jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga ni kaya iyo yali na ng’ombe kaganda ja mab’ele kunguno nabhoyi bhagajilanhanaga chiza ing’ombe jabho ijo jigabhinhaga mab’ele bhuli lushugu, umukikalile kabho kenako. Hunagwene bhagayombaga giki, “shuli mab’ele ha nyango.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujilabhila chiza imitugo yabho kugiki jidule gubhambilija chiza, umubhulamu bhobho.

Isaya 66:10-11.

Mwanzo 13:1-2.

Mwanzo 13: 5-6.

KISWAHILI: NG’OMBE MAZIWA KWENYE MLANGO.

Methali hiyo, huongelea juu ya ng’ombe wa maziwa kwenye familia fulani. Ilikuwepo familia moja iliyokuwa na ng’ombe kiasi katika kijiji cha Sanjo. Familia hiyo, ilikuwa ikitumia maziwa kila siku kwa sababu ya uwepo wa mifugo hao katika maisha yao. Ndiyo maana walisema kwamba, “ng’ombe maziwa kwenye mlango.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwatunza vizuri mifugo wao, maishani mwao. Watu hao, huwapeleka ng’ombe wao kwenye malisho asubuhi na mapema ambako huwalisha mpaka wanashiba kila siku kwa sababu wanazielewa faida za ng’ombe hao, kwenye maisha yao. Wao hutumia maziwa kila siku kwenye familia yao hiyo, kwa sababu ya kuwatunza vizuri ng’ombe wao hao, maishani mwao.

Watu hao hufanana na ile familia iliyokuwa na mifugo kiasi wa maziwa, kwa sababu nao wanao mifugo hao wanaowapatia watu hao mazima kila siku kwenye familia yao hiyo, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “ng’ombe maziwa kwenye mlango.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri migugo wao ili waweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Isaya 66:10-11.

Mwanzo 13:1-2.

Mwanzo 13: 5-6.

glass-1587258__480

1164. UDIZIGUSHA NA NGUKU UGUBUKULA MBELELE.

Inguku ili shinu nhenaguji gete ukubhalimi iyo igajaga kumigunda yabho yagajilya ijiliwa jabho. Inguku yiniyo idulile gugamala amandege ga nimi uyo agigusha nayo bho nduhu ugukalana ijinagugulinda ungunda gokwe.

Olihoyi nimi uyo agigusha ni nguku bho guleka ugugulinda chiza ungunda gokwe uyo gali go mandege mpaga jugalya pye amandege gakwe genayo usagijiwa mbelele duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “udizigusha na nguku ugubukula mbelele.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajilekanijaga sagala ijiliwa jakwe mpaga jaliwa na majilili, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adajilanhanaga chiza ijiliwa jakwe ulu japya umumigunda yakwe kunguno ya bhulekenija bhokwe bhunubho. Uweyi agasangaga jamalagwa guliwa na majilili ijiliwa jakwe jiniko haho jitali mungunda kunguno ya bhujidadilila bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaleka ugugalanhana chiza amandege gakwe mpaga gumalwa guliwa na nguku haho gatali mumo ngunda, kunguno nuweyi agajilekanijaga mpaka jamalwa guliwa na majilili ijiliwa jakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “udizigusha na nguku ugubukula mbelele.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhulalanhanu bho gujilanhana chiza ijiliwa jabho, kugiki bhadule kupandika jiliwa gubhambilija ujilisha chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Petro 5:8-9.

2 Thimotheo 4:7.

KISWAHILI: USICHEZE NA NYANI UTAVUNA MABUA.

Nyani ni mnyama mharibifu kabisa kwa wakulima ambaye huenda kula mahindi kwenye mashamba yao. Nyani huyo aweza kuyamaliza kuyala mahindi ya mkulima yule ambaye hucheza naye kwa kutokuyalinda vizuri mashamba yake hayo.

Alikuwepo mkulima yule ambaye alicheza na nyani kwa kuacha kulilinda vizuri shamba lake la mahindi mpaka nyani hao wakayala mahindi yake yote akabakishiwa mabua tu. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “usicheze na nyani utavuna mabua.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatelekeza mashamba yake ya chakula mpaka yakafikia hatua ya kuliwa na wanyama waharibifu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hayalindi vizuri mashamba yake ya chakula yanapokamaa kwa sababu ya kutokuyajali kwake. Yeye hukuta wanyama hao wameyala mazao yake yote yangali bado shambani kwa sababu ya kutokuyalinda vizuri hivyo mazao yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye hakuyalinda vizuri mahindi yake mpaka yakaliwe na nyani yangali bado shambani, kwa sababu naye huyatelekeza mazao yake mpaka yanaisha yote kwa kuliwa na wanyama waharibifu. Ndiyo maana watu humuambia kwamba “usicheze na nyani utavuna mabua.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ujanja wa kuyalinda vizuri mazao yao ya chakula, ili waweze kuvuna mazao ya kutosha kuwasaidia katika kuzilisha vizuri familia zao, maishani mwao.

1Petro 5:8-9.

2 Thimotheo 4:7.

ENGLISH: DO NOT PLAY WITH MONKEYS; YOU WILL REAP STALKS.

Monkeys are very destructive animals to farmers because they go to eat maizes in their fields. The monkey can end up eating the maizes of the farmer who plays with him by not protecting his fields properly.

There was a farmer who played with monkeys by not protecting his field of maizes properly until the monkeys ate all the maizes and he was left with only stalks. That is why people told him that, “do not play with monkeys; you will reap stalks.”

This proverb is compared to the person who neglects his food fields until they reach the stage of being eaten by pests, in his life. Such person does not protect his food fields well when they mature because of his carelessness. He finds that pests and other destructive animals have eaten all his crops while they are still in the field because of not protecting them properly, in his life.

Such person is similar to the one who did not protect his maizes properly until they were eaten by monkeys while they were still in the field, because he also neglects his crops until they are all eaten by pests. That is why people tell him that “do not play with monkeys; you will reap stalks.”

This proverb teaches people to be smart enough to protect their food crops, so that they can harvest enough crops to help them in feeding their family members well, in their lives.

1 Peter 5:8-9.

2 Timothy 4:7.

long-tailed-macaque-4501435__480