Author: Sukuma legacy

1194. NASHOKA GUB’INILA NG’WANG’HILILI.

Olihoyi munhu uyo olinyalali o ntala gungi. Umunhu ng’wunuyo, agagalucha untala uyubhinila kuntala go ng’wa Ng’hilili kunguno ya kuchola kupandika solobho nhale umuntala gunuyo. Hunagwene agayomba giki, “nashoka gub’inila Ng’wang’hilili.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agachagulaga nimo uyo guli na solobho nhale ukuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho gugudebha chiza unimo uyo gudulile gung’wenhela solobho nhale ubhutumami bhokwe na guguchagula kunguno atogilwe kupandika matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya kuchagula milimo ya wiza, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agashoka gub’inila ng’wang’hilili, kunguno nuweyi agachakulaga milimo iyo idulile kung’wenhela solobho nhale umubhutumami bhobho. Hunagwene agayombaga giki, “nashoka gub’inila ng’wa Ng’hilili.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuchagula milimo ya gudula gubhenhela solobho nhale umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Luka 14:25-27.

Mathayo 3:1.

Ufunuo 3:19-22.

KISWAHILI: NIMERUDI KUCHEZEA KWA NG’HILILI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa mchezaji wa kundi fulani la ngoma. Mtu huyo, alibadilisha mawazo yake akaamua kuchelezea ngoma hizo kwenye kundi la Ng’hilili, kwa sababu ya kutaka kupata faida kubwa kwenye kundi hilo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimerudi kuchezea kwa Ng’hilili.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchagua kazi yenye faida kubwa katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kumwezesha kuzifahamu na kuzichagua kazi hizo, kwa sababu ya kutaka kupata mafanikio makubwa katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio makubwa katika familia yake, kwa sababu ya kuchagua kazi za kuweza kumletea faida kubwa, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyerudi kwa Ng’hilili, kwa sababu naye huchakua kazi ziwezazo kumletea faida kubwa katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimerudi kuchezea kwa Ng’hilili.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuchagua kazi za kuweza kuwaletea mafanikio makubwa katika utumishi wao, ili waweze kupata faida kubwa, maishani mwao.

Luka 14:25-27.

Mathayo 3:1.

Ufunuo 3:19-22.

 

ENGLISH: I HAVE RETURNED TO PLAY TO NG’HILILI.

There was a man who was a dancer in a certain dance group. He changed his mind and decided to explain the dances to the Ng’hilili group, because he wanted to make a big profit from the group. That is why he said that, “I have returned to play to Ng’hilili.”

This saying is equated to a person who chooses a job that is very profitable in his life. Such person does research that is good enough to enable him understand and choose the best jobs, because he wants to achieve great success in his works. He achieves great success in his family, because of choosing jobs that can bring him great profits, in his life.

This person is similar to the one who returned to Ng’hilili, because he also takes jobs that can bring him great profits in his life. That is why he says that, “I have returned to play to Ng’hilili.”

This saying imparts in people an idea about choosing jobs that can bring them great successes in their services, so that they can get great benefits, in their lives.

Luke 14:25-27.

Matthew 3:1.

Revelation 3:19-22.

 

dance-5935800__480

1193. KALAGU – KIZE. KANISHISHA KULE – MPILYA.

Umpilya jili jitumamilo ijo jigang’wanguhyaga umunhu ugushiga wangau uko ajile umulugendo lokwe. Umunhu ng’wunuyo, agibakilaga umpilya gokwe opela na gushiga wangu uko ajile kunguno ya bhupeji bho mpilya gunuyo. Hunagwene agayombaga giki, “kanishisha kule – mpilya.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga ginhu ja gupelela uko ajile ija kunshisha wangu, umulugendo lokwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumila ginhu guti lori, basi, ndege na jingi ijo jikolile na jinijo, kunguno ya kuhaya kushiga wangu uko ajile umulugendo lokwe nululo. Uweyi agadulaga ugushiga wangu uko ajile umulugendo lokwe na kutumama milimo yingi, kunguno ya gutumila jikolo ya kupelela ija kunshisha wangu jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatumila mpilya mpaga ushiga kule, kunguno nuweyi agatumilaga ginhu ja gupelela na kushiga wangu uko ajile, umulugendo lokwe. Hunagwene agayombaga giki, “kanishisha kule – mpilya.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gutumila ginhu ja gupelela umukikalile kabho, kugiki bhadule gushiga wangu, uko bhagile, umuludondo lobho.

Matendo ya mitume 27:1-3, 13.

Kutoka 14:17.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KAMENIFIKISHA MBALI – BAIKELI.

Baisikeli ni chombo cha usafiri ambacho humwezesha mtu kufika haraka kule anakoenda. Mtu huyo, hupanda baiskeli yake na kukimbia mpaka anafika haraka kule anakoenda, kwa sababu ya ukimbiaji wa baiskeli hiyo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kamenifikisha mbali – baiskeli.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia vyombo vya usafari kwa ajili ya kumfikisha haraka kule anakoenda, katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia vyombo vya usafiri kama vile gari, basi, ndege na vingine wingi, kwa sababu anataka kufika haraka kule anakoenda, katika safari yake. Yeye hufanikiwa kufika haraka kule anakoenda mpaka anafanya kazi zingine, kwa sababu ya kutumia usafiri huo wa haraka, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetumia baiskeli mpaka akafika mbali katika safari yake, kwa sababu naye hutumia vyombo vya usafiri na kufika haraka kule anakoenda, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kamenifikisha mbali – baiskeli.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kutumia vyombo vya usafiri katika safari zao, ili waweze kufika haraka kule wanakoenda, maishani mwao.

Matendo ya mitume 27:1-3, 13.

Kutoka 14:17.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT HAS BROUGHT ME FAR – THE BICYCLE.

A bicycle is a means of transportation that enables a person to reach his destination quickly. Such person gets on his bicycle and runs until he reaches his destination quickly, because of the speed of such bicycle. That is why he says that, “it has brought me far – the bicycle.”

This paradox is equaled to the person who uses good means of transportation to get him quickly to where he is going, in his life. Such person uses good means of transport such as car, bus, plane and many others, because he wants to get to his journey’s end quickly, in his trip. He manages to get to his last stop quickly until he does other jobs, because of using that fast transport, in his life.

This person resembles to the one who used a bicycle until he got far in his journey, because he also uses good means of transport enough to enable him quickly reach where he is going, in his life. That is why he says that, “it has brought me far – the bicycle.”

This riddle teaches people about using good means of transport in their travels, so that they can quickly reach their destinations, in their lives.

Acts 27:1-3, 13.

Exodus 14:17.

 

man-471192__480

bicycle-7798227__480

old-man-2584620__480

 

1192. IJI JILI JAMUNGUNDA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhagalima migunda ya bhusiga na mandege ahikanza lya jidiku. Abhanhu bhenabho bhagayilanhana chiza imigunda yabho yiniyo, mpaga bhubisha bhusiga wingi, na mandege mingi, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yabho yiniyo. Abhoyi bhagayega noyi aho bhapona amajiliwa genayo kunguno ya gutumila nguzu ningi uguilimila imigunda yabho yiniyo. Hunagwene aho bhajilya ijiliwa jinijo bhagayomba giki, “iji jili jamungunda.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo mingi na kupandika majikolo mingi, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagigulambijaga gutumama milimo mingi mpaga bhayimala chiza, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yabho bhunubho. Abhoyi bhagayegaga noyi ulu bhandya ugujitumila ijikolo ijo bhajipandika umubhutumami bhobho, kunguno ya bhuponi bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagayega abho bhapona bhusiga na mandege, kunguno nabhoyi bhagayegaga ulu bhajipandika ijikolo jamumilimo yabho yiniyo. Hunagwene bhagayombaga giki, “iji jili jamungunda.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule kupandika majikolo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 21:33.

Mathayo 13:1-3.

Marko 4:26.

KISWAHILI: HIVI NI VYA SHAMBANI.

Walikuwepo watu waliolima mashamba ya mtama na mahindi wakati wa masika. Watu hao, waliyatunza vizuri mashamba yao hayo mpaka wakapata mtama mwingi na mahindi mengi, kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kufanya kazi. Wao walifurahi sana walipoyapata mazao hayo ya chakula kwa sababu ya kutumia nguvu nyingi katika kuyatunza mashamba yao hayo. Ndiyo maana walipoanza kuyala mazao hayo, walisema kwamba, “hivi ni vya shambani.”

 Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi nyingi na kupata vitu vingi, katika maisha yao. Watu hao, hujibidisha kufanya kazi nyingi mpaga wanazimaliza vizuri, kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kufanya kazi. Wao hufurahi sana wanapoanza kuyatumia mazao yao hayo waliyoyapata, kwa sababu ya kupata mavuno mengi, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliofurahi baada ya kupata mtama na mahindi, kwa sababu nao hufurahi wanapopata mazao yao hayo kutoka kwenye kazi zao hizo. Ndiyo maana wao husema kwamba, “hivi ni vya shambani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao mpaka wanazimaliza vizuri, ili waweze kupata mazao mengi, maishani mwao.

Mathayo 21:33.

Mathayo 13:1-3.

Marko 4:26.

ENGLISH: THESE ARE FROM THE FARM.

There were people who cultivated millet and corn fields during the spring. Those people took good care of their fields until they got a lot of both millet and corns, because of their hard working activities. They were very happy when they got those food crops because of spending a lot of energy in taking care of their fields. That is why when they started eating those crops, they said that, “these are from the farm.”

This saying is compared to people who do a lot of works and get a lot of things, in their lives. Those people do a lot of works enough to finish them well, because of their hard working situation. They are very happy when they start using their crops that they got, because of getting a lot of harvests in their lives.

Those people are like those who were happy after getting millet and corns, because they are also happy when they get their crops from their works. That is why they say that, “these are from the farm.”

This saying teaches people about working hard in doing their works until they finish them well, so that they can get a lot of crops, in their lives.

Matthew 21:33.

Matthew 13:1-3.

maize-380701__480

1191. AGENAYO GALI MASAGILWA GA NSAMI.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile masagilwa ga ng’wa munhu uyo agasama ugazenga muchalo jingi. Umunhu ng’wunuyo, agasama ubhalekela ginhu bhanhu bhalebhe kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhoyi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “agenayo gali masagilwa ga nsami.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhelekelaga lilange lya wiza, abhanhu abho agikalaga nabho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga likanza lyakwe bho kubhalanga kutumama milimo abhanhu bhakwe na gwikala chiza na bhichabho, kunguno ya bhugolola bhokwe bhunubho. Uweyi agabhamanilijaga abhanhu bha kaya yake gutumama milimo yabho kihamo na bhichabho bho bhutogwa bhutale, kunguno ya bhugolola bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsami uyo agabhalekela ginhu abhitogwi bhakwe, kunguno nuweyi agabhalekelaga lilange lyawiza abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abhanhu bhakwe bhenabho giki, “agenayo gali masagilwa ga nsami.”

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhalekela lilange lyawiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohana 14:28.

Yohana 15:9-10.

1Petro 3:8.

KISWAHILI: HAYO NI MABAKI YA MHAMAJI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mabaki ya mtu aliyehama kwenda kuishi kwenye kijiji kingine. Mtu huyo, alihama akawaachia vitu baadhi ya watu kwa sababu ya upendo wake kwao. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “hayo ni mabaki ya mhamaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaachia malezi mema watu anaoishi nao, katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia muda wake kwa kuwafundisha maadili ya kufanya kazi kwa bidii, na kuishi na watu vizuri, kwa sababu ya unyofu wake huo. Yeye huwazoesha watu waishio kwenye familia yake kuyaishi maadili hayo ya kufanya kazi vizuri, na kuishi kwa amani na wenzao, kwa sababu ya unyofu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mhamaji aliyewaachia vitu wapendwa wake, kwa sababu naye huwaachia malezi mema watu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu huwaambia watu wake hao kwamba, “hayo ni mabaki ya mhamaji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaachia malezi mema watu wanaoishi nao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohana 14:28.

Yohana 15:9-10.

1Petro 3:8.

ENGLISH: THOSE ARE THE REMAINS OF A MIGRANT.

The source of the above saying speaks about remains of a person who moved from a certain village to live in another one. Such man left some things for some people because of his love for them. That is why those people said that, “those are the remains of a migrant.”

This saying is related to a person who leaves a good upbringing to the people who live with him in his life. Such person, spends his time by teaching people the values of working hard enough to live well with people, because of his sincerity. He trains the people who live in his family on how to live according to the values of working well, and living in peace with their people, because of his honesty, in his life.

This person is similar to the itinerant who left things for his loved ones, because he also leaves a good education for his people, in his life. That is why people tell his people that, “those are the remains of a migrant.”

This saying teaches people about leaving a good upbringing to the people whom they live with, so that they can raise well their families, in their lives.

John 14:28.

John 15:9-10.

1 Peter 3:8.

tajikistan-4790735__480

1190. UNG’WENUYO OBHIZA NYANGOGO.

Unyangogo ali munhu uyo alinkumuku umuchalo jakwe. Olihoyi munhu uyo oli ningi on mbina umuchalo ja Sanjo. Umunhu ng’wunuyo oli nkumuku gete, kunguno ya bhuduja bhokwe umumbina. Hunagwene abhanhu bha muchalo jinijo, bhagayomba giki, “ung’wenuyo obhiza nyangogo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga chiza ijinhilwa jakwe, umuthumatumi bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo agikomejaga gujidebha chiza ijinhilwa ijo winhiwa nu Mulungu, mpaga ojidebha na gujitumila chiza umumilimo yakwe, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe, kunguno ya gubhutumila chiza ubhudula ubho winhiwa nu Mulungu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ningi uyo olinduja o mbina, kunguno nuweyi agabhutumamilaga chiza ubhuduma bhokwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ung’wenuyo obhiza nyangogo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhudebha na gubhutumamila chiza ubhudula bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 17: 11-19.

Luka 8:40-56.

Mathayo 14:22-33.

KISWAHILI: HUYO AMEKUWA MAARUFU.

Mtu maarufu ni yule aliyesifika kwenye kijiji chake. Alikuwepo mtu aliyekuwa manju katika kijiji cha Sanjo. Mtu huyo, alisifika sana kwa sababu ya uwezo wake huo wa kucheza ngoma za jadi. Ndiyo maana watu wa kijijini mwake walisema kwamba, “huyo amekuwa maarufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia vizuri vipaji vyake, katika utekelezaji wa kazi zake. Mtu huyo, hujitahidi kuvielewa vizuri vipaji aliyopewa na Mungu mpaga anavifahamu na kuvitumia vizuri katika kazi zake, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye huiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kuvitumia vizuri vipaji alivyopewa na Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule manju aliyekuwa maarufu kwenye ngoma, kwa sababu naye huvitumia vizuri vipaji vyake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo amekuwa maarufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvieleva na kuvitumia vizuri vipaji vyao, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Luka 17: 11-19.

Luka 8:40-56.

Mathayo 14:22-33.

ENGLISH: THAT ONE HAS BECOME FAMOUS.

A famous person is the one who is well-known in his village. There was a man who lived in the village of Sanjo. He was very renowned because of his ability to play traditional dances. That is why the people of his village said that, “That one has become famous.”

This saying is equated to a person who uses his talents well, in carrying out his works. Such person strives to understand well talents which were given to him by God, by knowing them enough to use them well in his works, because of his responsiveness. He nicely takes care of his family because of his good usage of the talents which were given to him by God, in his life.

This person looks like the one who was famous in the village of Sanjo, because he also uses his talents well in his life. That is why people say about him that, “That one has become famous.”

This saying teaches people about understanding their talents well enough to use them in fulfilling their daily activities, so that they can get a lot of progress in their lives.

Luke 17: 11-19.

Luke 8:40-56.

Matthew 14:22-33.

dancing-953291__480

dance-5935800__480

drums-5935804__480