1192. IJI JILI JAMUNGUNDA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhagalima migunda ya bhusiga na mandege ahikanza lya jidiku. Abhanhu bhenabho bhagayilanhana chiza imigunda yabho yiniyo, mpaga bhubisha bhusiga wingi, na mandege mingi, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yabho yiniyo. Abhoyi bhagayega noyi aho bhapona amajiliwa genayo kunguno ya gutumila nguzu ningi uguilimila imigunda yabho yiniyo. Hunagwene aho bhajilya ijiliwa jinijo bhagayomba giki, “iji jili jamungunda.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo mingi na kupandika majikolo mingi, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagigulambijaga gutumama milimo mingi mpaga bhayimala chiza, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yabho bhunubho. Abhoyi bhagayegaga noyi ulu bhandya ugujitumila ijikolo ijo bhajipandika umubhutumami bhobho, kunguno ya bhuponi bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagayega abho bhapona bhusiga na mandege, kunguno nabhoyi bhagayegaga ulu bhajipandika ijikolo jamumilimo yabho yiniyo. Hunagwene bhagayombaga giki, “iji jili jamungunda.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule kupandika majikolo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 21:33.

Mathayo 13:1-3.

Marko 4:26.

KISWAHILI: HIVI NI VYA SHAMBANI.

Walikuwepo watu waliolima mashamba ya mtama na mahindi wakati wa masika. Watu hao, waliyatunza vizuri mashamba yao hayo mpaka wakapata mtama mwingi na mahindi mengi, kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kufanya kazi. Wao walifurahi sana walipoyapata mazao hayo ya chakula kwa sababu ya kutumia nguvu nyingi katika kuyatunza mashamba yao hayo. Ndiyo maana walipoanza kuyala mazao hayo, walisema kwamba, “hivi ni vya shambani.”

 Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi nyingi na kupata vitu vingi, katika maisha yao. Watu hao, hujibidisha kufanya kazi nyingi mpaga wanazimaliza vizuri, kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kufanya kazi. Wao hufurahi sana wanapoanza kuyatumia mazao yao hayo waliyoyapata, kwa sababu ya kupata mavuno mengi, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliofurahi baada ya kupata mtama na mahindi, kwa sababu nao hufurahi wanapopata mazao yao hayo kutoka kwenye kazi zao hizo. Ndiyo maana wao husema kwamba, “hivi ni vya shambani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao mpaka wanazimaliza vizuri, ili waweze kupata mazao mengi, maishani mwao.

Mathayo 21:33.

Mathayo 13:1-3.

Marko 4:26.

maize-380701__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.