Author: Sukuma legacy

812. NATUNG’WANA NA SUNGWA JILIFUMA GUJUSUMA NAGULILA NYAMA.

Isungwa jilijisumva ijo jigatumamaga milimo bho gwiyambilija kihamo. Ijoyi jigabhuchaga nigo bhuli yene guti giki jifumilile gujusumo jililwa. Umunhu uyo utung’wana ni sungwa jinijo jibhuchije milimo, agwisagilwa gupandika mbango ja gulya jiliwa ja wiza guti nyama, ukoajile. Hunagwene agayombaga giki, “natung’wana na sungwa jilifuma gujusuma nagulila nyama.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga mbango bho gutumama milimo kihamo na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga atogilwe gwiyambilija na bhiye kunguno ya jigongo jakwe ija gubhagunana abho bhali na makoye. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umuwikaji bhokwe kunguno ya mbango ijo alinajo jinijo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni sungwa ijo jigiyambilijaga kihamo uguitumama imilimo, kunguno nuweyi, agapandikaga mbango ja matwajo mingi, bho gutumama milimo kihayo na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “natung’wana na sungwa jilifuma gujusuma nagulila nyama.”

Kahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwiyambilija gutumama kihamo na bhichabho, kugiki bhadule gupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho.

Mithali 28:20.

Ufunuo 5:12.

Luka 19:37-38.

KISWAHILI: NIMEKUTANA NA SUNGUSUNGU WANAOTOKA KUHEMEA NITAKULA NYAMA.

Sungusungu ni viumbe ambavyo hufanya kazi kwa kusaidiana pamoja. Kila mmoja wao hubeba mzigo wake, unaonesha kama wanatoka kuhemea chakula. Mtu ambaye atakutana na sungusungu hao waliobeba mizigo, atatumaini kupata Baraka za kula chakula kizuri, kama vile nyama, kule anakoelekea. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nimekutana na sungusungu wanaotoka kuhemea nitatakula nyama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata baraka kwa kufanya kazi pamoja na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupenda kusaidiana na wenzake hao kwa sababu ya huruma yake ya kuwasaidia wale walioko kwenye matatizo. Yeye hupata mafanikio mengi maishani mwake kwa sababu ya Baraka hizo alizonazo.

Mtu huyo, hufanana na sungusungu wale walioshirikiana katika kufanya kazi, kwa sababu naye hupata Baraka za mafanikio mengi, kwa kuyatekeleza majukumu yake akishirikiana na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nimekutana na sungusungu wanaotoka kuhemea nitatakula nyama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kushirikiana pamoja na wenzao wanapoyatekeleza majukumu yao, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mithali 28:20.

Ufunuo 5:12.

Luka 19:37-38.

ant1

 

ants -

ENGLISH: I SAW ANTS THAT WERE COMING FROM SEARCHING FOR FOOD, I WILL EAT MEAT.

Black Ants are creatures which work together. Each one of them carries its own load, showing that they have found food from where they went. The person who meets them carrying their luggage rags will hope to enjoy blessings of receaving good food, such as meat, wherever he/she goes. That is why he/she tells people that, “I saw ants that were coming from searching for food, I will eat meat.”

This saying is applied to a person who receives blessings of working well with others in life. He/she person likes to help his/her colleagues because of having true love to those who in need. He/she finds great success in life because of receiving blessings from God.

This person is like the black ants which worked together, because he also receives blessings of many successes, by fulfilling his/her responsibilities in collaboration with others in life. That is why he/she tells people that, “I saw ants that were coming from searching for food, I will eat meat.”

This saying teaches people on how to kindly cooperate with their family members as they fulfill their daily responsibilities in lives, so that they can achieve more success, in their societies.

Proverbs 28:20.

Revelation 5:12.

Luke 19: 37-38.

 

811. BHULI MUNDA BHUDILANDAGWA.

Olihoyi munhu uyo olimulegendo lo guja kubhadugu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, ojaga gujulanda jiliwa. Aho oshika koyi agayomba, “nalilanda jiliwa bhadugu bhane.” Abhoyi bhagashosha, “dajimalile gujilwa pye ijiliwa.” Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuli munda bhudilandagwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhambilijaga abhiye bho gubhawila bhung’hana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhuyombaga ubhung’hana bhunubho ulu alibhagunana abhanhu abho bhalina makoye, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe nzila ja gubhambilija abhichacho bho gubhuyomba ubhung’hana na guwikalana, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhanhu abho bhagang’wila bhung’hana ungeni obho, kunguno nuweyi agabhambilijaga abhanhu bho gubhawila bhung’hana, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “bhuli munda bhudilandagwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhambilija abhichabho, bho gubhawila bhung’hana na guwikalana chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gugamala wangu, amakoye gabho.

Yohane 3:4-7.

KISWAHILI: KILICHOKO TUMBONI HAKIAZIMISHWI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na safari ya kwenda kwa ndugu zake. Mtu huyo, alienda kuazima chakula. Alipofika huko alisema, “naazima chakula ndugu zangu.” Wao walimjibu, “tumemaliza kukila chakula chote.” Ndiyo maana watu walisema, “kilichoko tumboni hakiazimishwi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia wenzake kwa kuwaambia ukweli, katika maisha yake. Mtu huyo, huuongea ukweli huo anapowasaidia watu wenye matatizo, ili waweze kupata utatuzi wa kweli wa matatizo hayo. Yeye huwafundisha watu wake njia za kuwasaidia wenzao kwa kuuongea na kuuishi ukweli huo, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na watu wale waliomwambia ukweli mgeni wao, kwa sababu naye huwasaida watu kwa kuwaambia ukweli, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “kilichoko tumboni hakiazimishwi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwasaidia wenzao, kwa kuwaambia ukweli na kuushi vizuri, katika maisha yao, ili waweze kuyamaliza haraka matatizo yao.

Yohane 3:4-7.

food africa

cooking-food

food-munda

ENGLISH: WHAT IS IN THE STOMACH IS NOT BORROWED.

There was a man who was on a journey to his relatives. He went to borrow food. When he arrived, he said, “I am borrowing food, my brothers.” They replied, “We have finished eating all the food.” That is why people say “what is in the stomach is not borrowed.”

This proverb is compared to a person who helps others by telling them the truth in life. Such person speaks the truth when he helps those who have problems, so that they can find real solutions to them. He/she teaches his/her people various ways of helping others by speaking and living according to truth.

This person is like those people who told the truth to their stranger, because he/she also helps people by telling them the truth in life. That is why he/she tells people that “what is in the stomach is not borrowed.”

This proverb imparts in people an idea on how to help others, by telling them the truth and living it, in their lives, so that they can quickly solve their problems.

John 3: 4-7.

810. NYANGO GUMO GUDAGINYAGA NVA.

Yalihoyi nva iyo yaliyasugwa ahakaya ya ng’wa munhu nhebhe. Inva yiniyo, yakamilagwa bhuli lushigu, aliyo yalidigutaga, kunguno yingaga ahakaya yiniyo, yagacholeleja jiliwa mumakaya gangi.

Iyoyi yajaga yujilya ijiliwa ijo bhajiponyaga kihamo na maguha ayo gaponyiyagwa, umumakaya genayo, mpaga iguta na yashoka aha kaya iyo ikalaga. Aho bhayibhona abha hakaya yiniyo igwitaga chene bhagayomba giki, “nyango gumo gudaginyaga nva.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na nzala uyo agajaga gujuchola jiliwa mpaga ojipandika ijaguimala inzala yiniyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga gujusuma bhuli kwene uko jiligelela ijiliwa jinijo, kugiki adule gujipandika ja gudula kumpiga inzala yiniyo. Uweyi agadulaga iguisumila ikaya yakwe mpaga yapila, kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nva iyo yajaga yulya jiliwa mumakaya mpaga iguta, kunguno nuweyi, agaisumilaga ikaya yakwe bho guicholela jiliwa mpaka oipija nzala, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nyango gumo gudaginyaga nva.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija guchobhalela jiliwa ja gubhapija nzala abhanhu bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:45-46.

KISWAHILI: MLANGO MMOJA HAUNENEPESHI MBWA.

Alikuwepo mbwa mmoja aliyekuwa amefugwa kwenye familia fulani. Mbwa huyo, alilishwa chakula kila siku, lakini alikuwa hashibi kwa sababu alikuwa akiondoka kwenye familia hiyo, na kwenda kutafuta chakula kwenye familia zingine.

Yeye aliendelea kutafuta mifupa na chakula kilichotupwa na kula, kwenye familia mbalimbali, mpaka aliposhiba ndipo alirudi nyumbani. Walipoona hivyo, wana familia hao, walisema kwamba, “mlango mmoja haunenepeshi mbwa.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata tatizo la njaa na kuanza kuzunguka akitafuta chakula mpaka anakipata chatosha kuimaliza hiyo njaa, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anaenda kuhemea kila sehemu anakosikia kwamba, kuna chakula ili aweze kujipatia chakula cha kuwatosha watu wake. Yeye huweza kuitafutia chakula familia yake mpaka anakipata cha kutosha kuwalisha wanafamilia wote, kwa sababu ya bidii yake ya kuwasaidia wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mbwa aliyeenda kula chakula kwenye familia za watu, kwa sababu naye huitafutia chakula familia yake mpaka anakipata cha kutosha kuimaliza njaa hiyo, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye humwaambia watu kwamba, “mlango mmoja haunenepeshi mbwa.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuwatafutia chakula cha kutosha kuwaponyesha njaa watu wao, katika maisha yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:45-46.

dog-1

dog and door

dog-

ENGLISH: ONE HOME DOES NOT MAKE THE DOG FAT.

There was a dog that was bred in a certain family. Such dog was fed daily, but it was not satisfied because of leaving the family, going to look for food in other families.

It continued to search for bones and discarded food to eat in various families, until it was full enough to return home. Seeing this, the family members remarked, “One home does not make the dog fat.”

This proverb is likened to a man who starts wandering around looking for food after getting hungry, until he finds plenty enough to end that hunger in his life. This man goes to every place where he hears that there is food so that he can get enough food for his people. He can feed his family until he has enough to feed all the family members, because of his diligence in helping them in his lifetime.

This man is like a dog that goes to eat food in people’s families, because he also seeks food for his family until he finds enough to satisfy that hunger in it. That is why he tells people that “One home does not make the dog fat.”

This proverb teaches people on how to struggle to find enough food to feed their people, in their lives, so that they can better take care of their families.

Matthew 13: 45-46.

809. NZOKA NGODELA BHALI.

Ulusumo lunulo, lwingila ku nzoka iyo yalumaga ndimu jacha, muchalo jilebhe. Inzoka yiniyo, yalumaga ng’ombe, mbuli, ng’holo na ndimu ja mumapolu, ijo bhajilyaga abho bhajisangaga jichile.

Iyoyi yajilumaga yajileka, kunguno yalidadulile ugujilya. Inyama jinijo, jaliyagwa na mashimu kihamo na bhanhu abho bhajibhonaga. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagiitana giki, “nzoka ngodela bhali.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, okoyakoya ugujipandika isabho ijo adajilyaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe gwingine dilu mpaga mhindi, kunguno ya gubhadilila chiza abho agabhalang’hanaga, aha kaya yakwe. Aliyo lulu, uweyi adajitumamilaga isabho ijo agajipandikaga jinijo, kunguno ya kubhambilija abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Isabho jinijo, jigasomishisha bhanhu bhangi, na kubhagulila jiliwa kugiki bhadule gwikala na bhuyegi.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzoka iyo yabhulagaga ndimu ijo bhalilyaga bhangi, kunguno nu weyi agakoyakoyaga ugujipandika isabho ijo adajilyagwa iki agabhalekelaga bhangi bhajilya, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nzoka ngodela bhali.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhambilija bhichabho abho bhali na makoye, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi, umukaya jabho.

Isaya 53:4-7.

Wakolosai 1: 24.

Yohana 3:14-17.

KISWAHILI: NYOKA MGONGEA WALAJI.

Methali hiyo, ilitokea kwenye nyoka aliyekuwa akiwaua wanyama kwa kuwauma. Nyoka huyo, aliwauma ng’ombe, mbuzi, kondoo na wanyama poli ambao nyama zao zililiwa na wale waliowakuta wanyama hao wakiwa wamekufa.

Yeye alikuwa akiwauma na kuwaacha kwa sababu alikuwa hali. Nyama hizo zililiwa na wadudu pamoja na binadamu walioziona. Ndiyo maana watu hao, walimwita kwamba ni “nyoka mgongea walaji.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huhangaika kuitafuta mali asiyoila, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kuanzia asubuhi hadi jioni, kwa sababu ya kuwajali wale anaowatunza, katika familia yake. Lakini basi, yeye huwa hazitumii mali hizo anazozipata, kwa sababu ya kuwasaidia watu wake, maishani mwake. Mali hizo, husomesha watu wengine na kuwanunulia chakula ili waweze kuishi kwa furaha.

Mtu huyo, hufanana na yule nyoka aliyeua wanyama walioliwa na wengine, kwa sababu naye huwatafutia wengine mali zake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwita mtu huyo kuwa ni “nyoka mgongea walaji.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo mbalimbali, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao.

Isaya 53:4-7.

Wakolosai 1: 24.

Yohana 3:14-17.

african snake

snake-

snake-1

ENGLISH: A SNAKE THAT KILLS FOR EATERS.

This proverb came from a serpent that killed animals by biting them. It bit cows, goats, sheep and wild animals whose meat was eaten by those who found the animals dead.

It was biting and leaving them because it was not eating them. The meat was eaten by insects as well as by humans who saw it. That is why people called it “a snake that kills for eaters.”

This proverb is likened to a man who struggles to obtain riches which he does not eat, in his life. Such person strives to work from morning till evening, out of concern for those in his care who live in his family. But then, he does not use the resources which he earns, for the benefit of his people, in his life. These properties, in turn, educate other people and buy them food so that they can live happily ever after.

This person is like the serpent that killed animals that were eaten by others, because he also seeks out his own possessions, in his own life. That is why people call that person “a snake that kills for eaters.”

This proverb teaches people on how to help others who are in trouble, in their lives, so that they can live happily in their families.

Isaiah 53: 4-7.

Colossians 1:24.

John 3: 14-17.

808. IGOLOLA BHASIGANI.

Olihayi munhu uyo olatogilwe gubhasiga abhiye bho guyomba mihayo ya bhulomolomo. Lushugu lumo agayomba mihayo ya bhulongo kuli ntale o chalo jacho. Untale obho ng’wunuyo, agang’witana umunhu ng’wunuyo kihamo nabho obhayombaga shibhi, kugiki abhumage ubhung’hana.

Abho ong’wila abhuyomba ubhung’wana, habhutaongi bho bhanhu bhenabho, agamanyika igiki ayombaga bhulomolomo. Hunagwene abhanhu bhagang’witana untale o chalo jinijo giki, “igolola bhasigani.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhatongelaga abhanhu bho gufuada bhung’hana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho mihayo iyo agiyigwaga, kugiki abhudebhe ubhung’hana bhoyo. Uweyi agabhotogelaga chiza abhanhu bhakwe, kunguno ya gubhutogwa na guwikalana ubhung’hana bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ntongeji uo chalo uyo agabhudebha ubhung’hana bho gubhalumanya abhanhu bhakwe, kunguno nu weyi agabhatongelaga chiza abhanhu bho gubhufuada ubhung’hana bhunubho, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “igolola bhasigani.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhatongela chiza abhichabho bho guwikalana ubhung’hana, kugiki bhadule gwikala bho mholele nabho, umuwikaji bhobho.

Yohana 8:6-9.

Luka 19:7-10.

Yohana 16:8.

KISWAHILI: KINYOSHA WASENGENYAJI.

Alikuwepo mtu mmoja ambaye alipenda kuwasengenya wenzake kwa kusema uongo. Siku moja alisema maneno ya uongo kwa kiongozi wa kijiji chao. Kiongozi huyo, alimwita yule mtu pamoja na wale aliowasengenya kwa kusema uongo ili aufahamu ukweli wake.

Alipomwambia auseme ukweli mbele ya wale watu aliowasema vibaya, yule mtu alibainika kwamba, ni muongo. Ndiyo maana watu walimuita yule kiongozi kwamba ni “kinyosha wasengenyaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaongoza watu kwa kuufuata ukweli, katika maisha yake. Mtu huyo, huyafanyia utafiti maneno yale anayoyasikia ili aweze kuufahamu ukweli wake. Yeye hufanikiwa kuwaongoza vizuri watu wake, kwa sababu ya kuupenda ukweli huo na kuuishi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kiongozi wa kijiji aliyeufahamu ukweli kwa kuwaweka pamoja watu wake, kwa sababu naye huwaongoza watu wake kwa kuufuata vizuri ukweli huo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni “kinyosha wasengenyaji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaongoza wenzao kwa kuufuata vizuri ukweli, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao hao, maishani mwao.

Yohana 8:6-9.

Luka 19:7-10.

Yohana 16:8.

culture

papua

zulu-kingdom

ENGLISH: THE GOSSIPERS’ DISCIPLINER.

There was a man who liked to gossip about his fellows. One day he uttered false words to the leader of their village. The leader called the man and those who had slandered him to tell him the truth.

After being asked to do so, in front of the people he became ashamed, then the leader realized that he was a liar. That is why the people called such leader, “the gossipers’ discipliner.”

This saying is compared to the person who guides people by following the truth in his/her area. Such person researches the words which he/she hears them for understanding the truth. This person succeeds in directing people enough to know the truth in their lives, because of having true love to them.

This person is like the village leader who knew the truth by bringing his people together, because he also leads his people by following the truth well, in their daily lives. That is why people refer to him/her as “the gossipers’ discipliner.”

This saying instills in people an idea on how to guide their people by following the truth in their lives, so that they can live in peace with their family members in daily lives.

John 8: 6-9.

Luke 19: 7-10.

John 16: 8.