Tanzania

1027. IDEBE LYUMU LIDAPANDIKAGA.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya bhanhu abho bhali bhaja kuwinga ukunu bhatulile jiliwa umumadebe gabho, bhugashoga na jiliwa moyi. Abhanhu bhenabho bhagatulaga mandege nulu bhusika, iyo igitanagwe sunge. Isunge yiniyo igashogaka na kinhu ukukaya jabho.

 Ikale bhalihoyi bhanhu abho bhagaja kuwinga ukunhu bhabhuchije jiliwa umumadebe gabho. Aliyo lulu, umo obho agakija ugutuula nulu ginhu umulidebe lyakwe aho ajiile ukuwinga bhunubho.

Aho bhoshila uwinga bhunubho, ikaya yiniyo igabhulaga ng’ombe bhuyiinhiwa bhuli ng’wene nyama iyoilenganilile ni jiliwa ijo agachala koyi. Umunhu uyo adatulile ginhu umulidebe lyakwe aho ajile ukuwinga bhunubho, adinhilwe inyama umulidebe lyake. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “idebe lyumu lidapandikaga.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagikalaga nabhumo bho gwiyambilija chiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagibhilingaga ahikanza lya gulima bhagatumama nimo ntale bho gwiyambilija chiniko mpaga bhagumala chiza unimo gunuyo, kunguno ya ng’wigwano gobho gunuyo. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi noyi umukaya jabho kunguno ya bhumo bhobho ubho gwiyambilija chiza bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagalenganijiyagwa nabho bhagaja kuwinga na jiliwa bhugashoga na nyama umumadebe gabho, kunguno nabhoyi bhagabhambilijaga abhichabho, nabho bhambilijiwa mpaga bhapandika sabho ningi, umukikalile kabho. Abhoyi bhagabhalelaga abhanhu bhabho bho gwikala na bhumo bho gwiyambilija chiza, umukikalile kabho. Hunagwene bhagabhawilaga giki, “idebe lyumu lidapandikaga.”

Akahiyile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumo ubho bhuli na ng’wigano go gwiyambilija chiza umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule kupandika sabho ja kutumamila shigu ningi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 22:4.mathayo 9:40 – 44.

Mathayo 7:1-2B.

KISWAHILI: DEBE KAVU HALIPATI.

Chanzo cha msemo huo, chaongelea juu ya watu walioenda kwenye harusi wakiwa wamebeba chakula kwenye madebe yao ambao walirudi na chakula ndani ya madebe yao hayo. Wengine walibeba mahindi au mtama kwenye madebe hayo. Chukula hicho huitwa ‘sunge’ ambayo kila aliyeenda nacho hurudi nyumbani kwake na sunge.

Hapo zamani walikuwepo watu walioenda kwenye harusi huku wakiwa wamebeba chakula ndani ya madebe yao, isipokuwa mmoja wao ambaye hakuweka kitu chochote kwenye debe lake.

Ilipomalizika sherehe hiyo ya harusi, familiya yenye hiyo yenye harusi ilichinja ng’ombe ambaye nyama yake waligawiwa kila mmoja kiasi kile alicholeta kwenye debe lake aliloenda nalo pale.

Mtu yule ambaye hukuweka chakula chochote kwenye debe lake, hakupewa nyama yoyote. Yeye alirudi nyumbani kwake kama alivyoenda. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “debe kavu halipati.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana umoja wa kusaidiana vizuri katika maisha yao. Watu hao, hualikana wakati wa kilimo ili wafanye kazi kubwa kwa kusaidiana kwa kila mmoja wao mpaga wanafanikiwa kumaliza mashamba yao, kwa sababu ya uelewano wao huo. Wao hupata mali nyingi sana kwenye familia zao kwa sababu ya umoja wao huo wa kushirikiana katika kuyatekeleza vizuri, majukumu yao hayo, maishani mwao.

Watu hao, hulinganishwa na wale walioenda kwenye harusi wakiwa wamechukua chakula kwenye madebe yao, wakarudi na nyama, kwa sababu nao wanaumoja wa kusaidiana kila mmoja vizuri mpaka wanapata mali nyingi katika maisha yao. Wao huwafundisha pia watu wao juu ya kuwa na ushirikiano huo wa kusaidiana katika kazi zao. Ndiyo maana wao huwaambia watu kwamba, “debe kavu halipati.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umoja wenye uelewano wa kusaidiana vizuri katika kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kutumia kwa muda mrefu, maishani mwao.

Mathayo 22:4.mathayo 9:40 – 44.

Mathayo 7:1-2B.

ENGLISH: A DRY TIN DOES NOT GET.

The origin of the above saying talks about people who went to a wedding while carrying food in their bags who came back with food in their bags. Others carried corn or sorghum in those boxes. The bag is called a ‘sunge’ which everyone who goes with it and returns home with sunge.

In the past there were people who went to a wedding carrying food in their bags, except for one of them who did not put anything in the bag.

At the end of the wedding, the bride and groom slaughtered a cow and its meat was distributed to each of them as much as she brought to her bag.

The one who did not put any food in her bag, was not given any meat. She returned to her home as she had gone. That is why people said, “a dry tin does not get.”

This saying is applied to people who are united in helping one another well in their lives. These people are invited during the agricultural season to work hard by helping each other enough enough be able to complete their farms, because of their mutual understanding. They get a lot of wealth from their families because of their unity in working together enough to fulfil their responsibilities, in their lives.

These people resemble those who went to the wedding with food in their trunks and they returned with meat, because they are also one way of helping each other until they get a lot of wealth in their lives. They also teach their people about having that mutual support in their works. That is why they tell people that, “a dry tin does not get.”

This saying teaches people on how to have a harmonious unity for helping each other in carrying out their responsibilities, so that they can have enough success to spend a long time, in their lives.

Matthew 22: 4.

Matthew 9:40 – 44.

Matthew 7: 1-2B.

can-1528316__480

1026. TULAGA LIJIGOGO WIGWE JILAKA JALYO.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhutuji bho lijigogo bho bhaseni bha ng’hwi nulu bhachoji bho manti ga guzengela numba jabho. Ilijigogo linilo, lililinti ilo lyateng’wa lyugwa hasi ilo bhagasenaga ng’hwi, nulu guzengela numba abhanhu. Aliyo lulu ulu munhu alihaya gupandula ng’wi agaligumhulaga bho gulitula bho mbasa ilijigogo linilo, kugiki amane ulu lidab’olile nulu lib’olile. Ulu giki lyufunya lilaka mumho lidab’olile ilo agulisengelela nulu nunba, ulu lyulema ugufunya ililaga munho lib’olile, ilo agalitemaga lyab’iza lyukwi lokwe, umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombga giki, “tulaga lijigogo wigwe jilaga jalyo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu nshikanu uyo agatumamaga milimo bho guyitila bhukengeji wiza taamu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’winuyo, alemile ugugaluchiwa sagara na bhanhu abho bhali na nhungwa ijo jidijawiza, kunguno ya gujitila bhukengeji bhuli jene ijo alijita, umuwikaji bhokwe. Uweyi agailelaga chiza ikaya yakwe, mpaga bhapandika sabho za gudula gubhambilija chiza abhahakaya yakwe, kunguno ya bhushiganu bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagalitulaga lijigogo bhalidebha ubhudamu bholyo, kunguno nuweyi agajitilaga bhukengeji bhuli jene ijo alihaya gujita, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu inzila ja gujitila bhukengeji bhuli gene ijo bhalihaya gujita haho bhatali ugujandwa, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhawilaga abhanhu giki, “tulaga lijigogo wigwe jilaga jalyo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala na nhungwa ja wiza bho gujitila bhukengeji bhuli jene ijo bhalihaya gujiita, haho bhatali ugujandwa, kugiki bhadule gujidebha ija wiza na gujitumamila chiza, umutumami bho milimo yabho, umuwikaji bhobho.

Yohana 3:31.

Mathayo 4:1-11.

Luka 4:1-13.

Yeremia 1:19.

Ayubu 14:7-8.

KISWAHILI: PIGA GOGO USIKIE MLIO WAKE.

Chanzo cha msemo huo huangalia upigaji wa gogo unaofanywa na watu kwa lengo la kufahamu uimara wake. Gogo hilo, ni mti unaokatwa ukaanguka chini au uliokauka ambao huweza kutumika kama kuni au kujengea, kulingana na uimala wake. Mtu akitaka kukata kuni hulipiga gogo hilo kwa kutumia shoka ili aweze kufahamu kama halijaoza au limeoza. Gogo hilo likitoa sauti au mlio ataelewa kuwa linafaa kwa kujengea kutokana na uimara wa mlio wake, endapo halitatoa mlio maana yake limeoza, lafaa kutumika kama kuni ya kupikia kwake mtu huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “piga gogo usikie mlio wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyekomaa ambaye hufanya kazi zake kwa kuzifanyia utafiti mzuri kwanza ndipo anazitekeleza, katika maisha yake. Mtu huyo, hataki kuyumbishwa hovyo na yeyote asiyekuwa na tabia njema, kwa sababu ya kukifanyia utafiti kila kile anachotaka kukifanya kabla ya kuanza kukitekeleza, maishani mwake. Yeye hufanikia katika kuilea vyema familia yake, mpaga wanapata mali za kuweza kuwasaidia vizuri wanafamilia hao, kwa sababu ya uimara wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliolipiga gogo wakaulewa ugumu wake, kwa sababu naye hukifanyia utafiti kila kile anachotaka kukifanya kabla ya kuanza kukitekeleza, maishani mwake. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kukifanyia utafiti chochote wanachotaka kifanya, kabla ya kuanza kukitekeleza, maishani mwao. Ndiyo maana huwaambia watu hao kwamba, “piga gogo usikie mlio wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuishi katika maadili mema kwa kukifanyia utafiti kila kile wanachotaka kukifanya kabla ya kukianza, ili waweze kukielewa kile kilicho chema na kukitekeleza, maishani mwao.

Yohana 3:31.

Mathayo 4:1-11.

Luka 4:1-13.

Yeremia 1:19.

Ayubu 14:7-8.

ENGLISH: STRIKE A LOG TO HEAR ITS SOUND.

The origin of the above saying looks at the striking of a log with an aim of knowing its durability. This log is a fallen tree that has fallen to the ground and can be used as firewood or a building, depending on its size. When a person wants to cut wood, he hits the log with an ax so that he can determine if it is fit for building or for fire wood if it is rotten. If this log makes a sound he will understand that it is good for building due to the strength of its sound, if it does not give the sound it means it is rotten, it should be used as fire wood for cooking food. That is why people say that, “strike a log to hear its sound.”

This saying is compared to the mature man who does his work by doing good research first and then implementing it, in his life. Such person does not want to be shaken by anyone who does not have good manners, because he researches everything he wants to do before beginning to do it, in his life. He succeeds well in raising his family to the point of getting enough resources to better support the family members, because of his resilience in his life.

This person resembles those who hit the log for knowing the strength of the wood, because he also researches everything which he wants to do before doing it, in his life. He also teaches his fellows on how to do research for whatever they want, before starting to do it, in their lives. That is why he tells the people that, “Strike a log to hear to its sound.”

This saying instills in people an idea on how to live in good morals by researching everything which they want to do before starting it, so that they can understand what is good and implement it, in their lives.

John 3:31

Matthew 4: 1-11

Luke 4: 1-13

Jeremiah 1:19

Job 14: 7-8.

hammer iron

tree-250224__480

tree-14340__480

1025. ULU UJILE BULU ULU USHOKILE SELE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile higulya ya bhudahi bho minzi bho bhakima. Abhakima ulu bhajile kumongo gujudaha minzi, b’agatuulaga jiseme ja gudahila aminzi genayo umundobho jabho. Ijiseme jinijo jigajaga jitulanya ni ndob’o jalila ‘gudulu gudula’ aliyo ulu bhashokile jigabhiza sele, kunguno jigab’izaga muminzi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ulu ujile bulu ulu ushokile sele.”

Akahayile kenako, kagalenijiyagwa kuli munhu uyo agigulambijaga gutumama milimo yakwe, mpaga opandika sabho ja gutumila bho molele, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agazunyaga guleka tulo jakwe bho gwipuna diyu gete kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo mpaga opandika sabho ya guyulya apolile, umukaya yakwe yiniyo. Uweyi agasab’aga majikolo mingi noyi, kunguno ya gulitumila chiza ilikanza lwakwe lya milimo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhadayi bha minzi abho bhagaja kumongo na jisema jilidulanya umundobho, ijo jigikala sele aho bhashokile, kunguno nuweyi agatumamaga milimo yakwe bho bhukamu bhutale na nguzu ningi, mpaka opandika sabho ningi ja gutumamila, umukikajile kakwe.  Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ulu ujile bulu ulu ushokile sele.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho chiza mpaga bhandike sabho ningi, kugiki bhadule gujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 20:5.

Yohana 4:7.

Yohana 4:10-15.

Mithali 14:23.

Mithali 21:5.

Mithali 24:27.

KISWAHLI: UNAPOENDA KELELE UNAPORUDI KIMYA.

Chanzo cha msemo huo cha husu uchotaji wa maji wa wanawake. Wanawake wanapoenda kuchota maji mtoni, huweka vyombo vya kuchotea maji ndani ya ndoo zao. Vyombo hivyo, hupiga kelele ndani ya ndoo hizo na kulia ‘gudulu gudulu’ kwa sababu ya kugongana na ndoo wakati wa kwenda. Lakini wakati wa kurudi huwa viko kimya kwa sababu ya vyombo hivyo kuwa ndani ya maji. Ndiyo maana watu husema kwamba, “unapoenda kelele unaporudi kimya.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kufanya kazi zake mpaka anafanikiwa kupata mavuno mengi ambayo huyatumia kwa amani, katika maisha yake. Mtu huyo, hukubali kuacha usingizi wake kwa kuamuka asubuhi na mapema kwa sababu ya bidii yake hiyo, ya kufanya kazi mpaka anafakiwa kupata mali za kutumia akiwa ametulia, nyumbani kwake. Yeye hutajirika kwa kupata mali nyingi sana, kwa sababu ya kuutumia vizuri muda wake huo wa kazi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wachotaji wa maji walioenda mtoni na vyombo vyao vikipiga kelele wakarudi vikiwa kimya, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi kwa nguvu, na bidii kubwa, mpaga anafanikiwa kupata mali nyingi za kutumia katika familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “unapoenda kelele unaporudi kimya.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa nguvu, ili waweze kupata mali nyingi za kutumia katika familia zao, maishani mwao.

Mithali 20:5.

Yohana 4:7.

Yohana 4:10-15.

Mithali 14:23.

Mithali 21:5.

Mithali 24:27.

ENGLISH: WHEN YOU GO YOU MAKE NOISE BUT YOU RETURN SILENTLY.

The cradle of the above saying is about women’s water fetching. When the women go to fetch water from the river, they put water fetching vessels in their buckets. These vessels, in turn, scream into the buckets and make noise ‘gudulu gudulu’ because of colliding with the bucket on the way. But when they return, they are silent because these bowls are in the water. That is why people say, “when you go you make noise but you return silently.”

This saying is likened to a man who works hard enough to earn a living until he is able to reap a bountiful harvest that he peacefully uses in his lifetime. This man, agrees to give up his sleep by waking up early in the morning because of his diligence, to work until he has to get the property for using while he is calm, at his home. He becomes rich because of the good use of his time in his daily life.

This man resembles the water fetchers who went to the river with their vessels shouting and came back in silence, because he also strives to work hard, with great diligence to the point of managing to get a lot of resources for using in his family. That is why people say to him that, “when you go you make noise but you return silently.”

This saying imparts in people a clue on how to work hard, so that they can earn a lot of money for spending in their family lives.

Proverbs 20: 5

John 4: 7.

John 4: 10-15.

Proverbs 14:23.

Proverbs 21: 5.

Proverbs 24:27.

madagascar-1

1024. KALAGU –  KIZE. BHANA BHA NG’WISE B’ISHIGANYA UGUSIMINZA – MAZWI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile kasiminzile ka ng’wa munhu. Umunhu ulu alisiminza, amagulu gadajilanijaga lihamo kunguno gagishiganyaga bho gumo gumo. Kuyiniyo lulu, amazwi galikihamo na magulu umo gagishiganijaga. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “bhana bha ng’wise b’ishiganya ugusiminza – mazwi.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhanhu bha hakaya iyo bhagishib’ilaga uguyomba, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagilekelaga uguyomba bho gundegeleka bhuli ng’wene mpaga omala uguyomba kunguno bhali nilange lya gwikuja bhuli ng’wene. Abhoyi bhagikalaga bhitogilwe bho gwiyambilija chiza bhuli ng’wene ulubhitana abhiye, kunguno ya wiyigwi bhobho bhunubho, umuwikaji bhobo.

Abhanhu bhanebho, bhagikolaga na mazwi ayo gagishib’ilaga ugusiminza, kunguno nabhoyi bhagishib’ilaga uguyomba, mpaga omala ung’wene na oyomba nu ungi, aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene bhagiganilaga giki, “bhana bha ng’wise b’ishiganya ugusiminza – mazwi.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gub’iza nikujo lya gwidegeleka chiza umumahoya gabho bho gwilekela oyomba uumo mpaga omala, na oyomba nuungi lulu, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 17:25.

1Petro 2:4.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

WATOTO WA KWETU HUBISHANA KUTEMBEA – MAGOTI.

Chanzo cha kitendawili hicho, huangalia utembeaji wa mtu. Mtu anapotembea miguu yake huwa haiendi kwa pamoja kwa sababu hupishana mmoja mmoja. Kwa hiyo basi, magoti nayo yako pamoja na miguu inavyotembea. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “watoto wa kwetu hubishana kutembea – magoti.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wa kwenye familia ile ambayo watu wake huwa wanasikilizana katika maongezi yao kwa kupeana zamu, katika maisha yao. Watu hao, huachiana zamu ya kuongea kwa kumsikiliza kila mmoja wao mpaka anamaliza vizuri kuongea ndipo na mwingine anaanza, kwa sababu ya heshima walionayo kwa kila mmoja wao. Wao huishi katika upendo wa kusaidiana vizuri kila mmoja anapowahitaji wenzake, kwa sababu ya uelewano wao huo mzuri, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na yale magoti ambayo hupeana zamu katika kutembea, kwa sababu nao huachiana zamu ya kuongea mpaka mmoja wao anamaliza ndipo na mwingine anaanza kuongea, kwenye familia yao hiyo. Ndiyo maana watu hao huhadithiana kwamba, “watoto wa kwetu hubishana kutembea – magoti.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kusikilizana vizuri katika maongezi yao kwa kuachiana kila mmoja anaongea mpaka anamaliza ndipo anaanza na mwingine kuongea, ili waweze kuishi vizuri na kwa amani, maishani mwao.

Matendo ya mitume 17:25.

1Petro 2:4.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

OUR RELATIVES CHILDREN ARGUE ABOUT WALKING – KNEES.

The source of the above riddle looks at a person’s walking. When a person walks his legs do not move together because they overlap one by one. Therefore, the knees are also with the legs as they move. That is why people say to one another that, “Our relatives children argue about walking – knees.”

This riddle is compared to the members of a family whose people listen to each other in their conversations in their lives. These people take turns talking to each other until they have finished talking and then the other can start doing so, because of the respect they have for each other. They live in love of helping each other well when they are in need, because of their good understanding in their lives.

These people are like the knees that take turns walking, because they also take turns talking until one of them finishes and the other can start talking to their family members. That is why these people tell each other that, “Our relatives children argue about walking – knees.”

This paradox teaches people on how to have a good sense of respect on one another in their conversations by letting each other talk until one finishes and then they can start talking to each other, so that they can live well and peacefully in their lives.

Acts 17:25.

1 Peter 2: 4.

1023. KALAGU – KIZE. IKAYA YISE ILELO BHO GUNUNG’HYA – MHANDE.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ihoyelile higulya ya bhuli bho mhande. Imhande indoto ulu juzugwa abhanhu bhadatondolaga akagula gajo kunguno bhagazigaza bhegeleja haho nomo bhakanza yafuma imhande balya giti balinung’hya. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “ikaya yise ilelo bho gunung’hya – mhande.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go wiza aha kaya yabho. Abhanhu bhanebho, bhagilomelaga mihayo ya gwiyambilija gutumama milimo yabho bhizunilija chiza, kunguno ya ng’wigwano gobho gunuyo, umukikalile kabho. Abhoyi bhagaponaga jiliwa noyi umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, kunguno ya gujilanija chiza, umuwikaji bhobho bhunubho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga ni mhande ijo bhajilyaga abhanhu bho gwegeleja hanomo bhakanda yafuma guti bhalinunghya, kunguno bhagatumamaga milimo yabho bho gujilanija na ng’wigwano chiza, mpaga bhapandika sabho ningi a hakaya yabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “ikaya yise ilelo bho gunung’hya – mhande.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gujilanija chiza umuwigulambija bho gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila chiza umu kaya jabho.

Matendo ya mitume 10:34-36.

Luka 16:9-10.

Matendo ya mitume 2:42-46.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

FAMILIA YETU LEO WA KUNUSA – NJUKU MAWE.

Chanzo cha kitendawili hicho huongelea juu ya ulaji wa njugu mawe. Njugu mawe hizo, zikipikwa wakati zikiwa mbichi, watu huwa hawamenyi maganda yake, kwa sababu huwa wanasogeza kwenye mdomo na kuminya ambapo njugu mawe hutoka yenyewe kwa kurukia mdomoni na kuila kama wananusa hivi. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “familia yetu leo wa kunusa – njugu mawe.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale walio na uelewano kwenye familia zao. Watu hao, hupanga mipango yao ya kusaidiana katika kufanya kazi kwa kuelewana vizuri, kwa sababu ya uelewano wao huo, katika maisha yao. Wao hupata mavuno mengi katika kazi zao hizo, kwa sababu ya kuendana kwao huko vizuri, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na zile njuku mawe walizokuwa wakizila wale watu kwa kusogeza mdomoni na kuminya halafu inarudia mdomoni wanakula kama wananusa hivi, kwa sababu nao huyatekeleza majukumu yao kwa uelewano mzuri, mpaka wanafanikiwa kupata mali nyingi za kutosha kuzitunza familia zao. Ndiyo maana wao huwaambia watu kwamba, “familia yetu leo wa kunusa – njugu mawe.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kuendana vizuri katika juhudi zao za kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuzitunza vizuri familia zao.

Matendo ya mitume 10:34-36.

Luka 16:9-10.

Matendo ya mitume 2:42-46.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

AT OUR HOME TODAY WE WILL EAT SOMETHING SMELLY – BAMBARA NUTS.

The foundation of the overhead riddle talks about eating of Bambara nuts. If these Bambara nuts are cooked when they are raw, people do not peel their pods, because they tend to bring near to their mouth and squeeze where the Bambara nuts come out by themselves by jumping in the mouth and eating them as if they smell like this. That is why people say to one another that, “at our home today we will eat something smelly – Bambara nuts.”

This riddle is compared to people who have harmony in their families. These people, in turn, make plans to help each other enough to work in harmony with each other, because of their mutual understanding, in their lives. They reap a bountiful harvest in their labors, because of their good arrangement in their lifetime.

These people resemble the Bambara nuts that the people used to eat by bringing them near to their mouths and squeezing enough to let them jump into their mouths, because they also carry out their duties in a good way, until they manage to get enough wealth to take care of their families. That is why they tell people that, “at our home today we will eat something smelly – Bambara nuts.”

This riddle imparts in people an idea on how to have a good sense of belonging in their efforts to fulfill their responsibilities, so that they can have enough wealth to take good care of their families.

Acts 10: 34-36.

Luke 16: 9-10.

Acts 2: 42-46.

hazelnut-2284654__480

nuts-762803__480

peanut-6757556__480