Tanzania

1191. AGENAYO GALI MASAGILWA GA NSAMI.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile masagilwa ga ng’wa munhu uyo agasama ugazenga muchalo jingi. Umunhu ng’wunuyo, agasama ubhalekela ginhu bhanhu bhalebhe kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhoyi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “agenayo gali masagilwa ga nsami.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhelekelaga lilange lya wiza, abhanhu abho agikalaga nabho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga likanza lyakwe bho kubhalanga kutumama milimo abhanhu bhakwe na gwikala chiza na bhichabho, kunguno ya bhugolola bhokwe bhunubho. Uweyi agabhamanilijaga abhanhu bha kaya yake gutumama milimo yabho kihamo na bhichabho bho bhutogwa bhutale, kunguno ya bhugolola bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsami uyo agabhalekela ginhu abhitogwi bhakwe, kunguno nuweyi agabhalekelaga lilange lyawiza abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abhanhu bhakwe bhenabho giki, “agenayo gali masagilwa ga nsami.”

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhalekela lilange lyawiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohana 14:28.

Yohana 15:9-10.

1Petro 3:8.

KISWAHILI: HAYO NI MABAKI YA MHAMAJI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mabaki ya mtu aliyehama kwenda kuishi kwenye kijiji kingine. Mtu huyo, alihama akawaachia vitu baadhi ya watu kwa sababu ya upendo wake kwao. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “hayo ni mabaki ya mhamaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaachia malezi mema watu anaoishi nao, katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia muda wake kwa kuwafundisha maadili ya kufanya kazi kwa bidii, na kuishi na watu vizuri, kwa sababu ya unyofu wake huo. Yeye huwazoesha watu waishio kwenye familia yake kuyaishi maadili hayo ya kufanya kazi vizuri, na kuishi kwa amani na wenzao, kwa sababu ya unyofu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mhamaji aliyewaachia vitu wapendwa wake, kwa sababu naye huwaachia malezi mema watu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu huwaambia watu wake hao kwamba, “hayo ni mabaki ya mhamaji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaachia malezi mema watu wanaoishi nao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohana 14:28.

Yohana 15:9-10.

1Petro 3:8.

ENGLISH: THOSE ARE THE REMAINS OF A MIGRANT.

The source of the above saying speaks about remains of a person who moved from a certain village to live in another one. Such man left some things for some people because of his love for them. That is why those people said that, “those are the remains of a migrant.”

This saying is related to a person who leaves a good upbringing to the people who live with him in his life. Such person, spends his time by teaching people the values of working hard enough to live well with people, because of his sincerity. He trains the people who live in his family on how to live according to the values of working well, and living in peace with their people, because of his honesty, in his life.

This person is similar to the itinerant who left things for his loved ones, because he also leaves a good education for his people, in his life. That is why people tell his people that, “those are the remains of a migrant.”

This saying teaches people about leaving a good upbringing to the people whom they live with, so that they can raise well their families, in their lives.

John 14:28.

John 15:9-10.

1 Peter 3:8.

tajikistan-4790735__480

1190. UNG’WENUYO OBHIZA NYANGOGO.

Unyangogo ali munhu uyo alinkumuku umuchalo jakwe. Olihoyi munhu uyo oli ningi on mbina umuchalo ja Sanjo. Umunhu ng’wunuyo oli nkumuku gete, kunguno ya bhuduja bhokwe umumbina. Hunagwene abhanhu bha muchalo jinijo, bhagayomba giki, “ung’wenuyo obhiza nyangogo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga chiza ijinhilwa jakwe, umuthumatumi bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo agikomejaga gujidebha chiza ijinhilwa ijo winhiwa nu Mulungu, mpaga ojidebha na gujitumila chiza umumilimo yakwe, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe, kunguno ya gubhutumila chiza ubhudula ubho winhiwa nu Mulungu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ningi uyo olinduja o mbina, kunguno nuweyi agabhutumamilaga chiza ubhuduma bhokwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ung’wenuyo obhiza nyangogo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhudebha na gubhutumamila chiza ubhudula bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 17: 11-19.

Luka 8:40-56.

Mathayo 14:22-33.

KISWAHILI: HUYO AMEKUWA MAARUFU.

Mtu maarufu ni yule aliyesifika kwenye kijiji chake. Alikuwepo mtu aliyekuwa manju katika kijiji cha Sanjo. Mtu huyo, alisifika sana kwa sababu ya uwezo wake huo wa kucheza ngoma za jadi. Ndiyo maana watu wa kijijini mwake walisema kwamba, “huyo amekuwa maarufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia vizuri vipaji vyake, katika utekelezaji wa kazi zake. Mtu huyo, hujitahidi kuvielewa vizuri vipaji aliyopewa na Mungu mpaga anavifahamu na kuvitumia vizuri katika kazi zake, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye huiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kuvitumia vizuri vipaji alivyopewa na Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule manju aliyekuwa maarufu kwenye ngoma, kwa sababu naye huvitumia vizuri vipaji vyake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo amekuwa maarufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvieleva na kuvitumia vizuri vipaji vyao, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Luka 17: 11-19.

Luka 8:40-56.

Mathayo 14:22-33.

ENGLISH: THAT ONE HAS BECOME FAMOUS.

A famous person is the one who is well-known in his village. There was a man who lived in the village of Sanjo. He was very renowned because of his ability to play traditional dances. That is why the people of his village said that, “That one has become famous.”

This saying is equated to a person who uses his talents well, in carrying out his works. Such person strives to understand well talents which were given to him by God, by knowing them enough to use them well in his works, because of his responsiveness. He nicely takes care of his family because of his good usage of the talents which were given to him by God, in his life.

This person looks like the one who was famous in the village of Sanjo, because he also uses his talents well in his life. That is why people say about him that, “That one has become famous.”

This saying teaches people about understanding their talents well enough to use them in fulfilling their daily activities, so that they can get a lot of progress in their lives.

Luke 17: 11-19.

Luke 8:40-56.

Matthew 14:22-33.

dancing-953291__480

dance-5935800__480

drums-5935804__480

1189. UMUYAGWILAGA NAKAB’AGILE CHENE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile ndimu nhale guti mhuli. Imhuli yiniyo ulu yugwa, umoyugwila mugwibhaga guti numo yagwilaga duhu kunguno ya bhudito bhoyo bhunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umuyagwilaga nakab’agile chene.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agalamulaga mihayo mitale guti numo yigigelelaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaka bhukengeji bho guidebha chiza imihayo iyo igigelaga bho nduhu guyigalucha, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umubhutumami bhokwe. Uweyi agalamulaga mihayo chiza aha kaya yake kunguno ya witegeleja bhokwe ubho guchola bhunhana bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagayibhagila imhuli guti numo yaliyagwila, kunguno nuweyi agayilamulaga imihayo imitale guti numo igizilaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “umuyagwilaga na kab’agile chene.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyilamula chiza imihayo imitale guti numo igigelelaga bho nduhu uguyigalucha, kugiki bhadule gujilanhana chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 5:7-42.

Matendo ya mitume 6: 1-5.

Daniel 13: 1-64.

Matendo ya mitume 26: 24-32.

Yohana 8: 1-11.

KISWAHILI: ILIVYOANGUKA NA KUCHUNWA NI HIVYO.

Chanzo cha msemo huo, huangalia myama mkubwa kama Tembo. Tembo huyo, akianguka atachunwa hivyo kwa sababu ya uzito wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ilivyoanguka na kuchunwa ni hivyo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huamua jambo kubwa kwa haki kama lilivyotukia bila kulibadilisha, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kumuwezesha kulielewa vizuri lilivyo tukia jambo hilo bila kuligeuza, kwa sababu ya uaminifu wake huo katika utumishi wake. Yeye huamua kwa haki mambo yanatokea katika familia yake, kwa sababu ya umakini wake huo wa kutafuta ukweli, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliomchuna tembo kama alivyokuwa ameanguka, kwa sababu naye huyaamua mambo kwa haki kama yalivyotukia bila kuyageuza katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “ilivyoanguka na kuchunwa ni hivyo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kuamua mambo kwa haki kama yalivyotukia bila kuyageuza, ili waweze kuzilinza vizuri familia zao, maishani mwao.

Matendo ya mitume 5:7-42.

Matendo ya mitume 6: 1-5.

Daniel 13: 1-64.

Matendo ya mitume 26: 24-32.

Yohana 8: 1-11.

ENGLISH: HOW IT FELL AND SKINNING IS SO.

The source of this saying looks at big animals like Elephants. The elephant, if it falls, it will be skinned in that way because of its heavy weight. That is why people say that, “how it fell and skinning is so.”

This saying is equaled to a person who decides a big thing rightly as it happened without changing it, in his life. Such person does a good research to enable him understand well what happened without changing it, because of his loyalty in his service. He rightly decides what is happening in his family, because of his focus on finding the truth, in his life.

This person is similar to those who skinned an elephant as he had fallen, because he decides things justly as they happened without changing them in his life. That is why he tells people that, “how it fell and skinning is so.”

This saying teaches people about being focused in solving problems enough to enable them decide things rightly as they happened without changing them, so that they can protect their families well, in their lives.

Acts 5:7-42.

Acts 6:1-5.

Daniel 13: 1-64.

Acts 26: 24-32.

John 8: 1-11.

drought-1733889__480

1188. WINYULULU BHONENHELEJA.

Olihoyi munhu uyo usiminzaga hikanza lya imbula ilitula. Umunhu ng’wunuyo, usiminzaga bho gukoyakoya kunguno igatula mbula nhale mpaga ilisi lyulobha gete. Uweyi aganyululuka mpaga ugwa kunguno ya winyululu bho mabhulolo ga mbula yiniyo. Hunagwene agayomba giki, “winyululu bhonenheleja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasiminzaga bho nduhu ugwitegeleja chiza ahikanza lya mbula, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagangilaga nulu yatulaga mbula nhale umubhusiminzi bhokwe bhunubho kunguno ya guduma gwitegeleja chiza. Uweyi agabhipaga bhulolo umili gokwe kunguno ya gunyululuka na gugwa bhuli makanza, umulugendo lokwe lunulo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagwishiwa na winyululu aho osiminzaga na mbula igutulaga, kunguno nuweyi aganyululukaga mpaga ogwa ulu yatulaga mbula umubhusiminzi bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “winyululu bhonenheleja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gusiminza na witegeleja bhutale ulu yatulaga mbula, kugiki bhakije ugugwa, umulugendo lobho.

Zaburi 73:2.

Zaburi 73:18.

KISWAHILI: UTELEZI UMENILETELEZA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akitembea wakati mvua inanyesha. Mtu huyo, alitembea kwa kuhangaika kwa sababu ya ukubwa wa mvua hiyo iliyonyesha mpaga aridhi ikalowa. Yeye aliteleza mpaka akaanguka kwa sababu ya utelezi wa mvua hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “utelezi umenileteleza.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutembea wakati wa mvua bila kuwa na uangalifu mkubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hutembea kwa haraka wakati mvua imenyesha kubwa kwa sababu ya kutokuwa na umakini huo katika safari zake. Yeye huchafuka mwili wake kwa matope kwa sababu ya kuanguka mara kwa mara, katika safari zake hizo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeteleza na kuanguka alipokuwa akitembea wakati wa mvua, kwa sababu naye huteleza na kuanguka anapotembea wakati wa mvua, katika safari zake hizo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “utelezi umenileteleza.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutembea kwa umakini mkubwa wakati wa mvua, ili wasije wakaanguka katika safari zao hizo.

Zaburi 73:2.

Zaburi 73:18.

ENGLISH: SLIPPING CONDITION HAS SLIPPED ME.

There was a man who was walking when it was raining. He man walked with difficulty because of an intensity of such rain that fell on the land enough to make it wet. He slipped until he fell because of the slippery rain condition. That is why he said that, “slipping condition has slipped me.”

This saying is related to a person who walks during the rain without being very careful in his life. Such person walks quickly when it has rained heavily because of a lack of attention in his journeys. He smears his body with mud because of frequent falling, in his travels.

This person is similar to the one who slipped and fell while walking in the rain, because he also slips and falls while walking in the rain, in his travels. That is why he says that, “slipping condition has slipped me.”

This saying teaches people about walking  very carefully during the rain time, so that they do not fall in their journeys.

Psalm 73:2.

Psalm 73:18.

young-woman-2268348__480

umbrellas-7868179__480

umbrellas-7868179__480

1187. NG’WANA GILYA, AGILYA INH’ONDO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile noni iyo igitanagwa Nh’ondo. Inoni yiniyo idaliyagwa. Aliyo lulu ung’wana gilya, agilya inoyi yiniyo kunguno ya bhutuubhi bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ng’wana gilya, agilya inh’ondo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agagakililaga amalagilo ga ng’wa Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wita mihayo iyo atogilwe weyi ng’winikili bho nduhu ugugadimila amalagilo ga Nsumbi okwe, kunguno ya nhinda jakwe jinijo. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya gugabhinza amalagilo ga ng’wa Mulungu, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Ng’wa gilya uyo agilya inoni iyo idaliyagwa, kunguno nuweyi agagabhinzaga amalagilo ga ng’wa Mulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wana gilya, agilya inh’ondo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kugadimila amalagilo ga ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza umukaya jabho na gushiga ng’wigulu, umuwikaji bhobho.

Mambo ya walawi 11: 13-17.

Mwanzo 3:1-6.

KISWAHILI: NG’WA GILYA ALIILA NDEGE.

Methali hiyo, humuongela ndege aitwaye Nh’ondo. Ndege huyo huwa haliwi. Lakini Ng’wa Gilya alimla kwa sababu ya njaa yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “Ng’wa Gilya aliila ndege “nh’ondo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyavunja maagizo ya Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo huishi kwa kufanya anachotaka mwenyewe bila kuyashika maagizo ya Mungu, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Yeye hushindwa kuilea vizuri familia yake kwa sababu ya kuyavunja maagizo hayo ya Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Ng’wana Gilya aliyemla Ndege asiyeliwa, kwa sababu naye huishi kwa kuyavunja maagizo ya Mungu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “Ng’wa Gilya aliila ndege “nh’ondo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyashika maagizo ya Mungu maishani mwao, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri na kufika Mbinguni baada ya kuaga dunia.

Mambo ya walawi 11: 13-17.

Mwanzo 3:1-6.

 

ENGLISH: NG’WA GILYA ATE THE BIRD ‘NH’ONDO.’

The above proverb speaks about a bird that is known as Nh’ondo. This bird is never eaten. But Ng’wa Gilya ate it because of his hunger. That is why people said that, “Ng’wa Gilya ate the bird ‘nh’ondo.’”

This proverb is equated to a person who breaks commandments of God, in his life. Such person lives by doing what he wants without keeping the instructions of God, because of his pride. He fails to properly raise his family members because of breaking those orders of God, in his life.

This person resembles Ng’wana Gilya who ate a bird that was never eaten, because he also lives by breaking God’s instructions in his life. That is why people tell him that, “Ng’wa Gilya ate the bird ‘nh’ondo.’”

This proverb instills in people an idea about keeping God’s instructions in their lives, so that they can get Blessings of living well enough to reach the Heavenly kingdom after passing away.

Leviticus 11: 13-17.

Genesis 3:1-6.

 

dictionary-3479364__480