Tanzania

1397. OLALILA UYU.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo ja Sanjo. Umunhu ng’wunuyo, ujimalaga wangu ijiliwa jakwe kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gujilanhana chiza umukikalile kakwe kenako. Uweyi wikalaga na bhusunduhasi kunguno ya gugayila jilliwe aha kaya yakwe mpaga olala bho nduhu gulya jiliwa aha ng’wakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “olalila uyu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagara isabho ijo agajipandikaga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo apajipandikaga isabho jakwe ujitumamila sagala bho gujigulia majikolo ayo gadina solobho aha kaya yakwe, kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gujitumamila chiza isabho jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agajimalaga isabho ijo agajipandikaga mpaga oyulala nzala aha kaya yakwe kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gujilanhana chiza isabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ojimalaga wangu ijiliwa jakwe mpaga olala bho nduhu gulya jiliwa aha kaya yakwe, kunguno nuweyi agajimalaga bho gujitumamila sagala isabho jakwe mpaga olala bho nduhu gulya jiliwa, aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “olalila uyu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilanhana chiza isabho ijo bhagajipandikaga, kugiki bhadule gwikala na jiliwa ja gulya chiza umukaya jabho.

Mwanzo 41:54.

Luka 12:16-18.

Mathayo 6:25-26.

KISWAHILI: KALALA NJAA HUYU.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji cha Sanjo. Mtu huyo, alikuwa akikimaliza haraka chakula alichokipata kwa sababu ya kukosa umakini wa kuvitunza vizuri vyakula hivyo. Yeye alikuwa na huzuni kwa sababu ya kukosa chakula kwenye familia yake hiyo mpaga akafikia hatua ya kulala bila kula chakula, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kalala njaa huyu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia hovyo mali anazozipata, katika maisha yake. Mtu huyo, hupata mali zake na kuzitumia hovyo kwa kuzinunulia vitu visivyo na faida kwenye familia yake, kwa sababu ya kukosa umakini wa kuzitumia vizuri mali zake hizo, maishani mwake. Yeye huzimaliza mali zake hiyo mpaka anafikia hatua ya kulala bila kula chakula kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuzitunza vizuri mali anazozipata, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyekimaliza haraka chakula chake mpaka akafikia hatua ya kulala bila kula chakula katika familia yake hiyo, kwa sababu naye huzitumia hovyo mali zake mpaka anaishiwa na kulala bila kula chakula katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kalala njaa huyu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitunza vizuri mali zao, ili waweze kuwa na chakula cha kutosha kula vizuri, katika familia zao.

Mwanzo 41:54.

Luka 12:16-18.

Mathayo 6:25-26.

ENGLISH: THIS ONE HAS SLEEP HUNGRY.

Once upon a time, there was a man who lived in the village of Sanjo. That man used to quickly finish food which he got because he was not careful enough to take decent care of it. He was so sad because of food shortage in his family that he went to bed without eating food in his life. That is why people said about him that, “This one has slept hungry.”

This saying is compared to a person who spends his money in a wasteful way. This person earns his money and spends it in a wasteful way by buying useless things for his family, because he is not careful enough to take virtuous care of the money which he gets, in his life. He spends his money until he reaches the point of going to bed without eating food in his family, because of not being careful enough to take decent care of his money in his life.

This person is like the one who quickly finished his food until he reached the point of going to bed without eating food in his family, because he also spends his wealth in such a way that he runs out and goes to bed without eating food in his family, in his life. That is why people say about him that, “this one has slept hungry.”

This saying imparts in people an idea of being careful enough to take respectable care of their wealth, so that they can have enough food to eat, in their families.

Genesis 41:54.

Luke 12:16-18.

Matthew 6:25-26.

1396. NI B’ULI ALIB’AKIJA?

Olihoyi munhu uyo oling’wi o walwa uyo ob’ung’waga noyi umkikalile kakwe. Uwalwa bhunubho bhugagubhakijaga umili gokwe kunguno ya bhukoji bhobho bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, agakumuka noyi umuchalo jakwe kunguno ya bhung’wi bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayibhuja nose giki, “ni b’uli alib’akija?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagukenagulaga umili gokwe bho gwita mihayo iyo igang’wenhelaga makoye, umukikalile kakwe. umunhu ng’wunuyo, agalyaga jiliwa mpaga osata kunguno ya gugayiwa witegeleja umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agagulab’ulaga umili gokwe kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho umukatumamile ka jikolo jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ong’waga walwa mpaga ogulabhula umili gokwe, kunguno nuweyi agalyaga jiliwa ja gugukenagula umili gokwe umikikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki “ni b’uli alib’akija?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumamila chiza ijikolo jabho, kugiki bhadule guyilanhana chiza imimili yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 9:21.

Ayubu 3:17.

KISWAHILI: KWA NINI UNAJIUNGUZA?

Alikuwepo mtu aliyekuwa mlevi wa pombe kali katika maisha yake. Pombe hiyo iliuharibu mwili wake kwa sababu ya ukali wake huo. Mtu huyo, alijulikana sana kwenye kijiji chake kwa sababu ya ulevi wake huo. Ndiyo maana watu walimuuliza kwamba “kwa nini anajiunguza?”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huudhuru mwili wake kwa kutenda matendo ambayo humletea matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hula chakula kupita kiasi mpaga anaugua kwa sababu ya kukosa umakini wa kuwa na kiasi maishani mwake. Yeye huuharibu mwili wake huo kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuwa na kiasi katika matumizi ya vitu vyake katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyelewa pombe kali mpaka akaiharibu afya yake, kwa sababu naye hula chakula kupita kiasi mpaka anaugua, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, “kwa nini anajiunguza?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvitumia vitu vyao kwa kiasi kizuri, ili waweze kuzilinza vizuri afya zao, katika maisha yao hayo.

Mwanzo 9:21.

Ayubu 3:17.

ENGLISH: WHY DO YOU HURT YOURSELF?

There was a man who was a heavy drinker of alcohol in his life. The alcohol destroyed his body because of its intensity. Such man became so well known in his village because of his alcoholism. That is why people asked him that, “Why do you hurt yourself?”

This saying is equaled to a person who harms his body by doing deeds that cause him hitches in his life. This man eats too much food to the point of getting sick because of a lack of attention to moderation in his life. He destroys his body because of his lack of attention to such moderation in using of his belongings in life.

This man is similar to a person who drank too much alcohol to the point of ruining his health, because he also eats too much food until he gets sick, in his life. That is why people ask him that, “Why do you hurt yourself?”

This saying teaches people about being so careful enough to use their possessions in the right way, so that they can take respectable care of their health in their lives.

Genesis 9:21.

Job 3:17.

1395. LYAGI NAWE DUHU.

Olihoyi nigini uyo wikalaga aha kaya ya bhasab’i. Unigini ng’wunuyo agahaya gujulya na bhanhu bhatale aho jatengwa ijiliwa kunguno oliatuubhile. Abhanhu bhagayunemeja ugujilya ijiliwa jinijo kunguno jali jabhatale. Hunagwene unamhala oha kaya yiniyo agabhawila giki, “lyagi nawe duhu.”

Akakayile kenako kagalenganijiyagwa ku kaya ya bhanhu abho bhalibhizanholo umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagabhakaribhushaga pye abhanhu bhajilya ijiliwa jabho ulu japyaga kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga mbango ja gwikala bho mholele na bhanhu bhabho aha kaya yabho yiniyo, kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho.

Ikaya ya bhanhu bhenabho igikolaga nu namhala uyo olyaga na bhanigini ijiliwa jakwe ulu japyaga, kunguno nabhoyi bhagabhakaribhushaga pye abhanhu bhajilya ijiliwa jabho ulu japyaga, aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene bhagayombaga giki, “lyagi nawe duhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhambilija abhichabho abho bhalina makoye, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho jinijo.

Yahone 6:31-33.

Mathayo 25:35.

Yohane 6: 55-56.

KISWAHILI: MLE NAYE TU.

Alikuwepo mtoto aliyekuwa akiishi kwenye familia tajiri. Mtoto huyo, alitaka kula na watu wazima kilipowekwa mezani chakula chao kwa sababu alikuwa na njaa. Watu walimzuia kukila chakula hicho kwa sababu kiliwa cha watu wazima. Ndiyo maana mzee wa familia hiyo aliwaambia kwamba, “mle naye tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa familia ya watu wale ambao ni wakarimu katika maisha yao. Watu hao huwakaribisha watu wote kula chakula chao kinapoiva kwa sababu ya ukarimu wao huo, maishani mwao. Wao hupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa katika familia yao, kwa sababu ya ukarimu wao huo katika maisha yao.

Familia ya watu hao, hufanana na yule mzee aliyekula chakula chake pamoja na watoto kilipoiva, kwa sababu nao huwakaribisha watu wote kula chakula chao kinapoiva, katika familia yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “mle naye tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwasaidia wenzao wanaokumbwa na matatizo mbalimbali, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa katika familia zao.

Yahone 6:31-33.

Mathayo 25:35.

Yohane 6: 55-56.

ENGLISH: EAT ONLY WITH HIM.

There was a child who lived in a rich family. This child wanted to eat with adults when their food was placed on the table because he was hungry.  People prevented him from eating such food because it was for adults. That is why the elder of the family told them that, “eat only with him.”

This saying is related to the family of people who are generous in their lives. These people invite everyone to eat their food when it is ready because of their generosity in their lives. They receive blessings of living with great happiness in their family, because of their generosity in their lives.

This family of these people is like the old man who ate his food with children when it was ready, because they also invite everyone in their family to eat their food when it is ready. That is why they say that, “eat only with him.”

This saying imparts in people an idea of being generous enough to help their nobles who are facing various hitches, so that they can live with great happiness in their families.

John 6:31-33.

Matthew 25:35.

John 6: 55-56.

1394. AGASIMIZAGA NA MASHIGA GU NOMO.

Amashiga gali mazugilo ayo gagikalaga mawe nulu madifali adatu. Amashiga genayo gagaibhuchaga inungu nulu fulila. Abhanhu bhagabhachaga moto uyo gugikalaga aha gati yago amashiga genayo kunguno ya guzugila jiliwa. Unzugi agafulaga moto bho gutumila nomo gokwe nago gobhaka uyo gugabishaga ijiliwa. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga unzugi ng’wunuyo giki, “agasiminzaga na mashiga gu nomo.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabehaga shigala umukakilile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajibehaga ishigala jinijo mpaga ofunya lyochi umunomo gokwe guti giki alina mashiga umunomo gunuyo, kunguno ya gukija gugudililaga chiza umili gokwe. Uweyi agajikenagulaga imbazu jakwe bho gubeha shigala jinijo, kunguno ya gugija gugudilila chiza umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ofulaga moto bho nomo gobhaka mpaga lyafuma lyochi, kunguno nuweyi agabehaga shigala mpaga ofunya lyochi umunomo gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agasiminzaga na mashiga gu nomo.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guilanhana chiza imimili yabho bho guleka gubeha shigala, kugiki bhadule gwikala mhola, umukaya jabho.

Mwanzo 19:24-25.

Kutoka 9:23-24.

Waamuzi 15:14.

1Wafalme 1:1.

KISWAHILI: HUTEMBEA NA MAFIGA MDOMONI.

Mafiga ni aina ya jiko la kupikia lenye mawe au matofali matatu. Mafiga hayo hubeba chombo cha kupikia kama vile chungu au sufulia. Watu huwasha moto katikati ya mafiga hayo matatu kwa sababu ya kupika chakula. Mpishi gupuliza moto kwa kutumia mdomo wake ndipo moto huo unawaka ambao hukipika chakula hicho mpaka kukiivisha. Ndiyo maana watu humwambia mpishi huyo kwamba, “hutembea na mafiga mdomoni.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvuta sigala katika maisha yake. Mtu huyo, huvuta sigala hizo mpaka anatoa moshi mdomoni mwake hali ambayo huonekana kama anamafiga mdomoni mwake, kwa sababu ya kutokuujali vizuri mwili mwake. Yeye huyaharibu mapafu yake kwa kuvuta sigala hizo, kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuijali vizuri afya yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule awashaye moto kwenye mafiga kwa kupuliza akitumia mdomo wake mpaka unatoka moshi, kwa sababu naye huvuta sigala mpaka anatoa moshi mdomoni mwake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hutembea na mafiga mdomoni.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitunza vizuri afya za miili yao kwa kuacha kuvuta sigala, ili waweze kuwa salama, katika familia zao.

Mwanzo 19:24-25.

Kutoka 9:23-24.

Waamuzi 15:14.

1Wafalme 1:1.

 

ENGLISH: HE WALKS WITH KITCHEN IN THE MOUTH.

A kitchen is a type of cooking stove which has three stones or bricks. These stones or bricks carry a cooking vessel such as pot or saucepan. People light a fire in the middle of these three stones or bricks for cooking food. The cook blows the fire by using his mouth and the fire burns which cooks the food well. That is why people say to the cook that, “he walks with kitchen in the mouth.”

This proverb is equaled to a person who smokes cigarettes in his life. Such person, smokes those cigarettes until he exhales smoke in his mouth, which seems like he exhales it in his mouth, because of not taking respectable care of his body. He damages his lungs by smoking those cigarettes, because of not paying attention enough to take decent care of his health, in his life.

This person is like the one who lights the fire in the three cooking stones or bricks by blowing fire using his mouth until smoke comes out, because he also smokes cigarettes until smoke comes out in his mouth. That is why people say to him that, “He walks with kitchen in the mouth.”

This proverb instills in people an idea of taking virtuous care of their physical health by quitting smoking, so that they can be safe, in their families.

Genesis 19:24-25.

Exodus 9:23-24.

Judges 15:14.

1 Kings 1:1.

 

 

1393. AGANENHELAGA IGAYO GUMILI.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga mubhutemi bho bhusiya. Umunhu ng’wunuyo olina ng’wiye uyo ondalahijaga kunguno ya libhengwe lwakwe umukikalile kakwe. Hunagwene agayomba giki “aganenhelaga igayo gumili.”

Akahayike kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu ndoshi uyo agabhadalahijaga abhiye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhadegelekaga abhiye umumahoya gakwe bho gubhabhona guti bhadina masala ga guyomba mihayo ya solobho, kunguno ya bhudoshi bhokwe ubho gubhibhengwa chiniko abhiye, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho ubho gubhadalahija abhiye umumahoya gakwe genayo.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ondalahijaga ung’wiye uyo bhikalaga nanghwe, kunguno nuweyi agabhadalahijaga abhiye umumahoya gakwe genayo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “aganenhelaga igayo gumili.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka bhudoshi bho gubhadalahija abhichabho umumahoya gabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 13:1-2.

1 Samweli 17:42.

Nehemia 1:19.

Ayubu 19:18.

Zaburi 74:18.

Mithali 14:21.

Mathayo 18:10.

KISWAHILI: ANANILETEA DHARAU MWILINI.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyekuwa akiishi kwenye utawala wa Busiya. Mtu huyo alikuwa akiishi na mwenzake ambaye alikuwa akimdharau kwa sababu ya majivuno yake hayo katika maisha yake. Ndiyo maana alisema kwamba, “ananiletea dharau mwilini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na majivuno ya kuwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawasikilizi wenzake katika maongezi yake kwa kuwaona kama hawana akili za kuwawezesha kuongea maneno ya maana, kwa sababu ya majivuno yake ya kuwadharau wenzake hao, maishani mwake. Yeye hushindwa kuishi vizuri na watu wa kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwadharau wenzake katika maongezi yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemdharau mwenzake aliyekuwa akiishi naye, kwa sababu naye huwadharau wenzake katika maongezi yake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “ananiletea dharau mwilini.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha majivuno ya kuwadharau wenzao katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vizuri famila zao, maishani mwao.

Mithali 13:1-2.

1 Samweli 17:42.

Nehemia 1:19.

Ayubu 19:18.

Zaburi 74:18.

Mithali 14:21.

Mathayo 18:10.

ENGLISH: HE BRINGS ME DISGRACE IN THE BODY.

Once upon a time, there was a man who lived in Busiya kingdom. Such man lived with a neighbor who despised him because of his arrogance in his life. That is why he said that, “he brings me disgrace in the body.”

This saying is paralleled to a person who is arrogant enough to despise his neighbors in his life. Such person does not listen to his neighbors in his conversation as he sees them as not smart enough to speak meaningful words because of his arrogance of despising his neighbors in his life. He fails to live well with people in his family because of his arrogance of scorning his neighbors in his conversation.

This person relates to the one who despised his neighbor who lived with him, because he also despises his neighbors in his conversation, in his life. That is why he says that, “he brings me disgrace in the body.”

This saying teaches people to about doing away with pride of belittling others in their speech, so that they can nicely raise their families, in their lives.

Proverbs 13:1-2.

1 Samuel 17:42.

Nehemiah 1:19.

Job 19:18.

Psalm 74:18.

Proverbs 14:21.

Matthew 18:10.