Sukuma

1335. JITAB’O JA NG’WA MULUNGU JIDACHOLELAGWA NG’WA MFUMU.

Ulusumo lunulo luhoyelile munhu uyo ocholaga jitab’o ja Ng’wa Mulungu ng’wa mfumu. Umunhu ng’wunuyo, agashiga aha ng’wa mfumu henaho alibhabhuja ulu bhalinajo ijitab’o jinijo, gukiki bhang’winhe, kunguno oli adinajo weyi umubhuzunya bhokwe.

Abhanhu bhenabho bhagankumya noyi unzunya ng’wunuyo, kunguno abhoyi bhadebhile igiki ijitab’o jinijo, jidikalaga aha ng’wa mfumu, ijoyi jigikalaga kubhazunya nulu kwikelesia. Hunagwene bhagang’wila giki, “ijitab’o ja ng’wa Mulungu jidacholelagwa ng’wa mfumu.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli nzunya uyo agasangijaga mihayo ya ng’wa Mulungu ni ya ng’wa shetani, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ukwisalila ulu oshoga koyi wandya gulamya ya ng’wa shetani, kunguno ya gugayiwa witegelega bho gubhudimila chiza ubhuzunya bhokwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga wita mihayo ya bhubhi aha kaya yakwe kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho ubho gugudimila chiza umhayo go ng’w Mulungu, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ocholaga jitab’o ja ng’wa Mulungu ng’wa mfumu, kunguno nuweyi agajaga ukwisalila ukunhu aliita mihayo ya ng’wa Shetani iyabhubhi yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ijitab’o ja ng’wa Mulungu jidacholelagwa ng’wa mfumu.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugudimila umhayo go ng’wa Mulungu bho nduhu ugugusangilija na ya ng’wa shetani, kugiki bhadule kupandika mbango ja kupandika mafumilo mingi na kushiga Ng’widulu, umuwikaji bhobho.

Zaburi 119:33.

Ufunuo 3:15b.

Kutoka 4:15.

KISWAHILI: KITABU CHA MUNGU HAKITAFUTIWI KWA MGANGA WA KIENYEJI.

Methali hiyo, huongelea mtu aliyeenda kutafuta kitabu cha Mungu kwa mganga wa kienyeji. Mtu huyo alifika kwa mganga huyo akawauliza aliowakuta kama kipo kitabu hicho ili wampe, kwa sababu hakuwa nacho katika ukristo wake.

Watu hao walimshangaa sana mkristo huo kwa sababu wao wanaelewa wazi kuwa, kitabu hicho hupatikana kwa wakristo, au Kanisani. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “kitabu cha Mungu hakitafutiwi kwa mganga wa kienyeji.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchanganya mambo ya Mungu na ya shetani, katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kusali kanisani lakini anaporudi huanza kuabudu miungu wengine, kwa kutenda maovu, kwa sababu ya kukosa umakini wa kuuishi vizuri ukristo wake, maishani mwake. Yeye hutenda maovu mengi katika familia yake hiyo kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kufuata njia ya kuliishi neno la Mungu vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeenda kutafuta kitabu cha Mungu kwa mganga wa kienyeji, kwa sababu naye huenda kanisani lakini anaporudi hufuata mambo ya shetani, kwa kutenda maovu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kitabu cha Mungu hakitafutiwi kwa mganga wa kienyeji.”

Methali hiyo, hufundisha wakristo juu ya kuwa na umakini wa kulishikilia neno la Mungu bila kutenda maovu, ili waweze kupata Baraka nyingi maishani mwao na kuweza kufika Mbinguni.

Zaburi 119:33.

Ufunuo 3:15b.

Kutoka 4:15.

 

ENGLISH: THE BOOK OF GOD IS NOT SOUGHT FROM A TRADITIONAL HEALER.

This proverb speaks of a person who went to seek the book of God to a local medicine man. A certain person went to such medicine man and asked him if he saw the book of God so that he could give it to him, because he did not have it in his Christian life.

These people were very surprised at such Christian because they clearly understand that such book is found among Christians, or in the Church. That is why these people told him that, “the book of God is not sought from a traditional healer.”

This proverb is paralleled to a person who mixes things of God and those of a devil in his life. Such person can pray in church but when he returns he begins to worship other gods, by committing evil deeds, because of a lack of responsiveness of living his Christianity well, in his life. He commits various evil deeds in his family because of a lack of thoughtfulness of following the path of putting into practice the word of God well in his life.

This person resembles the one who went to seek the book of God to a local traditional healer, because he also goes to church but when he returns he follows the possessions of devil by doing evil in his life. That is why people tell him that, “the book of God is not sought from a traditional healer.”

This proverb teaches Christians about being cautious enough to hold on to the word of God without doing evil, so that they can receive several blessings in their lives to the point of reaching Heavenly Kingdom.

Psalm 119:33.

Revelation 3:15b.

Exodus 4:15.

 

bible-2110439_1280

south-africa-742507_1280

praying-5406270_1280

1334. GOLEMELAGA HITIMA.

Olihoyi munhu uyo agigwa mhayo ntale uyo gugaminya umunholo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, aho ogwigwa umhayo gunuyo agandya guchola bhanhu bho gubhawila kugiki bhadule gung’wambilija umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhayomba giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhawilaga bhiye bhang’wambilija ulu opandikaga milimo mitale, nulu mihayo mitale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agacholaga wambilijiwa kubhiye wangu ulu opandikaga mihayo iyo igaibhunaga imholo yakwe, nulu ulu opandikaga milimo mitale iyo ijikilile nguzu jakwe, kugiki adule uguimala wangu kunguno ya gwikala gokwe chiza na bhiye umuwikaji bhokwe. Uweyi agagamala wangu amakoye ga ha kaya yakwe pye ni milimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwanguha kulomba wambilijiwa hayo itale ugunemela, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agigwa mihayo iyo igaiminya inholo yakwe ubhawila bhiye wangu, kunguno nuweyi agacholaga wambilijiwa kubhiye ulu opandigaka makoye matale nulu nimo ntale uyo gujikilile inguzu jakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guchola bhanhu bhagubhambilija wangu ulu bhapandikaga makoye matale nulu milimo mitale iyo ijikilile inguzu jabho, kugiki bhadule gwambilija wangu hayo bhatali ugukeleja, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:15-16.

KISWAHILI: LIMEKATALIA ININI.

Alikuwepo mtu yule ambaye alisikia neno kubwa ambalo liliumiza moyo wake, Mtu huyo alipolisikia neno hilo alianza kutafuta watu wa kuwashirikisha ili aweze kupata utatuzi wa tatizo hilo mapema. Ndiyo maana alisema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwashirikisha wenzake ili kupata msaada kila anapopata tatizo kubwa au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapokumbwa na tatizo linalomzidi nguvu, au anapopata kazi kubwa inayohitaji msaada kutoka kwa wenzake, kwa sababu ya umakini wake wa kuishi vizuri na watu, maishani mwake. Yeye huyamaliza mapema matatizo yanayoikumba familia yake, pamoja na kazi zinazidi uwezo wake kwa sababu ya kuwashirikisha wenzake mapema kabla hajachelewa kuomba msaada huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesikia tatizo kubwa akawashirikisha wenzake mapema, kwa sababu naye hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapopata tatizo au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta watu wa kuwasaidia mapema wanapopata tatizo kubwa au kazi inayozidi uwezo wao ili waweze kupata utatuzi wake mapema kabla hawajachele, maishani mwao.

Mathayo 18:15-16.

madagascar-4601287_1280

ENGLISH: IT HAS JAMMED IN THE LIVER.

There was a man who heard a miserable word that hurt his heart. After hearing such word, he started looking for people to share it with so that he could find a solution to it as soon as possible. That is why he said, “It has jammed in the liver.”

This saying is related to a person who shares it with his colleagues to get help whenever he encounters a huge delinquent or a huge task that is beyond his ability, in his life. Such person seeks support from his colleagues early whenever he encounters a problem that is beyond his ability, or when he gets a huge task that requires relief from his colleagues, because of his single-mindedness on living well with people, in his life. He ends hitches that beset his family early, as well as tasks that are beyond his ability because of sharing it with his colleagues early before it is too late to ask for that aid, in his life.

This person is similar to the one who heard a big problem and shared it with his colleagues early, because he also seeks help from his colleagues early whenever he encounters a problem or a huge task that is beyond his ability, in his life. That is why he says, “It has jammed in the liver.”

This saying instills in individuals a clue of seeking support early when they encounter an enormous difficult or a task that is beyond their ability so that they can find a solution early before it is too late, in their lives.

Matthew 18:15-16.

1333. B’ASIMBILA KAYA.

Ab’asimbila kaya bhali bhanhu abho bhagabhejaga kaya bho guzenga numba. Bhali hoyi bhanhu abho bhazengaga numba yabho bho kusimbila nhingi kugiki bhadule gupandika numba ndamu kunguno bhali bhadina numba ya gwikala. Abhanhu bhenabho bhagigulambija uguizenga inumba yiniyo bho gwiyambilija chiza mpaga bhuimala. Hunagwene abhanhu bha munzengo gunuyo, bhagabhitana giki, “b’asimbila kaya.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhagabhalangaga abhana bhabho lilange lya gwikala na nhungwa jawiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagabhinhaga lilange lya gutumama milimo yabho chiza na gwikala na bhanhu bho gwitogwi umuchalo jabho, kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagadulaga gwikala bho witogwi na likujo litale aha kaya yabho yiniyo kunguno ya witegeleja bhobho ubho gubhalanga lilange lyawiza chiniko abhana bhobho, umukikalile kabho.

Abhitoji bhenabho bhagikolaga na bhanhu abho bhagazenga numba bho gwiyambilija chiza mpaga bhuyimala, kunguno nabho bhagabhinhaga lilange lyawiza abhana bhabho bho gwiyambilija chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “b’asimbila kaya.”

Akahayile kenako kalanga bhabyaji higulya ya gubhiza na nhungwa ja gubhinha lilange lyawiza abhana bhabho kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Waefeso 5:2-33.

Mwanzo 2:18-24.

Mathayo 19:3-6.

KISWAHILI: WATENGENEZA MJI.

Watengeneza mji ni watu wanaojenga nyumba. Walikuwepo watu waliokuwa wanajenga nyumba yao kwa kuchimbia nguzo ili waweze kupata nyumba iliyo imara kwa sababu hawakuwa na nyumba ya kuishi. Watu hao walijibidisha kuijenja nyumba hiyo kwa ushirikiano mkubwa mpaka wakaimaliza. Ndiyo maana watu wa kijiji hicho waliwapatia jila la “watengeneza mji.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wana ndoa wale ambao huwafundisha watoto wao malezi mema, katika maisha yao. Watu hao huwapatia watoto wao hao malezi ya kufanya kazi vizuri na kuishi kwa upendo na watu wao kwa sababu ya tabia yao hiyo njema, maishani mwao. Wao hufanikiwa kuishi kwa kuheshimiana na kwa upendo katika familia yao hiyo kwa sababu ya tabia yao hiyo njema ya kuwapatia malezi mema watoto wao hao, katika maisha yao.

Wana ndoa hao hufanana na watu wale waliojenja nyumba kwa ushirikiano mpaka wakaimaliza, kwa sababu nao huwapatia watoto wao malezi mema kwa ushirikiano mkubwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaita jina la “watengeneza mji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia za kuwafundisha malezi mema watoto wao, ili waweze kuzijenga vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Waefeso 5:2-33.

Mwanzo 2:18-24.

Mathayo 19:3-6.

 

ENGLISH: FAMILY BUILDERS.

Family builders are people who build houses for staying people. There were people who built their houses by digging poles so that they could have a solid house because they did not have a house to live in. These people worked hard enough to build their house with great cooperation until they finished it. That is why people of that village called them “family builders.”

This saying is equaled to married couples who teach their children decent nurture, in their lives. These parents give to their children decent nurture for working well and living peaceably with their people because of their upright deeds in their lives. They succeed in living with respect and love in their family because of their upright manners of nurturing children well in their lives.

These married couples are similar to those people who built their house with cooperation until they finished it, because they also give to their children decent rearing with great cooperation in their lives. That is why people call them “family builders.”

This saying imparts in parents an idea of having upright parenting conducts for their children, so that they can build their families well in their lives.

Ephesians 5:2-33.

Genesis 2:18-24.

Matthew 19:3-6.

 

worker-5204739_1280

1332. IGULILU LYA NGOKO GUGULA NA GUSINZA NI JIYU JILIB’ONA.

Iligulilu lya ngoko liligulilu ilo bhanhu bhagajingaga na gugula ngoko. Ahi igulilu linilo abhaguji bhagajigulaga ingoko jinijo na gwandwa gujisinza ni jiyu nulu susu jilib’ona kunguno ya kuhaya gupandika hela bho guzuka nyama ya ngoko na guijinja aha nada gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “igulilu lya ngoko gugula na gusinza ni jiyu jilib’ona.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agitaga mito ga b’ub’i na gasoni na bhana bhalib’ona, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagitaga mihayo ya b’ub’i na ya soni yiniyo habhutongi bho bhana bhabho bho nduhu nulu gucha soni, kunguno bhali na nhungwa ja bhubhi umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagabhalangaga abhana bha ha kaya jabho gwita mihayo ya b’ub’i kunguno ya nhungwa jabho ijabhubhi jinijo, umukikalile kakwe.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhasinzaga ngoko ni jiyu jilib’ona, kunguno na bhoyi bhagitaka mihayo ya soni na bhana bhalibhona, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “igulilu lya ngoko gugula na gusinza ji jiyu jilib’ona.”

Ulusumo lunulo lolanga bhabyaji higulya ya guleka nhungwa ja gwita mihayo ya soni na bhana bhalib’ona, bho gwikala na nhungwa jawiza kugiki bhadule gubhinha lilange lyawiza abhana bhabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-30.

Zaburi 106:39.

Mathayo 22:23-33.

Waefeso 5:3.

1Wathesalonike 4:3-6.

Wakolosai 3:5.

Wagalatia 5:19.

KISWAHILI: GULIO LA KUKU, KUNUNUA NA KUCHINJA NA VIFARANGA WANAONA.

Gulio la kuku ni soko lile ambalo watu huuza na kununua kuku. Kwenye soko hilo wanunuaji wa kuku huwanunua na kuwachinja na vifaranga wakiwa na wanaona, kwa sababu ya kutaka kupata pesa kwa kupika nyama ya kuku na kuiza hapo gulioni. Ndiyo maana watu husema kwamba, “gulio la kuku kununua na kuchinja na vifaranga wanaona.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hutenda maovu na mambo ya aibu na watoto wakiwa wanaona, katika maisha yao. Watu hao, hutenda maovu hayo na mambo hayo ya aibu mbele ya watoto wao bila hata ya kuona aibu kwa sababu wanatabia mbaya, maishani mwao. Wao huwafundisha watoto wao tabia ya kutenda maovu kwa sababu ya tabia yao hiyo mbaya ya kutenda mambo ya aibu, mbele ya watoto wao hao, katika maisha yao.

Watu hao hufanana na wale waliochinja kuku na vifaranga wakiwa wanaona, kwa sababu nao hutenda maovu na mambo ya aibu mbele ya watoto wao hao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “gulio la kuku kununua na kuchinja na vifaranga wanaona.”

Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kuacha tabia ya kutenda mambo ya aibu mbele ya watoto wao, kwa kuishi katika tabia njema, ili waweze kuwapatia malezi mema watoto wao hao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-30.

Zaburi 106:39.

Mathayo 22:23-33.

Waefeso 5:3.

1Wathesalonike 4:3-6.

Wakolosai 3:5.

Wagalatia 5:19.

 

ENGLISH: CHICKEN MARKET, TO BUY AND SLAUGHTER WHILE CHICKS ARE WATCHING.

Chicken market is an arcade where people sell and buy chickens. In that arcade, chicken buyers buy and kill them while chicks are watching, because they want to make money by cooking chicken meat and selling it there in the market. That is why people say, “Chicken market, to buy and slaughter while chicks are watching.”

This proverb is related to individuals who do evil deeds by doing shameful acts in front of their children in their lives. These people do those evil deeds shamefully in front of their children without even feeling ashamed because they have wicked manners in their lives. They teach their children practices of doing evil deeds because of their evil conducts of doing shameful deeds in front of their children in their lives.

These people are like those who slaughtered chickens in front of their chicks, because they also commit evil deeds by doing shameful acts in front of their children in their lives. That is why people say to them that, “Chicken market, to buy and slaughter while chicks are watching.”

This proverb teaches parents to stop doing shameful acts in front of their children, by living in virtuous character, so that they can provide their children with worthy upbringings in their lives.

Matthew 5:27-30.

Psalm 106:39.

Matthew 22:23-33.

Ephesians 5:3.

1Thessalonians 4:3-6.

Colossians 3:5.

Galatians 5:19.

 

turkey-218742__480

1331. OB’UKAGA HASI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile b’ub’uki bho ng’wa munhu uyo winga kuwelelo. Umunhu ng’wunuyo agabhukila muli munhu uyo aginikwa lina lyakwe aho obyalwa kunguno ya gufunya likujo ukuliweyi na gulanhana ludugu. Hunagwene ulu munhu winikwa lina lya njimiji, abhanhu bhagayombaga giki, unjimiji ng’wunuyo, “ob’ukaga hasi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo akikalaga na nhungwa jawiza kugiki adule gubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga nhungwa jawiza abhiye bho gutumama milimo chiza na gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhiye bhenabho. Uweyi agadulaga ugubhalela bho gubhalanga nzila ja kubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhitila ya wiza abhiye mpaga ilina lyakwe winikwa ung’wana uyo agabyalwa, kunguno nuweyi agabhalangaga abhiye nhungwa ja gubhambilija ugubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanbu bhagang’wizukaga ulu bhabhubhona uwiza bho lilande lyakwe bho guyomba giki, “ob’ukaga hasi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa jawiza bho gwikala na bhichabho chiza, kugiki bhadule gubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, ulu bhinga ukuwelelo.

1Wakorintho 15:53-58.

1 Wathesalonike 4:13-17.

KISWAHILI: AMEINUKA CHINI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea uinukaji wa mtu yule aliyefariki dunia. Mtu huyo aliinuka kupitia mtu aliyepewa jina lakwe baada ya kuzaliwa kwa sababu ya kuonesha heshima kwake na kutunza undugu. Ndiyo maana mtu anapopewa jila na marehemu watu husema kwamba, yule marehemu, “ameinuka chini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaishi malezi mema yawezayo kumpatia uzima wa milele, baada ya kuaga dunia. Mtu huyo, huwafundisha wenzake tabia njema ya kuishi malezi mema kwa kujibidisha kufanya kazi na kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo mbalimbali, kwa sababu ya upendo alionao kwa watu wake hao. Yeye hufanikiwa kuwapatia malezi hayo mema watu wa kwenye familia yake, kwa kuwafundisha njia za kuupata uzima huo wa milele, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewatendea mema wenzake mpaga jila lake akapewa mtoto aliyezaliwa, kwa sababu naye huwafundisha wenzake malezi mema ya kuwasaidia kuupata uzima wa milele, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humkumkuka wanapoyaona mema yake hayo, kwa kusema kwamba, “ameinuka chini.”

Msemo huo huwafundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwafundisha wenzao namna ya kuyaishi malezi mema, ili waweze kuupata uzima wa milele baada ya kuaga dunia.

1Wakorintho 15:53-58.

1 Wathesalonike 4:13-17.

ENGLISH: THE ONE HAS RISEN DOWN.

The origin of this saying refers to the rise of a person who has passed away. Such person rose through the person who was given his name after birth because of showing respect for him in taking care of the family. That is why when a person is given a name of a deceased one, people say that, “the one has risen down.”

This saying is matched to a person who lives a worthy upbringing that can give him eternal life after passing away. This person teaches his people decent conducts of living a upright upbringing by working hard and helping others who are in various hitches, because of having a true love for his populaces. He succeeds in giving decent nurture to the people in his family by teaching them about ways which can help them enough to gain such eternal life because of his upright character in his life.

This person resembles the one who did good deeds to his societal members who gave his name to a newborn child, because he also teaches his family members about virtuous upbringings which can assist them in gaining eternal life. That is why those people praise him when they see his decent deeds by saying that “the one has risen down.”

This saying instills in individuals a clue of having a decent attitude for teaching their family members on how to live a blameless upbringing, so that they can gain eternal life after passing away.

1 Corinthians 15:53-58.

1 Thessalonians 4:13-17.