Shinyanga

1337. NANGI O GWISAMULA.

Unangi o gwisamula ali ng’walimu uyo agabhakomelejaga abhanhu gutumama nimo bho nguzu mhya. Ung’walimu ng’wunuyo abhakomelejaga abho bhali ng’wilika lyakwe kutumama milimo bho nguzu chiza ulu obhabhona bhandya gugogoloha kunguno ya wigulambija bhokwe ubho gutumama milimo chiza chiniko umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nangi o gwisamula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalangaga abhanhu bha ha kaya yakwe gwigulambija gutumama milimo chiza, umukikalile kakwe.  Umunhu ng’wunuyo agabhahugulaga abhanhu bhakwe ulu bhagogoloha ugutumama imilimo yabho kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gwigulambija gutumama yakwe chiza bhunubho, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya gubhakomeleja gutumama milimo chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo abhakomeleja abhanhu bha ng’wilika lyakwe kutumama milimo bho nguvu mhya, kunguno nuweyi agabhakolelejaga abhanhu bha ha kaya yakwe gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, ulu bhanogaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nangi o gwisamula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwikomeja gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yeremia 6: 22.

Waebrania 12:12-15.

Yohana 11:11.

KISWAHILI: MFUNDISHAJI WA KUTIA HAMASA.

Mfundishaji wa kutia hamasa ni mwalimu yule ambaye huwahimiza watu kufanya kazi kwa nguvu mpya. Mwalimu huyo huwahimiza wale walioko kwenye lika lake kufanya kazi kwa nguvu zaidi kila anapoona dalili za wao kuanza kuchoka, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mfundishaji wa kutia hamasa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwafundisha watu wanaoishi kwenye familia yake kujibidisha kufanya kazi vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatia hamasa watu wake hao ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri kila wanapoonesha dalili za kuchoka, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi vizuri, maishani mwake.  Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake kwa sababu ya kuwahimiza watu wake kufanya kazi vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewahimiza watu wa kwenye lika lake kujibidisha kufanya kazi kwa nguvu mpya, kwa sababu naye huwahimiza watu wanaoishi kwenye familia yake kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mfundishaji wa kutia hamasa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kwa badii kubwa zaidi kuliko ile ya mwanzo, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao.

Yeremia 6:22.

Waebrania 12:12-15.

Yohana 11:11.

kenya-school

differential-calculus-2820672_1280

teacher-476342_1280

ENGLISH: A MOTIVATIONAL TEACHER.

A motivational teacher is an educator who encourages students to work with renewed energy. This educator encourages those who in his class to work harder whenever he sees signs of them starting to get tired, because of his own hard working life. That is why people call him a “motivational teacher.”

This saying is related to a person who teaches people who live in his family to work hard enough to fulfill their responsibilities well. Such person encourages his people enough to work hard in doing their labors whenever they show signs of getting tired, because of his creativity in his life. He achieves a lot of success in his family because of encouraging his people to work well in his life.

This person resembles the one who encouraged students in his class to work hard with renewed strength, because he also encourages people who live in his family to work hard enough to fulfill their duties well. That is why people called him the “motivational teacher.”

This saying imparts in people an idea of working hard enough to finish their jobs with a greater change than it was before, so that they can achieve more success in their lives.

Jeremiah 6:22.

Hebrews 12:12-15.

John 11:11.

1336. ADEBHILE GWANULA.

Akahayile kenako kalolile wanuji bho ng’wa munhu nkuji. Olihoyi munhu uyo ong’wambilijaga munhu uyo oliokula mpaga uduma ugubhuka ubho weyi ng’winikili kunguno ya bhujiko bhokwe bhunubho. Uweyi omfunyaga hanze unkuji ng’wunuyo bhuli lushigu idiyu na gung’wanula bho gunchala mukaya ulu wila ubhujiku kunguno oliomala inguzu ja gwiyinja weyi ng’winikili aha hanze henaho. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga ung’wanuji ng’wunuyo giki, “adebhile gwanula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhambilijaga chiza abhabyaji bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhambilijaga abhabyaji bhakwe bhenabho bho gubhagulila myenda na jiliwa ija gulya shigu ningi kunguno ya jikujo lyakwe na bhutogwa bhokwe bhunubho ukubhabyaji bhokwe bhunabho. Uweyi agabhalanhanaga bho gubhinha ijo jidulile gubhambilija umubhukuji bhobho pye ishigu ja wikaji bhobho kunguno ya likujo lyakwe linilo ukubhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

 Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ong’wambilija umunhu uyo oliokula bho gunfuma hanze idiyu, na gumchala mukaya imhindi, kunguno nuweyi agabhambilijaga abhabyaji bhakwe pye jishigu ja bhulamu bhobho umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “adebhile gwanula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo kubhabyaji bhabho bho gubhambilija pye ishugu ja bhulamu bhobho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala shigu ningi ukuwelelo, na bhuyegi Ng’wigulu.

Yohana 21: 18:

1Wakorintho 13:11.

Yoshua Bin Sira 3:12-16.

Mhubiri 11:7.

1Wathesalonike 5:14.

KISWAHILI: ANAFAHAMU KUANUA.

Msemo huo huangalia uanuaji wa mtu mzee kutoka sehemu moja hadi nyingine. Alikuwepo mtu aliyekuwa akimtunza mtu ambaye alikuwa amezeeka mpaka akashindwa kusimama peke yake bila kusaidiwa kwa sababu ya uzee wake huo. Yeye alikuwa akimtoa nje mzee yule kila siku asubuhi na kumrudisha ndani ikifika jioni kwa sababu alikuwa ameishiwa nguvu za kujiondoa mwenyewe pale nje yule mzee. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “anafahamu kuanua.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia vizuri wazazi wake katika maisha yake, Mtu huyo, huwasaidia wazazi wake hao kwa kuwanunulia chakula wanachohitaji na mavazi wanayoyahitaji siku zote za maisha yao, kwa sababu ya heshima yake na upendo wake kwao, maishani mwake. Yeye huwatunza kwa kuwapatia mahitaji yao katika maisha yao yote kwa sababu ya heshina aliyo nayo kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemsaidia yule mzee kwa kumtoa nje wakati wa asabuhi na kumrudisha ndani wakati wa jioni, kwa sababu naye huwasaidia wazazi wake kwa kuwapatia mahitaji yao siku zote za uhai wao, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anafahamu kuanua.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa wazazi wao kwa kuwapatia mahitaji yao maishani mwao, ili waweze kupata Baraka za kuishi miaka mingi duniani, na heri mbinguni.

Yohana 21: 18:

1Wakorintho 13:11.

Yoshua Bin Sira 3:12-16.

Mhubiri 11:7.

1Wathesalonike 5:14.

 

ENGLISH: HE KNOWS HOW TO RETURN TO THE SHADOW FROM THE SUN.

This proverb refers to a taking of an old person from one place to another. There was a man who took care of a person who had grown old until he could no longer stand alone without helping him because of his old age. He used to take the old man out every morning and bring him back in when it got to the evening. He did so because the old man had run out of strength to get out on his own. That is why people told him that, “he knows how to return to the shadow from the sun.”

This proverb is matched to a person who helps his parents well in his life. Such person helps his parents by buying them food and clothes which they need in their lives, because of his respect and love for them, in his life. He takes care of them by providing them with their basic needs throughout their lives because of the respect which he has for them, in his life.

This person is like the one who helped the old man by taking him out in the morning and bringing him back in at night, because he also helps his parents by providing them with their needs all the days of their lives, in his life. That is why people say to him that, “he knows how to return to the shadow from the sun.”

This proverb teaches individuals about respecting their parents by providing them with their needs in lives, so that they can receive the blessings of living long on earth, and happiness in heaven.

John 21: 18:

1 Corinthians 13:11.

Joshua Ben Sira 3:12-16.

Ecclesiastes 11:7.

1 Thessalonians 5:14.

 

hands-5017314_1280

face-7218927_1280

old-3975765_1280

1335. JITAB’O JA NG’WA MULUNGU JIDACHOLELAGWA NG’WA MFUMU.

Ulusumo lunulo luhoyelile munhu uyo ocholaga jitab’o ja Ng’wa Mulungu ng’wa mfumu. Umunhu ng’wunuyo, agashiga aha ng’wa mfumu henaho alibhabhuja ulu bhalinajo ijitab’o jinijo, gukiki bhang’winhe, kunguno oli adinajo weyi umubhuzunya bhokwe.

Abhanhu bhenabho bhagankumya noyi unzunya ng’wunuyo, kunguno abhoyi bhadebhile igiki ijitab’o jinijo, jidikalaga aha ng’wa mfumu, ijoyi jigikalaga kubhazunya nulu kwikelesia. Hunagwene bhagang’wila giki, “ijitab’o ja ng’wa Mulungu jidacholelagwa ng’wa mfumu.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli nzunya uyo agasangijaga mihayo ya ng’wa Mulungu ni ya ng’wa shetani, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ukwisalila ulu oshoga koyi wandya gulamya ya ng’wa shetani, kunguno ya gugayiwa witegelega bho gubhudimila chiza ubhuzunya bhokwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga wita mihayo ya bhubhi aha kaya yakwe kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho ubho gugudimila chiza umhayo go ng’w Mulungu, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ocholaga jitab’o ja ng’wa Mulungu ng’wa mfumu, kunguno nuweyi agajaga ukwisalila ukunhu aliita mihayo ya ng’wa Shetani iyabhubhi yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ijitab’o ja ng’wa Mulungu jidacholelagwa ng’wa mfumu.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugudimila umhayo go ng’wa Mulungu bho nduhu ugugusangilija na ya ng’wa shetani, kugiki bhadule kupandika mbango ja kupandika mafumilo mingi na kushiga Ng’widulu, umuwikaji bhobho.

Zaburi 119:33.

Ufunuo 3:15b.

Kutoka 4:15.

KISWAHILI: KITABU CHA MUNGU HAKITAFUTIWI KWA MGANGA WA KIENYEJI.

Methali hiyo, huongelea mtu aliyeenda kutafuta kitabu cha Mungu kwa mganga wa kienyeji. Mtu huyo alifika kwa mganga huyo akawauliza aliowakuta kama kipo kitabu hicho ili wampe, kwa sababu hakuwa nacho katika ukristo wake.

Watu hao walimshangaa sana mkristo huo kwa sababu wao wanaelewa wazi kuwa, kitabu hicho hupatikana kwa wakristo, au Kanisani. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “kitabu cha Mungu hakitafutiwi kwa mganga wa kienyeji.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchanganya mambo ya Mungu na ya shetani, katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kusali kanisani lakini anaporudi huanza kuabudu miungu wengine, kwa kutenda maovu, kwa sababu ya kukosa umakini wa kuuishi vizuri ukristo wake, maishani mwake. Yeye hutenda maovu mengi katika familia yake hiyo kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kufuata njia ya kuliishi neno la Mungu vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeenda kutafuta kitabu cha Mungu kwa mganga wa kienyeji, kwa sababu naye huenda kanisani lakini anaporudi hufuata mambo ya shetani, kwa kutenda maovu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kitabu cha Mungu hakitafutiwi kwa mganga wa kienyeji.”

Methali hiyo, hufundisha wakristo juu ya kuwa na umakini wa kulishikilia neno la Mungu bila kutenda maovu, ili waweze kupata Baraka nyingi maishani mwao na kuweza kufika Mbinguni.

Zaburi 119:33.

Ufunuo 3:15b.

Kutoka 4:15.

 

ENGLISH: THE BOOK OF GOD IS NOT SOUGHT FROM A TRADITIONAL HEALER.

This proverb speaks of a person who went to seek the book of God to a local medicine man. A certain person went to such medicine man and asked him if he saw the book of God so that he could give it to him, because he did not have it in his Christian life.

These people were very surprised at such Christian because they clearly understand that such book is found among Christians, or in the Church. That is why these people told him that, “the book of God is not sought from a traditional healer.”

This proverb is paralleled to a person who mixes things of God and those of a devil in his life. Such person can pray in church but when he returns he begins to worship other gods, by committing evil deeds, because of a lack of responsiveness of living his Christianity well, in his life. He commits various evil deeds in his family because of a lack of thoughtfulness of following the path of putting into practice the word of God well in his life.

This person resembles the one who went to seek the book of God to a local traditional healer, because he also goes to church but when he returns he follows the possessions of devil by doing evil in his life. That is why people tell him that, “the book of God is not sought from a traditional healer.”

This proverb teaches Christians about being cautious enough to hold on to the word of God without doing evil, so that they can receive several blessings in their lives to the point of reaching Heavenly Kingdom.

Psalm 119:33.

Revelation 3:15b.

Exodus 4:15.

 

bible-2110439_1280

south-africa-742507_1280

praying-5406270_1280

1334. GOLEMELAGA HITIMA.

Olihoyi munhu uyo agigwa mhayo ntale uyo gugaminya umunholo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, aho ogwigwa umhayo gunuyo agandya guchola bhanhu bho gubhawila kugiki bhadule gung’wambilija umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhayomba giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhawilaga bhiye bhang’wambilija ulu opandikaga milimo mitale, nulu mihayo mitale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agacholaga wambilijiwa kubhiye wangu ulu opandikaga mihayo iyo igaibhunaga imholo yakwe, nulu ulu opandikaga milimo mitale iyo ijikilile nguzu jakwe, kugiki adule uguimala wangu kunguno ya gwikala gokwe chiza na bhiye umuwikaji bhokwe. Uweyi agagamala wangu amakoye ga ha kaya yakwe pye ni milimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwanguha kulomba wambilijiwa hayo itale ugunemela, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agigwa mihayo iyo igaiminya inholo yakwe ubhawila bhiye wangu, kunguno nuweyi agacholaga wambilijiwa kubhiye ulu opandigaka makoye matale nulu nimo ntale uyo gujikilile inguzu jakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guchola bhanhu bhagubhambilija wangu ulu bhapandikaga makoye matale nulu milimo mitale iyo ijikilile inguzu jabho, kugiki bhadule gwambilija wangu hayo bhatali ugukeleja, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:15-16.

KISWAHILI: LIMEKATALIA ININI.

Alikuwepo mtu yule ambaye alisikia neno kubwa ambalo liliumiza moyo wake, Mtu huyo alipolisikia neno hilo alianza kutafuta watu wa kuwashirikisha ili aweze kupata utatuzi wa tatizo hilo mapema. Ndiyo maana alisema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwashirikisha wenzake ili kupata msaada kila anapopata tatizo kubwa au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapokumbwa na tatizo linalomzidi nguvu, au anapopata kazi kubwa inayohitaji msaada kutoka kwa wenzake, kwa sababu ya umakini wake wa kuishi vizuri na watu, maishani mwake. Yeye huyamaliza mapema matatizo yanayoikumba familia yake, pamoja na kazi zinazidi uwezo wake kwa sababu ya kuwashirikisha wenzake mapema kabla hajachelewa kuomba msaada huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesikia tatizo kubwa akawashirikisha wenzake mapema, kwa sababu naye hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapopata tatizo au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta watu wa kuwasaidia mapema wanapopata tatizo kubwa au kazi inayozidi uwezo wao ili waweze kupata utatuzi wake mapema kabla hawajachele, maishani mwao.

Mathayo 18:15-16.

madagascar-4601287_1280

ENGLISH: IT HAS JAMMED IN THE LIVER.

There was a man who heard a miserable word that hurt his heart. After hearing such word, he started looking for people to share it with so that he could find a solution to it as soon as possible. That is why he said, “It has jammed in the liver.”

This saying is related to a person who shares it with his colleagues to get help whenever he encounters a huge delinquent or a huge task that is beyond his ability, in his life. Such person seeks support from his colleagues early whenever he encounters a problem that is beyond his ability, or when he gets a huge task that requires relief from his colleagues, because of his single-mindedness on living well with people, in his life. He ends hitches that beset his family early, as well as tasks that are beyond his ability because of sharing it with his colleagues early before it is too late to ask for that aid, in his life.

This person is similar to the one who heard a big problem and shared it with his colleagues early, because he also seeks help from his colleagues early whenever he encounters a problem or a huge task that is beyond his ability, in his life. That is why he says, “It has jammed in the liver.”

This saying instills in individuals a clue of seeking support early when they encounter an enormous difficult or a task that is beyond their ability so that they can find a solution early before it is too late, in their lives.

Matthew 18:15-16.

1333. B’ASIMBILA KAYA.

Ab’asimbila kaya bhali bhanhu abho bhagabhejaga kaya bho guzenga numba. Bhali hoyi bhanhu abho bhazengaga numba yabho bho kusimbila nhingi kugiki bhadule gupandika numba ndamu kunguno bhali bhadina numba ya gwikala. Abhanhu bhenabho bhagigulambija uguizenga inumba yiniyo bho gwiyambilija chiza mpaga bhuimala. Hunagwene abhanhu bha munzengo gunuyo, bhagabhitana giki, “b’asimbila kaya.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhagabhalangaga abhana bhabho lilange lya gwikala na nhungwa jawiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagabhinhaga lilange lya gutumama milimo yabho chiza na gwikala na bhanhu bho gwitogwi umuchalo jabho, kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagadulaga gwikala bho witogwi na likujo litale aha kaya yabho yiniyo kunguno ya witegeleja bhobho ubho gubhalanga lilange lyawiza chiniko abhana bhobho, umukikalile kabho.

Abhitoji bhenabho bhagikolaga na bhanhu abho bhagazenga numba bho gwiyambilija chiza mpaga bhuyimala, kunguno nabho bhagabhinhaga lilange lyawiza abhana bhabho bho gwiyambilija chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “b’asimbila kaya.”

Akahayile kenako kalanga bhabyaji higulya ya gubhiza na nhungwa ja gubhinha lilange lyawiza abhana bhabho kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Waefeso 5:2-33.

Mwanzo 2:18-24.

Mathayo 19:3-6.

KISWAHILI: WATENGENEZA MJI.

Watengeneza mji ni watu wanaojenga nyumba. Walikuwepo watu waliokuwa wanajenga nyumba yao kwa kuchimbia nguzo ili waweze kupata nyumba iliyo imara kwa sababu hawakuwa na nyumba ya kuishi. Watu hao walijibidisha kuijenja nyumba hiyo kwa ushirikiano mkubwa mpaka wakaimaliza. Ndiyo maana watu wa kijiji hicho waliwapatia jila la “watengeneza mji.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wana ndoa wale ambao huwafundisha watoto wao malezi mema, katika maisha yao. Watu hao huwapatia watoto wao hao malezi ya kufanya kazi vizuri na kuishi kwa upendo na watu wao kwa sababu ya tabia yao hiyo njema, maishani mwao. Wao hufanikiwa kuishi kwa kuheshimiana na kwa upendo katika familia yao hiyo kwa sababu ya tabia yao hiyo njema ya kuwapatia malezi mema watoto wao hao, katika maisha yao.

Wana ndoa hao hufanana na watu wale waliojenja nyumba kwa ushirikiano mpaka wakaimaliza, kwa sababu nao huwapatia watoto wao malezi mema kwa ushirikiano mkubwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaita jina la “watengeneza mji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia za kuwafundisha malezi mema watoto wao, ili waweze kuzijenga vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Waefeso 5:2-33.

Mwanzo 2:18-24.

Mathayo 19:3-6.

 

ENGLISH: FAMILY BUILDERS.

Family builders are people who build houses for staying people. There were people who built their houses by digging poles so that they could have a solid house because they did not have a house to live in. These people worked hard enough to build their house with great cooperation until they finished it. That is why people of that village called them “family builders.”

This saying is equaled to married couples who teach their children decent nurture, in their lives. These parents give to their children decent nurture for working well and living peaceably with their people because of their upright deeds in their lives. They succeed in living with respect and love in their family because of their upright manners of nurturing children well in their lives.

These married couples are similar to those people who built their house with cooperation until they finished it, because they also give to their children decent rearing with great cooperation in their lives. That is why people call them “family builders.”

This saying imparts in parents an idea of having upright parenting conducts for their children, so that they can build their families well in their lives.

Ephesians 5:2-33.

Genesis 2:18-24.

Matthew 19:3-6.

 

worker-5204739_1280