Akahayile kenako kahoyelile bhanhu bhabhili abho bhikalaga kihamo. Abhanhu bhenabho bhalibhaduma ugujilanija lihamo kunguno uungi onkelelaga ung’wiye mpaga nose uikala na bhusunduhazu umumoyo gokwe. Ung’wiye ng’wunuyo aganoga nose ugwikala na bhusunduhazu bhunubho mpaga nose wiyangula gulekana nang’hwe. Hunagwene agayomba giki, “nilekage niyagalule.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhali na bhushilimu bho gwikelela, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhuli ng’wene agiganikaga giki, alina masala mingi kulebha ung’wiye kunguno ya bhushilimu bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagadumaga uguyilela chiza ikaya yabho kuguno ya bhushilimu bhobho bhunubho, umukikalile kabho kenako.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagaduma ugwikala kihamo mpaga nose bhulekana, kunguno nabhoyi bhali na bhushilimu bho gwikelela mpaga nose bhaduma uguilela chiza ikaya yabho, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene bhuli gwene agiganikaga gung’wila ung’wiye giki, “nilekage niyagalule.”
Akahayile kenako kalanga bhitoji hugulya ya guleka bhushilimu bho gwikelela kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
Isaya 61:1-3.
Matendo 2:42.
Matendo 4:32.
Wagalatia 5:22.
Mathayo 18:20.
KISWAHILI: NIACHE HURU.
Msemo huo huongelea watu wawili walioishi pamoja. Watu hao walishindwa kuendana pamoja kwa sababu mmoja alikuwa na ujeuri wa kumpunja mwenzake mpaka mwishowe huyo mwenzake alianza kuishi kwa huzuni moyoni mwake. Mwenzake huyo, alichoka kuishi katika huzuni hiyo akaamua kuachana naye. Ndiyo maana alisema kwamba, “niache huru.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa wana ndoa wale wenye ujeuri wa kupunjana katika maisha yao. Watu hayo, kila mmoja hujifikiria kwamba ana akili nyingi kuliko mwenzake kwa sababu ya ujeuri wao huo wa kudharauriana, maishani mwao. Wao hushindwa kuilea vyema familia yao hiyo kwa sababu ya ujeuri wao huo wa kudharauriana, katika maisha yao hayo.
Msemo huo hulinganishwa kwa wale walioshindwa kuishi pamoja mpaka mwishowe wakaachana kwa sababu nao wana ujeuri wa kudharaurina mpaka mwishowe wanashindwa kuilea vyema familia yao, maishani mwao. Ndiyo maana kila mmoja wao hufikiria kumwambia mwenzake kwamba, “niache huru.”
Msemo huo, hufundisha wana ndoa juu ya kuacha ujeuri wa kudharauriana katika maisha yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Isaya 61:1-3.
Matendo 2:42.
Matendo 4:32.
Wagalatia 5:22.
Mathayo 18:20.
ENGLISH: LET ME BE FREE
This saying speaks about two people who lived together but failed to live in harmony. One of them repeatedly despised and belittled the other. As a result, the one who was despised began to live with deep sadness in his heart. Eventually, tired of carrying this pain, he chose to leave. That decision gave rise to the words, “Let me be free.”
The saying is especially relevant to married couples who despise one another in their daily lives. Each spouse believes himself or herself to be wiser or more important than the other. This attitude of contempt destroys mutual respect and love, and as a result, such couples fail to raise their family well.
It also applies to people who were unable to continue living together and finally separated. Their relationship broke down because of constant belittling and lack of respect. When unity disappears and family life collapses, each person eventually feels compelled to say to the other, “Let me be free.”
This saying teaches married couples, and all who live in close relationships to abandon the violence of despising and belittling one another. Only through respect, love, and humility can families be built up and children be raised well.
Isaiah 61:1–3 – God’s mission of healing the brokenhearted and setting the oppressed free.
Acts 2:42 – The call to unity, fellowship, and shared life.
Acts 4:32 – Living together in one heart and mind.
Galatians 5:22 – The fruits of the Spirit that sustain healthy relationships.
Matthew 18:20 – God’s presence where people gather in unity.














