Shinyanga

1464. ALISATA NZWAZWA.

Olihoyi munhu uyo osataga nkono umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo obhalomelaga abhiye umuosatilaga kunguno ohayaga gupandika wambilijiwa bho gugupija wangu. Uweyi agabhawila abhie bhenabho chiza mpaga bhuyidebha nose isata yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “alisata nwazwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudililaga chiza umili gokwe bho guguchala kubhugota ulu osataga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga kusitali wangu ulu osataga ogalagulwa mpaga opila wangu kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gugudilila chiza umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapilaga wangu uluosataga kunguno ya gwanguha kuja kusitali ulu osataga chiniko, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ojaga kusitali wangu ulu osataga ogalagulwa mpaga opila chiza, kunguno nuweyi agajaga kusitali wangu ogalagulwa mpaga opila chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagangwilaga giki, “alisata nzwazwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na witegeleja bho gubhachala kusitali abhanhu bhabho ulu bhasataga, kugiki bhadule gupila wangu isata jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 4:40.

Luka 6:6-10.

 

 

Matendo 5:15-16.

KISWAHILI: ANAUMWA MKONO.

Alikuwepo mtu aliyekuwa anaumwa mkono katika maisha yake. Mtu huyo, aliwasimulia wenzake juu ya maumivu yake kwa sababu ya kutaka kupata msaada wa kumwezesha kupona haraka. Yeye aliwaeleza wenzake hao vizuri, mpaka wakaelewa kuwa ana ugonjwa huo. Ndiyo maana walisema kwamba, “anaumwa mkono.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anaumakini wa kuujali mwili wake kwa kuupekeleka hospitalini anapoumwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huwahi kwenda hospitalini kwenda kupata matibabu mpaka anapona haraka kwa sababu ya umakini wake huo wa kuujali mwili wake anapojisikia maumivu, maishani mwake. Yeye hupona haraka maradhi yanayompata kwa sababu ya kuwahi kwenda kutibiwa hospitalini anapougua, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewahi kwenda hopitalini alipougua, kwa sababu naye huwahi kwenda hospitalini anapougua, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “anaumwa mkono.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawahisha wagonjwa wao kutibiwa hospitalini wanapoumwa, ili waweze kupona haraka vya kutosha kuendelea kuzitunza familia zao, maishani mwao.

Luka 4:40.

Luka 6:6-10.

Matendo 5:15-16.

 

ENGLISH: HE HAS A SORE HAND

This saying comes from the story of a man who had a sore hand. Because of the pain, he informed his friends about his condition so that he could get help and recover quickly. He explained his problem clearly until his friends understood that he was sick. That is why they said, “He has a sore hand.”

This saying is compared to a person who takes good care of his body by seeking medical treatment whenever he is sick. Such a person goes to the hospital as soon as he feels pain, receives proper treatment, and recovers quickly because of his attentiveness to his health. As a result, he does not allow illness to worsen in his life.

That person is similar to the man with the sore hand, because he does not hide his sickness or ignore it. Instead, he seeks help early. That is why people say about him, “He has a sore hand.”

This saying teaches people to take illness seriously and to ensure that sick people are taken to the hospital for treatment. By doing so, they can recover quickly and continue caring for their families and fulfilling their responsibilities in life.
Luke 4:40.
Luke 6:6–10.
Acts 5:15–16.

 

1463. AHA BHIZA BHANDYA GUMALA MAMANILO.

Bhalihoyi bhanhu abho bhagibhilinga hajigasho ja guhoyela mhayo nhebhe. Abhanhu bhenabho bhaganguha chiza ugushiga agajigasho jabho jinijo kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “aha bhiza bhandya gumala mamanilo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na witegeleja bho gwanguha gujutumama milimo yabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhaganguhaga ugujutumama imilimo yabho bhagigulambija guitumama imilimo yabho chiza mpaga bhayimala, kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi noyi umukaya jabho kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhaganguha ugushiga aha jigasho  jabho mpaga bhuyihoyela chiza imihayo yabho aha lyashiga ilikanza, kunguno nabhoyi bhaganguhaga ukumilimo yabho bhagayitumama chiza mpaga bhayimala, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “aha bhiza bhandya gumala mamanilo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umukaya jabho.

1Samweili 16:4-11.

Marko 2:2.

Matendo 11:28-30.

KISWAHILI: WALIPOFIKA WAKAANZA KUMALIZA MAZUNGUMUZO.

Walikuwepo watu walioalikwa kwenye kikao cha kuongelea jambo fulani. Watu hao waliwahi vizuri kufika kwenye kikao hicho kwa sababu ya umakini wao huo. Ndiyo maana watu walisema kwamba “walipofika wakaanza mazungumuzo.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale wenye umakini wa kuwahi kwenda kuyatekeleza majukumu yao vizuri katika maisha yao. Watu hao huwahi kufika kazini kwao na kuwatekeleza majukumu yao mpaka mwisho kwa sababu ya umakini wao huo, maishani mwao. Wao hupata mafanikio mengi sana katika familia zao, kwa sababu ya umakini wao huo wa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, katika maisha yao.

Watu hao hufanana na wale waliowahi kufika kwenye kikao chao mpaka kikafanyika vizuri wakati ulipofika, kwa sababu nao huwahi kufika kazini kwao na kujibidisha kuyatelekeleza vizuri majukumu yao mpaka wanayamaliza, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “walipofika wakaanza mazungumuzo.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao mpaka wanayamaliza vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi katika familia zao, maishani mwao.

1Samweili 16:4-11.

Marko 2:2.

Matendo 11:28-30.

ENGLISH: WHEN THEY ARRIVED, THEY STARTED THE CONVERSATION

This saying refers to people who were invited to a meeting to discuss an important matter. They arrived on time and well prepared because they were attentive and responsible. As soon as they arrived, they began the discussion without delay. That is why people say, “When they arrived, they started the conversation.”

This saying is related to people who are attentive and diligent in carrying out their duties in life. Such people arrive at their work on time and perform their responsibilities faithfully until the end. Because of their attentiveness and commitment, they achieve much success in their families and in their lives.

These people are like those who arrived at the meeting and immediately began the discussion when the time came. In the same way, they arrive at their work and exert themselves to carry out their duties well until they complete them. That is why people say of them, “When they arrived, they started the conversation.”

This saying teaches people to be diligent, responsible, and committed in carrying out their duties until they complete them well, so that they may achieve great success in their family lives.

1 Samuel 16:4–11 – Samuel arrived and faithfully carried out God’s instructions.

Mark 2:2 – People gathered attentively, and the word was preached immediately.

Acts 11:28–30 – The believers responded promptly and responsibly to the need.

 

 

1462. OBALAGASHA UKUNGUBHALA ILIMI LYASEB’AGA.

Imbuki ya kahayile kenako kahoyelile jisunva ijo jigitanagwa kungub’ala. Ikungub’ala yiniyo jilijisunva ijo jikolile na bhushishi. Akajisunva kenako kali kabhuluguti gete ako kagigelaga ilimu ulu lyaseb’a. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki “obalagasha ukungub’ala ilimi lyaseb’aga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gutumama milimo yakwe chiza nulu lyaseb’aga ilimi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo bhugelaga ubhujiku ogatumama milimo yakwe chiza mpaga lyagalib’ila ilimi kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe nulu lyasebaga ilimi, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nakakungub’ala ako kagigelaga ulu lyaseb’aga ilimi, kunguno nuweyi agiyumilijaga gutumama milimo yakwe chiza nulu lyasebhaga ilimi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “obalagasha ukungub’ala ilimi lyaseb’aga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wiyumilija bho gutumama milimo yabho chiza, nulu lyaseb’aga ilimi, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 12:36-40.

Luka 13:24-26.

Yakobo 5:7-8.

2Thimotheo 4:5.

KISWAHILI: KACHANGAMUKA KIUMBE JAMII YA SISIMIZI JUA LIMEKUWA KALI.

Chanzo cha msemo huo humwongelea kiumbe jamii ya sisimizi. Jamii hiyo ya sisimizi ni kiumbe kinachofanana na sisimizi. Kiumbe hicho ni kichangamfu sana ambacho huonenaka wakati jua linapokuwa kali sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kachangamuka kiumbe jamii ya sisimizi jua limekuwa kali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kufanya kazi zake hata wakati wa jua kali, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu ya uvumilivu wake huo wa kufanya kazi  vizuri hata wakati wa jua kali, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya uvumilivu wake huo wa kuyatekeleza vizuri majukumu yake wakati wote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na kile kiumbe jamii ya sisimizi ambacho huonekana wakati wa jua kali, kwa sababu naye huyatekeleza vizuri majukumu yake hata wakati wa jua kali, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “kachangamuka jamii ya sisimizi jua limekuwa kali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao hata wakati wa jua kali, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao, maishani mwao.

Luka 12:36-40.

Luka 13:24-26.

Yakobo 5:7-8.

2Thimotheo 4:5.

 

ENGLISH: AN ANT HAS WOKEN UP; THE SUN HAS BECOME STRONG.

The origin of this saying refers to a small creature similar to an ant. This creature is very active and is usually seen when the sun is very hot. Because it continues to move and work even under intense heat, people say, “An ant has woken up; the Sun has become strong.”

This saying is compared to a person who endures hardship and continues to work even during difficult conditions, such as the hot Sun. Such a person works from morning until evening because of his patience and determination. Through this endurance and commitment to his duties, he is able to provide well for his family and gain wealth in his life.

That person is likened to the ant that appears and remains active during the hot Sun. Just as the ant does not stop working because of the heat, the person continues to carry out his responsibilities faithfully at all times. For this reason, people say about him, “An ant has woken up; the Sun has become strong.”

This saying teaches people to be patient and hardworking enough to carry out their duties diligently even in difficult conditions, so that they may achieve success and prosperity in their lives and families.

Luke 12:36–40.

Luke 13:24–26.

James 5:7–8.

2 Timothy 4:5.

 

 

1460. JILANGA BADUMA.

Akahayile kenako kanhoyelile munhu ndoo uyo aganhanga munhu uyo bhadalenijije imyaka nulu hado. Aho kale olihoyi namhala uyo ojidimaga ng’ombe jakwe. Umudimi bhokwe bhunubho, igabyala ng’ombe yakwe. Aho yabyala henaho uweyi akagabucha akadilanha, ing’ombe yukagayiwa akana kayo yushoka uko yabyalilaga. Huna wiza ng’wana okwe niyo ndoo ung’wila giki, “b’ab’a ukatuula hasi akana kayo yakabhona, obucha hangi ulu yahaya gunyamuka okatuula hasi hangi.” Oho wita giko unamhala ng’wunuyo ing’ombe yu golola guja kaya.

Unamhala ng’wunuyo agapelana noyi ugulangwa na ng’wana okwe mpaga usola lugoye uginija, kulwa gukolwa gulangwa na ng’wana wakwe chiniko. Hunagwene abhanhu bhagang’witana ung’wana ng’wunuyo giki “jilanga baduma.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina widohya bho gubhalanga bhanhu bhose lilange lya wiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agalitumilaga ilikanza lyakwe bho gubhalemala pye abhanhu bhakwe kajile kagwikala na bhichabho chiza kunguno ya widohya bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya widohya bhokwe ubho gubhalanga ilange lya wiza pye abhanhu bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo agananga myaji okwe nzila ja uichala kaya ing’ombe yakwe iyo yaliyabyala yiniyo mpaga uishisha, kunguno nuweyi agabhalangaga lilange lyawiza abhanbhu bhakwe mpaga bhikala na buyeji bhutale aha kaya yabho yiniyo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jilanga baduma.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhalanga lilange lya wiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho jinijo.

Luka 2:41-51.

Yohana 2:1-11.

KISWAHILI: MFUNDISHA WAKUBWA.

Msemo huo, humwongelea mtu mdogo aliyemfundisha mtu wasiyelingana naye miaka hata kidogo. Hapo zamani alikuwepo mzee aliyekuwa akichunga mifugo yake. Ng’ombe wake alizaa yeye akambeka yule ndama, yule ng’ombe akamkosa mtoto wake akarudi alikozalia. Ndipo mtoto wa mzee huyo, akamwambia “baba muweke chini ndama ili ng’ombe amuone, hafalafu unambeba tena, ng’ombe akirudi nyuma unamuweka mtoto wake huyo chini tena.” Mzee yule alipofanya hivyo, yule ng’ombe alimfuata mpaka nyumbani.

Mzee huyo alikasirika sana kufundishwa na mtoto wake mpaka akachukua kamba kwenda kujinyonga kwa sababu hasira yake hiyo ya kufundisha na mtoto wake. Ndiyo maana watu walimuita huyo mtoto jina la, “mfundisha wakubewa.”  

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kuwafundisha maadili mema watu wote, katika maisha yake. Mtu huyo huutumia muda wake kwa kuwafundisha watu wake wote mwenendo wa kuishi vizuri na wenzao kwa sababu ya unyenyekevu wake huo maishani mwake. Yeye huishi kwa furaha kubwa katika familia yake hiyo kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuwafundisha maadili mema watu wake wote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtoto aliyemfundisha baba yake namna ya kumpeleka nyumbani ng’ombe aliyezaa, kwa sababu naye huwafundisha watu wake wote, namna ya kuishi vizuri na wenzao, mpaka wanaweza kuishi kwa furaha kubwa katika familia zao. Ndiyo maana watu hao humuita jina la “mfundisha wakubwa.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwafundisha watu wao maadili ya kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kuishi kwa kuraha kubwa katika familia zao hizo, maishani mwao.

Luka 2:41-51.

Yohana 2:1-11.

 

ENGLISH: TEACHER OF THE ELDERS.

This saying refers to a young person who teaches wisdom to someone older than himself.

Once upon a time, there was an old man herding his cattle. One of his cows gave birth, and the old man carried the calf as he walked home. The cow, missing her calf, kept returning to the place where it had given birth. Seeing this, the old man’s son said to him: “Father, put the calf down so that the cow can see it. If she goes back again, put the calf down once more.”

When the old man followed his son’s advice, the cow saw her calf and followed them all the way home.

However, the old man became very angry because his own son had taught him what to do. Out of shame and anger at being corrected by someone younger, he even took a rope intending to hang himself. Because of this incident, people began to call the child the teacher of the elders.”

This saying is compared to a person who has humility and teaches good morals to all people, regardless of their age. Such a person spends his life guiding others on how to live well with their fellow human beings. Because of his humility and wisdom, he brings peace and happiness to his family and community.

That person is like the child who taught his father how to bring the cow home. In the same way, he teaches people how to live well with one another, so that they may enjoy harmony and happiness in their families. For this reason, people call him the teacher of the elders.”

This saying teaches the importance of humility, both in giving and receiving instruction, and reminds people that wisdom can come from anyone, regardless of age. Accepting good advice leads to peace, comfort, and a good life within families and communities.
Luke 2:41–51.
John 2:1–11.

 

 

1459. BULI OGALUKA LIFA GUNICHIMA?

Akahayile kenako kahoyelile bhuching’wa bho lifa bho munhu uyo oliadalimanile giki lifa ilinilo. Umunhu ng’wunuyo liganchima ilifa linilo aho obhitila hoyi kunguno oliganikilaga giki lidi lifa. Hunagwene aho lyanchima agabuja giki “buli ogaluka lifa gunichima.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agang’wigalukaga unwani okwe bho gung’witila mihayo ya bhubhi, umukikalile kabho. Umunhu ng’wunuyo aganndyaga gunsiga na gundalahija sagala ung’wiye mpaka nose, bhoya ugwikala kihamo kunguno ya gunminya chiniko ung’wiye, umuwikaji bhobho. Uweyi agabhubhinzaga ubhunwani bhobho bho gung’witila mihayo ya bhubhi chiniyo ung’wiye kunguno ya gung’wigaluka bho gunminya chiniko, umukikalile kabho kenako.

Umunhu ng’winuyo agikolaga ni lifa ilo liganchima uyo oliganikila giki lidi lifa, kunguno nuweyi agaminyaga ung’wiye bho gug’witila mihayo ya bhubhi mpaga obhubhinza ubhunwani bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Hunagwene ung’wiye agamujaga giki, “buli ogaluka lifa gunichima?”

Akahayile kenako kalanga bhanwani higulya ya guleka nhungwa ja gwiigaluka bho gwiitila mihayo ya bhubhi, kugiki bhadule gwikala bho mholele umubhunwani bhobho bhunubho.

Mathayo 26:14-16.

Mathayo 10:21.

Mathayo 24:9.

Marko 14:10-11.

KISWAHILI: KWA NINI UMEGEUKA MWIBA KUNICHOMA?

Msemo huo humuongelea mtu aliyechomwa mwiba ambao aliufikiria kuwa si mwiba. Mtu huyo, ulimchoma mwiba huo alipopitia hapo kwa sababu ya kuufikiria kuwa ni kitu kingine cha kawaida kisichoweza kumuumiza, katika mawazo yake. Ndiyo maana ulipomchoma aliuliza kwamba, “kwa nini umegeuka mwika kunichoma?”

Msemo huo hulinganishwa kwa rafiki anayemgeuka rafiki yake kwa kumtendea maovu, katika maisha yake. Mtu huyo, humsengenya rafiki yake huyo na kumdharau mpaga mwishowe urafiki wao unavunjika kwa sababu ya kumuumiza hivyo mwenzake, maishani mwao. Yeye huuvunja urafiki wao huo kwa sababu ya kumtendea maovu hayo yanayoumiza moyo wa mwenzake huyo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na ule mwiba uliomchoma yule ambaye alifikiria kuwa siyo mwiba, kwa sababu naye humuumiza rafiki yake kwa kumtendea maovu mpaka urafiki wao unavunjika, maishani mwao. Ndiyo maana yule aliyeumizwa humuuliza mwenzake huyo kwamba, “kwa nini umegeuka mwiba kunichoma?”

Msemo huo, hufundisha marafiki juu ya kuacha tabia ya kugeukana kwa kutendeana maovu katika urafiki wao, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 26:14-16.

Mathayo 10:21.

Mathayo 24:9.

Marko 14:10-11.

 

ENGLISH: WHY DID YOU TURN INTO A THORN AND PRICK ME?

This saying refers to a person who was pricked by a thorn that he did not recognize as a thorn. As he passed by, he thought it was something harmless and could not hurt him. Because of this mistaken trust, the thorn pricked him. That is why, in pain and surprise, he asked, “Why did you turn into a thorn and prick me?”

This saying is compared to a close friend who later turns against his friend by doing evil to him in life. Such a person gossips about his friend, despises him, and betrays the trust between them. In the end, their friendship breaks because of the pain and harm he causes. The evil actions hurt the heart deeply, just as a thorn wounds the body.

That person is like the thorn that pricked the one who thought it was harmless. He was trusted, but instead of protecting the friendship, he caused pain until the relationship was destroyed. That is why the one who is hurt asks, “Why did you turn into a thorn and prick me?”

This saying teaches friends not to turn against one another through evil actions, gossip, or betrayal. It encourages faithfulness and love in friendship, so that people may live together in peace.

Matthew 26:14–16.
Matthew 10:21.
Matthew 24:9.
Mark 14:10–11.