sayings

1078. IYAGAMBA LINTOB’A B’ULOLO.

Akahayile kenako kalolile kikalile kaliyagamba. Iliyagamba linilo, liling’ombe ligosha ilo ligikalaga lyuchimija amapembe ulu lyashiga ukubhudimilo, nulu ulu lyabhona madale gangi ligachimijaga amapembe galyo genayo. Ilyoyi hangi ulu lyushiga halugegu lo mongo guti ulu hadoto ligandyaga guyuchimija mpaga lyabalanha bhulolo amapembe galyo. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, “Iyagamba lintob’a bhulolo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alitumama nimo go gukonda bhugali nulu, nimo gosegose uyo agabhipaga luyilo, umubhutumami bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo agatumamaga nimo gokwe gunuyo bho wigulambija bhutale na guzunya gubhipa bhulolo mpaga ogumala chiza, kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ninghi ija gudula gubhagunana abhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wigulambija bhokwe ubho gutumama chiza imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga niliyagamba ilo ligachimijaga amapembe galyo mubhulolo mpaga gadabalanha bhulolo, kunguno nuweyi agigulambijaga kutumama milimo yakwe bho guyila mpaga oyimala chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “iyagamba lintob’a b’ulolo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo yabho na nguzu mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gujambilija ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waroma 12: 11.

Wagalatia 6: 9.

Mathayo 24:13.

 

KISWAHILI: FAHALI MVURUGA TOPE.

Msemo huo, huangalia maisha ya Fahali. Fahali huyo, ni dume la ng’ombe ambalo huwa linachomeka pembe zake kwenye matope hasa likifika kwenye sehemu ya kuchungia, au likiona kundi jingine la ng’ombe huchomeka chini pembe zake hizo. Lenyewe hasa huchomeka pembe zake likifika kwenye ukingo wa mto penye ubichi. Ndiyo maana watu humuita jina la “fahali mvuruga tope.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupika ugali au hufanya kazi yoyote ya kutoka jasho, katika utendaji wake wa kazi. Mtu huyo, kujibidisha kwa hali ya juu kufanya kazi za kutosha jabho, mpaka anazimaliza vizuri, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kupata mali nyingi kwenye familia yake kwa sababu ya kujibidisha kwake kufanya kwa nguvu hivyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule fahali aliyechafuka pembe zake kwa kuzichomeka kwenye matope, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa kutosha jasho, mpaka anazimaliza vizuri, katika utendaji wake wa kazi. Ndiyo maana watu humuita jina la “fahali mvuruga tope.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi zao kwa nguvu mpaga wanazimaliza vizuri, ili waweze kupata mali za kuwasaidia katika familia zao, maishani mwao.

Waroma 12: 11.

Wagalatia 6: 9.

Mathayo 24:13.

ENGLISH: A MUD MIXER BULL.

The overhead saying looks at the life of the Bull. This Bull is a male cattle that sticks its horns in the mud especially when it reaches the grazing area, or when it sees another group of cows it sticks its horns down. It especially sticks out its horns when it reaches the edge of a river. That is why people call him as “a mud mixer bull.”

This saying is paralleled to a person who cooks stiff porridge or does any sweaty work, in his working activities. This person works hard to the point of finishing his works, because of his honest in his life. He manages to get a lot of wealth for his family because of his hard working in his life.

This person is like the bull that got his horns dirty by sticking them in the mud, because he also works hard enough to sweat to the point of finishing well his works, in his life. That is why people call consider him as “a mud mixer bull.”

This saying teaches people to be diligent in doing their works with strength until they finish them well, so that they can get assets that can help them in running well their families.

Romans 12:11.

Galatians 6:9.

Matthew 24:13.

 

bull-1

1077. DUJILE KUWALWA BHO BHUNWANI.

Akahayile kenako, kahoyelile bhung’wi bho walwa bho bhunwani. Uwalwa bhunubho bhugang’wiwagwa na bhanhu abho bhanwanile kunguno ya guyega kihamo ukunhu bhalilumba ukuyose iyo bhayipandika umubhutumami bhobho.

Abhoyi bhagalumanaga bhabhung’wa uwalwa bhunubho bhuli makanza ulu bhamala ugutumama imilimo yabho, kunguno ya bhumo bhobho bhunubho ubho gwiyizukija iyo bhakwabhile kihamo na gunumbilija unanhani obho. Hunagwene abhagayombaga giki, “dujile kuwalwa bho bhunwani.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gunumbilija Nsumbi obho ulu bhamala ugutumama imilimo yabho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhaganamyaga Mulungu uyo agabhinhaga bhupanga na nguzu ja gutumamila milimo yabho chiza, kunguno bhalina guzunya gutale ukuli Weyi. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi na gufunya bhulumbi ukuli Sebha kunguno bhang’wisanije Weyi umutumami bho milimo yabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabhanwani abho bhang’waga walwa bho gufunya bhulumbi ukuli Nsumbi obho, kunguno nabhoyi bhagatumamaga milimo yabho bho gung’wisanya Weyi na bhaganumbaga ulu bhajipandika jikolo jabho. Hunagwene bhagayombaga giki, “dujile kuwalwa bho bhunwani.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu na gunumbilija ulu bhamala ugutumama imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:34-35.

Yohana 15:9 -17.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

KISWAHILI:  TUNAENDA KWENYE POMBE YA KIRAFIKI.

Msemo huo, huongelea juu ya unywaji bho pombe ya kirafiki. Pombe hiyo, hunywiwa na watu wale ambao ni marafiki kwa lengo la kufurahi pamoja huku wakikumbuka mafaniko yao waliyoyapata mpaka wakati huo.

Wao hukusanyika na kuinywa pombe hiyo kila wanapomaliza kuyatekeleza majukumu yao kwa lengo la kuuendeleza umoja wao wa kukumbushana mema walitendewa na Muumba wao na kumshukuru. Ndiyo maana wao husema “tunaenda kwenye pombe ya kirafiki.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano wa kumshukuru Muumba wao kwa kuwapatia mafaniko yao, kila baada ya kumaliza kazi. Watu hao, humwabudu Mungu anayewapatia uhai na nguvu za kuyatekelezea majukumu yao, kwa sababu wana imani kubwa kwake. Wao hupata mafanikio mengi na kumshukuru Muumba wao kwa sababu ya kuweka matumaini yao yote kwake katika utekelezaji wa majukumu yao.

Watu hao, hufanana na wale marafiki waliokusanyika kunywa pombe ya shukrani kwa Mungu kwa wema wake, kwa sababu nao hukusanyika ili kumshukuru Mungu kwa wema mwingi anaowatendea, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tunaenda kwenye pombe ya kirafiki.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao kwa kumtegemea Mungu na kumpa shukrani kwa wema anaowatendea, ili waweze kupata mafaniko mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:34-35.

Yohana 15:9 -17.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

beer-6335004__480

ENGLISH: WE ARE GOING FOR A FRIENDLY BREW.

This saying parleys about drinking of friendly liquor. This liquor is drunk by those people who are friends for the purpose of having fun together while remembering their successes that they have achieved up to that time.

They gather and drink this alcohol every time after finishing their duties with an aim of continuing their unity, by reminding each other of the good things which they received from their Creator and enough to Him. That is why they say that, “we are going to a friendly brew.”

This saying is compared to people who have an understanding of thanking their Creator for giving them their success, every time they finish their works. These people worship God who gives them life and strength to carry out their duties, because they have great faith in Him. They get a lot of successes enough to thank their Creator because they put all their hope in Him in fullfilling their duties.

These people are similar to those friends who gathered to drink alcohol of thanksgiving to God for His goodness to them, because they also gather to thank God for the many goodness which He does to them, in their lives. That is why they say that, “we are going to a friendly brew.”

This saying teaches people about fulfilling their responsibilities by relying on God and thanking Him for the goodness which He does to them, so that they can get a lot of successes in their lives.

Matthew 25:34-35.

John 15:9 -17.

Galatians 6:10.

Luke 16:9.

1076. SANGILA BUGA YA B’ITOJI.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya libhilinga lya bhabyaji bha bhitoji. Ulimlibhilinga linilo bhaganumanaga abhabyaji abha ku lwande lo ngosha nabha kulwande lo nkima aho bhitolelaga abhana bhabho bhenabho. Abhabyaji bhenabho bhagisumbyaga kugiki bhabhalombele lubhango lo gwikala chiza abhitoji bhenabho. Hunagwene bhagalumanaga ha “hangila buga ya b’itoji.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kubhitoji abho bhagikalaga bhadebhile igiki bhali mili gumo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagikalaga na ng’wigwano go gwishibhila chiza umubhupangi nu mubhutumami bho milimo yabho, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga mbango ja gubhalela chiza abhana bhabho kunguno ya ng’wigwano gobho gunuyo, umukikalile kabho.

 Abhitoji bhenabho, bhagikolaga na bhabyaji bha bhitoji abho bhagalumana kihamo kubhalombela lubhango lo gwikala chiza abhana bhabho abho bhalibhitola, kunguno nabhoyi bhagikalaga na ng’wigwano go gubhalombela lubhango abhana bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagalumanaga ha “sangila buga ya b’itoji.”

Akahayile kenako, kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na ng’wigwano go kubhalombela lubhangu abhana bhabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 5:6-14.

Marko 10:7-9.

 

KISWAHILI: MUUNGANO WA WANAOOANA.

Chanzo cha msemo huo, chaongelea juu ya mkusanyiko wa wazazi wa watoto wanaooana. Mkusanyiko huo huandaliwa na wazazi wa pande zote mbili yaani wale wa upande wa mwanaume na wale wa upande wa mwanamke.

Wazazi hao hukusanyika ili kuwaombea Baraka za kuishi vizuri watoto wao hao wanaooana. Ndiyo maana husanyika kwenye “muungano wa wanaooana.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wanandoa wale ambao huishi kwa kuelewa kuwa wao ni mwili mmoja, katika maisha yao. Watu hao huwa na uelewano wa kuheshiana vizuri katika upangaji na utekelezaji wa kazi zao, maishani mwao. Wao huwapatia Baraka watoto wao za kuishi vizuri na watu kwa sababu ya uelewano wao huo, maishani mwao.

Wanandoa hao, hufanana na wale wazazi waliokusanyika kuwaombea Baraka za kuishi vizuri na watu watoto wao hao waliokuwa wanaoana, kwa sababu nao wana muungano wa kuwaombea Baraka za kuishi vizuri watoto wao. Ndiyo maana wao hukusanyika kwenye “muungano wa wanaooana.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na muungano wa kuwaombea Baraka watoto wao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Waefeso 5:6-14.

Marko 10:7-9.

engagement-7129147__480

 

african-couple-7403498__480

bride-5427659__480

 

ENGLISH:  A UNION OF THE MARRIED ONES.

This saying talks about the gathering of parents of children who get married. The gathering is organized by the parents of both sides, that is, those of the male side and those of the female side.

These parents gather to pray for blessings of their children who are getting married. That is why they gather in the “a union of the married ones.”

This saying is compared to those couples who live with the understanding that they are one body, in their lives. Those people have a good mutual understanding in the planning and implementation of their works, in their lives. They give blessings to their children to live well with people because of their understanding, in their lives.

Those couples are similar to those parents who gathered to pray for blessings of their children to live well with people who were getting married, because they also have a union to pray for blessings of their children to live well. That is why they gather in the “a union of the married ones.”

This saying teaches people about having a union to pray for their children’s blessings, so that they can raise their families well, in their lives.

Ephesians 5:6-14.

Mark 10:7-9.

1075. NADOSELA NG’WA GOGOJA.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhukumuku bho ng’wa munhu uyo witanagwa Gogoja. Umunhu ng’wunuyo wikalaga na bhahemba bhakwe abho obhalangaga kikalile kawiza na bhanhu kunguno ya witegeleja bhokwe umuchalo jakwe.

Abhahemba bhakwe bhenabho obhalomelaga mihayo ya gubhabheja chiza umumioyo jabho. Hunagwene bhayombaga giki, “nadosela ng’wa Gogoja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli ntongeji obhanhu uyo agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Untongeji ng’wunuyo, agigashaga kihamo na bhanhu bhakwe bhalungalunga ahigulya ya milimo iyo bhalihaya guitumama, kunguno alinabhutogwa bhutale ukubhoyi. Uweyi agabhenhelaga bhuyegi abhanhu bhakwe umubhutongeji bhokwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Untongeji ng’wunuyo agikolaga nu Gogoja uyo obhalangaga kikalile kawiza abhahemba bhakwe, kunguno nuweyi agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhakwe bhagayombaga giki, “nadosela ng’wa Gogoja.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubhatongela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11: 28-29.

Zaburi 46:2.

Zaburi 138:7.

KISWAHILI: NAJIVUNIA KWA GOGOJA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia umaalufu wa mtu anayeitwa Gogoja. Mtu huyo, aliishi na wafuasi wake ambao aliwafundisha namna ya kuishi vizuri na watu kwa sababu ya maisha yake kuwa mazuri, kijijini mwake.

Wafuasi wake hao huwa anawaeleza maneno yenye hekima ya kuifurahisha mioyo yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “najivunia kwa Gogoja.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa kiongozi wa watu ambaye huwaongoza vizuri watu wake, katika maisha yake. Kiongozi huyo, hupanga mipango yake kwa kukaa pamoja na watu wake ili kuwasikiliza na kupata mawazo yao, kwa sababu ya upendo wake kwa watu wake hao. Yeye huwaletea furaha watu wake katika uongozi wake kwa sababu ya umakini wake huo, katika uongozi wake.

Kiongozi huyo, hufanana na Gogoja aliyewaongoza vizuri wafuasi wake, kwa sababu naye huwaongoza vizuri wananchi wake, katika uongozi wake. Ndiyo maana watu wake hao husema kwamba, “najivunia kwa Gogoja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa makini kwa kuwaongoza watu wao vizuri, ili waweze kuishi kwa amani maishani mwao.

Mathayo 11: 28-29.

Zaburi 46:2.

Zaburi 138:7.

cow-1908327__480

steaks-271818__480

calf-3680638__480

ENGLISH: I AM PROUD OF GOGOJA.

This saying looks at the popularity of a person whose name was Gogoja. This person lived with his followers whom he taught them on how to live well with people because of his moral life, in his village.

He always told his followers wise words that can make their hearts happy. That is why they say, “I am proud of Gogoja.”

This saying is compared to a leader of people who leads his people well, in his life. This leader makes his plans by sitting together with his people enough to listen to them and get their thoughts, because of his love for his people. He brings happiness to his people in his leadership because of his focus, in his leadership.

This leader resembles to Gogoja who led his followers well, because he also leads his citizens well, in his leadership. That is why his people say that, “I am proud of Gogoja.”

This saying imparts in people an idea of being careful by leading their people well, so that they can live peacefully in their lives.

Matthew 11: 28-29.

Psalm 46:2.

Psalm 138:7.

1074. NZUGU NAYO IBHILI.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhulombi bho gunhi kulimunhu nhebhe. Olihoyi munhu umo uyo agaja gujulomba igembe habhuzenganwa bho gwiganika giki agupandika duhu kunguno ya widebhi bhokwe nu nzenganwa okwe ng’wunuyo.

Aliyo lulu aho oshiga ahakaya yiniyo, agagayiwa iligembe linilo kunguno bhalibhaja gujugalimia amagembe gabho pye agose abhanhu abha ha kaya yiniyo. Aho ogayiwa umunhu ng’wunuyo, agadebha igiki unombi ojikolo adulile gupandika nulu gugayiwa. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “nzugu nayo ibhili.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapangaga milimo yakwe bho nduhu ugumwisanya Mulungu uyo ayidebhile pye iyose. Umunhu ng’wunuyo agatumamaga milimo yakwe bho gwipangila weyi ng’winikili duhu kunguno ya gugayiwa guzunya gokwe ukuli Mulungu. Uweyi agadumaga uguimala chiza imilimo yakwe kunguno ya gwiisanya weyi ng’wikili duhu bho nduhu ugwiiganika iyo apangile Mulungu uyo agayimalaga pye iyose, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agajuugayiwa ijikolo ijo olandaga aha bhuzenganwa, kunguno nuweyi agiisanyaga weyi duhu umubhutumami bhokwe bho nduhu ugumana umo apangilile umulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nzugu nayo ibhili.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwita iyo atogilwe UMulungu bho gung’wisanya weyi ubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja guimala chiza imilimo yabho yiniyo na gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

1Samweli 17:38 – 51.

Yohana 21: 1-14.

Mathayo 4: 1- 14.

KISWAHILI: NJOO NAYO MAWILI.

Msemo huo, huongelea juu ya uombaji wa kitu fulani kwa mtu. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alienda kuomba jembe kwa jirani yake akiwa na wazo la kupata bila kukosa kwa sababu ya uelewano waliokuwa nao kati yake na yule jirani.

Lakini basi alipofika kwenye familia hiyo, alikosa hilo jembe kwa sababu watu wa pale walikuwa wameenda kuyalimia majembe yote. Alipokosa alielewa kuwa, kumbe muombaji anaweza kupata au kukosa. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “njoo nayo mawali.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupanga kazi zake bila kumshirikisha Mungu ambaye huikamilia yote. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa kujipangia mwenyewe tu bila kutegemea mpango wa Mungu kwa sababu ya kukosa imani kwa Muumba wake huyo. Yeye hushindwa kufanikwa katika kazi zake kwa sababu ya kukosa msaada ya Mungu awezaye kumpatia mafanikio hayo yote, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeenda kuazima kitu akitegemea kupata lakini akakosa, kwa sababu naye hufanya kazi zake kwa kujitegemea mwenyewe tu bila kumshirikisha Mungu, katika kazi zake hizo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “njoo nayo mawili.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuuelewa na kutimiza mpango wa Mungu kwa kumtegemea Yeye katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata Baraka za kufanikiwa vizuri katika kazi zao na kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

1Samweli 17:38 – 51.

Yohana 21: 1-14.

Mathayo 4: 1- 14.

black-women-7047086__480

women-5935801__480

fight-1564959__480

ENGLISH: COME WITH BOTH TWO.

This saying talks about the request of something for someone. There was a man who went to ask his neighbor for a hoe with the idea of ​​getting one without missing because of the understanding they had between him and the neighbor.

But then when he arrived at the family, he missed the hoe because the people there had gone to work with all hoes. When he missed, he understood that, well, the applicant can get or miss. That is why people told him that, “come with both two.”

This saying is compared to the person who plans his work without involving God who completes it all. Such person does his work by planning for himself without relying on God’s plan because of his lack of faith in his Creator. He fails to succeed in his works because of the lack of God’s help who can give him all that success in his life.

This person is like the one who went to borrow something hoping to get it but failed, because he also does his work independently without involving God in his work. That is why people told him that, “come with both two.”

This saying teaches people about understanding and fulfilling God’s plan by relying on Him in the implementation of their responsibilities, so that they can get the Blessings of being successful in their work and living well with their nobles in their lives.

1 Samuel 17:38 – 51.

John 21: 1-14.

Matthew 4:1-14.