sayings

1176. LYANGAKALILA.

Akahayile kenako kalolile bhanhu abho bhajaga gujulolilola lipuli umuchalo ja Ndoleleji. Ilipuli linilo ligalekwa na bhichalyo lilidima ng’wibhonde lya kumongo go Mangu.

Abhanhu aho bhalibhona bhagayupela gujulilola ukunhu bhalikumija mpaga nose bhukwila gete. Olihoyi munhu umo uyo agaligima bho gulyegela mpaga ulikinde linti, kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho. Aho lyamona ligangakalila linsangile mpaga upela uko gujile unyaga ugagwa mulilonga. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “lyangakalila.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitulaga bhumani bho gwigimba sagala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga abhadarahile abhiye kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho. Uweyi apandikaga mamihayo gagwiduma na bhanhu aha kaya yakwe kunguno ya gwitula bhumani bho gubhadalaha abhiye chiniko, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaligima ilipuli bho gulikinda linti mpaga lyuntula, ugagwa mulilonga, kunguno nuweyi agitulaga bhumani bho gubhabyeda abhiye mpaga opandika mamihayo gagwiduma na bhanhu aha kaya yakwe yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyangakalila.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhutumamila chiza ubhutale nubhumani bhokwe umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Hesabu 13:30-32.

Zaburi 46:2-3.

KISWAHILI: LIMEMTUKA KWA MAJIGAMBO.

Msemo huo, huongelea watu walioenda kumwangalia Tembo kwenye kijiji cha Ndoleleji. Tembo huyo aliachwa na wenzake kwenye bustani ya Mto wa Mangu alijilisha.

Watu walipomuona huyo Tembo walikimbia kwenda kumuangalia mpaga wakawa wengi sana. Mmoja wa wale watu alijidai kumzoea huyo Tembo kwa kumsogelea mpaga akamchoma mti, kwa sababu ya majivuno yake hayo. Tembo huyo aligeuka na kumfuata kwa majigambo yule mtu ambaye alikimbia kuelekea unakoenda upepo mpaka akaanguka kwenye korongo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “limemtuka kwa majigambo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujitia kujua kwa kujigamba hovyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau wenzake kwa sababu ya majivuno yake hayo. Yeye hupata matatizo ya kukosana na watu kwenye familia yake, kwa sababu ya kujidai kujua kwake akiwadharau wenzake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejigamba kwa kumchola mti Tembo, afukuzwa mpaka agaangukia kwenye korongo, kwa sababu naye hujigamba kwa kuwadharau wenzake mpaka anapata matatizo ya kukosana na watu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “limemkuta kwa majigambo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuutumia vizuri uongozi na uwezo wao, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Hesabu 13:30-32.

Zaburi 46:2-3.

ENGLISH: IT HAS POMPOUSLY FOUND HIM.

This saying speaks of the people who went to see an Elephant in the village of Ndoleleji. This elephant was left by his companions in the Mangu River garden where it fed itself.

When the people saw it, they ran towards it in order to see it and there were many of them. One of them claimed to be familiar with such Elephant by approaching it. He stabbed it with a tree, because of his arrogance. The elephant turned and proudly followed such man who ran in the direction of the wind until he fell into the canyon. That is why people told him that, “it has pompously found him.”

This saying is compared to a person who makes himself known by being vainly proud, in his life. Such person despises his colleagues because of his pride. He has problems of missing people who can to stay with him in his family, because of his self-deprecating knowledge of those colleagues in his life.

This person resembles the one who boasted about to the point of stabling an elephant by using a tree, who was chased until he fell into a canyon, because he also boasts about disrespecting his colleagues until he gets problems of not getting along with people, in his life. That is why people tell him that, “it has pompously found him.”

This saying imparts in people an idea of using their leadership and abilities properly, in an enactment of their responsibilities, so that they can live well with their people, in their lives.

Numbers 13:30-32.

Psalm 46:2-3.

elephant-335754__480

1174. NSHIYA ADI NA NKINDO.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya kasiminzile ka Nshiya. Unshiya ng’wunuyo, agajaga bho gwibhisa bhisa niyo b’o gupanda hado hado ulu agashiya kugiki adizigwiwa na gubhonwa. Uweyi agajaga bho gwibhanda iki adahayile ugumanyika kunguno amanile igiki iyo agiitaga idi yawiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nshiya adi adina nkindo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ugujiita iyabhubhi yiniyo, bho gwibhanda ukunhu alipanda hado hado kunguno ya giki adizigwiwa na gubhona na bhanikili abho alibhitila iyabhubhi yiniyo. Uweyi agikalaga na wibhakizu aha kaya yakwe kunguno ya kutumama mihayo yakwe iyabhibhi yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nshiya uyo agajaga ugujiita iyabhubhi yiniyo, bho gwibhisa ukunu alipando hado hado, kunguno nuweyi agaitumamaga imihayo iyabhubhi yiniyo, bho gwibhisa, kugiki adizubhonwa nabho alibhitila iyabhibhu yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nshiya adi na nkindo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwita mihayo ya bhubhi, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umu kaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-37.

Mathayo 10:26-28.

KISWAHILI: MZINZI HANA KISHINDO.

Msemo huo, huongelea juu ya mzinzi. Mzinzi huyo, huenda kutekeleza lengo lake kwa kujificha huku akikanyaga pole pole ili asisikiwe. Yeye huenda kwa kujificha ili asijulikane kwa sababu anafahamu kuwa anachokifanya ni kiovu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mzinzi hana kishindo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda maovu katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kutekeleza uovu wake huo kwa njia ya kujificha, na hukanyaga pole pole kwa sababu hataki kujulikana, anapoutekeleza uovu wake. Yeye huishi kwa wasiwasi kwenye familia yake, kwa sababu ya kutenda kwake maovu hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzinzi aliyeenda kutekeleza kitendo chake kwa kujificha, kwa sababu naye hutekeleza uovu wake kwa kujificha ili asijulikane kwa watu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mzinzi hana kishindo.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kutenda maovu katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-37.

Mathayo 10:26-28.

ENGLISH: THE ADULTERER HAS NO VOICE.

This saying talks about an adulterer. The adulterer, may carry out his goal by hiding while treading slowly so as not to be heard. He goes in hiding so as not to be known because he knows that what he is doing is evil. That is why people tell him that, “the adulterer has no voice.”

This saying is compared to the person who does evil in his life. Such person does his evil in a hidden way, and steps slowly because he does not want to be known, when he carries out such evil. He lives in worry in his family, because of his doing those evil things, in his life.

This person resembles the adulterer who went to carry out his evil act in hiding, because he also carries out his evil in hiding so that he is not known to people, in his life. That is why people tell him that, “the adulterer has no voice.”

This saying imparts in people an idea of stopping doing evil in their lives, so that they can live peacefully in their families.

Matthew 5:27-37.

Matthew 10:26-28.

couple-7643063__480

african-couple-7403492__480

couple-254684__480

1173. WIGONZOLA UWINGA.

Gwigonzola ili gwigondagula kunguno ya mapinja mapinja ayo gagatindikaga winga. Bhalihoyi bhanhu abho bhahayaga gwitola umuchalo ja Ngeme. Abhilomeji bha bhikweji abha nhande ijibhili bhagakoyakoya ugwidebha umpango go ng’ombe mpaga nose wimichiwa uwinga bhunubho. Aho wimichiwa, igigela na mbita hagati yingi hangi iyo igabhudija uwinga bhunubho, kunguno bhugasola likanza lilihu noyi na witiwa lulu. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “wigonzola uwinga.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa ku bhitoji abho bhagiyumilijaga ugugamama wangu amakoye ulu gigela umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagikomejaga gutumama milimo yabho kihamo na guhoya bhuli makanza ulu bhapandikaga makoye, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umuwitoji bhobho. Abhoyi bhagabhambilijaga abhanhu bhabho ugugamala wangu amakoye gabho kunguno ya wiyumilija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nu winga ubho bhugadijiwa na bhikweji mpaga yugigela na mbita hagati yingi, na witiwa, kunguno nabhoyi bhagapandika makoye bhiyumilija ugugamala wangu bho gutumama milimo yabho kihamo na guhoya kihamo, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “wigonzola uwinga.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na wiyumilija bho guhoya chiza na kutumama milimo yabho kihamo kugiki bhadule gugamala wangu amakoye gabho, na gwikala bho mholele, umiwikaji bhobho.

Luka 14: 15-20.

Mathayo 24:36-38.

KISWAHILI: HARUSI IMEJIVIRIGA VIRIGA.

Kujivirigaviriga ni kucheleweshwa kwa harusi kwa sababu ya mapingamizi mbalimbali. Wakuliwepo watu waliotaka kuoana katika kijiji cha Ngeme. Watu wa pande mbili waliokaa kikao cha kuelewana mahali walishindwa kufikia mwafaka mpaga mwishowe harusi hiyo ilisimamishwa kwa muda. Baada ya kusimamishwa hivyo yalitokea matatizo mengine ambayo aliichelewesha zaidi harusi hiyo, kwa sababu ilichukuma muda mrefu ndipo ikafanyika. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “harusi imejivirigaviriga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wana ndoa wale ambao huyatatua matatizo yao kwa uvulimilivu, kila yanapotokea, katika maisha yao. Watu hao, hujibidisha kufanya kazi zao kwa pamoja na kuongeza kwa pamoja kila wanapopata matatizo, kwa sababu ya upendo wao huo kati yao. Wao huwasaidia watu wengi katika kuyatatua matatizo yao haraka, kwa sababu ya uvumilivu wao huo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na ile harusi iliyocheleweshwa na wapangaji wa mahali mpaka yakatokea matatizo wengine yaliyoichelewesha zaidi, kwa sababu nao huyatatua matatizo yao kwa uvumilifu kila yanapotokea, kwa kuongea na kufanya kazi zao kwa pamoja, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “harusi imejivirigaviriga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kuyatatua matatizo yao kwa kuongea na kufanya kazi zao kwa pamoja, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Luka 14: 15-20.

Mathayo 24:36-38.

ENGLISH: THE WEDDING HAS MESSED UP.

Stagnation is a delay of a wedding due to various hostilities. There were people who wanted to get married at Ngeme village. People from both sides who sat in a meeting to understand each other failed to reach an agreement at the end the wedding was stopped for a while. After that suspension, other problems occurred which further delayed the wedding, because it took a long time to take place. That is why people said that, “the wedding has messed up.”

This saying is compared to married people who solve their problems with patience, whenever they arise, in their lives. Those people, try to do their work together and talk together whenever they have problems, because of their love for each other. They help many people in solving their problems quickly, because of their patience, in their lives.

Those people are like the wedding that was delayed by planners until there were other problems that delayed it even more, because they also solve their problems patiently whenever they occur, by talking and doing their work together, in their lives. That is why people tell them that, “the wedding has messed up.”

This saying teaches people about having patience that is strong enough to enable them solve their problems by talking and doing their work together, so that they can live peacefully in their lives.

Luke 14: 15-20.

Matthew 24:36-38.

bride-5427659__480

1171. ODIMAGA IKANZA.

Akahayile kenako kalolile munhu uyo oli nikanza lya gujila minzi bhuli lushigu. Umunhu ng’wunuyo, wipunaga diyu aja kumongo gujudaha minzi bhuli lushigu, kunguno osangaga mingi masoga ayo gadayugulilwe na mitugo ahikanza linilo. Uweyi agakumuka nose umuchalo jakwe jinijo kunguno ya wipuni bhokwe bhunubho ubho gujila minzi bhuli lushigu. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “odimaga ikanza.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajilanijaga na likanza umubhutumami bho milimo yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga gulima ulu lyashiga ilikanza ilya jidiku, kunguno ahayile apandike matwajo mingi aha kaya yakwe. Uweyi agapanaga majiliwa mingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya gwigulambija gutumama milimo yakwe bho gujilanija ni kanza chiniko, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo wipunaga gujudaha mingi ogapandika minzi masoga bhuli lushigu, kunguno nuweyi agandyaga gulima ahikanza ilya jidiku bho gujilanija ni kanza mpaga opandika sabho ningi, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “odimaga ikanza.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gujilanija ni kanza bhuli lushigu, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija chiza, umukaya jabho jinijo.

Mhubiri 3:1-8.

Yohana 2:1-5.

Luka 22:14-16.

KISWAHILI: AMESHIKA MUDA.

Msemo huo, huangalia mtu aliyekuwa akienda kuchota maji kila siku. Mtu huyo, alikuwa akijilawa asubuhi na mapema kwenda mtoni kuchota maji kila siku kwa sababu ya kutaka kupata maji safi ambayo hajavurugwa na mifugo wakati huo. Yeye alijulikana sana kwenye kijiji chake kwa sababu ya kutoka kwake asabuhi na mapema kwenda kuchota maji. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ameshika muda.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huendana na muda katika utekelezaji wa kazi zake, maishani mwake. Mtu huyo, huanza kulima kwa bidii sana wakati wa masika, kwa sababu anapenda kupata mafanikio mengi katika familia yake. Yeye hupata mazao mengi kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya kujibidisha kufanya kazi kwa kuendana na muda hivyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejilawa kwenda kuchota maji akayapata yaliyosafi, kwa sababu naye hujibidisha kulima wakati wa masika kwa kuendana na muda mpaga anapata mali nyingi, katika kazi zake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ameshika muda.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa kuendana na muda kila siku, ili waweze kupata mali za kuwasaidia vizuri, katika familia zao.

Mhubiri 3:1-8.

Yohana 2:1-5.

Luka 22:14-16.

 

ENGLISH: HE IS ON TIME.

This saying looks at the person who went to fetch water every day. Such man used to wake up early in the morning to go to the river for fetching water every day because he wanted to get clean water that was not disturbed by livestock at that time. He was well known in his village because of his going out early in the morning to fetch water. That is why people said about him that, “he is on time.”

This saying is compared to a person who goes with time in implementing his works, in his life. Such person starts farming very hard during the spring, because he likes to get a lot of success in his family. He gets a lot of harvests in his family, because of working according to the required time, in his life.

This person resembles the one who went to fetch water in the morning and found it clean, because he also cultivates during the spring in accordance with the time to the point of getting a lot of wealth, in his works. That is why people say about him that, “he is on time.”

This saying imparts in people an idea of having to do their works in accordance with the time every day, so that they can get enough assets to support them well, in their families.

Ecclesiastes 3:1-8.

John 2:1-5.

Luke 22:14-16.

 

people-3127600__480

1167. OBHUGOMOLA NG’WILU ONZWILI CHEYO.

Olihoyi nkima uyo ali nfula umukikalile kakwe nabhiye kunguno oliazunije ugutumama milimo kihamo nabho bho gutung’wa nabho. Unkima ng’wunuyo oli wihanga lya wiza na nzwili ndogoleku guti cheo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “obhugomola ng’wilu onzwili cheo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na widohya bho gubhagola na gubhalanhana chiza abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhagolaga bho gubhazwika jizwalo ja wiza abhanhu bhakwe na gubhalanhana bho gutumama milimo nabho chiza. Uweyi agafunyaga ilange lya wiza ukubhanhu bhakwe ilo ligabhambilija gutumama milimo bho gwiyambilija na gwilanhana chiza kunguno ya widohya bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima unfula uyo obhalanhana chiza abhanhu bhakwe bho gubhagola na gutumama milimo yabho kihamo nabho, kunguno nuweyi agabhalanhanaga abhanhu bhakwe bho gwiyambilija gutumama milimo nabho chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “obhugomola ng’wilu onzwili cheo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhalanhana abhichabho bho gubhagola na gutumama milimo bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhokwe.

Wimbo ulio bora 4:1.

Zaburi 45:3-5.

Zaburi 45:9-10.

KISWAHILI: MWENYE KUJIPANBA MAJI YA KUNDE NYWELE UFAGIO.

Alikuwepo mwanamke aliyekuwa mnyenyekevu katika maisha yake kwa sababu alikubali kufanya kazi pamoja na wenzake kwa kukubali kutumwa nao. Mwanamke huyo, alikuwa na sura nzuri na nywele laini kama mfagio. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mwenye kujipamba maji ya kunde nywele ufagio.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kuwalinda wenzake kwa kuwakarimu na kufanya kazi pamoja nao, katika maisha yake. Mtu huyo, huwakarimu watu wake hao kwa kuwavika mavazi mazuri na kuwalinda kwa kufanya kazi vizuri pamoja nao. Yeye hutoa malezi mema kwa watu wake yawawezeshayo kufanya kazi kwa kusaidiana na kutunzana vizuri, kwa sababu ya unyenyekevu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanamke mnyenyekevu aliyewalinda watu wake kwa kuwakarimu na kufanya kazi pamoja nao, kwa sababu naye huwalinda watu wake kwa kuwakarimu na kufanya kazi kusaidiana pamoja nao, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwenye kujipamba maji ya kunde nywele ufagio.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwalinda wenzao kwa kukarimu na kufanya kazi kwa kusaidiana pamoja ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wimbo ulio bora 4:1.

Zaburi 45:3-5.

Zaburi 45:9-10.

female-4899179__480