sayings

1186. NALIILA NINDO.

Olihoyi munhu uyo oli mulugendo lo gujugisha bhadugu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, agasiminza lugendo lulihu mpaga nose utuubha kunguno ya gubhitya likanza lilihu bho nduhu ugulya. Uweyi agaliga hali kaya lya ng’wa munhu ubhasanga bhalimalija gulya bhuchele ubho agawigwa bhulinuhiila duhu umunindo bho nduhu ubhubhulya kunguno bholi bho shila. Hunagwene agayomba giki, “naliila nindo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gulindila jiliwa jingi ulu osanga abhiye bhamalaga gulya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalindilaga mpaga abhazugi bhazuga jiliwa jingi ulu osangaga bhanhu bhamalaga gulya kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga bho bhuyegi bhutale aha kaya yakwe kunguno ya guhoya na bhanhu bhakwe bho wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasanga bhanhu bhalimalija gulya bhuchele ugelela guwigwa mu ningo duhu, kunguno nuweyi agiyumilijaga gulindila mpaga abhazugi bhazuga jiliwa jingi, ulu osangaga abhiye bhajimalaga gujilya ijiliwa jinijo, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agayombaga giki, “naliila nindo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gulindila mpaga abhazugi bhazuge jiliwa jingi, ulu bhasangaga jiliwa jashilaga, kugiki bhadule gwidebha chiza, umuwikaji bhobho.

Luka 16:19-21.

KISWAHILI: NIMEKULA KWA PUA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa safarini kwenda kuwasalimu ndugu zake. Mtu huyo, alitembea mwendo mrefu mpaka mwishowe akajisikia njaa kwa sababu ya kupitisha muda mrefu bila kula chakula. Yeye alipita kwenye familia moja akawakuta wanamalizia kula wali ambao ulimunukia tu, bila kuula, kwa sababu ulikuwa umeisha. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimekula kwa pua.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kwa kusubiria mpaka chakula kingine kipikwe akiwakuta wenzake wamemaliza kula, katika maisha yake. Mtu huyo, husubiria mpaka wapishi wamalize kupika chakula kingine kila anapowakuta wenzake wamemaliza kula kwa sababu ya uvumilivu wake huo. Yeye huishi  kwa furaha kubwa na watu waliyoko kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya kuongea nao kwa uvumilifu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewakuta wenzake wamemaliza kula wali ulioishia kunukia tu kwake, kwa sababu naye huvumilia kwa kusubiria mpaka wapishi waivishe chakula kingine, anapowakuta wenzake wamemaliza kula, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimekula kwa pua.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kusubili mpaka wapishi waivishe chakula kingine wanapowakuta wenzao wamemaliza kula, ili waweze kuelewana vizuri, maishani mwao.

Luka 16:19-21.

ENGLISH: I HAVE EATEN BY USING NOSE.

There was a man who was on his way to greet his brothers. He walked a long way until he finally felt hungry because of spending a long time without eating. He passed by a family and found them finishing eating the rice that he only smelled, without eating it, because it had run out. That is why he said that, “I have eaten by using nose.”

This saying is compared to a person who endures by waiting until another meal is cooked when he finds his colleagues have finished eating, in his life. Such person waits until cooks finish cooking another meal whenever he finds his colleagues have finished eating because of his patience. He lives happily with the people in his family, because of talking to them with his patience, in his life.

This person is similar to the one who found his colleagues finished eating rice that ended up smelling only to it, because he also endures by waiting until the cooks put on another food, when he finds his colleagues have finished eating, in his life. That is why he says that, “I have eaten by using nose.”

This saying teaches people about having strong patience enough to enable them wait until cooks put on another food when they find their colleagues have finished eating, so that they can understand each other well, in their lives.

Luke 16:19-21.

jollof-4659747__480

1183. LUHUNI LELO OHAJA.

Olihoyi munhu uyo witanagwa Luhuni umuchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, olina kajile ka wib’i bho jikolo ja bhanhu kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo yakwe chiza. Uweyi bhibhaga jikolo ja bhanhu nhangala ningi bho nduhu uguding’wa. Aliyo lulu, lushigu lumo agading’wa aho aliib’a ijikolo ja bhanhu jinijo. Hunagwene abhanhu bhangang’wila giki, “Luhuni lelo ohaja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina jilangu ja gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhitilaga miito ga bhubhi abhiye bhenabho bho gwibhisa kugiki adizubhonwa, kunguno ya jilangu jakwe jinijo. Uweyi agapandikaga makoye gaguding’wa na gulipishiwa majikolo mingi, kunguno ya gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Luhuni uyo wibhaga jikolo ja bhanhu mpaga nose uding’wa na bhinikili jikolo jinijo, kunguno nuweyi agabhitilaga mihayo ya bhubhi abhiye mpaga nose oding’wa na gulipishiwa majikolo mingi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “Luhuni lelo ohaja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwita mihayo ya bhubhi umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo ya gupandikila sabho jabho chiza, umuwikaji bhobho.

Kutoka 20:15-17.

KISWAHILI: LUHUNI LEO AMEKWAMA.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeitwa Luhuni katika kijiji fulani. Mtu huyo alikuwa na tabia ya wizi wa vitu vya watu kwa sababu ya uvivu wake wa kufanya kazi zake vizuri. Yeye alikuwa akiiba vitu vya watu hao mara nyingi bila kushikwa. Lakini siku moja alikamatwa alipokuwa akiiba mali hizo za watu. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “Luhuni leo amekwama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tamaa ya kuwatendea matendo maovu wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, alizoea kuwatendea wenzake matendo hayo maovu kwa kujificha ili asionekane, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya. Yeye alipata matatizo ya kukamatwa na kupewa adhabu ya kulipa mali nyingi, kwa sababu ya kuwatendea wenzake matendo hayo maovu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule Luhuni aliyekuwa akiwaiibia watu mali zao mpaka mwishowe alikamatwa, kwa sababu naye huwatendea wenzake matendo maovu mpaka mwishowe anakamatwa na kupewa adhabu ya kulipa mali nyingi, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “Luhuni leo amekwama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwatendea wenzao matendo maovu katika maisha yao, ili waweze kufanya kazi za kuwapatia mali zao vizuri, maishani mwao.

Kutoka 20:15-17.

ENGLISH: LUHUNI HAS STUCK TODAY.

There was a man named Luhuni in a certain village. He had a habit of stealing people’s things because of his laziness in doing his work properly. He used to steal things from those people many times without getting caught. But one day he was caught while he was stealing people’s property. That is why people told him that, “Luhuni has stuck today.”

This saying is equaled to a person who has the desire to do evil deeds to his colleagues, in his life. Such person used to do these evil deeds to his equals by hiding so that he would not be seen, because of his evil behavior. He had troubles of being arrested and given punishment of paying a lot of money, because of doing those evil deeds to his colleagues, in his life.

This person resembles to Luhuni who used to steal people’s property until he was finally caught, because he also does evil things to his fellows until he is finally caught and given punishment of paying a lot of money, in his life. That is why people told him that, “Luhuni has stuck today.”

This saying teaches people to stop the habit of doing wicked things to their companions in their lives, so that they can work enough to get their wealth well, in their lives.

Exodus 20:15-17.

operation-80124__480

1182. NASHOLWA BHINGI.

Olihoyi munhu uyo obhambilija gutumama milimo abhiye umuchalo cha Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo, otumamaga nabho gwingila diyu mpaga mhindi kunguno ya lisungu lyakwe ukubhoyi. Aliyo lulu, abhanhu bhenabho, bhamanaga bhundahahija duhu ulu obhambilija chiniko, kunguno ya bhujidalumba bhobho. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayomba giki, “nasholwa bhingi.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo yawiza ukunhu bhalinduhilija abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga miito gawiza gagubhambilija abhanhu abho bhali na makoye kunguno ya bhutungilija na bhutogwa bhokwe ukubhiye bhenabho, abho bhagamaga bhunduhilija duhu. Uweyi agiyumilijaga gwita mihayo ya wiza ukubhiye bho nduhu ugubhadegeleka abho bhagandarahijaga, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhambilijaga gutumama milimo yabho abho bhandahahilija, kunguno nuweyi agitaga miito gawiza ukubhiye, bho nduhu ugubhadegeleka abho bhaganshukilijaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “nasholwa bhingi.”

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gwita miito ga wiza bho nduhu kubhadegeleka abho bhagabhaduhilijaga, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Isaya 53:1-4.

Mathayo 27:35-43.

Yohana 8:4=31-47.

KISWAHILI: NIMEFYONZWA WENGI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiwasaidia wenzake katika kijiji cha Ng’watuju. Mtu huyo, aliwasaida wenzake hao kufanya kazi zao kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu ya huruma yake kwao. Lakini watu hao, walikuwa wakimdharau tu kila anapowasaidia hivyo kwa sababu ya kukosa shukrani kwao. Ndiyo maana mtu huyo alisema kwamba, “nimefyonzwa wengi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda matendo mema huku wenzake wakimdharau, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda matendo ya kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo kwa sababu ya uaminifu na upendo wake kwao watu hao ambao humdharua tu. Yeye huvumilia kuendelea kutenda mema kwa wenzake hao bila kuwajali wale wanaomdharau, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akiwasaidia watu waliokuwa wakimdharau, kwa sababu naye hutenda matendo mema kwa wenzake bila kuwajali wale wanaomdharau, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “nimefyonzwa wengi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvumilia kutenda mema bila kuwasikiliza wale wanaowadharau, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Isaya 53:1-4.

Mathayo 27:35-43.

Yohana 8:4=31-47.

ENGLISH: I HAVE BEEN ABSORBED BY MANY.

There was a man who was helping his colleagues in a village of Ng’watuju. Such man helped them in doing their works from morning to evening because of his compassion for them. But those people were just disrespecting him every time he helped them like that because of their lack of gratitude. That is why he said that, “I have been absorbed by many.”

This saying is equated to a person who does good deeds to his people while they despise him, in his life. Such person helps people who are in trouble because of his loyalty and love for those people who just despise him. He endures to continue doing good deeds to his colleagues regardless of those who despise him, in his life.

This person is similar to the one who used to help people who despised him, because he also does good deeds to his colleagues without caring about those who despise him, in his life. That is why he tells them that, “I have been absorbed by many.”

This saying teaches people about persevering to do good deeds without listening to those who despise them, so that they can get a lot of success in their lives.

Isaiah 53:1-4.

Matthew 27:35-43.

John 8:4=31-47.

woman-6529392__480

1181. NADI OGWIKANISILWA UNENE.

Bhalihoyi bhanhu abho bhagiduma umuchalo ja Ng’watuma. Abhanhu bhenabho bhagidumila lubhimbi lo malale gabho mpaga bhandya guidukagula kunguno ya bhupelani bhobho bhunubho. Umo obho agolecha igiki uweyi adakangilwe na josejose na giki ali nduhu uguhewa. Hunagwene agayomba giki, “nadi ogwikanisilwa unene.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapelanaga wangu mpaga oyuyomba mamihayo ayo gadina solobho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga ubhakalihila sagala abhanhu bha ha kaya yakwe, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho. Uweyi agayibalasanyaga ikaya yakwe mpaga osaga bhung’wene kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagayogela lilale mpaga bhuyidukagula sagala, kunguno nuweyi agapenaga wangu mpaga oyubhadukagula sagala abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “nadi ogwikanisilwa unene.”

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhupelanu bho gubhadukagula sagala abhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:21-22.

1Samweli 17:42-46.

1Wakorintho 15:55, na 57.

KISWAHILI: MIMI SIO WA KULETEWA MAJIGAMBO.

Walikuwepo watu waliozozana kwenye kijiji cha Mwatuma. Watu hao, walizozania mpaka wa mashamba yao mpaka wakaanza kutukanana kwa sababu ya hasira zao. Mmoja wao alionesha kwamba yeye hatishwi na yeyote wala hashindwi. Ndiyo maana alisema kwamba, “mimi sio wa kuletewa majigambo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukasirika haraka mpaka anaongea maneno yasiyo na faida, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anawakaripia hovyo watu walioko kwenye familia yake, kwa sababu ya hasira zake hiyo. Yeye huwasambaratisha watu anaoishi nao kwenye familia yake, mpaka anabaki yeye peke yake, kwa sababu ya hasira zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliozozania mpaka wa mashamba yao, mpaka wakaanza kutukanana hovyo, kwa sababu naye hukasirika haraka mpaka anaanza kuwatukana hovyo watu walioko kwenye familia yake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu hao kwamba, “mimi sio wa kuletewa majigambo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha hasira za kuwatukana hovyo wenzao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 18:21-22.

1Samweli 17:42-46.

1Wakorintho 15:55, na 57.

ENGLISH: I AM NOT ONE TO BE BOASTED ABOUT.

There were people who quarreled in a village of Mwatuma. Those people argued about the border of their fields until they started insulting each other because of their anger. One of them showed that he is not threatened by anyone and does not fail. That is why he said that, “I am not one to be boasted about.”

This saying is equaled to a person who gets angry quickly until he speaks useless words in his life. Such person scolds the people in his family carelessly, because of his anger. He despises the people who stay with him in his family, until he remains alone, because of his anger.

This person resembles to those who quarreled over the border of their fields, until they started insulting each other carelessly, because he also gets angry quickly until he starts insulting people in his family. That is why he tells those people that, “I am not one to be boasted about.”

This saying, instils in people an idea of stopping anger of insulting their fellows, so that they can raise well their families, in their lives.

Matthew 18:21-22.

1 Samuel 17:42-46.

1 Corinthians 15:55, and 57.

paddy-4229734__480

1177. ILI LIKANGIKA.

Ikangika jili ginhu jikoji nulu jikali guti walwa, nulu bhupilipili, nulu litumbati, na jingi ijo jikolile ni jinijo. Iginhu jinijo, jigabhayanjaga abhanhu abho bhagajitumilaga bho nduhu bhitegeleja kunguno ya wayi bhojo. Abho bhagajitumilaga chiza na witegeleja jigabhinhaga bhuyegi. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga giki, “ili likangika.”

Akahayile kaneko kagalengajigwa kuli munhu uyo agajitumilaga bho witegeleja bhutale iginhu ijikoji, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina bhulingisilo ubho gujitumila ijikolo ni jiliwe ijo alinajo chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalangaga abhanhu ugujitumamila chiza ijikolo ijikoji pye ni jiliwa jabho, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagatumilaga ginhu jikoji bho witegeleja, kunguno nuweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe ugujitumila bho witegeleja ijiliwa ni jikolo jabho, umukikalile kakwe. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu bhakwe giki, “ili likangika.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na witegeleja bhutale ubho gujitumila chiza ikolo jabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Wagatia 5:16-26.

Isaya 5:22.

KISWAHILI: HILI NI KALI.

Kali ni kitu kinacho levya, au kusisimua, kama vile pombe, pilipili, tumbaku na vingine vinavyofanana na hivyo. Kitu hicho, hutumiwa kwa umakini na watu kwa sababu ya ukali wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hii ni kali.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia kwa umakini mkubwa vitu vyake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa na lengo la kuvitumia vizuri vyakula, vinyaji na vyote alivyo navyo, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuvitumia vizuri vitu vyao, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliovitumia vileo kwa umakini, kwa sababu naye huwafundisha watu wake namna ya kuvitumia kwa umakini vileo na mali zao, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu wake kwamba, “hii ni kali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini mkubwa katika kuvitumia vileo na mali zao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wagatia 5:16-26.

Isaya 5:22.

ENGLISH: THIS IS STRONG.

Strong thing is something that is intoxicating, or stimulating, such as alcohol, pepper, tobacco and the like. Such thing is used seriously by people because of its severity. That is why people say that, “this is strong.”

This saying is related to a person who uses his things very seriously, in his life. Such person always aims at making good use of food, vegetables and everything he has, because of his responsiveness. He also teaches his people on how to use their things well, because of his attention, in his life.

This person is similar to those who used alcohol seriously, because he also teaches his people on how to use alcohol and their property seriously, in his life. That is why he tells his people that, “this is strong.”

This saying teaches people about being very careful in using alcohol and their wealth, so that they can raise their families well, in their lives.

Acts 5:16-26.

Isaiah 5:22.

chili-991265__480