sayings

1192. IJI JILI JAMUNGUNDA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhagalima migunda ya bhusiga na mandege ahikanza lya jidiku. Abhanhu bhenabho bhagayilanhana chiza imigunda yabho yiniyo, mpaga bhubisha bhusiga wingi, na mandege mingi, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yabho yiniyo. Abhoyi bhagayega noyi aho bhapona amajiliwa genayo kunguno ya gutumila nguzu ningi uguilimila imigunda yabho yiniyo. Hunagwene aho bhajilya ijiliwa jinijo bhagayomba giki, “iji jili jamungunda.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo mingi na kupandika majikolo mingi, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagigulambijaga gutumama milimo mingi mpaga bhayimala chiza, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yabho bhunubho. Abhoyi bhagayegaga noyi ulu bhandya ugujitumila ijikolo ijo bhajipandika umubhutumami bhobho, kunguno ya bhuponi bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagayega abho bhapona bhusiga na mandege, kunguno nabhoyi bhagayegaga ulu bhajipandika ijikolo jamumilimo yabho yiniyo. Hunagwene bhagayombaga giki, “iji jili jamungunda.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule kupandika majikolo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 21:33.

Mathayo 13:1-3.

Marko 4:26.

KISWAHILI: HIVI NI VYA SHAMBANI.

Walikuwepo watu waliolima mashamba ya mtama na mahindi wakati wa masika. Watu hao, waliyatunza vizuri mashamba yao hayo mpaka wakapata mtama mwingi na mahindi mengi, kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kufanya kazi. Wao walifurahi sana walipoyapata mazao hayo ya chakula kwa sababu ya kutumia nguvu nyingi katika kuyatunza mashamba yao hayo. Ndiyo maana walipoanza kuyala mazao hayo, walisema kwamba, “hivi ni vya shambani.”

 Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi nyingi na kupata vitu vingi, katika maisha yao. Watu hao, hujibidisha kufanya kazi nyingi mpaga wanazimaliza vizuri, kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kufanya kazi. Wao hufurahi sana wanapoanza kuyatumia mazao yao hayo waliyoyapata, kwa sababu ya kupata mavuno mengi, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliofurahi baada ya kupata mtama na mahindi, kwa sababu nao hufurahi wanapopata mazao yao hayo kutoka kwenye kazi zao hizo. Ndiyo maana wao husema kwamba, “hivi ni vya shambani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao mpaka wanazimaliza vizuri, ili waweze kupata mazao mengi, maishani mwao.

Mathayo 21:33.

Mathayo 13:1-3.

Marko 4:26.

ENGLISH: THESE ARE FROM THE FARM.

There were people who cultivated millet and corn fields during the spring. Those people took good care of their fields until they got a lot of both millet and corns, because of their hard working activities. They were very happy when they got those food crops because of spending a lot of energy in taking care of their fields. That is why when they started eating those crops, they said that, “these are from the farm.”

This saying is compared to people who do a lot of works and get a lot of things, in their lives. Those people do a lot of works enough to finish them well, because of their hard working situation. They are very happy when they start using their crops that they got, because of getting a lot of harvests in their lives.

Those people are like those who were happy after getting millet and corns, because they are also happy when they get their crops from their works. That is why they say that, “these are from the farm.”

This saying teaches people about working hard in doing their works until they finish them well, so that they can get a lot of crops, in their lives.

Matthew 21:33.

Matthew 13:1-3.

maize-380701__480

1191. AGENAYO GALI MASAGILWA GA NSAMI.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile masagilwa ga ng’wa munhu uyo agasama ugazenga muchalo jingi. Umunhu ng’wunuyo, agasama ubhalekela ginhu bhanhu bhalebhe kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhoyi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “agenayo gali masagilwa ga nsami.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhelekelaga lilange lya wiza, abhanhu abho agikalaga nabho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga likanza lyakwe bho kubhalanga kutumama milimo abhanhu bhakwe na gwikala chiza na bhichabho, kunguno ya bhugolola bhokwe bhunubho. Uweyi agabhamanilijaga abhanhu bha kaya yake gutumama milimo yabho kihamo na bhichabho bho bhutogwa bhutale, kunguno ya bhugolola bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsami uyo agabhalekela ginhu abhitogwi bhakwe, kunguno nuweyi agabhalekelaga lilange lyawiza abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abhanhu bhakwe bhenabho giki, “agenayo gali masagilwa ga nsami.”

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhalekela lilange lyawiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohana 14:28.

Yohana 15:9-10.

1Petro 3:8.

KISWAHILI: HAYO NI MABAKI YA MHAMAJI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mabaki ya mtu aliyehama kwenda kuishi kwenye kijiji kingine. Mtu huyo, alihama akawaachia vitu baadhi ya watu kwa sababu ya upendo wake kwao. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “hayo ni mabaki ya mhamaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaachia malezi mema watu anaoishi nao, katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia muda wake kwa kuwafundisha maadili ya kufanya kazi kwa bidii, na kuishi na watu vizuri, kwa sababu ya unyofu wake huo. Yeye huwazoesha watu waishio kwenye familia yake kuyaishi maadili hayo ya kufanya kazi vizuri, na kuishi kwa amani na wenzao, kwa sababu ya unyofu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mhamaji aliyewaachia vitu wapendwa wake, kwa sababu naye huwaachia malezi mema watu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu huwaambia watu wake hao kwamba, “hayo ni mabaki ya mhamaji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaachia malezi mema watu wanaoishi nao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohana 14:28.

Yohana 15:9-10.

1Petro 3:8.

ENGLISH: THOSE ARE THE REMAINS OF A MIGRANT.

The source of the above saying speaks about remains of a person who moved from a certain village to live in another one. Such man left some things for some people because of his love for them. That is why those people said that, “those are the remains of a migrant.”

This saying is related to a person who leaves a good upbringing to the people who live with him in his life. Such person, spends his time by teaching people the values of working hard enough to live well with people, because of his sincerity. He trains the people who live in his family on how to live according to the values of working well, and living in peace with their people, because of his honesty, in his life.

This person is similar to the itinerant who left things for his loved ones, because he also leaves a good education for his people, in his life. That is why people tell his people that, “those are the remains of a migrant.”

This saying teaches people about leaving a good upbringing to the people whom they live with, so that they can raise well their families, in their lives.

John 14:28.

John 15:9-10.

1 Peter 3:8.

tajikistan-4790735__480

1190. UNG’WENUYO OBHIZA NYANGOGO.

Unyangogo ali munhu uyo alinkumuku umuchalo jakwe. Olihoyi munhu uyo oli ningi on mbina umuchalo ja Sanjo. Umunhu ng’wunuyo oli nkumuku gete, kunguno ya bhuduja bhokwe umumbina. Hunagwene abhanhu bha muchalo jinijo, bhagayomba giki, “ung’wenuyo obhiza nyangogo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga chiza ijinhilwa jakwe, umuthumatumi bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo agikomejaga gujidebha chiza ijinhilwa ijo winhiwa nu Mulungu, mpaga ojidebha na gujitumila chiza umumilimo yakwe, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe, kunguno ya gubhutumila chiza ubhudula ubho winhiwa nu Mulungu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ningi uyo olinduja o mbina, kunguno nuweyi agabhutumamilaga chiza ubhuduma bhokwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ung’wenuyo obhiza nyangogo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhudebha na gubhutumamila chiza ubhudula bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 17: 11-19.

Luka 8:40-56.

Mathayo 14:22-33.

KISWAHILI: HUYO AMEKUWA MAARUFU.

Mtu maarufu ni yule aliyesifika kwenye kijiji chake. Alikuwepo mtu aliyekuwa manju katika kijiji cha Sanjo. Mtu huyo, alisifika sana kwa sababu ya uwezo wake huo wa kucheza ngoma za jadi. Ndiyo maana watu wa kijijini mwake walisema kwamba, “huyo amekuwa maarufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia vizuri vipaji vyake, katika utekelezaji wa kazi zake. Mtu huyo, hujitahidi kuvielewa vizuri vipaji aliyopewa na Mungu mpaga anavifahamu na kuvitumia vizuri katika kazi zake, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye huiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kuvitumia vizuri vipaji alivyopewa na Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule manju aliyekuwa maarufu kwenye ngoma, kwa sababu naye huvitumia vizuri vipaji vyake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo amekuwa maarufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvieleva na kuvitumia vizuri vipaji vyao, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Luka 17: 11-19.

Luka 8:40-56.

Mathayo 14:22-33.

ENGLISH: THAT ONE HAS BECOME FAMOUS.

A famous person is the one who is well-known in his village. There was a man who lived in the village of Sanjo. He was very renowned because of his ability to play traditional dances. That is why the people of his village said that, “That one has become famous.”

This saying is equated to a person who uses his talents well, in carrying out his works. Such person strives to understand well talents which were given to him by God, by knowing them enough to use them well in his works, because of his responsiveness. He nicely takes care of his family because of his good usage of the talents which were given to him by God, in his life.

This person looks like the one who was famous in the village of Sanjo, because he also uses his talents well in his life. That is why people say about him that, “That one has become famous.”

This saying teaches people about understanding their talents well enough to use them in fulfilling their daily activities, so that they can get a lot of progress in their lives.

Luke 17: 11-19.

Luke 8:40-56.

Matthew 14:22-33.

dancing-953291__480

dance-5935800__480

drums-5935804__480

1189. UMUYAGWILAGA NAKAB’AGILE CHENE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile ndimu nhale guti mhuli. Imhuli yiniyo ulu yugwa, umoyugwila mugwibhaga guti numo yagwilaga duhu kunguno ya bhudito bhoyo bhunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umuyagwilaga nakab’agile chene.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agalamulaga mihayo mitale guti numo yigigelelaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaka bhukengeji bho guidebha chiza imihayo iyo igigelaga bho nduhu guyigalucha, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umubhutumami bhokwe. Uweyi agalamulaga mihayo chiza aha kaya yake kunguno ya witegeleja bhokwe ubho guchola bhunhana bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagayibhagila imhuli guti numo yaliyagwila, kunguno nuweyi agayilamulaga imihayo imitale guti numo igizilaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “umuyagwilaga na kab’agile chene.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyilamula chiza imihayo imitale guti numo igigelelaga bho nduhu uguyigalucha, kugiki bhadule gujilanhana chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 5:7-42.

Matendo ya mitume 6: 1-5.

Daniel 13: 1-64.

Matendo ya mitume 26: 24-32.

Yohana 8: 1-11.

KISWAHILI: ILIVYOANGUKA NA KUCHUNWA NI HIVYO.

Chanzo cha msemo huo, huangalia myama mkubwa kama Tembo. Tembo huyo, akianguka atachunwa hivyo kwa sababu ya uzito wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ilivyoanguka na kuchunwa ni hivyo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huamua jambo kubwa kwa haki kama lilivyotukia bila kulibadilisha, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kumuwezesha kulielewa vizuri lilivyo tukia jambo hilo bila kuligeuza, kwa sababu ya uaminifu wake huo katika utumishi wake. Yeye huamua kwa haki mambo yanatokea katika familia yake, kwa sababu ya umakini wake huo wa kutafuta ukweli, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliomchuna tembo kama alivyokuwa ameanguka, kwa sababu naye huyaamua mambo kwa haki kama yalivyotukia bila kuyageuza katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “ilivyoanguka na kuchunwa ni hivyo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kuamua mambo kwa haki kama yalivyotukia bila kuyageuza, ili waweze kuzilinza vizuri familia zao, maishani mwao.

Matendo ya mitume 5:7-42.

Matendo ya mitume 6: 1-5.

Daniel 13: 1-64.

Matendo ya mitume 26: 24-32.

Yohana 8: 1-11.

ENGLISH: HOW IT FELL AND SKINNING IS SO.

The source of this saying looks at big animals like Elephants. The elephant, if it falls, it will be skinned in that way because of its heavy weight. That is why people say that, “how it fell and skinning is so.”

This saying is equaled to a person who decides a big thing rightly as it happened without changing it, in his life. Such person does a good research to enable him understand well what happened without changing it, because of his loyalty in his service. He rightly decides what is happening in his family, because of his focus on finding the truth, in his life.

This person is similar to those who skinned an elephant as he had fallen, because he decides things justly as they happened without changing them in his life. That is why he tells people that, “how it fell and skinning is so.”

This saying teaches people about being focused in solving problems enough to enable them decide things rightly as they happened without changing them, so that they can protect their families well, in their lives.

Acts 5:7-42.

Acts 6:1-5.

Daniel 13: 1-64.

Acts 26: 24-32.

John 8: 1-11.

drought-1733889__480

1188. WINYULULU BHONENHELEJA.

Olihoyi munhu uyo usiminzaga hikanza lya imbula ilitula. Umunhu ng’wunuyo, usiminzaga bho gukoyakoya kunguno igatula mbula nhale mpaga ilisi lyulobha gete. Uweyi aganyululuka mpaga ugwa kunguno ya winyululu bho mabhulolo ga mbula yiniyo. Hunagwene agayomba giki, “winyululu bhonenheleja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasiminzaga bho nduhu ugwitegeleja chiza ahikanza lya mbula, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagangilaga nulu yatulaga mbula nhale umubhusiminzi bhokwe bhunubho kunguno ya guduma gwitegeleja chiza. Uweyi agabhipaga bhulolo umili gokwe kunguno ya gunyululuka na gugwa bhuli makanza, umulugendo lokwe lunulo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagwishiwa na winyululu aho osiminzaga na mbula igutulaga, kunguno nuweyi aganyululukaga mpaga ogwa ulu yatulaga mbula umubhusiminzi bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “winyululu bhonenheleja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gusiminza na witegeleja bhutale ulu yatulaga mbula, kugiki bhakije ugugwa, umulugendo lobho.

Zaburi 73:2.

Zaburi 73:18.

KISWAHILI: UTELEZI UMENILETELEZA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akitembea wakati mvua inanyesha. Mtu huyo, alitembea kwa kuhangaika kwa sababu ya ukubwa wa mvua hiyo iliyonyesha mpaga aridhi ikalowa. Yeye aliteleza mpaka akaanguka kwa sababu ya utelezi wa mvua hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “utelezi umenileteleza.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutembea wakati wa mvua bila kuwa na uangalifu mkubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hutembea kwa haraka wakati mvua imenyesha kubwa kwa sababu ya kutokuwa na umakini huo katika safari zake. Yeye huchafuka mwili wake kwa matope kwa sababu ya kuanguka mara kwa mara, katika safari zake hizo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeteleza na kuanguka alipokuwa akitembea wakati wa mvua, kwa sababu naye huteleza na kuanguka anapotembea wakati wa mvua, katika safari zake hizo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “utelezi umenileteleza.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutembea kwa umakini mkubwa wakati wa mvua, ili wasije wakaanguka katika safari zao hizo.

Zaburi 73:2.

Zaburi 73:18.

ENGLISH: SLIPPING CONDITION HAS SLIPPED ME.

There was a man who was walking when it was raining. He man walked with difficulty because of an intensity of such rain that fell on the land enough to make it wet. He slipped until he fell because of the slippery rain condition. That is why he said that, “slipping condition has slipped me.”

This saying is related to a person who walks during the rain without being very careful in his life. Such person walks quickly when it has rained heavily because of a lack of attention in his journeys. He smears his body with mud because of frequent falling, in his travels.

This person is similar to the one who slipped and fell while walking in the rain, because he also slips and falls while walking in the rain, in his travels. That is why he says that, “slipping condition has slipped me.”

This saying teaches people about walking  very carefully during the rain time, so that they do not fall in their journeys.

Psalm 73:2.

Psalm 73:18.

young-woman-2268348__480

umbrellas-7868179__480

umbrellas-7868179__480