proverbs

949. NAWE JANHILILA BHUGOTA BHUGAMANAGWA NA BHASAJI.

Ulusumo lunulo, luhoyelile bhuhililwa bho ng’wa munhu uyo amanile bhugota aliyo adinapandika solobho nabho. Umunhu ng’winuyo, agawilagwa giki janhilila kunguno inhungulume jili ngoko ng’osha ijo jigahilaga golecha giki ubhujiku welaga.

Ulu munhu alina lugendo ujigwa jahila agumana igiki okelejaga ugwandya ulugendo lokwe lunulo. Hunagwene umunhu uyo adinapandika solobho ya bhugota ubho abhumanile agawilagwa giki “nawe jamhilila bhugota bhugamanagwa na bhasaji.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo amanile bhugota aliyo akatumamile kakwe kali kab’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga bhanhu sagala ubhugota bhokwe bhunubho, bho nduhu gwinhiwa josejose. Uweyi agashililagwa nose inguzu ja gubhubhegeja ubhugota ubho abhumanile bhunubho, bho nduhu ugupandika josejose, kunguno ya gubhiza adina witegeleja, umumilimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsaji uyo agaponyaga sagara ijikolo, kunguno nuweyi gabhinhaga bhanhu sagala ubhugota bhokwe bhunubho, bho nduhu gwinhiwa josejose. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nawe jamhilila bhugota bhugamanagwa na bhasaji.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gubhutumila ubhumani bhobho bho gujibheja chiza ikaya jabho, kugiki bhadule gupandika solobho ningi, umubhumani bhobho.

Mhubiri 4:7-12.

KISWAHILI: NAYE ZIMEMUWIKIA DAWA HUFAHAMIWA NA WEHU.

Methali hiyo, huongelea uwikiwaji wa mtu anayefahamu dawa lakini hapati faida nayo. Mtu huyo, huambiwa kuwa amewikiwa kwa sababu jogoo ni kuku dume ambaye huwika kuonesha kwamba usiku umekucha.

Mtu akiwa na safari akisikia jogoo hao wanawika huelewa kwamba amechelewa kuianza safari yake hiyo. Ndiyo maana mtu yule ambaye hapati faida ya dawa anayoifahamu huambiwa kwamba, “naye zimemuwikia dawa hufahamiwa na wehu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule anayefahamu dawa fulani lakini huitumia vibaya, katika maisha yake. Mtu huyo, huwagawia watu hovyo ile dawa yake bila kupewa chochote. Yeye, mwishowe huishiwa nguvu za kuendelea kuitengeneza dawa yake hiyo, bila kupata faida yoyote, kwa sababu ya kutokuwa na umakini katika kazi zake.

Mtu huyo, hufanana na yule kichaa ambaye hutupa hovyo mali, kwa sababu naye huwagawia watu hovyo dawa hiyo, bila kupewa chochote katika kazi yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “naye zimemuwikia dawa hufahamiwa na wehu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kuitumia elimu yao kwa kuziendeleza vizuri familia zao, ili waweze kufaidika vizuri kutokana na elimu hiyo, maishani mwao.

Mhubiri 4:7-12.

Jogoo3

 

ENGLISH: THE COCKS HAVE CROWED FOR HIM/HER, MEDICINAL HERBS ARE KNOWN BY MAD ONES!

This proverb speaks of the roosters which crowed before benefiting from medicine which a particular man knew. This man is told so because he has finished his medicine without making anything out of it.  

The rooster is a male chicken that crows to show that the night is over. A person who has a journey, for instance, when he hears the roosters crowing, he realizes that he is late to start his journey. That is why the person who does not get the benefit of the medicine which he knew is told that, “the cocks have crowed for him/her, medicinal herbs are known by mad ones!”

This proverb is compared to a man who is familiar with a particular drug but who abuses it, in his life. This man, in turn, distributes his medication comprehensively without being given anything. He/she, in the end, loses the ability to continue making this medicine, to no avail, because of a lack of concentration in his work.

This man is like the madman who did not benefit from his medicine, because he also distributes the drug to people without being given anything in his work. That is why people say to him that, “the cocks have crowed for him/her, medicinal herbs are known by mad ones!”

This proverb teaches people on how to be wise enough to use their education for the betterment of their families, so that they can benefit well from it, in their lives.

Ecclesiastes 4: 7-12.

946. B’UGUBUGUBU B’O B’AB’I CHAGATA HAHO B’ASOGA.

Ubhugubugubu bhuli wimanilija bho ng’wa munhu mumihayo ya bhangi iyo adaimanile chiza. Umunhu uyo agimanilijaga sagala chiniko agitanagwa ngubugubu. Uweyi agikalaga na nhungwa ja bhubhi ijo jigabhayugulaga abhanhu abho bhagitaga miito ga wiza, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “b’ugubugubu b’o b’ab’i chagata haho b’asoga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adimanile igiki ali obhub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhigulanyaga sagala abhanhu abho bhali na nhungwa ja wiza kunguno ya guhaya ajiranije nabho aliho uweyi alina nhungwa ja bhub’i. Uweyi agabhayugulaga abha bhali na nhungwa ja wiza kunguno ya nhungwa jakwe ija bhub’i jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngubugubu uyo agabhayugula abhanhu abho bhali bhawiza, kunguno nu weyi agisanjaga mubha nhungwa ja wiza na gubhayugula moyi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “b’ugubugubu b’o b’ab’i chagata haho bhasoga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhubhi bho gujikalana ijo jili jawiza, kugiki bhadule gwiyambilija ugujidimila chiza inhungwa ijiwiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:15-20.

Waebrania 12:14-17.

Luka 6:45.

KISWAHILI: KITENDAWILI – KIHELEHELE CHA WENYE MATENDO MAOVU, HUVURUGA KUNDI LA WENYE MATENDO MEMA.

Kihelehele ni hali ya kujizoelesha kwa mtu kwenye maneno ya wengine ambayo hayafahamu vizuri. Mtu anayejizoelesha hovyo hivyo, huitwa mwenye kihelehele. Yeye huwa na tabia mbaya ambayo huwavuruga watu wanaotenda matendo mema, katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kihelehele cha wenye matendo maovu, huvuruga kundi la wenye matendo mema.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye haelewi kwamba ni muovu, katika maisha yake. Mtu huyo, hujichanganya hovyo kwenye kundi la watu walio wema kwa sababu ya kutaka aendane nao, wakati yeye ni muovu. Yeye huwavuruga wale walio na tabia njema kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutenda maovu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwenye kihelehele aliye wavuruga watu wenye matendo mema, kwa sababu naye hujichanganya kwenye kundi la wenye tabia njema na kuwavuruga mle, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kihelehele cha wenye matendo maovu, huvuruga kundi la wenye matendo mema.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda uovu kwa kuiishi tabia ile iliyo njema, ili waweze kuendeleza matendo mema kwa wenzao, maishani mwao.

Mathayo 7:15-20.

Waebrania 12:14-17.

Luka 6:45.

africa-11121

 

ENGLISH: VIOLENCE OF EVIL DOERS, DISTURBS THE GROUP OF GOOD DOERS.

This proverb speaks about Violence of the group of people who do evils in societies. This group disturbs the people who do good deeds. That is why people say that “violence of evil doers, disturbs the group of good doers.”

This proverb is related to a person who does not understand that he is evil, in his life. This person associates himself with a group of good people because he wants to appear like them, while he is evil. He disturbs those who have good character because of his evil nature, in his life.

This person resembles the group that did evil in their societies, because he also has evil behavior that disturbs the group of good doers. That is why people say that, “violence of evil doers, disturbs the group of good doers.”

This proverb teaches people on how to stop doing evils by having good behaviors, so that they can develop good deeds for others, in their lives.

Matthew 7: 15-20.

Hebrews 12: 14-17.

Luke 6:45.

945. MADOSHI GAMANHYA; GAMANHIJA MASHIGINA.

Ulusumo lunulo, lulolile bhulumani bho bhanhu bhadoshi abho bhenghwe na munhu aha kaya ndebhe. Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhikolilwe kunguno bhuli ng’wene agansondagulaga ung’wiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “madoshi gamanhya; gamanhija mashigina.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhakima bha mhali abho bhatolilwe na ngosha umo. Abhakima bhenabho, bhadideb’aga, kunguno bhagikala na yombo ya gwidukila sagala, umukikalile kabho. Abhoyi bhagadumaga ugwidebha kunguno bhuli ng’wene wenghwa akahaya yiniyo iyo ahayile azage bhung’wene, na adiyeninhile ng’winikili hoyi, umuwikaji bhobho.

Abhakima bhenabho, bhakikolaga na abhanhu abhadoshi abhaha kaya imo abho bhadidebhile, kunguno na bhoyi bhagikalaga na yombo ya gwidukila sagala, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “madoshi gamanhya; gamanhijia mashigina.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witoji bho nkima, na ngosha umo, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Mathayo 6:2.

Mathayo 19: 1-12.

Mathayo 5:27-32.

KISWAHILI: WENYE MAJIVUNO WAMEKUTANA; WAMEKUTANIA VISIGINO.

Methali hiyo, huongelea ukutananji wa watu wenye majivuno walioletwa na mtu mmoja kwenye familia fulani. Watu hao, huwa wamechukiana kwa sababu ya kila mmoja wao kumsimanga mwenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “wenye majivuno wamekutana; wamekutania visigino.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa wanawake wa mitala walioolewa na mwanamume mmoja. Wanawake hao, huwa hawapatani, kwa sababu ya kuishi kwenye kelele za matusi ya hovyo, katika maisha yao. Wao hushindwa kuelewana kwa sababu kila mmoja aliletwa kwenye familia hiyo, akitegemea kubaki yeye tu, na hakujileta mwenyewe hapo, maishani mwao.

Wanawake hao, hufanana na wale wenye majivuno wa kwenye familia walioletwa na mtu mmoja, kwa sababu nao, huishi kwenye kelele za kutukanana matuzi ya hovyo, katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “wenye majivuno wamekutana; wamekutania visigino.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ndoa ya mume na mke mmoja, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 6:2.

Mathayo 19: 1-12.

Mathayo 5:27-32.

portrait-2

best-friends-

ENGLISH: PROUD ONES HAVE MET; THEY HAVE MET HEELS.

This proverb speaks of a host of proud people who are brought in by someone in a certain family. These people hate each other because of teasing one another. That is why people say that, “the proud ones have met; they have met heels.”

This proverb is related to polygamous women who are married to the same man. These women are often at misunderstanding with one another, because of living in a vicious circle of insults, in their lives. They fail to understand each other because everyone was brought into that family by hoping to remain alone in it.

These women are like the proud members of the family who were brought there by one man, because they, too, live in the noise of insults, in their lifetime. That is why people say that, “the proud ones have met; they have met heels.”

This proverb imparts in people an idea of living their marriage in monogamy, so that they can live peacefully in their lives.

Matthew 6: 2.

Matthew 19: 1-12.

Matthew 5: 27-32.

women africa

850. NZUB’I ADAB’ITILAGA ILAMBO.

Ulusumo lunulo, lulilola nzub’i o shi, nulu ndilo uyo agaja ogazub’a bhuli hilambo lyene mpaga abhite hoyi, gujilola ishi. Unzub’i ng’wunuyo, agitaga giko kunguno ahayile apandike ndilo nyingi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nzub’i adab’itilaga ilambo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasulujaga jikolo jilebhe, uyo agab’itaga bhuli kaya yene, umubhusuluja bhokwe. Unsuluja ng’wunuyo, agajaga uliga bhuli aha kaya yene iyo aliyibhona ilugulile unyango, kunguno atogilwe amale gujijinja pye ijikolo ijo alijisuluja, umunimo gokwe gunuyo. Uweyi agapandikaga solobho mhale noyi umubhusuluja bhokwe bhunubho kunguno ya wikomeja bhokwe ubho gubhita bhuli kaya, umutumami bho milimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nzub’i o ndilo uyo agabhitaga bhuli ilambo, kunguno nu weyi agajaga ubhita bhuli kaya, umubhusuluja bhokwe bhunubho. Uweyi abhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja guhoya na bhanhu bhingi umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umumilimo yabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nzub’i adab’itilaga ilambo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gubhutumila pye uwasa ubho bhali nabho umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 24:47.

Matendo ya mitume 1:8.

Warumi 10:18.

Marko 16:15-16.

KISWAHILI: MVUVI HAACHI KUPITIA BWAWANI.

Methali hiyo, humwangalia mvuvi wa samaki ambaye hupitia kwenye kila bwawa akitafuta samaki. Mvuvi huyo, hufanya hivyo kwa sababu anataka kupata mafanikio ya kuvua samaki wengi. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mvuvi haachi kupitia bwawani.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huuza vitu fulani, kwa hupitia kwenye kila familia, katika uuzaji wa biashana yake. Mfanya biashana huyo, huenda akiingia kwenye kila familia ambayo anauona mlango wake uko wazi, kwa sababu anapenda kuuza vitu vyake vyote, katika biashara yake hiyo. Yeye hupata faida kubwa sana katika kazi yake hiyo, kwa sababu ya bidii yake ya kupitia kwenye kila familia, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mvuvi wa samaki aliyepitia kwenye kila bwawa, kwa sababu naye huenda akiingia kwenye kila familia, katika biashara yake hiyo. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuongea na watu wengi katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika kazi zao. Ndiyo maana huwa anawaambia watu kwamba, “mvuvi haachi kupitia bwawani.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuzitumia fursa zote walizo nazo, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Luka 24:47.

Matendo ya mitume 1:8.

Warumi 10:18.

Marko 16:15-16.

fisherman-1

people-with fish

visser-fishing zanzibar

fishpond-

ENGLISH: THE FISHER-PERSON DOES NOT JUMP A FISHPOND (TRADITIONS ARE LIKE A  LAW).

This proverb focuses on a fisherman who goes through each pond in searching for fish. He does this because he wants to be successful in catching more fish. That is why people say that, “the fisher-person does not jump a fishpond.”

This proverb is compared to the man who sells certain things by passing through every family in his trade. Such trader enters at every family which he sees that its door is open, because he likes to sell all his goods. He gets a lot of benefits from his work, because of his persistence of passing through each family that can buy his goods.

This man is like the fisherman who passed through every pond, because he too goes into every family that can buy his goods. He also teaches his people on how to communicate with many people in fulfilling their duties, so that they may be more successful in their daily activities. That is why he often tells people that, “the fisher-person does not jump a fishpond (traditions are like a law).”

This proverb teaches people on how to strive to use all the opportunities which they have in fulfilling their daily responsibilities, so that they may have more successes in their families.

Luke 24:47.

Acts 1: 8.

Romans 10:18.

Mark 16: 15-16.

849. LWAKA LO NKE O MHIMBI GUBHISA SISA MU NGOBHO.

Imbuki ya lusumo lunulo, ingilile kuli munhu uyo oli na lwaka lo gulya jiliwa, umukikalile kakwe. Olihoyi nkima uyo oli nke o mhimbi. Unkima ng’wunuyo, aginhwa sisa uing’wa mpaka wiguta iyingi uyibhisa mu ng’wenda gokwe.

Aliyo lulu, iki isisa jili ndoto ung’wenda gokwe gugalob’a minzi mpaka umanyika igiki wayib’isaga mu ng’wenda gokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lwaka lo nke o mhimbi gubhisa sisa mu ngobho.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina lwaka lo bhulaku bho gulya majiliwa, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhulaku bhutale ubho gulya jiliwa ukunhu adubhiganikaga abhiye, iki agimanaga ng’winikili duhu, kunguno ya bhukalu bhokwe bhunubho ubho nduhu ugubhizuka bhiye. Uweyi agikalaga ulya jiliwa mpaga wiguta na gulisaja bho nduhu ugubhadilila abhiye, aliyo bhalinanuka na nzala aha kaya yake henaho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nke o  mhimbi uyo agabhisa sisa mu ng’wenda mpaga umanyika aho yagudotya ung’wenda gunuyo, kunguno nu weyi alinaku ogulya majiliwa bho nduhu ugubhadilila abhiye abho bhali na nzala, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lwaka lo nke o mhimbi gubhisa sisa mu ngobho.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka bhulaku bho gulya majiliwa ukunhu bhadubhadililaga abhichabho, kugiki bhadule gugabhana chiza ijiliwa ijo bhalijipandika, umuwikaji bhobho.

2 Samweli 12:4-6.

2Samweli 12:9-10.

Zaburi 55:11.

Zaburi 78:18.

KISWAHILI: TAMAA YA MKE WA PIMBI KUFICHA CHICHA KWENYE NGUO.

Chanzo cha methali hiyo, kilianzia kwa mtu yule ambaye alikuwa na tamaa ya ulafi wa kula chakula, katika maisha yake. Olikuwepo mwanzamke aliyekuwa mke wa Pinbi. Mwanamke huyo, alipewa chicha akanywa mpaka akashiba na kuificha kwenye nguo yake ile iliyobaki.

Lakini kwa vile chicha hiyo ni mbichi nguo yake ililowa maji mpaka akajulikana kwa watu kuwa alikuwa ameificha chicha hiyo kwenye nguo yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “tamaa ya mke wa pimbi kuficha chicha kwenye nguo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tamaa kubwa ya kula chakula, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ana ulafi wa kula chakula kwa kujifikiria yeye mwenyewe tu bila kuwajali wenzake, kwa sababu ya kutaka afaidike yeye peke yake.  Yeye huwa anakula chakula mpaka anasaza bila kuwajali wenzake wanaokosa chakula kwenye familia yake.

Mtu huyo, hufanana na mke wa Pimbi aliyeficha chicha kwenye nguo yake mpaka nguo hiyo ikalowana maji, kwa sababu naye ana ulafi wa kula chakula bila kuwajali wenzake walio na njaa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “tamaa ya mke wa pimbi kuficha chicha kwenye nguo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tamaa ya ulafi wa kula chakula bila kuwajali wenzao, ili waweze kugawana vizuri chakula wanachopata, maishani mwao.

2Samweli 12:4-6.

2Samweli 12:9-10.

Zaburi 55:11.

Zaburi 78:18.

black-girl

ethiopia-wine

hammer-

ENGLISH: PIMBI’S WIFE’S DESIRE TO HIDE DRINKS IN CLOTHES.

The origin of the proverb can be traced back from a woman who was greedy for eating food in life. There was a woman who was Pinbi’s wife. She was given a drink and drank until she was full and hid the remaining of it in her clothes.

But since such drink was raw her clothes became wet until it became known to the people of that area. That is why people said, “pimbi’s wife’s desire to hide drinks in clothes.”

This proverb is compared to a person who has a strong desire to eat, in life. Such person is obsessed with eating food without considering others because such desire for only benefiting him/herself. He/she often eats food to the point of stopping caring about his/her fellow food in the family.

This man is like the wife of Pimbi who hid drink in her clothes until the garment was wet, because he/she too is greedy enough to eat food without caring for others who are hungry in life. That is why people say to him/her that, “Pimbi’s wife’s desire to hide drinks in clothes.”

This proverb teaches people about giving up the greed of eating food without caring for others in the family, so that they can nicely share the food which they get in their lives.

2 Samuel 12: 4-6.

2 Samuel 12: 9-10.

Psalm 55:11.

Psalm 78:18.

hilippians 2: 8-9.