mother tongue

1094. DIGIJAGA MU NOMO UDIZUDIGIJA MU FUGO.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhuli bho jiliwa bho bhanhu abho bhagishibhilaga ugusola ijiliwa jabho. Abhanhu bhanebho bhalyaga bhugali ubho bhameja mufugo umuchalo ja Shagihilu. Abhoyi bhamegaga ubhugali bhunubho bho nduhu ugudija amakono gabho umufugo yiniyo, kunguno ya guleka gubhatindika abhangi ugusola jiliwa moyi. Hunagwene bhiwilaga giki, “digijaga mu nomo udizudigija mu fugo.”

Akahayile kenako, kagalenganiyagwa kukaya iyo igalyaga jiliwa bho gwidilila chiza bhuli ng’wene, umukikalile kabho. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagikalaga nikujo lya gulya jiliwa jabho bho gwishibhila chiza bhuli ng’wene, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhilanhanile chiza aha kaya yabho, kunguno ya ng’wigano gobho gunuyo ugo gwiguja bho gwidilila chiza chiniko bhuli ng’wene, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhalyaga bhugali bho gwishibhila chiza bhuli ng’wene kunguno nabhoyi bhagalyaga jiliwa jabho bho likujo lya gwishibhila chiza bhuli ng’wene aha kaya yabho yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene bhagiwilaga giki, “digijaga mu nomo udizudigija mu fugo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala ni kujo lya gugabhana jikolo jabho bho ng’wigwano go gwiyambilija chiza umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yoshua Bin Sira 37:28-30.

Wagalatia 5:16-26.

 

KISWAHILI: CHELEWESHEA MDOMONI USICHELEWESHEE KWENYE CHUNGU.

Chanzo cha msemo huo, huangalia ulaji wa chakula wa watu wanaopeana zamu ya kuchukua chakula vizuri. Watu hao walikuwa wakila ugali kwa kumega kwenye chungu cha kupikia katika kijiji cha Shagihilu. Wao walimega ugali huo kwenye chingu hicho bila kuchelewesha mikono yao ndani ya chungu hicho, kwa sababu ya kuacha kuwachelewa wengine kuchukua chakula hicho humo. Ndiyo maana waliambiana kwamba, “cheleweshea mdomoni usicheleweshee kwenye chungu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwenye familia ya watu ambayo hula chakula kwa kumjali kila mmoja katika maisha yao. Watu wa kwenye familia hiyo, hula chakula kwa heshima ya kupeana zamu ili kila mmoja apate chakula hicho vizuri, kwa sababu ya upendo walio nao kati yao maishani mwao. Wao huishi kwa kutunzana vizuri kwenye familia yao hiyo, kwa sababu ya uelewano wao wenye heshima ya kumjali kila mmoja vizuri, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwa ugali kwa kupeana zamu ya kuchula chakula hicho kila mmoja vizuri, kwa sababu nao hula chukula kwa heshima na uelewano wa kupeana zamu ya kupata chakula hicho kila mmoja vizuri, kwenye familia yao hiyo. Ndiyo maana wao huambiana kwamba, “cheleweshea mdomoni usicheleweshee kwenye chungu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kugawana mali zao kwa uelewano wa kusaidiana vizuri katika kazi zao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishai mwao.

Yoshua Bin Sira 37:28-30.

Wagalatia 5:16-26.

IMG_20200722_145344_2

IMG_20200722_145417_0

IMG_20200722_145324_0

 

ENGLISH: DELAY IN THE MOUTH, DO NOT DELAY IN THE COOKING POT.

This saying looks at the food intake of people who take turns to eat well. These people were eating stiff food by breaking it in a cooking pot in a village of Shagihilu. They broke the grain in the pot without delaying their hands in that pot, because they stopped delaying others in taking food from it. That is why they said to each other that, “delay in the mouth, do not delay in the cooking pot.”

This saying is compared to a family of people who eat food by caring for each other in their lives. These people in that family eat food with the respect of taking turns so that each one gets the food well, because of the love they have for each other in their lives. They live by taking good care of each other in their family, because of their respectful understanding to care for each other well, in their lives.

Those people are similar to those who used to take turns to eat the food well, because they also eat food with respect and understanding to take turns to get the food well, in their family. That is why they say to each other, “delay in the mouth do not delay in the cooking pot.”

This saying teaches people about having respect of sharing their wealth with an understanding of helping each other well in their work, so that they can live in peace with their peers in lives.

Joshua Bin Sira 37:28-30.

Galatians 5:16-26.

 

 

 

 

 

 

 

1077. DUJILE KUWALWA BHO BHUNWANI.

Akahayile kenako, kahoyelile bhung’wi bho walwa bho bhunwani. Uwalwa bhunubho bhugang’wiwagwa na bhanhu abho bhanwanile kunguno ya guyega kihamo ukunhu bhalilumba ukuyose iyo bhayipandika umubhutumami bhobho.

Abhoyi bhagalumanaga bhabhung’wa uwalwa bhunubho bhuli makanza ulu bhamala ugutumama imilimo yabho, kunguno ya bhumo bhobho bhunubho ubho gwiyizukija iyo bhakwabhile kihamo na gunumbilija unanhani obho. Hunagwene abhagayombaga giki, “dujile kuwalwa bho bhunwani.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gunumbilija Nsumbi obho ulu bhamala ugutumama imilimo yabho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhaganamyaga Mulungu uyo agabhinhaga bhupanga na nguzu ja gutumamila milimo yabho chiza, kunguno bhalina guzunya gutale ukuli Weyi. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi na gufunya bhulumbi ukuli Sebha kunguno bhang’wisanije Weyi umutumami bho milimo yabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabhanwani abho bhang’waga walwa bho gufunya bhulumbi ukuli Nsumbi obho, kunguno nabhoyi bhagatumamaga milimo yabho bho gung’wisanya Weyi na bhaganumbaga ulu bhajipandika jikolo jabho. Hunagwene bhagayombaga giki, “dujile kuwalwa bho bhunwani.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu na gunumbilija ulu bhamala ugutumama imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:34-35.

Yohana 15:9 -17.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

KISWAHILI:  TUNAENDA KWENYE POMBE YA KIRAFIKI.

Msemo huo, huongelea juu ya unywaji bho pombe ya kirafiki. Pombe hiyo, hunywiwa na watu wale ambao ni marafiki kwa lengo la kufurahi pamoja huku wakikumbuka mafaniko yao waliyoyapata mpaka wakati huo.

Wao hukusanyika na kuinywa pombe hiyo kila wanapomaliza kuyatekeleza majukumu yao kwa lengo la kuuendeleza umoja wao wa kukumbushana mema walitendewa na Muumba wao na kumshukuru. Ndiyo maana wao husema “tunaenda kwenye pombe ya kirafiki.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano wa kumshukuru Muumba wao kwa kuwapatia mafaniko yao, kila baada ya kumaliza kazi. Watu hao, humwabudu Mungu anayewapatia uhai na nguvu za kuyatekelezea majukumu yao, kwa sababu wana imani kubwa kwake. Wao hupata mafanikio mengi na kumshukuru Muumba wao kwa sababu ya kuweka matumaini yao yote kwake katika utekelezaji wa majukumu yao.

Watu hao, hufanana na wale marafiki waliokusanyika kunywa pombe ya shukrani kwa Mungu kwa wema wake, kwa sababu nao hukusanyika ili kumshukuru Mungu kwa wema mwingi anaowatendea, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tunaenda kwenye pombe ya kirafiki.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao kwa kumtegemea Mungu na kumpa shukrani kwa wema anaowatendea, ili waweze kupata mafaniko mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:34-35.

Yohana 15:9 -17.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

beer-6335004__480

ENGLISH: WE ARE GOING FOR A FRIENDLY BREW.

This saying parleys about drinking of friendly liquor. This liquor is drunk by those people who are friends for the purpose of having fun together while remembering their successes that they have achieved up to that time.

They gather and drink this alcohol every time after finishing their duties with an aim of continuing their unity, by reminding each other of the good things which they received from their Creator and enough to Him. That is why they say that, “we are going to a friendly brew.”

This saying is compared to people who have an understanding of thanking their Creator for giving them their success, every time they finish their works. These people worship God who gives them life and strength to carry out their duties, because they have great faith in Him. They get a lot of successes enough to thank their Creator because they put all their hope in Him in fullfilling their duties.

These people are similar to those friends who gathered to drink alcohol of thanksgiving to God for His goodness to them, because they also gather to thank God for the many goodness which He does to them, in their lives. That is why they say that, “we are going to a friendly brew.”

This saying teaches people about fulfilling their responsibilities by relying on God and thanking Him for the goodness which He does to them, so that they can get a lot of successes in their lives.

Matthew 25:34-35.

John 15:9 -17.

Galatians 6:10.

Luke 16:9.

1038. NG’WENUYO OKENENWA AMAKINDIKINDI GUPONYIWA UKO.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhukeneni bho ginhu jilebhe. Ugukenenha ili gwinja makindikindi ayo galimuminzi bho gusamwa hado hado kugiki gasage minzi masoga nulu jinhu jisoga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga ukulimhunhu unsoga giki, “ng’wenuyo okenenwa amakindikindi guponyiwa uko.”

Akahayile kenako kagalenganijiyawga kuli munhu uyo alinihanga lisoga ni ng’holo yakwe nsoga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olangwa ilange lya wiza na bhatale bhake ilo ligang’wambilijaga ugwikala chiza na bhanhu bhakwe, kunguno ya ng’holo yakwe iya wiza yiniyo. Uweyi agabhitilaga mihayo ya wiza abhanhu bhake kunguno ya ng’hola yakwe ya bhutogwa bhutale ukubhanhu bhakwe yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ginhu ijo jakenenwa mpaga jubhiza jisoga kunguno nuweyi, olangwa nhungwa ja wiza ijo jigang’wambilija ugwikala chiza na bhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ng’wenuyo okenenwa amakindikindi guponyiwa uko.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilanga nhungwa ja wiza bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gwiyambilija chiza umuwikaji bhobho.

2Timotheo 1:1-7.

1 Timotheo 5:9-10.

1 Samweli 16:11-13.

Luka 1:46-48.

KISWAHILI: HUYO AMECHUJWA NA MAKAPI YAKATUPWA HUKO.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye uchujaji wa kitu fulani. Kuchuja ni kuondoa makapi yaliyoko kwenye maji kwa kumimina pole pole kwenye chombo maalumu ili makapi hayo yabaki chini na kupata kitu kizuri. Ndiyo maana watu husema kwa mtu aliye na roho nzuri kwamba, “huyo amechujwa na makapi yakatugwa huko.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na sura nzuri na moyo mweupe, katika maisha yake. Mtu huyo, alishafundisha malezi mema ambayo humsaidia katika kuishi vizuri na watu wake, kwa sababu ya amani yake na moyo wake huo mzuri, maishani mwake. Yeye huwatendea mema watu wake kwa sababu ya amani na upendo alionao kwao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na kitu kilichochujwa mpaga kikawa kizuri, kwa sababu naye amefundishwa tabia njema insaidiayo kuishi na watu kwa kusaidiana nao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwongelea kwamba, “huyo amechujwa na makapi yakatugwa huko.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema kwa kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kusaidiana vizuri, maishani mwao.

2Timotheo 1:1-7.

1 Timotheo 5:9-10.

1 Samweli 16:11-13.

Luka 1:46-48.

models-1

1037. OLINDA GWENHELWA ALUGUJA NANG’HO?

Alihoyi munhu umu chalo ja Sanjo uyo oliadaga ukumajisho ulu oluobhilingwa na bhiye. Umunhu ng’wunuyo olindilaga gwiza gubhabhuja duhu abho bhajaga ukujisho jinijo kugiki bhanomela imihayo iyo bhawilagwa na guigwa ukwenuko.

Nose abhanhu agabhanoja iki omanaga ubhabhugilija bhuli jigasho jene kunguno ya kugija guja bho gulindila gulomelwa nabhobhajaga koyi. Hunagwene abhanhu bhagamuja giki, “olinda gwenhelwa aliguja nang’ho?”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adinawiyambilija na nabhiye ijinagutumama imilimo aliyo ugwilombeleja ijiliwa ukubhiye bhenabho alinkamu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wigashije duhu ulubhalija abhiye ugujutumama imilimo kunguno ya bhuyiyene na bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga wilombeleja jiliwa ukubhiye abho bhagiyambilijaga na bhichabho ugutumama ilimimo yabho, kunguno ya bhujidadilila bho milimo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliadajaga ukumajigasho uyo alindilaga gubhabhuja abho bhagaja koyi kugiki bhanomele, kunguno nuweyi adiyambilija na bhiye ugutumama imilimo bho gulindalila gwiza gwilombeleja jiliwa ukubhanhu abho bhagatumama milimo yabho chiza. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagamujaga giki, “olinda gwenhelwa aliguja nang’ho?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumo bho guja kumajigasho na gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi na gujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Wakorintho 5:14.

Yakobo 5:19-20.

Tito 3:10-11.

KISWAHILI: UMESUBIRI KULETEWA NAKUENDA NAWE?

Alikuwepo mtu mmoja katika kijiji cha Sanjo ambaye hakuwa anahudhuria mikutano alipoalikwa na wenzake. Mtu huyo, alikuwa akisubiri kuja kuwauliza tu wale waliohudhuria ule mkutano ili wamwambia yale waliyoyasikia kwenye mkutano huo.

Mwishowe mtu huyo, alifikia hatua ya kuwachosha wale watu waliohudhuria mkutano aliokuwa akiwauliza mara kwa mara. Ndiyo maana walimuuliza kwamba, “umesubiri kuletewa na kuenda nawe?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hasaidiani na wenzake katika kufanya kazi, lakini ni mwenye bidii ya kuwaomba msaada wale wanaofanya kazi zao vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa amekaa tu wakati wenzake wanashirikiana kufanya kazi wakati huo wa kazi kwa sababu ya uvivu wake na kutokushirikiana na wenzake vizuri. Yeye huishi maisha ya kuombaomba kwa wale wanaoshirikiana kufanya kazi, kwa sababu ya kutokujali kwake kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa hahudhurii mikutano ambaye alisubiri kuwauliza wale waliohudhuria kwenye mikutano hiyo, maishani mwake, kwa sababu naye huwa hashirikiani na wenzake katika kufanya kazi akisubiri kuwaomba msaada wale walioshirikiana vizuri kuyatekeleza majukumu yao. Ndiyo maana watu hao humuuliza kwamba, “umesubiri kuletewa na kuenda nawe?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umoja wa kushirikiana vizuri katika kuhudhuria mikutano yao, na kusaidiana katika kufanya kazi, ili waweze kupata maendeleo ya kuwawezesha kulitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

1Wakorintho 5:14.

Yakobo 5:19-20.

Tito 3:10-11.

market-280135__480

1017. ONTUULAGA MUNHU MUJIGANZA.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhutuuji bho ng’wa munhu mujiganja. Umunhu ulu atali ali ndoni agabhizaga mbupu noyi kunguno umunhu untale adulile gumuucha nulu bho nkono guma duhu, umujiganza jakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ontuulaga munhu mujiganza.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga abhadalahile abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhadalahaga abhiye, bho gubhalenganija na bhanigini bhadoni abho agabhabhuchiyagwa bho nkono guma duhu, kunguno ya bhubupu bhobho. Uweyi agidumaga na bhiye abho agabhabyedaga, kunguno ya bhudoshi na libhengwa lyakwe linilo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhabhucha bhanigini mujiganza jakwe, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhiye bho bhiganikila giki adulile gubhabhucha bho nkono gumo duhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhagawilaga abhanhu giki “ontuulaga munhu mujiganza.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhudoshi na nhinda ja gubhadalahija abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, na bhanhu bhabho, umu kaya jabho.

Zaburi 7:8.

Wafilipi 2:5-11.

Isaya 53:3.

Yohana 1:11-12.

KISWAHILI: AMEMUWEKA MTU KIGANJANI.

Msemo huo, huongelea juu ya uwekaji wa mtu fulani kwenye kiganja. Mtu akiwa na amri mdogo huwa mwepesi kiasi mtu mzima yeyote kuweza kumbeba hata kiganjani kwa kutumia mkono mmoja tu, kwa sababu ya wepesi wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “amemuweka mtu kiganjani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau wenzake kwa kuwafikiria kama wao ni watoto wadogo anaoweza kuwabeba, kirahisi kwa sababu ya dharau zake hizo. Yeye hukosana na watu kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya kiburi na dharau kwa wenzake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye alimbeba mtoto mdogo kwenye kiganja chake, kwa sababu naye huwadharau wenzake kwa kuwafikiria kwamba anaweza kuwafanyia lolote, katika maisha yake. Ndiyo maana huwa anawaambia watu kwamba, “amemuweka mtu kiganjani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwa na kiburi na majivuno ya kuwadharau watu katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na watu wao katika familia zao.

Zaburi 7:8.

Wafilipi 2:5-11.

Isaya 53:3.

Yohana 1:11-12.

ENGLISH: HE/SHE HAS PUT A PERSON IN THE PALM OF HIS/HER HAND.

The overhead saying refers to the placement of someone on the palm. A person with a small command is so light that any adult can carry it even in one hand, because of his lightness. That is why people say, “he/she has put a person in the palm of his/her hand.”

This saying is compared to the person who lives in contempt for others, in life. This person, in turn, despises his or her peers by thinking that they are too young to carry them, simply because of his/her contempt. He/she lives alone at home because of his/her bad habit of arrogance and contempt to his/her colleagues, in life.

This person resembles the one who carried a small child in his arms, because he/she also despises his/her fellows by thinking that he/she can do anything to them, in life. That is why this person often tells people that, “he/she has put a person in the palm of his/her hand.”

This saying imparts in people an idea of stopping habits of being proud and arrogant by not despising others in their lives, so that they can live in peace with their their family members in their societies.

Psalm 7: 8.

Philippians 2: 5-11

Isaiah 53: 3.

John 1: 11-12.

african-5604191__480