mother tongue

1204. SHOGAGA NIGINI

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya guwilwa nigini gushaga uko wikalo bhokwe. Ulihoyi nigini uyo agaja Shinyinga aliganika giki agujupandika wikaji bho wiza koyi. Ohayugashika koyi uyupandika makoye ga gugayiwa ijiliwa pye ni jizwalo. Abhiye abho agabhaleka ukuchalo jakwe, bhaganchola mpaga bhumhona na gumana umo okoyelelaga. Hunagwene bhagang’wila giki, “shogaga nigini.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhabyaji abho bhagabhashoshaga mulilange lya wiza abhana bhabho abho bhagalilekaga bho gubhadililaga chiza, umuwikaji bhobho. Abhabyaji bhenabho bhagabhadililaga abhana bhabho bhenabho bho gwikala nabho chiza, mpaga bhalidebha ililange lya gwikala na bhanhu chiza. Abhoyi bhagabhakujaga bho lilange liza abhana bhenabho bho gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Abhabyaji bhenabho bhagalenganijiyagwa kubhanigini abho bhaganchola ng’wichabho uyo upandikaga makoyi Shinyinga mpaga bhumpandika na gung’wila ashoke kaya, kunguno nabhoyi bhagabhashoshaga abhana abha nhungwa jabhubhi, bho kubhalanga nhungwa jawiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhawilaga giki, “shogaga nigini.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhalanga ilange lya wiza abhichabho abha nhungwa jabhubhi, bho gwikala labho chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 6:4.

Methali 22:26.

1Thimotheo 5:10.

KISWAHILI: RUDI MTOTO.

Msemo huo, huongelea juu ya mtoto alieambiwa arudi kwenye makazi yake. Alikuwepo mtoto mmoja aliyeenda Shinyanga mjini akifikiri kwamba atapata maisha mazuri huko. Alipofika kule alianza kupata matatizo ya kukosa chakula na mavazi. Wenzake alioowaacha kijijini mwake, walimtafuta mpaka wakamuona na kufahamu alivyokuwa akihangaika. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “rudi mtoto.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wazazi wale ambao huwarudisha kwenye malezi mema watoto wao waliokiuka maadili yao kwa kuwajali vizuri maishani mwao. Wazazi hao, huwajali watoto hao hao kwa kuishi nao vizuri, mpaga wanaweza kuyaishi maadili yao vizuri. Wao huwakuza vizuri watoto wao hao kwa kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.”

Wazazi hao, hulinganishwa kwa watoto wale waliomjali mwenzao kwa kumtafuta na kumwambia arudi kwake, kwa sababu nao huwarudisha watoto wao waliokiuka malezi mema, kwa kuwalea vizuri. Ndiyo maana huwaombia kwamba, “rudi mtoto.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea wenzao katika maadili mema kwa kuishi nao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Waefeso 6:4.

Methali 22:26.

1Timotheo 5:10.

ENGLISH: COME BACK CHILD.

This saying speaks of a child who was told to return to his home. There was one child who went to Shinyanga town thinking that he would have a good life there. When he got there, he started having problems such as lack of food and clothing. His friends, whom he left in his village, looked for him until they saw him and realized that he was facing problems. That is why they told him that, “come back child.”

This saying is compared to parents who return their children who have violated their values to a good upbringing by taking good care of them in their lives. These parents, take care of those children by living well with them within their values. They raise their children well by raising their families well, in their lives.

These parents are compared to children who cared for their partner by looking for him and telling him to return back to his home, because they also bring back their children who violated good upbringing, by raising them well. That is why the tell them, “come back child.”

This saying, teaches people about raising their people in good values by living well with them, so that they can raise their families well, in their lives.

Ephesians 6:4.

Proverbs 22:26.

1 Timothy 5:10.

child-2428546__480

1189. UMUYAGWILAGA NAKAB’AGILE CHENE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile ndimu nhale guti mhuli. Imhuli yiniyo ulu yugwa, umoyugwila mugwibhaga guti numo yagwilaga duhu kunguno ya bhudito bhoyo bhunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umuyagwilaga nakab’agile chene.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agalamulaga mihayo mitale guti numo yigigelelaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaka bhukengeji bho guidebha chiza imihayo iyo igigelaga bho nduhu guyigalucha, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umubhutumami bhokwe. Uweyi agalamulaga mihayo chiza aha kaya yake kunguno ya witegeleja bhokwe ubho guchola bhunhana bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagayibhagila imhuli guti numo yaliyagwila, kunguno nuweyi agayilamulaga imihayo imitale guti numo igizilaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “umuyagwilaga na kab’agile chene.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyilamula chiza imihayo imitale guti numo igigelelaga bho nduhu uguyigalucha, kugiki bhadule gujilanhana chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 5:7-42.

Matendo ya mitume 6: 1-5.

Daniel 13: 1-64.

Matendo ya mitume 26: 24-32.

Yohana 8: 1-11.

KISWAHILI: ILIVYOANGUKA NA KUCHUNWA NI HIVYO.

Chanzo cha msemo huo, huangalia myama mkubwa kama Tembo. Tembo huyo, akianguka atachunwa hivyo kwa sababu ya uzito wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ilivyoanguka na kuchunwa ni hivyo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huamua jambo kubwa kwa haki kama lilivyotukia bila kulibadilisha, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kumuwezesha kulielewa vizuri lilivyo tukia jambo hilo bila kuligeuza, kwa sababu ya uaminifu wake huo katika utumishi wake. Yeye huamua kwa haki mambo yanatokea katika familia yake, kwa sababu ya umakini wake huo wa kutafuta ukweli, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliomchuna tembo kama alivyokuwa ameanguka, kwa sababu naye huyaamua mambo kwa haki kama yalivyotukia bila kuyageuza katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “ilivyoanguka na kuchunwa ni hivyo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kuamua mambo kwa haki kama yalivyotukia bila kuyageuza, ili waweze kuzilinza vizuri familia zao, maishani mwao.

Matendo ya mitume 5:7-42.

Matendo ya mitume 6: 1-5.

Daniel 13: 1-64.

Matendo ya mitume 26: 24-32.

Yohana 8: 1-11.

ENGLISH: HOW IT FELL AND SKINNING IS SO.

The source of this saying looks at big animals like Elephants. The elephant, if it falls, it will be skinned in that way because of its heavy weight. That is why people say that, “how it fell and skinning is so.”

This saying is equaled to a person who decides a big thing rightly as it happened without changing it, in his life. Such person does a good research to enable him understand well what happened without changing it, because of his loyalty in his service. He rightly decides what is happening in his family, because of his focus on finding the truth, in his life.

This person is similar to those who skinned an elephant as he had fallen, because he decides things justly as they happened without changing them in his life. That is why he tells people that, “how it fell and skinning is so.”

This saying teaches people about being focused in solving problems enough to enable them decide things rightly as they happened without changing them, so that they can protect their families well, in their lives.

Acts 5:7-42.

Acts 6:1-5.

Daniel 13: 1-64.

Acts 26: 24-32.

John 8: 1-11.

drought-1733889__480

1188. WINYULULU BHONENHELEJA.

Olihoyi munhu uyo usiminzaga hikanza lya imbula ilitula. Umunhu ng’wunuyo, usiminzaga bho gukoyakoya kunguno igatula mbula nhale mpaga ilisi lyulobha gete. Uweyi aganyululuka mpaga ugwa kunguno ya winyululu bho mabhulolo ga mbula yiniyo. Hunagwene agayomba giki, “winyululu bhonenheleja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasiminzaga bho nduhu ugwitegeleja chiza ahikanza lya mbula, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagangilaga nulu yatulaga mbula nhale umubhusiminzi bhokwe bhunubho kunguno ya guduma gwitegeleja chiza. Uweyi agabhipaga bhulolo umili gokwe kunguno ya gunyululuka na gugwa bhuli makanza, umulugendo lokwe lunulo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagwishiwa na winyululu aho osiminzaga na mbula igutulaga, kunguno nuweyi aganyululukaga mpaga ogwa ulu yatulaga mbula umubhusiminzi bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “winyululu bhonenheleja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gusiminza na witegeleja bhutale ulu yatulaga mbula, kugiki bhakije ugugwa, umulugendo lobho.

Zaburi 73:2.

Zaburi 73:18.

KISWAHILI: UTELEZI UMENILETELEZA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akitembea wakati mvua inanyesha. Mtu huyo, alitembea kwa kuhangaika kwa sababu ya ukubwa wa mvua hiyo iliyonyesha mpaga aridhi ikalowa. Yeye aliteleza mpaka akaanguka kwa sababu ya utelezi wa mvua hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “utelezi umenileteleza.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutembea wakati wa mvua bila kuwa na uangalifu mkubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hutembea kwa haraka wakati mvua imenyesha kubwa kwa sababu ya kutokuwa na umakini huo katika safari zake. Yeye huchafuka mwili wake kwa matope kwa sababu ya kuanguka mara kwa mara, katika safari zake hizo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeteleza na kuanguka alipokuwa akitembea wakati wa mvua, kwa sababu naye huteleza na kuanguka anapotembea wakati wa mvua, katika safari zake hizo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “utelezi umenileteleza.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutembea kwa umakini mkubwa wakati wa mvua, ili wasije wakaanguka katika safari zao hizo.

Zaburi 73:2.

Zaburi 73:18.

ENGLISH: SLIPPING CONDITION HAS SLIPPED ME.

There was a man who was walking when it was raining. He man walked with difficulty because of an intensity of such rain that fell on the land enough to make it wet. He slipped until he fell because of the slippery rain condition. That is why he said that, “slipping condition has slipped me.”

This saying is related to a person who walks during the rain without being very careful in his life. Such person walks quickly when it has rained heavily because of a lack of attention in his journeys. He smears his body with mud because of frequent falling, in his travels.

This person is similar to the one who slipped and fell while walking in the rain, because he also slips and falls while walking in the rain, in his travels. That is why he says that, “slipping condition has slipped me.”

This saying teaches people about walking  very carefully during the rain time, so that they do not fall in their journeys.

Psalm 73:2.

Psalm 73:18.

young-woman-2268348__480

umbrellas-7868179__480

umbrellas-7868179__480

1187. NG’WANA GILYA, AGILYA INH’ONDO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile noni iyo igitanagwa Nh’ondo. Inoni yiniyo idaliyagwa. Aliyo lulu ung’wana gilya, agilya inoyi yiniyo kunguno ya bhutuubhi bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ng’wana gilya, agilya inh’ondo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agagakililaga amalagilo ga ng’wa Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wita mihayo iyo atogilwe weyi ng’winikili bho nduhu ugugadimila amalagilo ga Nsumbi okwe, kunguno ya nhinda jakwe jinijo. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya gugabhinza amalagilo ga ng’wa Mulungu, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Ng’wa gilya uyo agilya inoni iyo idaliyagwa, kunguno nuweyi agagabhinzaga amalagilo ga ng’wa Mulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wana gilya, agilya inh’ondo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kugadimila amalagilo ga ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza umukaya jabho na gushiga ng’wigulu, umuwikaji bhobho.

Mambo ya walawi 11: 13-17.

Mwanzo 3:1-6.

KISWAHILI: NG’WA GILYA ALIILA NDEGE.

Methali hiyo, humuongela ndege aitwaye Nh’ondo. Ndege huyo huwa haliwi. Lakini Ng’wa Gilya alimla kwa sababu ya njaa yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “Ng’wa Gilya aliila ndege “nh’ondo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyavunja maagizo ya Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo huishi kwa kufanya anachotaka mwenyewe bila kuyashika maagizo ya Mungu, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Yeye hushindwa kuilea vizuri familia yake kwa sababu ya kuyavunja maagizo hayo ya Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Ng’wana Gilya aliyemla Ndege asiyeliwa, kwa sababu naye huishi kwa kuyavunja maagizo ya Mungu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “Ng’wa Gilya aliila ndege “nh’ondo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyashika maagizo ya Mungu maishani mwao, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri na kufika Mbinguni baada ya kuaga dunia.

Mambo ya walawi 11: 13-17.

Mwanzo 3:1-6.

 

ENGLISH: NG’WA GILYA ATE THE BIRD ‘NH’ONDO.’

The above proverb speaks about a bird that is known as Nh’ondo. This bird is never eaten. But Ng’wa Gilya ate it because of his hunger. That is why people said that, “Ng’wa Gilya ate the bird ‘nh’ondo.’”

This proverb is equated to a person who breaks commandments of God, in his life. Such person lives by doing what he wants without keeping the instructions of God, because of his pride. He fails to properly raise his family members because of breaking those orders of God, in his life.

This person resembles Ng’wana Gilya who ate a bird that was never eaten, because he also lives by breaking God’s instructions in his life. That is why people tell him that, “Ng’wa Gilya ate the bird ‘nh’ondo.’”

This proverb instills in people an idea about keeping God’s instructions in their lives, so that they can get Blessings of living well enough to reach the Heavenly kingdom after passing away.

Leviticus 11: 13-17.

Genesis 3:1-6.

 

dictionary-3479364__480

 

1186. NALIILA NINDO.

Olihoyi munhu uyo oli mulugendo lo gujugisha bhadugu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, agasiminza lugendo lulihu mpaga nose utuubha kunguno ya gubhitya likanza lilihu bho nduhu ugulya. Uweyi agaliga hali kaya lya ng’wa munhu ubhasanga bhalimalija gulya bhuchele ubho agawigwa bhulinuhiila duhu umunindo bho nduhu ubhubhulya kunguno bholi bho shila. Hunagwene agayomba giki, “naliila nindo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gulindila jiliwa jingi ulu osanga abhiye bhamalaga gulya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalindilaga mpaga abhazugi bhazuga jiliwa jingi ulu osangaga bhanhu bhamalaga gulya kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga bho bhuyegi bhutale aha kaya yakwe kunguno ya guhoya na bhanhu bhakwe bho wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasanga bhanhu bhalimalija gulya bhuchele ugelela guwigwa mu ningo duhu, kunguno nuweyi agiyumilijaga gulindila mpaga abhazugi bhazuga jiliwa jingi, ulu osangaga abhiye bhajimalaga gujilya ijiliwa jinijo, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agayombaga giki, “naliila nindo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gulindila mpaga abhazugi bhazuge jiliwa jingi, ulu bhasangaga jiliwa jashilaga, kugiki bhadule gwidebha chiza, umuwikaji bhobho.

Luka 16:19-21.

KISWAHILI: NIMEKULA KWA PUA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa safarini kwenda kuwasalimu ndugu zake. Mtu huyo, alitembea mwendo mrefu mpaka mwishowe akajisikia njaa kwa sababu ya kupitisha muda mrefu bila kula chakula. Yeye alipita kwenye familia moja akawakuta wanamalizia kula wali ambao ulimunukia tu, bila kuula, kwa sababu ulikuwa umeisha. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimekula kwa pua.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kwa kusubiria mpaka chakula kingine kipikwe akiwakuta wenzake wamemaliza kula, katika maisha yake. Mtu huyo, husubiria mpaka wapishi wamalize kupika chakula kingine kila anapowakuta wenzake wamemaliza kula kwa sababu ya uvumilivu wake huo. Yeye huishi  kwa furaha kubwa na watu waliyoko kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya kuongea nao kwa uvumilifu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewakuta wenzake wamemaliza kula wali ulioishia kunukia tu kwake, kwa sababu naye huvumilia kwa kusubiria mpaka wapishi waivishe chakula kingine, anapowakuta wenzake wamemaliza kula, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimekula kwa pua.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kusubili mpaka wapishi waivishe chakula kingine wanapowakuta wenzao wamemaliza kula, ili waweze kuelewana vizuri, maishani mwao.

Luka 16:19-21.

ENGLISH: I HAVE EATEN BY USING NOSE.

There was a man who was on his way to greet his brothers. He walked a long way until he finally felt hungry because of spending a long time without eating. He passed by a family and found them finishing eating the rice that he only smelled, without eating it, because it had run out. That is why he said that, “I have eaten by using nose.”

This saying is compared to a person who endures by waiting until another meal is cooked when he finds his colleagues have finished eating, in his life. Such person waits until cooks finish cooking another meal whenever he finds his colleagues have finished eating because of his patience. He lives happily with the people in his family, because of talking to them with his patience, in his life.

This person is similar to the one who found his colleagues finished eating rice that ended up smelling only to it, because he also endures by waiting until the cooks put on another food, when he finds his colleagues have finished eating, in his life. That is why he says that, “I have eaten by using nose.”

This saying teaches people about having strong patience enough to enable them wait until cooks put on another food when they find their colleagues have finished eating, so that they can understand each other well, in their lives.

Luke 16:19-21.

jollof-4659747__480