mother tongue

1313. KIYA B’ULINDI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhuchoji bho mitugo bho ng’wa munhu uyo oliojijimija. Oliyoyi munhu uyo agajimija mitugo jakwe aho ojidimaga kunguno ya wilendeja bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agandya guyujikochola bho gubhabhuja abhanhu ulu bhajibhonaga.

Abhanhu abho bhalibhajibhona bhagang’wila, “debhaja kiya b’ulindi.” Ikiya b’ulindi mumho kiya nonono aliyo lulu idalekanije nulu lwande ki adebhe. Hunagwene abhanhu bhagayuyomba ukuli nchoji ojikolo uyo adajidebhile chiza ijilunga giki, “kiya b’ulindi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adinawitegeleja bho gujilanhana chiza ijikolo jakwe, na adajidebhile ijilunga ja gung’wambilija ugujipandika ijo ojijimijaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajilenijaga mpaga ja jimila isabho jakwe, ijo agadumaga nugujipandika kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajijimijaga isabho jakwe na oduma ugujipandika kunguno ya wilendeja na guduma gujidebha chiza ijilunga ijo jidulile gung’wambilija ugudebha uko jili isabho jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agilendeja mpaga ujijimija imitugo ijo agaduma ugujipandika umubhuchoji bhokwe, kunguno nuweyi agilendejaga mpaga ujimija sabho ijo agacholaga mpaga oduma ugujipandika, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki adebhe “kiya b’ulindi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilanhana chiza isabho jabho, kugiki jidule gubhambilija ugujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 2:1-2.

Zaburi 23:3-4.

KISWAHILI: MASHARIKI KWELI KWELI.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya utafutaji wa mifugo wa mtu yule aliyeipoteza. Alikuwepo mtu ambaye alipoteza mifugo yakwe aliyokuwa akiichunga. Mtu huyo, alianza kuitafuta kwa kuwauliza watu kama waiona.

Wale walioiona mifugo hiyo walimwambia, “elekea mashariki kweli kweli.” Lakini hiyo mashariki kweli kweli haitofautishi upande upi anaotakiwa kuelekea kwa sababu yeye anaweza kwenda hata kwingine asikotakiwa kwenda. Ndiyo maana watu walianza kusema kwa mtafutaji yule asiyeewa dira vizuri, kwamba elekea “mashariki kweli kweli.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana umakini wa kuvitunza vitu vyake, na hana uelewa juu ya dira za kumsaidia kuvipata vile alivyopoteza, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitelekeza mali zake mpaka zinapotea ambazo hushindwa pia kuzipata kwa sababu ya kukosa umakini huo, maishani mwake. Yeye hupoteza mali zake na kushindwa kuzipata kwa sababu ya kujisahau kwake na kukosa umakini wa kuelewa dira za kumsaidia kuzipata kule zilipo mali zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyepoteza mifugo yake ambayo alishindwa kuipata katika utafutaji wake, kwa sababu naye hujisahau mpaka anapoteza mali zake ambazo huitafuta mpaka anashindwa kuipata, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, aelekee “maishariki kweli kweli.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kuzitunza vizuri mali zao, ili ziweze kuwasaidia katika kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 2:1-2.

Zaburi 23:3-4.

ENGLISH: EAST INDEED.

The origin of this saying talks about a search for a lost steer. There was a man who lost his steer which he was herding. This man began to search for it by asking people if they had seen it.

Those who saw it told him, “head east indeed.” However, such east indeed does not distinguish which direction he should go because he can even go somewhere else where he should not go. That is why people began to say to the cattle seeker who does not use a compass properly, that he should head “east indeed.”

This saying is matched to a person who is not watchful enough to take care of his belongings, and does not understand compasses which can support him in getting back what he has lost in his life. This person abandons his possessions until they are lost which he also fails to get them back because of his lack of responsiveness in his life. He loses his possessions and fails to find them because of his forgetfulness and lack of sound courtesy enough to understand the compasses which can support him in finding where his possessions are in his life.

This person is like the one who lost his livestock which he failed to find in his search, because he also forgets himself until he loses his possessions which he seeks until he fails to find in his life. That is why people tell him that he should go towards “east indeed.”

This saying teaches people about being cautious enough to enable them take good care of their possessions, so that they can support them in developing well their families in lives.

Matthew 2:1-2.

Psalm 23:3-4.

cow-425164_1280

1312. JISHIGA MBITI.

Jishiga mbili bhuli walwa ubho bhugasizagwa makanza ga hilu aho ilimi lya lengela. Uwalwa bhunubho bhugitangwa giko kulongulo gugang’wiyagwa hilu aho mbiti jitali gwandya gufumila guja gujicholela jiliwa. Ubhoyi bhulijimanyikijo ukuli nsizi ja gumana igiki uwalwa bhunubho, bhulipya nulu nduhu. Hunagwene abhanhu bhagawitanaga giki, “jishiga mbiti.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aganguhaga gutumama milimo yakwe na guidebha wangu ulu giki ilija chiza nulu nduhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agamishaga diyu agaitumama chiza imilimo yakwe mpaga oyidebha igiki ilija chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ningi bhuli ng’waka aha kaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gwanguha guitumama milimo yakwe chiza mpaga uyimala, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu walwa ubho bhugasizagwa na gung’wiwa hilu aho bhutali ugwila ubhujiku, kunguno nuweyi aganguhaka uguitumama imilimo yakwe mpaga uyimala chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki “jishiga mbiti.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwanguha guitumama milimo yabho chiza mpaga bhayimala, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhagunana ugujibheja chiza ikaya jabho.

Mathayo 25:1-12.

Warumi 13:11-14.

Mathayo 24:42-44.

KISWAHILI: KISWAHI FISI.

Kiwahi fiki ni pombe ambayo hutengenezwa wakati wa jioni kabla ya jua kuchwea. Pombe hiyo, huitwa hivyo kwa sababu watu huinywa mapema kabla fisi hawajaanza kutoka kwenda kujitafutia chakula. Yenyewe huwa ni kijulisho cha kuelewa kama pombe hiyo itaiva au hapana. Ndiyo maana watu huiita jina la “kiwahi fisi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwahi kuzifanya kazi zake na kuziewa mapema kama zitaleta faida au hapana, katika maisha yake. Mtu huyo, huamka asubuhi na kwenda kutekeleza vizuri kazi zake mpaka anazielewa kama zitamletea faida au la, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi kwenye familia yake kila mwaka kwa sababu ya umakini wake wa kuwahi kuzitekeleza vizuri kazi zake hizo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na ile pombe ya kutengenezwa na kutumiwa mapema kabla ya kuingia usiku, kwa sababu naye huwahi kuzitekeleza vizuri kazi zake mpaka anafanikiwa kupata mali nyingi katika familia yake, kila mwaka, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “kiwahi fisi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwahi kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mali za kutosha kuwasaidia katika kuziendeleza vizuri, familia zao.

Mathayo 25:1-12.

Warumi 13:11-14.

Mathayo 24:42-44.

ENGLISH: WHAT HAS EVER BEEN EARLY HYENAS

This saying is about an alcohol which is made by people in the evening time before sunset. This alcohol is called ‘what has ever been early hyenas’ because people drink it early before hyenas start to go out looking for food. It is a sign which helps consumers to understand whether such liquor will be ripe or not. That is why people call it “what has ever been early hyenas.”

This saying is paralleled to a man who always does his work and thinks early whether it will bring profit or not, in his life. Such man wakes up in the morning and goes to carry out his works well until he understands whether they will bring profit or not, because of his thoughtfulness in his life. He earns a lot of wealth for his family every year because of his active responsiveness enough to always carry out his works well in his life.

This man is similar to the alcohol that is made and consumed early before nightfall, because he also always carries out his works well until he succeeds in obtaining a lot of wealth for his family every year in his life. That is why people call him the “what has ever been early hyenas.”

This saying imparts in people an idea of being so careful enough to fulfill their responsibilities well, so that they can earn a lot of wealth enough to support them in running their families.

Matthew 25:1-12.

Romans 13:11-14.

Matthew 24:42-44.

 

 

hyena-1022409_1280

1309. AGAJINJA IJANZUKI.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile nhinda ja nzuki. Inzuki jigandyaga gubheja nhinda na wiza ubhuki. Inzuki jinijo jigikalaga nhali noyi ulu jubheja inhinda jinijo kunguno jigamanaga jupugwa, jiliza duhu. Ijoyi jigabhizaga jidinabhuyangu ahikanza linilo ulu wigela ogujinja nhinja jajo jinijo. Hunagwene ulu oseose udula ugujinja inhinda jinijo, abhanhu bhagahaga giki, “agajinja ijanzuki.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa kuli munhu uyo alinambu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na nhinda ja gulema nulu gutung’wa na abhiye kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agidumaga na manhu bhingi umuwikaji bhokwe kunguno ya nhinda jakwe jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki ijo jigitaga nhinda jakaliha mpaga jalema uguhang’wa, kunguno nuweyi alina nhinda ijo jigang’winhaga bhulambu bho gulema ugutung’wa na bhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene ulu uhadikijiwa bho nguzu mpaga uzunya ugutung’wa, abhanhu bhagayombaga giki, “agajinja ijanzuki.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa jawiza bho gujinja inhinda ja gulema gutung’wa na bhichabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji umukaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Walawi 26:19.

Ayubu 41:34.

KISWAHILI: ALIKIONDOA KIBURI.

Chanzo cha msemo huo, huangalia masega ya nzuki yenye hatua ya kukaribia kutengeneza asali. Nyuki huanza kutengeneza masega ndipo inakuja asali. Nyuki hao huwa wakali sana wanapofikia hatua hiyo ya kuwa na masega yanayokaribia kuwa na asali kwa sababu ya kukataa kufukuzwa wanapochokozwa. Wao huwa hawana wa kuwaamua wakifikia hatua hiyo. Ndiyo maana akitokea wa kuyaondoa masega hayo yawapatiao kiburi, watu husema kwamba, “alikiondoa kiburi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana kiburi katika maisha yake. Mtu huyo, ana kiburi cha kukataa kutung’wa na mtu yeyote kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake. Yeye hukosana na watu wengi maishani mwake kwa sababu ya kuburi chake hicho, cha kudharau wengine, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na wale nyuki wanaokaribia kuweka asali ambao huwa na kiburi cha kukataa kufukuzwa, kwa sababu naye ana kiburi kwa kukataa kutumwa na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana akilazimishwa kwa nguvu kukubali kutumwa, watu husema kwamba, “alikiondoa kiburi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuondoa kiburi cha kukataa kutumwa na wenzao, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao.

Walawi 26:19.

Ayubu 41:34.

animal-2612075__480

ENGLISH: HE DID AWAY WITH HIS IMMODESTY.

The origin of this saying stares at the combs of bees which are about to make honey. Bees start making combs and then honey comes. These bees become very aggressive when they reach at that stage. They reject being chased away by anyone when they are provoked. They become impossible when they reach at that stage. That is why when one comes to remove those combs that give them arrogance, people say that, “he did away with his immodesty.”

This saying is paralleled to a person who has conceit in his life. Such person has conceit of rebuffing to be pricked by anyone because of his wicked manners in his life. He gets into trouble with several people in his life because of his egotism, of looking down on others, in his life.

This person is comparable to those bees which were about to lay honey which had arrogance of declining to be chased away by anyone, because he also has conceit of repudiating to be sent away by his acquaintances in his life. That is why when he is forced to accept a mission, people say that, “he did away with his immodesty.”

This saying teaches people about having decent patterns of eradicating smugness of negating to be sent by their earls, so that they can live happily in their families.

Leviticus 26:19.

Job 41:34.

1308. LUGONDA MAZUB’ILO.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile lizub’ilo lya jisumva ja muminzi. Ilizub’ilo lilinilo lilitegelo lya Shi ilo ligikalaga lilugoye lib’egejije ndob’ano ja bihi bihi. Ilyoyi ululyugaponejiwa ng’witab’a ligazub’iga josejose ijo jilihoyi moyi guti mbulu, nzoka na jingi jingi ijamu minzi. Ijo jigazub’agwa jinijo jigagagondaga amazub’ilo. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga giki, “luganda mazub’ilo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasolelejaga mihayo yoseyose niyabhubhi, umahoya gakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayombaga mihayo yose yose umumahoya gakwe ni ya bhulomolomo mumo bho nduhu uguitegeleja chiza kunguno alina nhungwa jabhubhi, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalisanyaga abhanhu bhaha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ija bhubhi jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni lizub’ilo lya ndilo ilo ligazub’aga josejose ijo jilimuminzi, kunguno nuweyi agasolelejaga mihayo yoseyose ni mib’i umumahoya gakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “lugonda mazub’ilo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa jawiza ijagumbilija uguitegeleja chiza imihayo yabho haho bhatali uguyiyomba kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Warumi 12:9-11.

1Thimotheo 4:2-3.

KISWAHILI: AKUNJAYE MITEGO.

Chanzo cha msemo huo huongelea mitego ya viumbe vya majini. Mtego huo ni zana ya kuvulia samaki ambayo huwa na kamba ndefu iliyotegenezewa ndoano za karibu karibu. Wenyewe ukitupwa kwenye bwawa hukamata chochote kilichomo humo, kama vile kenge, nyoka na vingine vingi viishivyo majini. Vile vilivyokamatwa huweza kuukunja mtego huo. Ndiyo maana watu huviita jina la, “mkunja mitego.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huokoteza maneno yoyote yakiwemo ya uongo katika maongezi yake. Mtu huyo, huongea maneno yoyote yakiwemo yale ya uongo katika maongezi yake, kwa sababu anatabia mbaya katika maisha yake. Yeye huwagombanisha watu waiishio katika familia yake kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya kuongea maneno ya uongo maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ule mtego wa samaki uliokamata chochote kinachoishi majini, kwa sababu naye huokoteza na kuyaongea maneno yoyote yakiwemo yale ya uongo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “akunjaye mitego.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kuongea maneno yao kwa umakini mkubwa katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Warumi 12:9-11.

1Thimotheo 4:2-3.

ENGLISH: THE TRAPS TWISTER

The origin of this saying refers to trap of aquatic creatures. This trap is a fishing tool that has a long rope which is made of hooks that are close together. When it is thrown into a pond, it catches anything in it, such as leeches, snakes and many other aquatic beings. Those caught ones can twist the trap. That is why people call it, “the traps twister.”

This saying is matched to a person who twists any word, including dishonest ones in his communication. Such person speaks deceitful words, in his dialogue because of having wicked wont in his life. He causes conflict among people who live in his family because of his evil pattern of speaking indelicate words in his life.

This person is similar to the fish trap that catches anything that lives in water, because he also twists any word by speaking fabricated ones in his life. That is why people call him, “the traps twister.”

This saying instills in people an idea of having good manners that enable them to speak their words with great care in their conversations, so that they can raise their families well in their lives.

Romans 12:9-11.

1 Timothy 4:2-3.

 

 

man-5568023_1280

fishermen-83031_1280

africans-3254345__480

1307. GOSHIGANAGA UNG’WANYA GONE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile ng’wanya go ng’wa munhu nebhe. Ung’wanya gunuyo guli nimo ntale uyo oliogupanga munhu gugwita ulu lyushiga ilikanza ilo alihayile. Umunhu ng’wunuyo agibhegelejaga chiza ulu alililindila ilikanza linilo kunguno atogilwe agumale chiza unimo gokwe gunuyo ululyushiga ilikanza lya gugutumama. Hunagwene aho lyashiga ilikanza lya nimo gokwe agayomba giki, “goshiganaga ung’wana gone.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agibhegelejaga chiza ugutumama imilimo yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga nzuguru matu ulu alina nimo bho gwifuma gugutumama chiza mpaka ogumala kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga majikolo mingi aha kaya yakwe kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo mpaga oimala chiza, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agibhegeleja mpaga ugutumama chiza unimo gokwe, kunguno nuweyi agibhegelejaga ulu alina nimo mpaga ogutumama chiza ululyashiga ilikanza lyago, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “goshiganaga ung’wanya gone.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gwigulambija guitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 25:1.

Mathayo 22:8-9.

KISWAHILI: UMEFIKA MUDA WA SHUGHULI YANGU.

Chanzo cha msemo huo huangalia shughuli ya mtu fulani. Shughuli hiyo ni kazi kubwa aliyoipanga mtu huyo kuifanya ukifika muda ule alioupanga. Mtu huyo, hujiandaa vizuri anapousubiri muda huo kwa sababu anapenda kuimaliza vizuri shughuli yake hiyo ukifika wakati wake. Ndiyo maana unapofika wakati huo mtu huyo husema, “umefika muda wa shughuli yangu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujiandaa vizuri kuyatekeleza majukumu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa tayari kuyatekeleza majukumu yake hayo muda ukifika kwa kujitoa vizuri kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi zake, maishani mwake. Yeye hutajirika kwa kupata mali nyingi kwenye familia yake, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejiandaa kuitekeleza kazi yake mpaka akaimaliza vizuri, kwa sababu naye huwa tayari kuyatekeleza majukumu yake vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “umefika muda wa shughuli yangu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuyatekeleza majukumu yao vizuri unapofika wakati wake, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:1.

Mathayo 22:8-9.

ENGLISH: IT IS TIME FOR MY WORK.

The origin of this saying looks at person’s work. Such work was a big cerebration that person has planned to do during the waited time. Such person prepared well when he waited that time because he wanted to finish his work well. That is why when that time came, such person said, “it is time for my work.”

This saying is equated to a person who prepares well enough to carry out his responsibilities in his life. This person is ready to carry out his responsibilities when the time comes by fulfilling it well because of his diligence in doing his work, in his life. He becomes rich by acquiring a lot of wealth in his family, because of his diligence in carrying out his responsibilities well, in his life.

This person resembles the one who prepared to carry out his work until he finishes it well, because he is also ready to carry out his responsibilities well in his life. That is why he says “it is time for my work.”

This proverb teaches people about being diligent enough to fulfill their duties when the time comes, so that they can achieve great success in their lives.

Matthew 25:1.

Matthew 22:8-9.

 

 

carnival-7438638_1280