Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhasuga ng’ombe ya mabhele umuchalo ja Ng’watuma. Ing’ombe yiniyo, yabhisolaga mabhele mingi noyi ayo bhagasegesaga mujisabho abhanhu bhenabho kunguno bhahayaga kupandika mabhele gabhusegese na maguta ga gutwila mumakubhi. Ing’ombe yiniyo yokajaga mabhele mujisab’o kunguno ya wingi wogo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagiiyinika ing’ombe yiniyo giki, “ng’wiza ojisab’o.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nsabhi uyo agajitumamilaga isabho jakwe bho gubhambilija bhanhu, umukikalile kakwe. Unsabhi ng’wunuyo agajitumamilaga isabho jakwe jinijo bho gubhagunanha abhanhu abho bhali na makoye kugiki bhadule gugamala wangu, kunguno ya bhutogwa na wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agenhaga bhuyegi kubhanhu bhingi abho agabhambilijaga mpaga bhagamala wangu amakoye gabho genayo, kunguno ya bhutogwa na wizanholo bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.
Unsabhi ng’wunuyo, agikolaga ni ng’ombe iyo yabhisulaga mabhele mingi mpaga bhagasegesa abhanhu, kunguno nuweyi agajitumilaga isabho jakwe bho gubhambilija bhanhu mpaga bhagamala wangu amakoye gabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ng’wiza ojisab’o.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa na wizanholo bho gujitumamila isabho jabho bho gubhambilija abhichabho abho bhali na makoye kugiki bhadule gugamala wangu amakoye genayo, umuwikaji bhobho bhunubho.
Hesabu 11:8.
Kumbukumbu la Torati 8:7-8.
Yeremia 40:10.
Yoeli 2:19.
KISWAHILI: MZURI MWENYE KIBUYU.
Walikuwepo watu waliofuga ng’ombe mwenye mazima katika kijiji cha Mwatuma. Ng’ombe huyo, alikuwa akitoa mazima mengi sana ambayo walikuwa wakiyachekecha kwenye kibubu kwa sababu walitaka kupata siagi na mafuta ya kupikia chakula. Ng’ombe huyo, alikuwa akitoa maziwa yaliyojaza kibuyu kwa sababu ya wingi ya wazima yake hayo. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mzuri mwenye kibuyu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa tajiri yule ambaye huzitumia mali zake kwa kuwasaidia watu, katika maisha yake hayo. Tajiri huyo, huzitumia mali zake kwa kuwasaidia watu wanaokumbwa na matatizo mbalimbali ili waweze kuyamaliza haraka, kwa sababu ya ukarimu na upendo wake huo, maishani mwake. Yeye huleta furaha kubwa kwa watu wengi anaowasaidia mpaka wanayamaliza haraka matatizo yao kwa sababu ya upendo na ukarimu wake huo, katika maisha yake.
Tajiri huyo, hufanana na yule ng’ombe aliyekuwa akitoa maziwa mengi mpaka watu wakawa wanayachekecha ili kupata siaji na mafuta, kwa sababu naye huzitumia mali zake kwa kuwasaidia watu wenye matatizo mpaka wanayamaliza haraka matatizo hayo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mzuri mwenye kibuyu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo na ukarimu wa kuzitumia mali zao kwa kuwasaidia wenzao wanaosumbuliwa na matatizo mbalimbali ili waweze kuyamaliza haraka matatizo hayo, maishani mwake.
Hesabu 11:8.
Kumbukumbu la Torati 8:7-8.
Yeremia 40:10.
Yoeli 2:19.
ENGLISH: “THE GOOD ONE OF A CALABASH.”
There were folks who raised a cow with a calabash in the village of Mwatuma. The cow used to give a lot of milk that they used to shake in a calabash for getting butter and cooking oil. Milk of such cow filled a calabash because it was abundant. That is why individuals called it “the good one of a calabash.”
This saying is compared to a rich man who uses his wealth for supporting people in his life. This rich man uses his wealth to aid those who suffer from various hitches so that they can quickly solve them, because of his generosity and love, in his life. He brings great joy to several persons whom he aids until they quickly solve their glitches because of his love and generosity in his life.
This rich man resembles the cow that gave so much milk from which people got butter and oil, because he also uses his wealth for aiding individuals who are trouble until they quickly solve those glitches. That is why they call him “the good one of a calabash.”
This saying imparts in individuals an idea of being generous enough to use their wealth for supporting others who suffer from various complications so that they can quickly solve those troubles in their lives.
Numbers 11:8.
Deuteronomy 8:7-8.
Jeremiah 40:10.
Joel 2:19.
