mother tongue

1377. OKONILE NYAYANDA.

Akahayile kenako kanholelile ningi uyo agalema gwikinda na lilingi litale kulebha ubheyi. Uningi ng’wunuyo agawilwa gwikinda na lilingi ilo lyaliliduja gulebha uweyi ulema, kunguno agamana igiki agukindwa duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “okonile nyayanda.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga imilimo iyo alinabhudula nayo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho milimo yakwe haho atali ugwandya uguitumama mpaga obhona isolobho yayo na oyitumama lulu, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya gutumama milimo yakwe na witegeleja bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agalema ugwikinda nu ningi uyo olinduja gulebha uweyi, kunguno nuweyi adaitumamaga imilimo iyo adaidulile umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “okonile nyayanda.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guitila bhukengeji imilimo yabho haho bhatali uguitumama kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umumilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 21:17.

Hesabu 12:8-9.

Kumbukumbu la Torati 11:21.

KISWAHILI: AMEKATAA KITOTO.

Msemo huo humwongelea manju ambaye ni kiongozi ya mchezo wa ngoma  aliyekataa kushindana na mwingine aliyekuwa mkubwa kupita yeye. Manju huyo, aliambiwa ashindane na manju huyo aliyekuwa maalufu zaidi kuliko yeye, akataa, kwa sababu alielewa kwamba atashindwa tuu. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “amekataa kitoto.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana umakini wa kuyatekeleza majukumu yale anayaweza tu, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kumwezesha kufahamu faida ya kazi anazotaka kuzifanya na kujirithisha kwamba anao uwezo wa kuzifanya, ndipo anaanza kuzitekeleza, kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake kwa sababu ya kuyatekeleza majukumu yake hayo, baada ya kuyafanyia utafiti wa kutosha kuyafahamu vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekataa kushindana na kiongozi wa ngoma mwenzake aliyekuwa na uwezo mkubwa kuliko wake, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yale aliyoyafanyia utafiti wa kumwezesha kuyafahamu vziuri. Utafiti huo humwezesha kuacha kuzifanya kazi zile ambazo haziwezi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amekataa kitoto.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzifanyia utafiti kazi zao kabla hawajaanza kuzitekeleza, ili waweze kupata mafanikio mengi katika kazi zao, maishani mwao.

Mwanzo 21:17.

Hesabu 12:8-9.

Kumbukumbu la Torati 11:21.

ENGLISH: HE HAS REFUSED CHILDISHLY.

This saying refers to a man who is a leader of a traditional dance group who refused to compete with another one who was older than him. This leader when asked to compete with such leader who was more famous than him, refused, because he understood that he would only lose. That is why people told him that, “he has refused childishly.”

This saying is paralleled to a person who is focused on carrying out tasks that he can only sort out, in his life. Such person, does researches which can enable him to understand benefits of tasks which he wants to make sure of and convince himself that he has an ability of sorting them out, then he starts to carry them out, because of his focus in his life. He earns a lot of wealth in his family because of carrying out his tasks, after doing enough decent researches to apprehend them well, because of his focus, in his life.

This person resembles the one who refused to compete with a fellow traditional dance group leader who was more capable than him, because he also carries out the tasks that he has studied enough to comprehend them better. This study enables him to stop doing tasks that he is not capable of, in his life. That is why people say to him that, “he has refused childishly.”

This saying teaches people about being careful enough to study their tasks before they start implementing them, so that they can achieve great success in their works, in their life.

Genesis 21:17.

Numbers 12:8-9.

Deuteronomy 11:21.

1375. OLYAGA JIDALIYAGWA.

Aho kale olihoyi munhu uyo agalya noni iyo itanagwa jimila nzoka. Umunhu ng’wunuyo oliadamamine igiki inoyi yiniyo idaliyagwa. Aho oilya inoyi yiniyo, agandya guyukolwa nota bho guyulomba minzi gagung’wa bhuli makanza.  Uweyi agagang’wa aminzi genayo mpaga uzumalika kunguno inhumbi yakwe igokala yugabhitilija iki inota yakwe yaliadashilaga. Abhanhu bhagamana igiki olyaga noni iyo idaliyawa kunguno olombaga aminzi gagung’wa ukunu aliyomba giki, “nalyaga jimila nzoka.” Hunagwene bhagayomba giki, “olyaga didaliyagwa.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa kuli munhu uyo ali naku ogulya majiliwa guti onyama, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajilyaga ijiliwa guti nyama mpaga ujimala uluojipandikaga kunguno ya bhulaku bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga ubhahuga ugulya nyama abhanhu bha ha kaya yakwe mpaga yayusata inhumbi yakwe kunguno ya bhulaku bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agalya noni iyo idaliyagwa ung’wa minzi mpaka uzumalike bho gokala mpaga yutilija inhumbi yakwe, kunguno nuweyi agayokajaga inhumbi yakwe bho gulya nyama mpaga yayusata, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “olyaga jidaliyagwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhulagu bho gulya jiliwa sagara mpaka bhabhitilija, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Walawi 11:13-19.

KISWAHILI: AMEKULA KISICHOLIWA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyekula ndege anayeitwa kimeza nyoka. Mtu huyo alikuwa hajui kwamba ndege huyo haliwi. Alipo mla ndege huyo alianza kujisikia kiu kwa kuomba maji kila wakati. Yeye alikunywa maji hayo mpaga akapoteza maisha yake kwa sababu ya kujaa tumbo lake mpaka kupitiliza.

Watu waligundua kuwa amekula ndege huyo asiyeliwa kwa sababu alikuwa akiomba maji ya kunywa huku akisema “nimekula kimeja nyoka.” Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “amekula kisicholiwa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mlafi wa kula chakula hasa nyama katika maisha yake. Mtu huyo, hula vyakula hivyo hasa nyama mpaka anazimaliza kila anapozipata kwa sababu ya ulafi wake huo, maishani mwake. Yeye huwapunja kula nyama watu walioko kwenye familia yake mpaga tumbo lake huanza kuuma, kwa sababu ya ulafi wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula ndege asiyeliwa apawa na kiu ya kunywa maji mpaka akapoteza maisha yake kwa kujaa tumbo lake zaidi ya kipimo cha kawaida, kwa sababu naye hulijaza tumbo lake kwa kula nyama mpaga linanza kuuma, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amekula kisicholiwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha ulafi wa kula vyakula hovyo mpaka wanapitiliza ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Walawi 11:13-19.

 

ENGLISH: HE HAS EATEN SOMETHING WHICH IS NOT EATEN.

Once upon a time, there was a man who ate a bird called a snake swaller. Such man did not know that such bird is not eaten. After eating it he began to feel thirsty. He requested for water all the time. He drank such water to the point of losing his life because his stomach was too much full.

People realized that he had eaten the uneaten bird because he was asking for water to drink while saying “I have eaten a snake swaller.” That is why those people said that, “he has eaten which is not eaten.”

This saying is paralleled to a person who is a gluttony for food, especially meat, in his life. This person eats those foods, especially meat, until he finishes them every time he gets them because of his gluttony, in his life. He exploits people in his family by eating too much meat until his stomach starts to give pain to him, because of his gluttony, in his life.

This person is like the one who ate an uneaten bird until he became thirsty for water by drinking it to the point of he losing his life after filling his stomach beyond the normal limit, because he also fills his stomach by eating too much meat, in his life. That is why people say to him that, “He has eaten something which is not eaten.”

This proverb teaches people on how to stop eating too much food so that they can properly feed their families, in their lives.

Leviticus 11:13-19.

 

1374. LUFU LO MBUDIKA

Lufu lo mbudika kali kachile ka ng’wa munhu uyo adasadile. Ulunulo luli lufu lo gung’wisanganija munhu uyo oliadiganika ahi gulya ya gucha gokwe. Umunhu ng’wunuyo agisanganijiyagwa nu lufu lunuyo kunguno ya guduma nulu guleka shandikwa ja kagabhaninhile ka sabho jakwe. Hunagwene abhanhu bhagalwitanaga giki, “lufu lo mbudika.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agisanganijiyagwa ni milimo yakwe bho nduhu ugwibhegeleja chiza umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga wiyibhile ugwigeyageya ni milimo yakwe iyo yigelelilwe aitumame chiza, kunguno ya wilendeja bhokwe bhunubho. Uweyi agabhitagwa nilikanza ilya guitumama chiza imilimo yakwe yiniyo kunguno ya wilendeja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agisanganijiwa nulu lufu, kunguno nuweyi agilendeleja mpaga wisanganijiwa ni milimo yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “lusu lo mbudika.”

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhuhuguku bho guleka gwilendeja uguitumama chiza imilimo yabho ulu lyashikaga ilikanza lyayo, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 24:44.

Luka 12:40.

KISWAHILI: KIFO CHA GHAFULA.

Kifo cha ghafula ni namna ya kufa kwa mtu bila kuumwa. Hicho ni kifo cha kumshitukiza mtu ambaye hafikirii juu ya kufa kwake. Mtu huyo hushitukizwa na kifo hicho kwa sababu ya kushindwa hata kuandika wosia wa namna ya kuzigawana mali zake. Ndiyo maana watu hukiita kwamba ni “kifo cha ghafula.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukutwa na muda ya kuzitekeleza kazi zake mhimu bila ya kuwa na maandalizi mazuri, maishani mwake. Mtu huyo, hujisahau kufanya maandalizi ya kuyatelekeza majukumu yakwe mpaka muda wake unamfikia bila ya kujiandaa, kwa sababu ya kujisahau kwake, katika maisha yake. Yeye hupitwa na muda wa kuyatekeleza majukumu ya kwenye familia yake bila ya kufanya lolote kwa sababu ya kujisahau kwake huko, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekutwa na kifo kwa kushitukizwa, kwa sababu naye hujisahau kufanya maandalizi ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake mpaka muda wake unamfikia, bila ya kufanya kitu chochote, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “kifo cha ghafula.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uelewa wa kufanya maandalizi ya kutosha kuyatekeleza vizuri majukumu yao yajayo, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.

Mathayo 24:44.

Luka 12:40.

ENGLISH: SUDDEN DEATH.

A sudden death is a manner of dying without getting sick of long time. It is a death that surprises a person who does not think about his death. This person is surprised by such death because of failing to even write a will on how to divide his/her belongings. That is why people call it a “sudden death.”

This saying is matched to a person who finds time to carry out his important tasks without having respectable preparations, in his life. This person forgets to make preparations of abandoning his responsibilities until his time comes to him without preparing it, because of his forgetfulness, in his life. He misses time to carry out his family responsibilities by staying without doing anything because of his forgetfulness, in his life.

This person resembles the one who was surprised by death, because he also forgets to make decent enough preparations to carry out his responsibilities well until his time comes to him, without doing anything, in his life. That is why people call it a “sudden death.”

This proverb imparts in people an idea of understanding to make adequate preparations enough to fulfill their future responsibilities well, so that they can gain many riches in their lives.

Matthew 24:44.

Luke 12:40.

1373. JIDASHIMEJIJE ING’HINGI.

Olihoyi munhu uyo aginhiwa nimo go gusimbila ng’hingi ja gusengela numba. Umunhu ng’wunuyo agajisimbila ing’hingi jinijo ugabhigwilija abho bhang’winha unimo gunuyo igiki omalaga ugugutumama. Aho bhiza ugugulingula unimo gokwe bhubhona giki jidashimejiwe ugusimbilwa ing’hingi jinijo kunguno bhajidimaga jayugwa duhu. Hunagwene abhagayomba giki, “jidashimejije ing’hingi.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo ya aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo atogilwe gwikala wigashaga duhu nulu lyashigaga ilikanza ilya gutumama milimo yakwe kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi aligikala ukoyiwa ni koye lya bhuhab’i bho gubhiza na nduhu jikolo aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho ubho gwikala wigashije ahikanza lya gutumama milimo yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo adajishimejije ing’hingi ugujisimbila, kunguno nuwei alingokolo ugutumama imilimo ya kaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jidashimejije ing’hingi.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwihanda gutumama milimo yabho chiza bho bhuleka bhugokolo bho gutumama milimo kugiki bhadule gupandika sabho jagubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mithali 10:4.

Mithali 13:7-8.

Mithali 19:4.

KISWAHILI: NGUZO HAZIKUCHIMBIWA KWA KINA KIREFU.

Alikuwepo mtu aliyepewa kazi ya kuchimbia nzuzo za kujengea nyumba. Mtu huyo, alizichimbia nguzo hizo akaenda kuwataarifu wale waliompatia kazi hiyo kuwa ameimaliza. Walipofika kuikagua kazi yake wale waliompatia kazi hiyo waligundua kuwa nguzo hizo hazikuchimbiwa vizuri kwa sababu kila walipozigusa kidogo zilianguka. Ndiyo maana walisema kwamba, “nguzo hazikuchimbiwa kwa kina kirefu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kufanya kazi kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo hushinda akiwa amekaa tu hata wakati wa kufanya kazi kwa sababu ya uvivu wake huo, maishani mwake. Yeye husumbulia na tatizo la umakini wa kutokuwa na kitu katika familia yake kwa sababu ya uvivu wake huo wa kushinda amekaa hata wakati wa kufanya kazi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeshindwa kuitekeleza vizuri kazi ya kuchimbia nguzo aliyopewa, kwa sababu naye ana uvivu wa kutokufanya kazi zake mpaga anasumbuliwa na tatizo la umaskini wa kutokuwa na kitu katika familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba “nguzo hazikuchimbiwa kwa kina kirefu.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao bila ya kuzembea katika kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kupata mali za kuwasaidia katika kuziendelea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 10:4.

Mithali 13:7-8.

Mithali 19:4.

ENGLISH: THE PILLARS WERE NOT DUG DEEP.

There was a man who was given a task of digging foundations for a house. Such man dug pillars and went to inform those who had given him that task that he had finished. When they arrived to inspect his work, those who had given him the task discovered that those pillars were not dug properly because every time they fell after touching them. That is why they said, “The pillars were not dug deep.”

This proverb is equaled to a person who is lazy to work in his family, in his life. Such person wins by just sitting down even when working because of his laziness, in his life. He suffers from the difficult of not having anything in his family because of his laziness of sitting down without working in his life.

This person is like the one who failed to properly carry out the task of digging a pillar given to him, because he is also lazy in doing his work until he is troubled by the problem of poverty of having nothing in his family, in his life. That is why people say to him that “the pillars were not dug deep.”

This proverb teaches people about working hard enough to do their jobs without being lazy in carrying out their responsibilities, so that they can obtain much wealth enough to help them in decent development of their families in their lives.

Proverbs 10:4.

Proverbs 13:7-8.

Proverbs 19:4.

1372. AHA NG’WISE GADAGAYIKAGA MAB’U.

Amab’u jili ginhu ijo jigolechaga milimo ya moto. Imilimo ya moto yiniyo, ili kihamo na guzugila jiliwa ja bhanhu kunguno abhanhu bhagasolaga ng’hwi ijo jigabhakaga moto mpaga jasaga mab’u ulu jilizugwa ijiliwa jinijo.

Kuyiniyo lulu, ikaya iyo idamalaga mab’u ili ya bhanhu abho bhagazugaga jiliwa ja gulya abhanhu bhabho bhuli lushigu. Hunagwene abhanhu bha ha kaya yiniyo bhagayombaga giki, “aha ng’wise gadagayikaga mab’u.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kukaya ya bhanhu bhizanholo umukikalile kabho. Abhanhu bha ha kaya yiniyo bhagabhagalilaga abhanhu bhabho bho gubhazugila jiliwa jawiza bhuli lushigu, kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho, umuwikaji bhokwe. Abhanhu bhenabho bhagapandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale hoyi kunguno ya winzaholo bhobho bhunubho ubho gubhagalila jiliwa jawiza abhanhu bhabho, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagikolaga nabho bhabhazugilaga abhanhu bhabho jiliwa bhuli lushigu, kunguno nabhoyi bhagabhagalilaga abhanhu bhabho bho gubhazugila jiliwa jawiza bhuli lushigu, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhabho bhagayombaga giki, “aha ng’wise gadagayikaga mab’u.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhazugila abhichab’o jiliwa jawiza bhuli lushigu, kugiki bhadule gupandika mbango jagwikala na bhuyegi bhutale umu kaya jabho jinijo.

Walawi 1:7-8.

Nehemia 9:12.

Isaya 6:6.

Isaya 9:5.

KISWAHILI: NYUMBANI KWETU HAYAKOSEKANI MAJIVU.

Majivu ni kitu ambacho huonesha kazi za moto. Kazi hizo ni pamoja na kupikia chakula cha watu kwa sababu watu huchukua kuni ambazo huunguzwa na moto mpaka yanabakia majivu wakati wa kupika chakula hicho.

Kwa hiyo familia ile ambao majivu hayakoseni ni ya watu wale wanaopika chakula cha kula watu wao kila siku. Ndiyo maana watu wa kwenye familia hiyo husema kwamba, “nyumbani kwetu hayakosekani majivu.”

Methali hiyo hulinganishwa kwenye familia ya watu wakarimu katika maisha yao. Watu wa kwenye familia hiyo, huwatunza watu wao kwa kuwapikia chakula kizuri kila siku, kwa sababu ya ukarimu wao huo maishani mwao. Wao hupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa katika familia yao hiyo kwa sababu ya ukarimu wao huo wa kuwapikia chakula kizuri watu wao, katika maisha yao hayo.

Watu wa kwenye familia hiyo, hufanana na wale waliowapikia watu chakula kila siku, kwa sababu nao huwatunza watu wao kwa kuwapikia chakula kizuri kila siku, maishani mwao. Ndiyo maana watu wao husema kwamba, “nyumbani kwetu hayakosekani majivu.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwapikia chakula kizuri watu wao kila siku, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao hizo.

Walawi 1:7-8.

Nehemia 9:12.

Isaya 6:6.

Isaya 9:5.

ENGLISH: THERE IS NO SHORTAGE OF ASHES IN OUR HOUSE.

Ash is something that represents works of fire. These works include cooking food for people who take wood that is burned by fire until it remains as ashes when cooking the food.

Therefore, the family that does not lack ash belongs to those people who cook food for their people every day. That is why the people of that family say that, “There is no shortage of ashes in our house.”

This proverb is equated to a family of generous people in their lives. These people of that family take care of their people by cooking for them decent food every day, because of their generosity in their lives. They receive blessings of living with great happiness in their family because of their generosity of cooking respectable food for their people, in their lives.

These people are similar to those who cooked food for people every day, because they also take care of their people by cooking decent food for them every day, in their lives. That is why their people say, “There is no shortage of ashes in our house.”

This proverb imparts in people an idea of being generous enough to cook respectable food for their people every day, so that they can receive blessings of living happily in their families.

Leviticus 1:7-8.

Nehemiah 9:12.

Isaiah 6:6.

Isaiah 9:5.