mother tongue

782. BHAJIKUJA MBITA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhatumamaga nimo. Umuluganda lobho, abhingi bhatumamaga chiza imilimo yiniyo. Aliyo lulu, abhagehi bhabho, bhikalaga bhigashije duhu kunguno bhalibhadatumamaga chiza imilimo yiniyo. Abhoyi bhakujaga luganda duhu. Hunangwene  abhanhu bhagabhitanaga giki, “bhakuja mbita.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali bhagokolo ugutumama imilimo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagisanjaga  muchibho abho bhagatumamaga milimo bho bhukamu bhutale. Abhoyi bhagisanjaga mubhatumami kugiki bhahayiwe nabho bhatumami bha nhana, gashinaga bhali bhalomolomo duhu.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagisanjaga muligele lya bhatumami aliyo bhali bhagokolo, kunguno na bhoyi bhali bhagokolo ugutumama imilimo, aliyo bhagisanjaga mubhatumami. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “bhakuja mbita.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka bhugokolo bho gutumama milimo, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwigulambija chiza uguitumama imilimo yabho, mpaga bhapandike mafumimo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:22.

Luka 13:26-30.

Mathayo 22:11-14.

KISWAHILI: WAJAZA KUNDI.

Walikuwepo watu waliokuwa wakifanya kazi.  Wengi wao, walifanya kazi vizuri  na kwa bidii sana. Lakini baadhi yao, walipenda kukaa tu bila kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Watu hao ambao hawakufanya kazi vizuri, walikuwa wakiliza kundi tu. Ndiyo maana watu waliwaita kwamba ni, “wajaza kundi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao ni wavivu wa kufanya kazi, katika maisha yao.  Watu hao, hujichanganya kwenye kundi la watu wenye bidii ya kufanya kazi. Wao hufanya hivyo ili watu wawafikirie kuwa nao ni wachapa kazi wa kweli, kumbe ni waongo tu.

Watu hao, hufanana na wale waliojichanganya kwenye kundi la wenye bidii ya kufanya kazi, kwa sababu nao hujificha kwa wenzao wanaofanya kazi vizuri, kumbe wao ni wavivu. Ndiyo maana watu huwaita kwamba, ni “wajaza kundi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha uvivu wa kuyatekeleza makujumu yao, katika maisha yao, ili waweze kujibidisha kufanya kazi za kuwaeletea maendeleo, maishani mwao.

Mathayo 7:22.

Luka 13:26-30.

Mathayo 22:11-14.

watu

watu1

bhabhini bha benini

ENGLISH: THE GROUP FILLERS.

There were people who were working in a certain village. Most of them worked well and very hard. But some of them preferred resting by sitting down without fulfilling their responsibilities. Those people, who did not work well, were just filling the group. That is why people called them, “the group fillers.”

This proverb is compared to people who are lazy to work, in their lives. These people, in turn, join a group of hardworking ones. They do this to make people think that they are real hard workers, but they are just liars.

These people are like those who are lazy ones who just filled a group of hard workers, because they are also lazy in their lives. They just pretend to be hard workers but in real sense they not. That is why people call them that they are “the group fillers.”

This proverb teaches people to stop being lazy enough to actively carry out their daily responsibilities, in their families, so that they can bring progress to their societies throughout their lives.

Matthew 7:22.

Luke 13: 26-30.

Matthew 22: 11-14.

781. GUKOMELA GUMICHA.

Ulusumo lunulo, lulolile bhukomeji bho nyama. Inyama igakomelagwa  mpaka yuma kugiki idule gwikala makanza malihu bho nduhu ugubhola. Abhanhu ulu bhuhaya gutuula nyama bhagaikomelaga mpaga yuma. Hunagwene abhanhe bhenabho bhagayombaga giki, “gukomela gumicha.”

Usulumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agaibhugilijaga imihayo mpaga oyidebha chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayidililaga chiza imihayo yakwe bho guitila bhukengeji bhutale. Uweyi agayidebhaga chiza imihayo yiniyo tamu na wandya ugabhalemela abhiye.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhanhu abho bhagakomelaga nyama mpaga bhumicha, kunguno nu weyi agaibhugilijaga chiza imihayo mpaga oyidebha. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “gukomela gumicha.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guitila bhukengeji tamu imihayo yabho bho guibhugilija chiza, mpaga bhayidebha, huna bhayichala ukubhichabho, kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 15:5-11.

1Wakorintho 7:18-24.

Waefeso 2:1-10.

KISWAHILI: KUBANIKA KUKAUSHA.

Methali hiyo, huangalia ukaushaji wa nyama. Nyama hubanikwa mpaka ikakauka ili iweze kutunzwa kwa muda mlefu bila kuoza. Hivyo basi, watu wakitaka kutunza nyama huwa wanaibanika mpaka ikakauka. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kubanika kukausha.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaulizia maneno mpaka anayaelewa vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huzijali vizuri kazi zake, kwa kuzifanyia utafiti wa kina. Yeye huyaelewa vizuri maneno hayo, kabla ya kuanza kuwaeleza wenzake.

Mtu huyo, hufanana na watu wale waliobanika nyama mpaka wakaikausha, kwa sababu naye huyaulizia vizuri maneno yake mpaka anayaelewa vizuri katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kubanika kukausha.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyafanyia kwanza utafiti maneno yao kwa kuyaulizia vizuri, mpaka wayaelewe, katika maisha yao, ndipo waanze kuyafanyia kazi, ili waweze kuwaelezea vizuri watu wao, maishani mwao.

Matendo ya mitume 15:5-11.

1Wakorintho 7:18-24.

Waefeso 2:1-10.

kigali

dried meat.jpg2

dried meat.jpg1

dried meat

ENGLISH: PATIENCE PAYS.

This proverb focuses on a process of preserving meat by drying it. Such meat is roasted until it is dry so that it can be stored for a long time without rotting. Thus, people who want to preserve it tend to roast it until it is dry. That is why people say, “Patience pays.”

This proverb is compared to a person who asks questions during conversation until he/she understands correctly the central message of it. This person, in turn, takes good care of his or her works by conducting extensive research. He/she understands words well before he begins to use them to his/her colleagues.

This person is like the one who roasted meat until it was dry, because he/she also inquires carefully about his/her words until he/she understands them well before using them. That is why people say, “Patience pays.”

This proverb imparts in people an idea on how to research first their words until they understand before using them, then they start working on them, so that they can better use to their people in their daily lives.

Acts 15: 5-11.

1 Corinthians 7: 18-24.

Ephesians 2: 1-10.

780. NG’HOMBA YA NG’WISONZO UDIKOMBA WIMALE.

Ilisongo jiliseme ijo jigabhejiyagwa bho gutumila madala. Amadala genayo, gagalyenhelejaga gubhiza na tujishepo, umo idulie gwingila inhomga ulu yuditilwa moyi. Giko lulu, umunhu uyo aliyikomba imhomba yiniyo aduyimala. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “Ng’homba ya ng’wisonzo udikomba wimale.”

Usulumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo uyo adagudebhile chiza, umukikalile  kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agadumaga uguimala chiza imilimo yakwe, kunguno ya gwandya guitumama bho nduhu uguitila bhukengeji. Uweyi agapandikaga makoye mara hingi ahakaya yakwe, kunguno ya guduma ugubisha ijiliwa, umukikalile  kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agakomba ng’homba ng’wisonzo uduma uguimala, kunguno nuweyi agadumaga uguimala chiza imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’homba ya ng’wisonzo udikomba wimale.”

Usulumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuidebha chiza tamu imilimo yabho, na bhandye uguitumama, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Marko 6:40-44.

KISWAHILI: UJI WA KWENYE KISONZO HUWEZI UKAUKOMBA UUMALIZE.

Kisonzo ni chombo ambacho hutengenezwa kwa majani fulani yaitwayo ‘madala.’ Madala hayo, husababisha kuwepo kwa vitundu vidogo vidogo ambavyo vinaweza kuruhusu uji upenye ndani yake. Hivyo basi, mtu anayekomba uji ule hawezi kuumaliza. Ndiyo maana watu husema kwamba, “uji wa kwenye kisonzo huwezi ukaukomba uumalize.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi ambayo haielewi vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hushindwa kuzimaliza vizuri kazi zake hizo, kwa sababu ya kuanza kuzitekeleza bila ya kuzifanyia utafiti. Yeye huwa anapata matatizo mara nyingi kwenye familia yake, kwa sababu ya kushindwa kuivisha chakula, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekomba uji wa kwenye kisonzo, akashindwa kuumaliza, kwa sababu naye hushindwa kuzimaliza kazi zake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uji wa kwenye kisonzo huwezi ukaukomba uumalize.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzielewa vizuri kazi zao kwanza kabla ya kuanza kuzitekeleza, katika maisha yao, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Marko 6:40-44.

porridge uji1

porrdge uji2

porridge uji3

basket uji

ENGLISH: YOU CANNOT GET RID OF BASKET’S PORRIDGE BY FINGER (NEVER CRY OVER SPLIT MILK).

A basket is a container that is made of certain leaves which are called ‘madala.’ This, in turn, results in the formation of small holes that can allow some porridge to enter into it. Thus, the person who takes porridge from it by using a finger cannot finish it. That is why people say, “you cannot get rid of basket’s porridge by finger.”

This proverb is compared to a person who does a job that he/she does not understand it well in life. Such person fails to complete that task properly, because of starting to perform it without researching it well. He/she often faces problems in the family, because of failing to get enough food for running it.

This person is like the one who failed to finish some porridge from the basket by using a finger, because he/she also fails to finish his/her works in life. That is why people say to him/her, “you cannot get rid of basket’s porridge by finger.”

This proverb teaches people on how to understand their works accurately before they start doing them, in their lives, so that they can make a lot of progress in their lives.

Mark 6: 40-44.

779. IKOLA GUTI LYA CHUMA.

Usulumo lunulo, lulolile nimo uyo gulindamu ugugutumama mpaga gushila. Ubhudamu bhogo bhuli guti bho chuma. Unimo gunuyo gugabhanojaga noyi abhatumami bhago. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagaguyombaga giki, “ikola guti lya chuma.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ndamu ugwelelwa imihayo iyo alilangwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaidebhaga wangu imihayo iyo bhalinhanga abhanhu, kunguno ya gwikala aliganika hinghu jingi ahikanza agulangagwa henaho. Uweyi agadumaga nulu uguyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya gubhiza adaimanile imihayo ya gubhalela chiza abhanhu bhakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nimo uyo gulindamu ugugutumama, kunguno nuweyi alindamu ugwelelwa imihayo iyo alilangwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ikola guti lya chuma.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilila bho guitumama chiza imilimo yabho, imukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika mafumilo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 14:1.

Wakolosai 3:25.

1Petro 1:17.

KISWAHILI: CHUKIZO KAMA LA CHUMA.

Methali hiyo, yaangalia kazi ile ambayo ni ngumu kuitekeleza mpaka kuimaliza. Ugumu wake ni kama wa chuma. Kazi hiyo, huwachosha sana watekelezaji wake. Ndiyo maana watu huisema kwamba ni “chukizo kama la chuma.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mgumu wa kuelewa kile anachofundishwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa haelewi upesi maneno anayofundishwa na watu, kwa sababu ya yeye kuwa anafikiria vitu vingine wakati akifundishwa. Yeye hushindwa hata kuendeleza vizuri familia yake, kwa sababu ya kukosa malezi ya kuwafundisha watu wake.

Mtu huyo, hufanana na kazi ile ambayo ni ngumu kuitekeleza, kwa sababu naye ni mgumu wa kuelewa upesi kile anachofundishwa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu, humwambia kwamba ni “chukizo kama la chuma.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 14:1.

Wakolosai 3:25.

1Petro 1:17.

iron3

iron2

iron

ENGLISH: AN ABOMINATION LIKE THAT OF AN IRON.

This proverb looks at a task that is difficult to accomplish as it required. Its hardness is like that of an iron. Such task exhausts its performers. That is why people call it “an abomination like that of an iron.”

The above proverb is likened to a person who has a hard time in understanding what others teach him/her in life. This person does not immediately understand words which he/she is taught by people, because of thinking other things during the teaching time. He/she fails to provide the family with basic needs because of his/her hardness to understand what others teach him/her.

Such a person is like a job that is difficult to complete in doing it, because it is difficult for him or her to understand quickly what he or she is learning from his or her people. That is why people say that it is “an abomination like that of an iron.”

This proverb teaches people about having patience that can enable them to fulfill their responsibilities, in their lives, so that they can have more success, in their lives.

Psalm 14: 1.

Colossians 3:25.

1 Peter 1:17.

778. MILI NG’WANDU.

Ulusumo lunulo, lulolile bhulamu bho nti uyo gugitanagwa ng’wandu. Unti gunuyo, gugakulaga mpaka gobhiza gutale noyi. Aliyo lulu, ung’wandu gunuyo uluguchenulwa amagula gago gabhejiwa ngoye, gugapilaga umili goshoka guti umo guli igwandya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “mili ng’wandu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasadaga mpaka okonda, ulu opila agaginaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo ulu usada agakondaga noyi kunguno ya guduma ugulya chiza. Aliyo lulu, ulu upila agaginaga mpaka umili goshoka umo guli igwandya. Adabhinzikaga moyo kunguno adebhile igiki umili guli ndoto. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe ahigulya ya gung’wisanya mulungu, umukikalile kabho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wandu uyo gugachenulagwa amagula gabhejiwa ngoye ugoyi gopila, kunguno nuweyi agokondaga ulu osada, ulu opila agaginaga mpaka umili goshoka umo goli igwandya. Hunagwene abhanhu bhagamwilaga giki, “mili ng’wandu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka gugwa ng’holo ulu bhapandikaga makoye umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika nguzu ja gwikomeja gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhobho.

Ayubu 1:20-22.

Yakobo 1:2-5.

KISWAHILI: MWILI MBUYU.

Methali hiyo, huangalia maisha ya mti uitwao Mbuyu. Mti huo, hukua mpaka ukawa mkubwa sana. Lakini basi, Mbuyu huo, huchanwa magamba yake kwa ajili ya kutengeneza kamba. Baada ya muda mfupi mti huo huwa unapona mpaka mwili wake hurudia kwenye hali yake ya mwanzo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mwili Mbuyu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukonda anapougua na hunenepa baada ya kupona, katika maisha yake. Mtu huyo, akiugua hukonda sana kwa sababu ya maumivu yake na kushindwa kula inavyotakiwa. Lakini mara anapopona mwili wake huanza kunenepa mpaka ukafikia hali yake aliyokuwa nayo hapo mwanzo.

Yeye huwa havunjiki moyo anapopata matatizo katika maisha yake, kwa sababu anaelewa kuwa mwili ni mbichi. Maisha yake huwafundisha wenzake kutokukata tamaa wanapopata matatizo, badala yake waendelee kumtegemea Mungu, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na Mbuyu ambao hupona baada ya kuchanywa magamba ambayo hutengenezwa kamba, kwa sababu naye pia ukonda akipata matatizo lakini hunenepa anapoyatatua matatizo yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwili Mbuyu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kutokukata tamaa wanapokumbana na matatizo mbalimbali, katika maisha yao, ili waweze kupata nguzu za kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao, maishani mwao.

Ayubu 1:20-22.

Yakobo 1:2-5.

tree-3842194__480

baobab-1

baobab-2

ENGLISH: THE BODY IS A BAOBAB.

This proverb looks at the life of a tree that is called baobab. Such tree grows until it becomes a very big one. But then, its skin is peeled off for making ropes. After a while it recovers to the point of regaining its original state. That is why people say, “the body is a baobab.”

This proverb is compared to a person who loses weight after becoming sick and gains it after recovering. Such person, becomes thin after getting sick because of pain and inability to eat properly. But as soon he/she recovers his/her body begins to gain weight until it reaches its original condition.

This person is not discouraged by problems which face his/her life, because he/she understands that the body is the baobab. His/her life teaches associates not to give up when they have problems, but instead they should continue relying on God, in their lives.

This person resembles the baobab tree that recovers after being scaly, for making cords, because he/she also becomes thin when he/she has problems but gets fat after solving those problems. That is why people say to him, “the body is a baobab.”

This proverb teaches people about not giving up when they face various problems, in their lives, so that they can find the required strength for fulfilling their responsibilities, in lives.

Job 1: 20-22.

James 1: 2-5.