heritage

1264. NG’HOME YA BHUTULUGU.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile higulya ya Ng’ome. Ing’home yiniyo guli nang’ha nguhi uyo gugapunzagwa golekwa guduma ukubhukindilo guti ntwe gwa ng’wa munhu. Unang’ha gunuyo inhangala iningi gugikala na bhanhu abhahulu hulu. Unagwene abhanhu bhagagwitanaga giki, “ng’home ya butululu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alintululu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhikoloshaga abhiye kunguno ya bhutululu bhokwe ubho guchola mihayo ukubhiye abho bhagikalaga bhalyehile. Uweyi agayikenagulaga ikaya yakwe kunguno ya bhutululu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni Ng’home iyo yatumilagwa na bhahulu hulu, kunguno nu weyi alina bhuhulu hulu ubho gubhikolosha abhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu abhang’witanaga giki, “ng’home ya butululu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhutulugu bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza, ikaya jabho.

Zaburi 140: 2-4.

Zaburi 140:11.

Zaburi 47:6.

KISWAHILI: RUNGU LA JEURI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya Rungu. Rungu hiyo ni fimbo fupi iliyochongwa vizuri na kuachwa ikiwa kubwa chini kama kichwa cha mtu. Fimbo hiyo, mara nyingi hutumiwa na watu wenye ujeuri. Ndiyo maana watu huiita fimbo hiyo kuwa, “rungu la jeuri.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mjeuri katika maisha yake. Mtu huyo, huishi kwa kuwachokoza wenzake kwa sababu ya ujeuri wake huo wa kutafuta ugomvi kwa wenzake wanaishi kwa utulivu. Yeye huiharibu familia yake kwa sababu ya ujeuri wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na Rungu hilo lililotumiwa na watu wenye ujeuri, kwa sababu naye ana tabia ya ujeuri wa kuchokoza wenzake, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwuita kuwa ni “rungu la jeuri.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za ujeuri kwa kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 140: 2-4.

Zaburi 140:11.

Zaburi 47:6.

ENGLISH: A STICK OF A VIOLENT ONE

The cradle of this saying talks about a stick. This stick is a short rod that is well carved and left as large at the bottom as a man’s head. Such stick is often used by violent people. That is why people call that stick, “a stick of violent one.”

This saying is compared to a person who is violent in his life. Such person lives by provoking his colleagues because of his audacity to seek quarrels while his colleagues live in peace. He destroys his family because of his arrogance, in his life.

This person is similar to the Mace used by violent person because he also has a violent habit of provoking his colleagues, in his life. That is why people call him “a stick of a violent one.”

This saying teaches people about abandoning violent behaviors by living well with their peers, so that they can raise their families well, in their lives on the way to the heaven kingdom.

Psalm 140: 2-4.

Psalm 140:11.

Psalm 47:6.

 

 

massai-1116673_1280

massai-278422_1280

stick-fight-412666_1280

1255. UNG’WUNUYU NSEBHEJI DUHU NAWE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo otumamaga nimo uyo guti gokwe. Umunhu ng’wunuyo, ogutumamaga chiza unimo gunuyo mpaga nose abhanhu bhuyuhaya giki, unimo gunuyo guli gokwe, kunguno ya gugudilila chiza chiniko. Nose nuweyi agaiganika giki unimo gunuyo guli gokwe aho obhigwa bhanhu bhingi bhalihaya chene. Hunagwene abhanhu abho bhabhumanile ubhunhana bho nimo gunuyo, bhagayomba giki, “ung’wunuyu nsebheji duhu nawe.”

Akahayike kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigimbilaga milimo iyo idiyakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga jibalubha uyihaya giki alimungunda gokwe kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya gutumama mumajipande na wigimbi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga nimo go bhangi uyiganika giki, guligokwe, kunguno nuweyi agatumamaga mujibalubha uyuhaya giki, alimungunda gokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ung’wunuyu nsebheji duhu nawe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumamila bhutengeke imilimo ya bhanhu, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Zaburi 33:4.

2Samweli 22:7.

Maombolezo 3:23.

Mathayo 25:20-23.

Wagalatia 5:22.

Tito 2:10.

KISWAHILI: HUYU NAYE NI DALALI TU.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mtu aliyekuwa akifanya kazi isiyo yake. Mtu huyo, alikuwa akiifanya vizuri kazi hiyo mpaka baadhi ya watu wakaanza kufikiria kwamba, kazi ile ni yake kwa sababu ya kuijali vizuri. Naye aliposikia watu wengi wakimsifia hivyo, alianza kuifikiria kazi hiyo kama ni yake mwenyewe. Ndiyo maana wale walioufahamu ukweli wa kazi hiyo walisema kwamba, “huyu naye ni dalali tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujivunia kazi isiyo yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kwenye kibarua na kusema kwamba, anafanya kazi kwenye shamba lake, kwa sababu ya majivuno yake hao, maishani mwake. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kufanya kazi kwenye vibarua vya mashamba ya watu na majivuno yake hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi ya mtu mwingine, akafikiria kuwa ni yake, kwa sababu naye hufanya kazi kwenye vibarua na kusema kwamba, anafanya kazi kwenye Shamba lake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “huyu naye ni dalali tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi za watu kwa uaminifu na unyofu wa kweli, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 33:4.

2Samweli 22:7.

Maombolezo 3:23.

Mathayo 25:20-23.

Wagalatia 5:22.

Tito 2:10.

ENGLISH: THIS ONE IS JUST A BROKER.

The source of this saying speaks of a person who was doing a job that did not belong to him. That person was doing the job well until some people started thinking that the job was his because he cared about it well. And when he heard many people praising him like that, he began to think of the work as his own. That is why those who knew the truth of such work said that, “this one is just a broker.”

This saying is equated to a person who is proud of a job that is not his, in his life. Such man works as a laborer and says that he works on his farm, because of his pride, in his life. He fails to develop his family properly because of working in the fields of people and his pride in his life.

This person is similar to the one who did someone else’s work, and thought it was his, because he also works on the laborers and said that, he is working on his Farm. That is why people say about him that, “this one is just a broker.”

This saying teaches people about doing people’s work with honesty and sincerity, so that they can raise their families well in their life.

Psalm 33:4.

2 Samuel 22:7.

Lamentations 3:23.

Matthew 25:20-23.

Galatians 5:22.

Titus 2:10.

hiring-2402042__480

1252. DAGELANILILE BHOSE HALUZOGA LWA MINZI.

Imbuki ya lusumo lunulo ihoyelile higulya ya bhushigani bho nigini hikanza lya gulya jiliwa. Unigini ulu obyalwa agatumilaga mabhele kunguno agabhizaga adina mino agagudula gulya jiliwa. Giko lulu, uluguzwa amino gakwe agandyaga ugulya ijiliwa kihamo na bhanhu abhatale. Agisangijaga mligele lya bhanhu bhatale. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, “dagelanilile bhose hauzoga lwa minzi.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gubhakalibhusha abhichabho abho bhashiganile gwingila muluganda lobho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagisumbyaga bhabhakalibhusha abhichabho abho bhashiganile ugwingila umuluganda lobho lunulo, kunguno ya ng’wigwano gobho ugogutumama milimo kihamo chiniko, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi umukaya jabho kunguno ya ng’wigwano gobho gunuyo ugogutumama milimo yabho kihamo umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagankalibhusha nigini gulya kihamo nabho aho gazwa amino gakwe, kunguno nabhoyi bhagabhakalibhushaga umuluganda lobho abhichabho abho bhashikanile ugwingila moyi, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “dagelanilile bhose hauzoga lwa minzi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwikalibhusha kutumama milimo yabho kihamo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umukaya jabho jinijo.

Kutoka 2:16-19.

2Wafalme 9:17.

Ayubu 21:11.

KISWAHILI: TUMEKUTANIKA WOTE KWENYE MTUNGI WA MAJI.

Chanzo cha methali hiyo huongelea juu ya ufikaji wa muda wa kula chakula kwa mtoto. Mtoto akizaliwa hutumia maziwa kwa sababu ya kutokuwa na meno ya kumwezesha kula chakula. Hivyo basi, akiota meno yake huanza kula chakula pamoja na watu wazima. Yeye huingia kwenye kundi la watu wazima. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, “tumekutanika wote kwenye mtungi wa maji.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wanaushirikiano wa kuwakalibisha wenzao wale waliofikia hatua ya kuingia kwenye kundi lao, katika maisha yao. Watu hao, hukusanyika kwa lengo la kuwakaribisha wenzao hao waliofikia kipindi cha kuingia kwenye kundi lao hilo, kwa sababu ya uelewano na ushirikiano wao huo wa kufanya kazi zao kwa pamoja, maishani mwao. Wao hupata mafanikio mengi katika familia zao hizo kwa sababu ya uelewano na ushirikiano wao huo, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliomkaribisha mtoto kula pamoja nao alipoota meno, kwa sababu nao huwakaribisha wenzao wale waliofikia muda wa kuingia kwenye kundi lao, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tumekutanika wote kwenye mtungi wa maji.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa kukaribishana kufanya kazi zao kwa pamoja na uelewano, ili waweze kupata mafanikio mengi katika familia zao hizo, maishani mwao.

Kutoka 2:16-19.

2Wafalme 9:17.

Ayubu 21:11.

ENGLISH: WE ARE ALL GATHERED AT THE WATER JAR.

The source of the overhead proverb talks about an arrival of time for eating food for a child. When a child is born, it uses milk because it does not have teeth to enable it to eat. So, when he grows his teeth, he starts eating food with adults. He joins the group of adults. That is why those people say that, “we are all gathered in a water jar.”

This proverb is related to people who have a partnership of bullying their fellows who have reached the point of entering their group, in their lives. Those people, gather with an aim of welcoming those colleagues who have reached the period of entering their group, because of their understanding and cooperation for doing their works together, in their lives. They get a lot of success in their families because of their understanding and cooperation in their lives.

Those people are similar to those who invited a child to eat with them when he had teeth, because they also welcome their nobles who have reached the time of entering their group, in their lives. That is why they say that, “we have all gathered in a water jar.”

This proverb imparts in people an idea of having strong cooperation enough to welcome each other in doing their works together with understanding, so that they can get a lot of success in their families in their lives.

Exodus 2:16-19.

2 Kings 9:17.

Job 21:11.

calabash-827175_1280

1234. UNG’WENE WINGILA GUKANO.

Imbuki ya Lusumo lunulo, ihoyelile munhu uyo uliwingila gukano. Ugukano kunuko ili gwigulya uko bhanhu bhagatulaga ginhu giti mandege, Nhalanga, Nhumbu na jingi jingi ijo jilijawiza, umunumba yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agalinha mpaga ushiga ukuginhu ijawiza jinijo umugati ya numba yiniyo. Giko lulu, uweyi agaja kuwiza kunguno jilinduhu ijagulula koyi. Hunagwene abhanhu bhaganyomba giki, “ung’wene wingila gukano.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo osabha sabho ningi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho bhukamu bhutale mpaga osabha sabho ningi kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama milimo chiza na witegeleja bhutale, umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga majikolo mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza na bho wiyumilija bhutale bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agingila gukano uko bhuli uwiza bho majikolo mingi, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza mpaga osabha majikolo mingi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki, “ung’wene wingila gukano.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho chiza na bho wiyumilija bhutale mpaga bhapandike sabho ningi, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wakolosai 3:1-3.

Mathayo 6:19-21.

KISWAHILI: HUYO AMEINGIA DARINI.

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu aliyeingia darini. Dari ni juu ambako watu huweka vitu kama mahindi, karanga, viazi na vingine vingi vilivyo vizuri ndani ya nyumba hiyo.

Mtu huyo alipanda mpaga juu ndani ya nyumba hiyo, viliko vitu hivyo vizuri. Hivyo basi, yeye aliingia kwenye uzuri kwa sababu hakuna kinachokosekana huko. Ndiyo maana watu walimuongelea kwamba, “huyo ameingia darini.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyetajirika kwa kupata mali nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kwa bidii kubwa na umakini mkubwa, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya bidii yake ya kufanya kazi vizuri na kwa uvumilifu wa hali ya juu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeingia darini kwenye uzuri wa vitu vingi, kwa sababu naye ametajirika kwa kujibidisha kufanya kazi mpaka akapata mali nyingi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuongelea kwamba, “huyo ameingia darini.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kwa uvumilivu mkubwa mpaka wapate mali nyingi za kutoka kutumia katika familia zao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao hizo, maishani mwao.

Wakolosai 3:1-3.

Mathayo 6:19-21.

ENGLISH: THAT ONE HAS ENTERED THE CEILING.

This proverb looks at a person who entered the ceiling. The ceiling is a high place where people put things like corn, peanuts, potatoes and many other things that are good in the house.

This man climbed up into the house, where the things are good. So, he entered the beauty. That is why people said about him that, “that one has entered the ceiling.”

This proverb is related to a person who got rich by getting a lot of wealth, in his life. Such person works with great effort and great attention, in his life. He gets a lot of wealth in his family because of his hard working and great patience in his life.

This person is similar to the one who entered the ceiling in the beauty of many things, because he has also become rich by having to work until he got a lot of wealth in his life. That is why people talk about him saying, “that one has entered the ceiling.”

This proverb imparts in people an idea of working hard in doing their jobs well and with great patience until they get a lot of wealth for using in their families, so that they can develop their families well in their lives.

Colossians 3:1-3.

Matthew 6:19-21.

ox-plough-253417_1280

farmer-4493421_1280

farmer-3431359_1280

1232. JIDUMULA BHABODO.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo otulaga bhanhu abho abhakile amasala. Umunhu ng’wunuyo, oyelaga na nanha gokwe go guntulila uluumona uyo annebhije amasala kunguno ya miganiko gakwe ayo galigantuula chiniko. Uweyi agakumuka noyi umuchalo jakwe kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagayung’witana giki, “jidumula bhabodo.”

Akahayile kenako, kagalengijiyagwa kuli munhu uyo agabhibhonelaga abhanhu abho bhali na masala magehu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhibhonelaga abhanhu abho bhali na masala magehu uko alibhitila kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga mamihayo mingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wibhoneji bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhatulaga abhanhu abho abhalebhije amasala, kunguno nuweyi agabhibhonelaga abhanhu abha masala magehu umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhang’witanaga giki, “jidumula bhabodo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhibhonela abhanhu abho bhadidujije umumasala gabho, bho gubhambilija chiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza na bhichabho, umukaya jabho.

1Wakorintho 14:11.

Warumi 2:20.

1Wakorintho 14:16.

Wagalatia 3:3.

KISWAHILI: MPIGA WENYE AKILI PUNGUFU.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mtu yule aliyekuwa akiwapiga watu aliowazidi akili. Mtu huyo, alikuwa akitembea na fimbo ya kuwapigia watu hao aliowazidi akili kwa sababu ya mawazo yake kumtuma kufanya hivyo. Yeye alijulikana sana katika kijiji chake kwa sababu ya maisha yake hayo. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mgiga wenye akili pungufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaonea watu wenye akili pungufu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaonea watu hao wenye akili pungufu anakotembelea kwa sababu ya majivuno yakwe ya kuwadharau watu hao, maishani mwake. Yeye hupata matatizo ya kusumbulia na kesi nyingi kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwaonea watu hao wasiona hatia, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewapiga watu aliowazidi akili, kwa sababu naye huwaonea watu walio na akili pungufu, katika maisha yake. Ndio maana watu humuita jina la “mgiga wenye akili pungufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwaonea watu wasiojiweza maishani mwao, kwa kuwasaidia vizuri watu hao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa amani na wenzao, katika familia, zao.

1Wakorintho 14:11.

Warumi 2:20.

1Wakorintho 14:16.

Wagalatia 3:3.

ENGLISH: A HITTER OF THOSE WHO HAVE LESS INTELLIGENCE.

The source of this saying speaks of the person who used to beat people who were out of their mind. Such man walked with a stick for hitting those people because of his thoughts that caused him to do so. He was well known in his village because of such behavior. That is why people called him “a hitter of those who have less intelligence.”

This saying is compared to a person who oppresses the mentally retarded ones in his life. Such person treats those people who have are slow in thinking where he visits because of his pride. He gets many problems and lawsuits in his family because of oppressing those innocent people in his life.

This person is similar to the one who beat people who had less intelligent, because he also oppresses people who are slow in thinking in his life. That is why people call him “a hitter of those who have less intelligence.”

This saying teaches people to stop oppressing the less fortunate ones in their lives, by helping them well, so that they can receive blessings of living in peace with their people in their families.

1 Corinthians 14:11.

Romans 2:20.

1 Corinthians 14:16.

Galatians 3:3.

zulu-kingdom-3411052_1280