heritage

1275. BHULI LYATO NALIHULI LYALYO.

Ilyato jili jiseme ijo jigabhuchaga bhanhu nulu miligo japela bho gwelela muminzi. Ilyato linilo ligashindikagwa na mahuli ga minzi ayo gagabhukilaga lyabhiza ligimba litale. Aliyo lulu bhuli lyato lyene ligashindikagwa ni gimba lyalyo lya minzi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuli lyato na lihuli lyalyo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu umo agapandikilaga amakoye ayo gagikalaga galekanile na ga ng’wiye, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo agapandikaga makoye ga mbika ningi umubhutumami bho milimo yakwe ayo galiheke nayo bhagapandikaga abhangi. Uweyi agalwaga na makoye genayo mpaga ogamala kunguno ya wiyumilija bhokwe, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni lyato ilo lyagashindikwa na mahuli ga muminzi, kunguno nuweyi agakoyiyaga na makoye gakwe umubhutumami bho milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhuli lyato na lihuli lyalyo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gugamala amakoye gabho bhuli ng’wene, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

2Timotheo 2:24.

Yakobo 5:7.

1Petro 1:19.

KISWAHILI: KILA MASHUA NA WIMBI LAKE.

Ngalawa ni chombo bha kusafirishia watu au mizigo majini. Ngalawa hiyo husukumwa na mawimbi ya maji ambayo huinuka kama mlima na kuipiga katika safari zake. Lakini basi, kila Ngalawa husukumwa na Wimbi Lake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kila Ngalawa na Wimbi Lake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu anavyopata matatizo yake katika maisha yake ambayo hutofautiana na yale wanayopata wenzake. Mtu huyo, hupata matatizo mbalimbali ambayo hutofautikana na yale anayopata mwingine, maishani mwake kwa sababu ya uvumilifu wake. Yeye hupambana na matatizo hayo mpaka anayamaliza kwa sababu ya uvumilifu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ile Ngalawa iliyosukumwa na mawimbi ya maji, kwa sababu naye hukumbwa na matatizo yake katika utelekezaji wa majukumu yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kila Ngalawa na Wimbi Lake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuyatatua matatizo yao katika maisha yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

2Timotheo 2:24.

Yakobo 5:7.

1Petro 1:19.

 

 

food-1-

 

ENGLISH: EVERY BOAT AND ITS WAVE.

A ship is a vessel which is used to transport people or goods in water. This boat is pushed by waves of water that rise like a mountain and beat it in its travels. But then, every boat is moved by its Wave. That is why people say that, “every boat and its Wave.”

This saying is equaled to how a person experiences his difficulties in his life which are different from his fellows’ experience. Such person experiences various glitches that are different from those which are experienced by others, in his life because of his tolerance. He fights those hitches until he varnishes them because of his endurance in his life.

This person resembles the boat which was pushed by waves of water, because he also suffers from his difficulties in fulfilling his responsibilities in life. That is why people tell him that, “every boat and its Wave.”

This saying instills in people an idea of having strong persistence enough to solve their hitches in their lives, so that they can nicely raise their families in their lives.

2 Timothy 2:24.

James 5:7.

1 Peter 1:19.

 

1274. LUGOYE LUGATINIKILAGA GU MHELO.

Imbuki ya lusumo lunulo iholelile bhutiniki bho lugoye aho luganogelaga. Ulugoye lunulo lugatungilagwa ginhu jose jose ukumhelo yalo. Uloyi luganogolekaga ugumhelo yalo kunuko mpaga nose lotinika kunguno ya gumanalutungilwa bho gugandagulwa bhuli likanza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lugoye luganitikilaga gu mhelo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo mpaga wegela gugumala na uguleka ugugumalija, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agakilagaga nulu mongo guganemelela ha mhelo yago, nulu agalimilaga ngese mgunda ntale, ogailekela aha mhelo yago, kunguno ya guduma gwiyumilija chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho. Uweyi agagayiyagwa ijikolo aha kaya yakwe kunguno ya gugayiwa wiyumilija bho guimala chiza imilimo yakwe yiniyo, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu lugoye ulo ugatinikila gumhelo, kunguno nuweyi agatumamaga milimo mpaga wegela uguimala na uyileka, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagangwilaga giki, “lugoye lugatinikilaga gu mhelo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho guyitumama chiza imilimo yabho mpaga bhayimala umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 13:22-24.

Yeremia 10:19.

Mathayo 10:22.

KISWAHILI: KAMBA HUKATIKIA MWISHONI.

Chanzo cha methali hiyo huongelea juu ya ukatikaji wa kamba pale inapochokea. Kamba hiyo hufungiwa vitu mbalimbali kwenye upande wake mwishoni. Yenyewe hulainika sana kwenye sehemu hiyo ya mwishoni inapotumika kufungia vitu mpaga mwishowe hukatika kwa sababu ya kukunjwa mara nyingi inapofungiwa vitu hivyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kamba hukatikia mwishoni.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi na kuiacha anapokaribia kuimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kama vile kuvuka mto na kushindwa anapokaribia mwishoni, au kupalilia palizi na kushindwa kuimaliza anapokaribia mwishoni, kwa sababu ya kushindwa kuvumilia vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yake. Yeye hukosa mali kwenye familia yake kwa sababu ya kukosa uvumilivu huo wa kuzimaliza vizuri kazi zake, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na ile kamba iliyokatikia mwishoni, kwa sababu naye hufanya kazi na kuziachia mwishoni, bila kuzimaliza, katika kazi zake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kamba hukatikia mwishoni.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuzimaliza vizuri kazi zao, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Luka 13:22-24.

Yeremia 10:19.

Mathayo 10:22.

rope-57522__480

ENGLISH: THE STRING BREAKS AT THE END.

The basis of the overhead proverb discusses about a breaking of a rope when it gets tired. This rope is tied to various things on its side at the end. It is very soft at the end when it is used to tie things, and eventually it breaks due to being folded sundry times when those things are tied. That is why people say that, “the string breaks at the end.”

This proverb is related to a person who works and leaves it when he is about to finish it, in his life. Such person, does a job like crossing a river and fails when he gets close to the end, or weeding weeds and fails to finish it when he gets close to the end, because of his inability to endure well, in the implementation of his duties. He lacks capital in his family because of his lack of strong patience enough to finish his works properly, in carrying out of his duties.

This person is like the rope that broke at the end, because he also works and leaves them at the end, without finishing them, in his works. That is why people tell him that, “the string breaks at the end.”

This proverb imparts in people an idea of having strong patience enough to finish their works well, in the fulling their responsibilities, so that they can get a lot of success in their lives.

Luke 13:22-24.

Jeremiah 10:19.

Matthew 10:22.

1272. IJI JILINGILA MUBOMA ITI GIKI JIHALA.

Akahayile kenako kahoyelile bhanhu abho bhagingilaga muboma. Umuboma igabhizaga mubhanhu bhingi abho bhagikalaga bhutumama milimo yabho bhuli ng’wene nimo gokwe kunguno ya wingi bho milimo ya munumo.

Aliyo lulu, abhanhu abhangi abho bhagalekagwa umuchalo ja bhanhu bhagehu, bhagabhabhonaga bhuhala abho bhagingilaga muboma, kunguno ya kuidalaha imilimo ya muboma yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “iji jilingila muboma iti giki jihala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayidarahijaga sagala imilimo ya bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agachagulaga imilimo iminogu oyitumama kunguno ya bhudalahija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imilimo iya gutumama aha kaya yakwe kunguno ya bhudalahija bho milimo iyo agaibhonaga yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagabhabhona bhuhala abhanhu abho bhagingila muboma, kunguno nuweyi agayidalahija sagara imilimo iyo agaiyibhonaga yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “iji jilingila muboma iti giki jihala.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka kuidalahija sagara imilimo ya bhichabho, kugiki bhadule gutumama milimo ya gudula gubhambilija chiza ugujibheja ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Luka 9:1-6.

Luka 12:16-18.

KISWAHILI: WANAOINGIA MJINI SIO KWAMBA WAJINGA.

Msemo huo huongelea watu walioingia mjini. Mjini huishi watu wengi ambao hufanya kazi mbalimbali kila mmoja akiwa na yake kwa sababu ya wingi wa kazi hizo.

Lakini basi, baadhi ya watu wanaoishi vijijini huwafikiria kama ni wajinga wale wanaongia mjini kwa sababu ya kudharau kazi za humo mjini. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “wanaoingia mjini sio kwamba wajinga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hudharau hovyo kazi anazoziona, katika maisha yake. Mtu huyo, huchagua kazi zilizorahisi kuzifanya kwa sababu ya dharau yake hiyo ya baadhi ya kazi, maishani mwake. Yeye hukosa kazi za kufanya katika familia yake hiyo kwa sababu ya dharau yake ya kazi anazoziona, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliowaona kama ni wajinga watu walioingia mijini, kwa sababu naye huzidharau hovyo kazi anazoziona, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “wanaoingia mjini sio kwamba wajinga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kudharau kazi wanazoziona katika maeneo yao ili waweze kufanya kazi za kuwawezesha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 9:1-6.

ferry-214475__480

ENGLISH: THOSE WHO ENTER THE CITY ARE NOT STUPID.

This saying speaks of people who entered the city. Many people live in cities who do different jobs, each one with his own because of having a number of jobs in them.

But then, some people who live in rural areas think that those who move to the cities are stupid because they despise jobs which are in the cities. That is why people tell them that, “those who enter the city are not stupid.”

This saying is related to a person who carelessly despises works which he sees in his life. Such person chooses easy jobs because of his disdain for some jobs in his life. He misses work to do in his family because of his disdain for works which he sees in his life.

This person resembles the one who considered people who entered the cities as idiots, because he also despises works which he sees in his life. That is why people tell him that, “those who enter the city are not stupid.”

This saying teaches people about stopping scorning jobs which they see in their areas so that they can do jobs that can enable them to nicely develop their families, in their lives.

Luke 9:1-6.

1271. UNG’HABI ADIKUGAGA ULU WIKUGA UWILWA WIB’AGA.

Bhali hoyi bhanhu abho bhagamona mhunhu nhab’i alina sabho ijo uliojikuga. Abhanhu bhenabho aho bhamona bhagamuja, “ojifunyaga heyi isabho jinijo iki ulinhabhi?” Uweyi agashosha, “najikugaga.” Abhoyi bhagalema bhaliyomba, “udajikugile, ubhebhe ojibhaga duhu!” Hunagwene abhanhu bhagandya guyuyomba giki, “unhab’i adikugaga ulu wikuga uwilwa wib’aga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu nsabhi uyo ugabhadalahaga abhahab’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahaga abhanhu abho bhadina sabho kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu abha ha kaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe ubho gubhitila libheng’we abhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhagang’wila wibhaga umunhu uyo agikuja sabho, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhanhu abho bhadinasabho umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “unhab’i adikugaga ulu wikuga uwilwa wib’aga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhudoshi bho gubhadalaha abhahabhi, kugiki bhadule gwikala ni kujo kubhanhu bhose ilya gubhambilija ugujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho bhunubho.

Kutoka 22:25.

Mambo ya walawi 14:31.

2 Samweli 12:1-6.

Kumbukumbu la Torati 15:4.

KISWAHILI: MASKINI HAOKOTI AKIOKOTA HUAMBIWA KAIBA.

Walikuwepo watu waliomuona mtu maskini na mali alizoziokota. Watu hao walipomuona walimuuliza, “umezitoa wapi mali hizo kwa vile wewe ni maskini?” Yeye aliwajibu, “nimeziokota.” Wao walikataa wakisema “hukuziokota, wewe umeziiba tu.” Ndiyo maana watu wakaanza kusema kwamba, “maskini haokoti akuziokota huambiwa kaiba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu tajiri ambaye huwadharau maskini katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu wale ambao hawana mali kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwake. Yeye hushindwa kuishi vizuri na watu katika familia yake, kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliomdharau mpaka wakamwita mwizi, maskini aliyeokota mali, kwa sababu naye huwadharau maskini maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “maskini haokoti akiokota huambiwa kaiba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha majivuno ya kuwadharau watu maskini, ili waweze kuwa na hekima ya kuwaheshimu watu wote, itakayosaidia katika kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 22:25.

Mambo ya walawi 14:31.

2 Samweli 12:1-6.

Kumbukumbu la Torati 15:4.

crying-african-man-4670799_1280

ENGLISH: THE POOR DOES NOT PICK UP, IF HE/SHE PICKS UP HE/SHE IS TOLD THAT HE/SHE HAS STOLEN.

There were people who saw a poor man who had wealth which he picked up. When they saw him, they asked him, “Where did you get those possessions since you are poor?” He answered them, “I have picked them up.” They refused, saying “you did not pick them up, you just stole them.” That is why people began to say that, “the poor does not pick up, if he/she picks up he/she is told that he/she has stolen.”

This saying is matched to a rich man who despises the poor ones in his life. Sucgh person, despises those who have no wealth because of his pride, in his life. He fails to live well his family members, because of his pride, in his life.

This person is similar to those who despised a poor one until they called him a thief, while he collected wealth, because he also despises the poor ones in his life. That is why he tells them that, “the poor does not pick up if he/she picks up he/she is told that he/she has stolen.”

This saying instills in people an idea of leaving pride of despising poor people, so that they can have wisdom of respecting all people, which will help them in raising well their families, in their lives.

Exodus 22:25.

Leviticus 14:31.

2 Samuel 12:1-6.

Deuteronomy 15:4.

1270. UDIZUJA GWIGULILU LYA MBULI OZWALAGA SKETI YA MALANDO.

Ulusumo lunulo lulolile bhuzwaji bho malando ayo jitokigilwe gugalya mbuli. Alihoyi munhu uyo agazwala sketi ya malando aho ojaga gwigulilu lya mbuli. Aliyo lulu ikimbuli jigatogilwe amalando genayo aho jagabhona jumpelela na gugandya gugalya amalondo genayo mpaga yushila isketi yakwe usaga duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “udizuja gwigulilu lya mbuli ozwalaga sketi ya malando.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ngumanija ojikola jakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ha mkwilikano go bhanhu bhingi ogajilekanija sagala isabho jakwe mpaga nose jamalwa gusolwa na manhu bhenabho, kunguno ya gujilekenija sagala chiniko. Uweyi agamajiyagwa isabho jakwe bho gusolwa sagala na bhanhu kunguno ya bhujidadilila bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaja gwigulilu lya mbuli ozwalaga sketi ya malando gugaliwa ni mbuli amando genayo mpaka usaga duhu, kunguno nuweyi agajilekenijaga sagala isabho jakwe mpaga jamalwa gusolwa na manhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “udizuja gwigulilu lya mbuli ozwalaga sketi ya malando.”

Usulumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gudebha gujidilila chiza isabho jabho kugiki bhadule gujitumamila bho gubheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

KISWAHILI: USIENDE KWENYE MNADA WA MBUZI UMEVAA SKETI YA MALANDO.

Methali hiyo, huangalia uvaaji wa malando ambayo mbuzi wanayapenda kuyala. Alikuwepo mtu aliyevaa sketi ya malando hayo alipokuwa akienda kwenye mnada wa mbuzi.

Lakini kwa vile mbuzi wanayapenda kuyala hayo majani ya viazi, walipoyaona waliyakimbilia na kuanza kuyala mpaka wakayaimaliza sketi yake hiyo, akabaki uchi. Ndiyo maana watu hao walimwambia mtu huyo kwamba, “usiende kwenye mnada wa mbuzi umevaa sketi ya malando.”

Mtu huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa havijali vitu vyake katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kwenye mkusanyiko mkubwa wa watu wengi na kuvitelekeza vitu vyake mpaka watu wanavichukua vyote, kwa sababu ya kuvitelekeza hovyo mali zake hizo. Yeye huzimaliza mali zake kwa kuchukuliwa na watu hovyo kwa sababu ya kutozijali vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeenda kwenye gulilu la mbuzi amevaa sketi ya malando ikamalizwa kuliwa na mbuzi sketi yake hiyo, mpaka akabaki uchi, kwa sababu naye huzitelekeza mali zake hovyo mpaga zinamalizwa kwa kuchukuliwa na watu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo hivi, “usiende kwenye mnada wa mbuzi umevaa sketi ya malando.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuelewa kuzijali kwa kuzitunza vizuri mali zao, ili waweze kuzitumia kwa kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

goat-7537746__480

ENGLISH: DO NOT GO TO THE GOAT’S AUCTION WEARING A SWEET POTATO’S LEAVES SKIRT.

This proverb looks at a dressing of sweet potato’s leaves that goats like to eat. There was a woman who wore a skirt of that kind when she was going to the goat’s auction.

But since the goats like to eat those potato’s leaves, when they saw them they ran to them and started eating them until they finished her skirt, leaving her naked. That is why people told such woman that, “do not go to the goat’s auction wearing a sweet potato’s skirt.”

This proverb is paralleled to a person who does not care about his things in his life. Such person goes to a large gathering of people and abandons his things until people take them all, because of careless abandonment of his possessions. He ends his possessions by being taken carelessly by people because of not taking good care of them, in his life.

This person is like the one who went to the goat’s market wearing a sweet potato’s leaves skirt and the goat ended up eating her skirt, until she was left naked, because he also abandons his possessions to the point of being taken by people, in his life. That is why people tell him that, “Do not go to the goat’s auction wearing a sweet potato’s leaves skirt.”

This proverb teaches people on understanding ways of of taking care of their properties by taking good care of them, so that they can use them for nicely developing their families in their lives.