Folklore

1446. JIGAFULAGWA JILINA MATU.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile munhu uyo olina matu gawiza. Abhanhu bhang’wilaga imihayo oigwa chiza kunguno olina matu ayo gigwaga chiza pye imihayo yabho. Umunhu ng’wunuyo aliadinhalali umuwikaji bhokwe kunguno ya wigwi bhokwe bhunubho ubho wiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “jigafulagwa jilina matu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina masala masoga agagwiigwa chiza na bhanhu na gugikalana chiza amalange ayo agalangagwa na bhatale bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhudegelekaga na guwikalana chiza ubhulungwa ubho agalangagwa na bhatale bhakwe bhenabho, kunguno ya masala gakwe agawiza genayo umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe kunguno ya masala gakwe agawiza genayo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina matu gawiza ayo giyigwaga chiza imihayo iyo owilagwa na bhiye, kunguno nuweyi agawikalanaga chiza ubhulangwa ubho agalangagwa na bhatale bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “jigafulagwa jilina matu.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala gagulikalana chiza ililange lya bhatale bhabho kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 13:1-8.

Marko 4:1-9.

Luka 8:4-8’

KISWAHILI: HUFUNDISHWA ALIYE NA MASIKIO.

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu yule ambaye ana masikio yenye uwezo wa kusikia vizuri. Watu hulimweleza maneno yao ambayo huyasikia vizuri kwa sababu ana masikio yenye uwezo wa kuyasikia vizuri. Mtu huyo hakuwa mbishi katika maisha yake kwa sababu ya masikio yake kuwa na uwezo mzuri wa kusikia maneno ya wenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hufundishwa aliye na masikio.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana akili nzuri za kuyaishi vizuri malezi anayofundishwa na walezi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyasikiliza kwa makini na kuyaishi vizuri malezi anayofundishwa na walezi wake hao, kwa sababu ya akili nzuri alizonazo, maishani mwake. Yeye hufanikiwa vizuri katika kuilea vyema familia yake hiyo kwa sababu ya akili yake hiyo nzuri katika kuyaishi vizuri malezi aliyofundishwa na walezi wake.

Mtu hiyo, hufanana na yule aliyekuwa na masikio yenye uwezo wa kusikia vizuri maneno aliyoambiwa na wenzake, kwa sababu naye ana akili nzuri ya kuyaishi vizuri malezi anayopewa na walezi wake, maishani mwake. Ndiyo maana  watu humwambia kwamba, “hufundishwa aliye na masikio.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili nzuri ya kuyaishi vizuri malezi wanayopewa na walezi wao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:1-8.

Marko 4:1-9.

Luka 8:4-8’

1440. NAJA.

Aho kale olihoyi munhu uyo agasumba lugendo lo guja bhugeni. Umunhu ng’wunuyo agabhitana abhanwani bhakwe bhuja aha kaya yakwe kunguno ya gubhalaga. Aho bhaja abhanwani bhakwe bhenabho abhagabhawila giki bhikale mhola uweyi aligeniha. Hunagwene agayomba giki, “naja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga chiza na bhanhu bha ha kaya yake. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga lilange lya gwikala bhitogilwe chiza bho gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho guyilela chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhitana gubhalaga abhanwani bhakwe aho ohaya gugeniha, kunguno nuweyi agajaga gujubhalanga lilange lya gwikala chiza na bhanhu umuwikaji bhokwe. Hunagwene ulu alibhalaga agayombaga giki, “naja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi umukaya jabho jinijo.

Kutoka 18:27.

1Wafalme 8:66.

Marko 6:46.

2 Wakorintho 2:13.

KISWAHILI: NAENDA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyetaka kusafiri kwenda ugenini. Mtu huyo aliwaita rafiki zake kwenda nyumbani kwake kwa sababu alitaka kuwaaga. Walipofika kwake wale rafiki zake aliwaambia wakae salama kwa sababu yeye alikuwa anaenda ugenini. Ndiyo maana aliwaambia kwamba, “naenda.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule anayeishi vizuri na watu wa nyumbani mwake katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha watu wake malezi ya kuishi kwa upendo wakisaidiana vizuri katika kufanya kazi zao, kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake. Yeye hupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo kwa kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuwafundisha malezi mema watu wake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaita rafiki zake ili awaage alipotaka kusafiri, kwa sababu naye kuenda kuwafundisha malezi mema watu wake katika maisha yake. Ndiyo maana anapotaka kuwaacha huwaambia kwamba, “naenda.”

Msemo huyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuwalea vyema watu wao, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao.

Kutoka 18:27.

1Wafalme 8:66.

Marko 6:46.

2 Wakorintho 2:13.

1436. LINZWI LILINA MATAMBI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile linzwi ilo ligakulaga bho guja hasi mpaga lyabhiza na matambi agagulidimila ilinti ilitale ilo lilina matambi galyo. Ilinzwi linilo ligabhizaga na nguzu ja gudula gugudimila unti intale pye na matambi gago kunguno ya bhujamu bholyo. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, “linzwi lilina matambi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atolile mpaga upandika bhana bhingi, bhizukuru na bhizimbili bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ung’wunuyo agayilelaga chiza ikaya yakwe bho guilanga gutumama milimo ya gubhapandikila matwajo gaguyilanhanila chiza ikaya yiniyo kunguno ya witegelecha bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako. Uweyi agapandikaga matwajo mingi noyi akaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho guyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni linzwi ilo lilina matambi ga gugudimila unti na matambi gago, kunguno nu weyi alina nanguzu na witegeleja bhutale ubho guyilela na guyilanhana chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “linzwi lilina matambi.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilela chiza ikaya jabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 17:7.

2 Samweli 5:12.

Yohana 15:1-9.

KISWAHILI: MZIZI WENYE MATAWI.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya mzizi unaokua kwa kwenda chini ya ardhi mpaka unapata matawi ya kuweza kuushikiria mti mkubwa wenye matawi. Mzizi huo huwa na nguvu za kuweza kuushikiria mti mkubwa wenye matawi yake kwa sababu ya uimara wake huo. Ndiyo maana watu huuita jina la “mzizi wenye matawi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule aliyeoa akapata watoto wengi, wajukuu na vilembe, katika maisha yake. Mtu huyo, huilea vyema familia yake hiyo kwa kuifundisha kufanya kazi za kuwapatia mahitaji ya kutosha kutumia kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi sana kwenye familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuilea vyema familia hiyo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na ule mzizi wenye matawi ya kuushikiria mti wenye matawi, kwa sababu naye ana nguvu na uaminifu wa kuilinda vyema familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mzizi wenye matawi.”

Msemo huo hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na uaminifu wa kuzilea vyema familia zao, ili waweze kupata maendeleo mengi katika familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 17:7.

2 Samweli 5:12.

Yohana 15:1-9.

1423. NG’WIGASHI OHIZUGILO.

Olihoyi nkima uyo ozugaga jiliwa ja gulya abhanhu abho bhikalaga aha kaya yakwe. Unkima ng’wunuyo wigulambijaga guzuga jiliwa jinijo mpaga bhalya pye abho b’ikalaga aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho gubhagalila chiza abhanhu bhakwe bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “ng’wigashi ohizugilo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhitogilwe chiza umukikalile kabho. Abhitoji bhenabho bhagabhalelaga abhanhu bhabho bho gubhagalila jiliwa ja wiza na gwikala chiza na bhanhu bhose kunguno ya bhutogwa bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yabho kunguno ya bhutungilija bhobho ubhogwitogwa chiza bhunubho, umukikalile kabho kenako.

Abhitoji bhenabho bhagikolaga nu nkima uyo obhazugilaga jiliwa abhanhu bha ha kaya yakwe mpaka bhalya pye abhose, kunguno nabhoyi bhagabhagalilaga jiliwa ja wiza abhanhu bhabho na gwikala bho witogwi nabho chiza aha kaya yabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “ng’wigashi ohizugilo.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gwikala na witogwi bho gubhagalila jiliwa jawiza abhanhu bhabho kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho umuwikaji bhobho bhunubho.

Waefeso 5:21.

Wakolosai 3:18.

KISWAHILI: MKAAJI WA JIKONI.

Alikuwepo mwananke aliyewapikia chakula cha kula watu waliokuwa wanaishi kwenye familia yake. Mwananke huyo alijibidisha kupika chakula hicho mpaka wanakula wote wanaoishi kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya upendo wake wa kuwakarimu vizuri watu wake hao. Ndiyo maana watu walimuita jila la “mkaaji wa jikoni.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wana ndoa wanaopendana vizuri katika maisha yao. Wana ndoa hao huwalea watu wao kwa kuwakarimu vyakula kizuri na kuishi na watu vizuri kwa sababu ya upendo wao huo, maishani mwao. Wao huishi kwa furaha katika familia yao kwa sababu ya uaminifu wao wa kupendana vizuri hivyo, katika maisha yao.

Wana ndoa hao hufanana na yule mwananke aliyewapikia chakula watu wa kwenye familia yake mpaka wakala wote, kwa sababu nao huwakarimu watu wao na kuishi kwa upendo nao vizuri, kwenye familia yao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaita jila la “mkaaji wa jikoni.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwakarimu chakula kizuri watu wao ili waweze kuwalea vyema watu wao, maishani mwao.

Waefeso 5:21.

Wakolosai 3:18.

 

ENGLISH: KITCHEN RESIDENT.

There was a woman who cooked food for people who lived in her family. Such woman worked hard enough to cook such food which everyone in her family ate because of her true love for treating her people well. That is why people named her as “kitchen resident.”

This saying is matched to married couples who love each other well in their lives. These married couples raise their people by nicely treating them with decent food as well as by nicely living with people because of their true love their in lives. They live happily in their families because of their loyalty to loving each other well, in their lives.

These married couples are like the woman who cooked food for the people in her family until everyone ate it, because they also nicely treat their people by loving each other in their family lives. That is why people call them as “kitchen residents.”

This saying instills in people an idea of having true love which can support them enough to serve decent food to their people so that they can nicely nurture their people in their lives.

Ephesians 5:21.

Colossians 3:18.

 

 

1399. NAJIKANDILE JUMONDA.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhukandi bho bhusu bho ngano. Olihoyi munhu uyo okandaga bhusu bho ngano ub’o bhugakandwa mpaga bhomonda na wigelelwa guzugwa mandazi, chapati na migate. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki “najikandandilile jumonda.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindamu ugutumama milimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho nguvu ningi na bhukamu bhutale kunguno ya bhutungilija bhokwe mpaga onamhala naonaga lulu uguitumama imilimo yiniyo. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya bhukamu bhunubho ubho gutumama milimo yakwe bho nguvu ningi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agakanda bhusu bho ngano mpaga bhumonda bho gwikoma guzugwa mandazi, chapati na migate, kunguno nuweyi agatumamaga milimo yakwe mpaga opandika matwajo mingi, umuwikaji bhokwe. “hunagwene agayombaga giki, “najikandile jumonda.”

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gwigulambija gutumama milimo yabho bho nguvu ningi, kugiki bhadule kupandika matwajo gagubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yahana 21:18.

 KISWAHILI: NIMEUKANDA UKALAINIKA.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya unga wa ngano.  Alikuwepo mtu aliyekuwa akitengeneza unga huo wa ngano kwa kuukanda mpaka ukalainika kiasi cha kutosha kutumika kwa kupikia maandazi, chapati na mikate. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimeukanda ukalainika.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkakamavu wa kufanya kazi katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kwa nguvu nyingi na kwa bidii kubwa kwa sababu ya uaminifu wake huo, mpaga anazeeka ndipo anachoka kuzifanya kazi hizo. Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi zake kwa nguvu nyingi, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyekanda unga wa ngano mpaga ukalainika kiasi chakutosha kutumika kwa kupikia maandazi, chapati na mikate, kwa sababu naye hufanya kazi zake kwa nguvu mpaka anapata mafanikio mengi maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimeukanda ukalainika.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao kwa nguvu nyingi, ili waweze kupata mafanikio mengi ya kuwasaidia katika kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Yahana 21:18.

ENGLISH: “I KNEADED IT UNTIL IT WAS SOFT.”

The origin of this saying is about wheat flour. There was a person who was making wheat flour by kneading it until it was soft enough to be used for baking buns, and bread. That is why he said that, “I kneaded it until it was soft.”

This saying is matched to a person who is hardworking in his life. This person, exerts himself to do his work with great strength and diligence because of his loyalty, when he gets old he gets tired of doing those jobs. He achieves a lot of success in his family because of his diligence in doing his works with great strength, in his life.

This person resembles the one who kneaded wheat flour until it was soft enough to be used for baking buns, and bread, because he also works hard until he achieves a lot of success in his life. That is why he says that, “I kneaded it until it was soft.”

This saying instills in people a clue of being honest and hard working enough to nicely fulfill their responsibilities, so that they can achieve countless successes which can help them in developing their family lives.

John 21:18.