Aho kale olihoyi munhu uyo otumamaga nimo gokwe umuchalo ja Ng’watuma. Umunhu ng’wunuyo olialemile amasemba ulu alitumama unimo gokwe gununo gadulile guntindika ugugumala wangu unimo gunuyo. Hunagwene agabhawila abho bhenhaga limela aha nimo gokwe gunuyo giki, “nadinalimela ulunimaga henaha.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutungilija bho gutumama milimo yakwe chiza, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ung’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho guyomba bhunhana mpaga oyimala chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutungilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe mpaka oyimala chiza chiniko, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ogutumamaga milimo bho nduhu ilimela mpaka oyimala chiza, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho guyomba bhunhana mpaga oyimala chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nadinalimela ulunimaga henaha.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza makanza gose, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho jinijo.
Hesabu 27:20.
1Samweli 9:6.
1Samweli 9:22.
Walawi 19:30.
Mithali 11:16.
KISWAHILI: SINA UTANI NIKIWA HAPA.
Hapo zamani alikuwepo mtu aliyefanya kazi yake kwenye kijiji cha Mwatuma. Mtu huyo, alikataa utani wakati wa kufanya kazi yake hiyo kwa sababu huo unaweza huchelewesha kuimaliza kazi yake hiyo. Ndiyo maana aliwaambia wale walioleta utani kwenye kazi yake hiyo kwamba, “sina utani nikiwa hapa.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye na uaminifu wa kufanya kazi zake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kwa kuongea ukweli mpaka anazimaliza vizuri, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kufanya kazi zake mpaka anazimaliza vizuri, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi zake bila utani mpaka akazimaliza, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa kusema ukweli mpaka anazimaliza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “sina utani nikiwa hapa.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mali za kutumia katika familia zao, maishani mwake.
Hesabu 27:20.
1Samweli 9:6.
1Samweli 9:22.
Walawi 19:30.
Mithali 11:16.











