Aho kale olihoyi munhu uyo otumamaga nimo gokwe umuchalo ja Ng’watuma. Umunhu ng’wunuyo olialemile amasemba ulu alitumama unimo gokwe gununo gadulile guntindika ugugumala wangu unimo gunuyo. Hunagwene agabhawila abho bhenhaga limela aha nimo gokwe gunuyo giki, “nadinalimela ulunimaga henaha.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutungilija bho gutumama milimo yakwe chiza, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ung’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho guyomba bhunhana mpaga oyimala chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutungilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe mpaka oyimala chiza chiniko, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ogutumamaga milimo bho nduhu ilimela mpaka oyimala chiza, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho guyomba bhunhana mpaga oyimala chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nadinalimela ulunimaga henaha.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza makanza gose, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho jinijo.
Hesabu 27:20.
1Samweli 9:6.
1Samweli 9:22.
Walawi 19:30.
Mithali 11:16.
KISWAHILI: SINA UTANI NIKIWA HAPA.
Hapo zamani alikuwepo mtu aliyefanya kazi yake kwenye kijiji cha Mwatuma. Mtu huyo, alikataa utani wakati wa kufanya kazi yake hiyo kwa sababu huo unaweza huchelewesha kuimaliza kazi yake hiyo. Ndiyo maana aliwaambia wale walioleta utani kwenye kazi yake hiyo kwamba, “sina utani nikiwa hapa.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye na uaminifu wa kufanya kazi zake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kwa kuongea ukweli mpaka anazimaliza vizuri, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kufanya kazi zake mpaka anazimaliza vizuri, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi zake bila utani mpaka akazimaliza, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa kusema ukweli mpaka anazimaliza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “sina utani nikiwa hapa.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mali za kutumia katika familia zao, maishani mwake.
Hesabu 27:20.
1Samweli 9:6.
1Samweli 9:22.
Walawi 19:30.
Mithali 11:16.
ENGLISH: I AM NOT JOKING HERE.
Once upon a time, there was a man who worked in the village of Mwatuma. This man refused to joke while doing his work because he believed joking would delay the completion of his tasks. Whenever people came to his workplace making jokes, he would say to them, “I am not joking here.”
This saying refers to a person who is serious and honest in his work. Such a person strives to do his work faithfully and speaks the truth until he completes it well. Because of his honesty and dedication, he succeeds and provides well for his family.
That person resembles the man who refused to joke while working until he finished his task. In the same way, he remains focused and truthful until his work is completed successfully. That is why he confidently says, “I am not joking here.”
This saying teaches people the importance of seriousness, honesty, and hard work in fulfilling their responsibilities so that they may prosper and support their families throughout their lives.
The lesson of this saying is supported by Scripture:
In Book of Numbers 27:20, responsibility and honor are given to a faithful leader.
In First Book of Samuel 9:6 and 9:22, we see respect for truth and proper conduct.
In Book of Leviticus 19:30, people are called to reverence and seriousness in holy matters.
In Book of Proverbs 11:16, we learn that honorable and diligent behavior brings reward.














