Sukuma Proverbs

821. BHUGOKOLO BHO BHANGUZU ILI NGUZU YA BHAGOKOLO.

Olihoyi munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo agapandika nguzu ja gwikomeja kutumama milimo yakwe, aho omona uyo alina nguzu alinga kunimo gokwe, aliyo itali dilu.

Gashinga lulu, umunhu ungokolo ulu umana igiki ung’wiye uo nguzu alina bhugokolo guti bhokwe, agabhizaga na bhiganiki bho giki, nuweyi adulile gwita milimo mitale, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhukogolo bho bhanguzu ili nguzu ya bhagokolo.”

Ulusumo lunulo, lugalenaganijiyawa kuli munhu uyo agagalukaga umukajile gwinga mu nhungwa ja bhubhi oja mu ja wiza, umuwikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhudebhile uwinogolelwa bhokwe, hunagwene agacholaga nzila ja guwinja kugiki apandike matwajo mingi, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga wasa bho gwilanga mihayo ya wiza kubhanhu abho bhagang’winhaga nguzu ja gutumama chiza, umu milimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngokolo uyo agibhona o solobho, bho gubhumana ubhugokolo bho ng’wiye uonguzu, kunguno nuweyi agalekanaga ni nhungwa ija bhubhi, obhiza na ja wiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhukogolo bho bhanguzu ili nguzu ya bhagokolo.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Waebrania 12:5.

KISWAHILI: UVIVU WA WENYE NGUZU NI NGUVU YA WAVIVU.

Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa mvivu wa kufanya kazi zake. Mtu huyo, alipata nguvu za kuyatekeleza majukumu yake hayo, baada ya kumuona mwenye nguvu akirudi nyumbani kutoka kazini ikiwa bado asubuhi.

Kumbe basi, mtu mvivu akielewa kwamba mwenzake ambaye ni mwenye nguvu za kufanya kazi ana uvivu kama wake, hujifikiria kuwa naye aweza kufanya kazi kubwa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “uvivu wa wenye nguvu ni nguvu ya wavivu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujirekebisha kwa kuondoa udhaifu wake ili aweze kuwa mtu bora, katika maisha yake. Mtu huyo, anauelewa udhaifu alio nao, ndiyo maana hutafuta njia za kuuondoa ili apate mafanikio mengi, katika maisha yake. Yeye hupata nafasi ya kujifunza kupitia mifano mbalimbali ya watu anaoishi nao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mvivu yule aliyejiona wa maana baada ya kuuona uvivu wa mwenye nguvu, kwa sababu naye huachana na tabia za kutenda maovu, ili aweze kutenda mema, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uvivu wa wenye nguvu ni nguvu ya wavivu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi zao, katika maisha yao, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.

Waebrania 12:5.kigali-

people work1

africa2

ENGLISH: THE LAZINESS OF THE STRONG IS THE STRENGTH OF THE LAZY.

There was a man who was too lazy in doing his work. He however, gained strength to carry out his duties, after seeing a powerful man returning home from work in the early hours of the morning.

When this lazy person realized that his colleague who is strong enough to work is as lazy as his own, he thought that he too could do great works in life. That is why people say, “the laziness of the strong is the strength of the lazy.”

This proverb is likened to a man who corrects himself by removing his weaknesses so that he can be a better person in his life. He understands his weakness that is why he seeks ways to get rid of it so that he can be more successful in life. He gets chances for learning through various examples of the people whom he lives with in his family.

This person is like the lazy man who thought that he is important, after seeing the laziness of the strong one, because he also gives up habits of doing evil, so that he can do good deeds in his life. That is why people say to him, “the laziness of the strong is the strength of the lazy.”

This proverb teaches people on how to be diligent enough to fulfill nicely their families responsibilities, so that they may have more wealth in their societies.

Hebrews 12: 5.

 

819. BHUNONU BHO CHAYI SUKARI.

Ichayi jilijing’wiwa ijo jigatumilaga na bhanhu bhingi. Aliyo lulu, ichayi yiniyo ulu idina sukari idabhizaga na bhunonu. Iyoyi mpaga igaditilagwa sukari naya nona lulu. Hunagwene abhahu bhagayombaga giki, “bhunonu bho chayi sukari.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadililaga chiza abhanhu bho gulola bhumunhu bhobho, idi bho gulola mahanga gabho duhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina nhungwa ja wiza ijo jigang’wambilijaga ugubhitilia mito ga wiza abhiye, kunguno aidebhile isolobho  ya bhu munhu bhobho. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe, kunguno ya gubhiza na wambilijiwa bho bhanhu bhingi abho bhatogilwe ugwikala nag’hwe, akahaya yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni sukari iyo iganonhyaga chayi, kunguno nu weyi alina nhungwa ja wiza ijo jigabhudililaga ubhumunhu bho bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “bhunonu bho chayi sukari.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa ja wiza ija gubhambilija abhichabho bho gulola bhu munhu bhobho, kugiki bhadule gupandika mtwajo mingi, umubhutumami bho milimo yabho, shigu jose.

Mathayo 12:32-35.

KISWAHILI: UTAMU WA CHAI SUKARI.

Chai ni kinyaji ambacho watu wengi hukinywa. Lakini basi, chai hiyo, kama haijatiwa sukari huwa haiwi tamu. Yenyewe mpaka iwekewe sukari ndipo ipate utamu wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “utamu wa chai sukari.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwajali vizuri watu kwa kuangalia utu wao, badala ya kuangalia sura zao tu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana tabia njema ambayo humsaidia katika kutenda matendo mema, kwa wenzake, kwa sababu ya yeye kuwa na ufahamu juu ya utu wa watu wake hao. Yeye hupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya kupata msaada kutoka kwa watu wengi wanapenda kuishi naye, kwenye familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na sukari ambayo huleta utamu kwenye chai, kwa sababu naye anayo tabia njema ambayo humwezesha kuujali utu wa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “utamu wa chai sukari.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwasaidia wenzao, kwa kuuangalia utu wao bila kujali sura zao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utekelezaji wa majukumu yao, siku zote.

Mathayo 12:32-35.

ethiopia-tea

africa-tea

drink-

ENGLISH: THE SWEETNESS OF TEA IS SUGAR.

Tea is a beverage that most people drink. But then, if it is not added sugar, it is not sweet. It gets its sweetness when sugar is added to it. That is why people say, “the sweetness of tea is sugar.”

This proverb is likened to a man who cares deeply about people by looking at their personalities, rather than just their appearance in life. Such person has a good attitude that helps him in doing good deeds to others, because of him being aware of the dignity of them. He finds great success in fulfilling his responsibilities, because of the support of many people who like to live with him, in his family.

This person is like some sugar that brings sweetness to the tea, because he also has a good attitude that enables him to take care of his colleagues’ dignities in his society. That is why he tells people that, “the sweetness of tea is sugar.”

This proverb instills in people an idea on how to be good at helping others, by looking at their personalities regardless of their appearance, so that they can be more successful, in carrying out their daily responsibilities in their societies.

Matthew 12: 32-35.

818. ULULIMI LUGUBISHE KULWA JILIWA IDI BHO MIHAYO.

Ulusumo lunulo, lulolile lulimi na katumamile kalo. Ululimi lunulo, ulu lupya jiliwa jisebhu, nulu minzi masebhu, lugasadyaga. Aliyo lulu, uloyi nulu munhu uyomba mamihayo bho ululimu lokwe ayo gali mabhi, lugasadyaga. Gashinaga lulu, ili hambohambo ugusatya ulu wapyaga jiliwa gukila ugusatya bho mihayo iyo waombaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ululimu lugubishe kulwa jiliwa idi bho mihayo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agalutumamilaga chiza ululimi lokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga tamu imhayo iyi ili ni kujo iyo idulile gubhalela chiza abhanhu bhakwe, naoyiyomba, kunguno adebhiye isolobho ya gulutumila chiza ululimi lokwe lunulo.

Isolobho jinijo, jili kihamo na gubhalumanya abhanhu bhakwe kugiki bhadule gwikala bho witogwi, umukikalile kabho. Uweyi agadebhile amakoye gaguyomba mihayo ya bhubhi, guti kuyomba majiduki ayo gagalisanyaga bhanhu mpaga bhabhulaga kaya jabho. Hunagwene agabhalangaga abhanhu kugiki bhatumile chiza indimi jabho, bho gubhawila giki, “ululimu lugubishe kulwa jiliwa idi bho mihayo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujitumila chiza indimi jabho, bho guyomba mihayo ikujo umumahoya gabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1 Yohana 1:6.

KISWAHILI: ULIMI UKUCHOME KWA CHAKULA SIO KWA MANENO.

Methali hiyo, huangalia ulimu na matumizi yake. Ulimi huo ukiungua chakula cha moto, au maji ya moto, huuma. Lakini pia, mtu akiongea maneno mabaya kwa kuutumia ulimi huo, huuma.

Kumbe basi, ni afadhali kuuma kwa kuunguzwa na chakula cha moto au maji ya moto, kuliko kuumizwa kwa maneno uliyoyangea kwa kutumia ulimi huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ulimi ukuchome kwa chakula sio kwa maneno.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vizuri ulimi wake anapoongea na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufikiria kwanza maneyo yenye hekima yanayoweza kuwalea vizuri watu wake, ndipo anayatumia wakati wa kuongea nao, kwa sababu anafahamu faida za maneno hayo, na hasara za kutumia maneno yasiyo na hekima, katika maisha yake.

Faida hizo, ni pamoja na kuwaunganisha watu wake kiasi cha kutosha kuwawezesha kuishi kwa upendo, katika familia zao. Yeye anazifahamu pia hasara za kuongea maneno mabaya kupitia ulimi wake ambazo ni pamoja na kuwagombanisha watu wake, na kusambalatisha miji au familia zao. Ndiyo maana huwafundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao, kwa kuwaambia kwamba, “ulimi ukuchome kwa chakula sio kwa maneno.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao, kwa kuongea maneyo yenye hekima wanapoongea na wenzao katika maisha yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

1 Yohana 1:6.

kitchen-

child3

smile

 

 

815. UMHAYO UNG’WIZA GUDADUTAGA BHINGI.

Ulusumo lunulo, lulolile bhudamu bho gubokelwa bho mhayo uyo guligowiza, umukikalile ka bhabhu. Aliyohi ng’walimu umo uyo agabhabhilinga bhanhu bha munzengo, kugiki wize abhawile mhayo go gubhasomisha abhana bhabho. Aho bhiza aha lugiko abhanhu bhenabho, agabhawila, “bhachalagi bhagasome abhana bhing’we, kugiki bhize bhadule gung’wambilija aha shigu ja ha bhutongi.”

Nhamhala umo agashosha, “dududula gubhalecha abhana bhise milimo ya gudima mitugo kunguno ya kusoma.” Ung’walimu ng’winuyo agashosha, “unimo go gusoma gulina solobho nhale gukila ugudima imitugo, kunguno ubhusomi bhugalangaga mingi iyo ilikihamo nu gujipandika imitugo na gujilang’hana chiza.”

Aho obhalomela chene ung’walimu ng’wunuyo, bhagehu bhabho bhagazunya ugubhasomisha abhana bhobho. Abhana bhenabho, bhagasoma mpaga bhubhiza matongeji bhatale bha si yabho. Hunabhandya bhanhu bhingi ugubhasomisha abhanha bhabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umhayo ung’wiza gudadutaga bhingi.”

Ulusumo lunulo, lugenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga kubhalanga mihayo ya ng’hana abhiye mpaga bhayidebha, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhudebhile ubhudamu bho guzunyiwa bho mhayo ugong’hana  na bhanhu abho bhaligwigwa lukangala lo gwandya. Hunagwene uweyi agikomeja gugushokela mara hingi umhayo gunuyo, mpaga bhadula gugwelewa chiza, abhanhu bhakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’walimu uyo agabhalanga bhanhu solobho ya gubhasomisha abhana bhabho, kunguno nuweyi agiyumilijaga ugubhatongela abhiye imihayo ya ng’hana, mpaga bhayidebha chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “umhayo ung’wiza gudadutaga bhingi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyumilija guidimilila mihayo ya wiza, bho gubhalanga abhichabho imihayo yiniyo, kugiki bhadule kupandika bhatongeji bhawiza, umuwikaji bhobho.

Marko 16:9-13.

KISWAHILI: NENO JEMA HALIWAVUTII WENGI.

Methali hiyo, huangalia ugumu wa neno jema kupokelewa na watu, katika maisha yao. Alikuwepo mwalimu mmoja ambaye aliitisha mkutano wa wanakijiji ili awaeleze juu ya umuhimu wa kuwasomisha watoto wao. Walipofika kwenye mkutano huo, aliwaambia, “wapelekeni shule watoto wenu wakasome ili waweze kuja kuwasaidia kwenye siku za mbeleni.”

Mzee mmoja alijibu, “hatuwezi kuachisha kazi za kuchunga mifugo watoto wetu kwa sababu ya kusoma.” Mwalimu huyo alijibu, “kazi ya kusoma ni kubwa kuliko kuchunga mifugo, kwa sababu elimu hufundisha mengi, ambayo ni pamoja na namna ya kuipata mifugo hiyo, na njia za kuitunza vizuri.”

Mwalimu alipowaeleza hivyo, bhadhi yao hao wanakijiji walikubali kuwapeleka watoto wao shuleni. Watoto hao, walifaulu hadi wakafikia hatua ya kuwa viongozi wakubwa nchi yao.  Wanakijiji walipoona hivyo, wengi wao walianza kuwasomesha watoto wao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “neno jema haliwavutii wengi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia katika kuwafundisha watu wake ukweli wa kitu chema kitakachoweza kuwasaidia, hadi wanakielewa vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, anauelewa ugumu wa kupokelewa kwa kitu chema, kwa wale wanaokisikia kwa mara ya kwanza. Yeye huendelea kukirudia kitu hicho kwa watu hao, mpaka wanakielewa vizuri, kiasi cha kutosha kufaidika nacho, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na yule mwalimu aliyewaelimisha wanakijiji wake juu ya kuwasomesha watoto wao, hadi wakamwelewa, kwa sababu naye huvulimia katika kuwaelimisha watu juu ya ukweli wa kitu chema kiwezacho kuwasaidia katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “neno jema haliwavutii wengi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kutosha katika kuwaelimisha wenzao, juu ya kitu chema kiwezacho kuwasaidia, katika maisha yao, ili waweze kupata viongozi bora, maishani mwao.

Marko 16:9-13.

people-class

farmer3

ENGLISH: THE GOOD WORD DOES NOT ATTRACT MANY.

This proverb looks at a difficulty of people to receive a good word in their lives. There was a teacher who convened a village meeting to explain about an importance of educating their children. When they arrived at the meeting, he told them, “Send your children to school so that they can come and help you in the future.”

An elder one replied, “We cannot stop our children from the work of herding because of studying.” The teacher replied, “The task of studying is bigger than that of herding livestock, because education teaches a lot, which includes how to get livestock, and how to take good care of them.”

When the teacher told them so, the villagers agreed to send their children to school. Their children succeeded until they reached the point of becoming leaders of their country. Seeing this, many of the villagers allowed their children to go to schools. That is why people say that “good word does not attract many.”

This proverb is likened to a man who perseveres in teaching his people the truth of something which is good that will help them, until they understand it well, in his life. This person understands a difficulty of receiving something which is good, to those who hear it for the first time. He keeps on repeating the same thing to them, until they understand it well enough to benefit from it in their lives.

This man is like the teacher who taught the villagers to educate their children by allowing them to go to school, until they understood him, because he also perseveres in educating people about the truth of something which is good that can help them in their lives. That is why he tells people that “the good word does not attract many.”

This proverb teaches people about being patient enough to educate others, on something which is good that can help them in their future lives, so that they can find good leaders in their societies.

Mark 16: 9-13.

813. BHUTA BHUDIMANILE NA LUGE.

Ubhuta jili jilanga ja julasila bho guponya masonga ubho bhukikalaga bhudimanile na luge. Ubhuta bhunubho, bhugafumilaga mulinti ilo ligabhejiyagwa chiza mpaka likoma gutungwa na luge.

Uluge lunulo, lugabhizaga lugoye ulo lugatungagwa mpaga lobhugonda ubhuta bho gudimila isonga. Uloyi lugatumamaga nimo kihamo nu bhuta bhunubho, bho nduhu ugulekana. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuta bhudimanile na luge.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhitoji abho bhagikalaga kihamo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga bho gwiyambilija chiza imilimo yabho, umukikalile kabho. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi noyi, kunguno ya bhumo bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nu bhulumani bho bhuta nu luge, kunguno  na bhoyi bhagikalaga bhalumanile kihamo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhuta bhudimanile na luge.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhitoji higulya ya gwikala bhalumanile kihamo bho gwiyambilija uguitumama chiza imilimo yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 9:13.

Waelefeso 5:31.

KISWAHILI: UPINDE HUSHIKANA NA KAMBA.

Upinde ni silaha ya kurushia mishale ambayo huwa imeungana na kamba. Upinde huo, hutokana  na mti uliokatwa na kutengenezwa vizuri mpaka ukafikia hatua ya kufungwa kamba.

Kamba hiyo, huwa ni muunganiko wa nyuzi zilizoshonwa vizuri ambayo hufungwa kiasi cha kutosha kuukunja ule upinde inapotumiwa kuushikilia mshale. Yenyewe hufanya kazi pamoja na upinde bila kuachana nao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “upinde hushikana na kamba.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa wana ndoa ambao huishi kwa kushirikiana pamoja, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana vizuri, katika maisha yao. Wao hupata mafanikio mengi sana kwa sababu ya kuutunza umoja wao huo uliogengwa kwenye muungano wao huo wa ndoa, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na muungano ulioko kati ya upinde na kamba, kwa sababu nao huishi kwa kusaidiana wakiwa wameungano pamoja katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “upinde hushikana na kamba.”

Methali hiyo, hufundisha wana ndoa juu ya kuishi wakiwa wameungana pamoja kwa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 9:13.

Waelefeso 5:31.

bow

arrow

fisherman

ENGLISH: THE BOW IS ATTACHED TO ITS STRING.

A bow is a weapon which is connected to a cord for shooting arrows. It is made of a well-cut and well-formed tree which is bent by that cord while shooting arrows during the hunting time.

This cord is a combination of finely woven fibers that are tied tightly enough to bend the bow while holding an arrow. It works alongside with the bow without abandoning it. That is why the saying goes that, “the bow is attached to its string.”

This proverb is compared to married people who live together in their lives. These people fulfill their responsibilities by helping each other in their lives. They find great success in lives because of maintaining their union which is based on their marital blending in their lifetime.

These people are like an union between a bow and a cord, because they also live in harmony with one another as they are united together in carrying out their responsibilities in their lives. That is why people say to them that, “the bow is attached to its string.”

This proverb instills in married couples an idea on how to live together by helping one another enough to nicely fulfill their daily responsibilities, so that they can have more success in their families.

Matthew 9:13.

Ephesians 5:31.