Sukuma Proverbs

1222. NDUGU WANE OSHINWA IKANZA ANDYAGA GUGALUCHA MADALA.

Ulusumo lunulo lulolile munhu uyo agakeleja gwipuna umulugendo lokwe. Umunhu ng’wunuyo, agang’wila ng’wiye igiki agwipuna diyu na gwandya gusiminza umulengo lokwe kugiki adule gushiga wangu, kunguno yalikule uko ojaga.

Aliyo lulu, uweyi agakeleja ugumisha mpaga wela ubhujiku atali alalile. Oho wela ung’wiye umisha bho gung’wila giki, atumile nzila yingi umulugendo lokwe iyo idulile gung’wanguhya ugushiga uko ojaga. Hunagwene agang’wila giki, “ndugu wane oshinzwa ikanza andyaga gugalucha madala.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli nimi uyo adabyedechije ugulima ahikanza lya gulima, aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agilendeja aho yandya ugutula mbula mpaga nowe lyubhita ilikanza linilo adina ngunda, kunguno ya wilendeja bhokwe. Uweyi agagayiwa ijiliwe aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wilendeja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalala mpaga ukeleja ugwandya ulugendo lokwe, kunguno nuweyi agilendeja ugulima mpaga nose lyubhita ilikanza lya gulima adina ngunda. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ndugu wane oshinzwa ikanza andyaga gugalucha madala.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka gwilendeja guja gujutumama milimo yabho, bho gwanguha chiza ulu lyashika ilikanza lyaho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mhubiri 3:1.

Zakaria 10:1.

KISWAHILI: NDUGU YANGU UMEFINYWA MUDA ANZA KUGEUZA MBINU MBADALA.

Methali hiyo, huangalia mtu aliyechelewa kujilawa katika safari yake. Mtu huyo, alimwambia mwenzake kwamba, angedamuka asubuhi na kuanza safari yake, ili aweze kufika mapema alikokuwa akienda kwa sababu ilikuwa mbali.

Lakini basi, yeye alichelewa kuamuka mpaka mwishowe ikafika asubuhi bado amelala. Kulipokucha mwenzake alimwamusha kwa kumwambia kwamba, atumie njia mbadala itakayoweza kumfikisha mapema, katika safari yake hiyo. Ndiyo maana alimwambia kwamba, “ndugu yangu umefinywa muda anza kugeuza mbinu mbadala.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mkulima ambaye hakuweza kulima sehemu ya kutosha wakati wa kilimo, katika familia yake. Mtu huyo, alijisahamu kuanza kulima wakati ilipoanza mvua kunyesha mpaka mwishowe kipindi hicho kikapita bila kuwa na shamba, kwa sababu ya uchelewaji wake huo. Yeye alikosa chakula katika familia yake hiyo, kwa sababu ya kuchelewa kuanza kulima mpaka mwishowe wakati huo ukapita bila kuwa na shamba lolote, katika familia yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyelala mpaga akachelewa kuanza safari yake, kwa sababu naye alichelewa kulima mpaga mwishowe kipindi cha mvua kikapita bila kuwa na shamba lolote katika familia yake hiyo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ndugu yangu umefinywa muda anza kugeuza mbinu mbadala.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha uchelewaji wa kuanza kuyatekeleza majukumu yao, kwa kuwahi kuyaanza wakati unapofika wa kuzianza kazi hiyo, ili waweze kupata mafanikio mengi katika maisha yao.

Mhubiri 3:1.

Zakaria 10:1.

ENGLISH: MY RELATIVE, YOU ARE SQUEEZED BY TIME, START TO TURN ALTERNATIVE METHODS.

The overhead proverb looks at a person who is late to wake up early in the morning in his journey. This man told his colleague that he would wake up in the morning and start his journey, so that he could arrive early where he was going because it was far away.

But then, he was late to wake up until finally it was morning and he was still asleep. When it was morning, his companion woke him up by telling him that he should use an alternative route that would bring him earlier, in his journey. That is why he told him that, “My relative, you are squeezed by time, start to turn alternative methods.”

This proverb is equated to a farmer who could not cultivate enough land during farming time, in his family. Such man was late to start farming when it started raining until finally that period passed without having a field, because of his delay. He lacked food in his family, because of such delay in starting farming until finally the time passed without having any farm in his family.

This person resembles to the one who slept until he was late to start his journey, because he was also late in cultivating the field, and finally the rainy season passed without having any farm in his family. That is why people told him that, “My relative, you are squeezed by time, start to turn alternative methods.”

This proverb imparts in people an idea of stopping procrastinating in starting to carry out their duties, by starting them when the time comes to start them, so that they can achieve many successes in their lives.

Ecclesiastes 3:1.

Zechariah 10:1.

treatment africas

1187. NG’WANA GILYA, AGILYA INH’ONDO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile noni iyo igitanagwa Nh’ondo. Inoni yiniyo idaliyagwa. Aliyo lulu ung’wana gilya, agilya inoyi yiniyo kunguno ya bhutuubhi bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ng’wana gilya, agilya inh’ondo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agagakililaga amalagilo ga ng’wa Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wita mihayo iyo atogilwe weyi ng’winikili bho nduhu ugugadimila amalagilo ga Nsumbi okwe, kunguno ya nhinda jakwe jinijo. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya gugabhinza amalagilo ga ng’wa Mulungu, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Ng’wa gilya uyo agilya inoni iyo idaliyagwa, kunguno nuweyi agagabhinzaga amalagilo ga ng’wa Mulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wana gilya, agilya inh’ondo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kugadimila amalagilo ga ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza umukaya jabho na gushiga ng’wigulu, umuwikaji bhobho.

Mambo ya walawi 11: 13-17.

Mwanzo 3:1-6.

KISWAHILI: NG’WA GILYA ALIILA NDEGE.

Methali hiyo, humuongela ndege aitwaye Nh’ondo. Ndege huyo huwa haliwi. Lakini Ng’wa Gilya alimla kwa sababu ya njaa yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “Ng’wa Gilya aliila ndege “nh’ondo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyavunja maagizo ya Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo huishi kwa kufanya anachotaka mwenyewe bila kuyashika maagizo ya Mungu, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Yeye hushindwa kuilea vizuri familia yake kwa sababu ya kuyavunja maagizo hayo ya Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Ng’wana Gilya aliyemla Ndege asiyeliwa, kwa sababu naye huishi kwa kuyavunja maagizo ya Mungu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “Ng’wa Gilya aliila ndege “nh’ondo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyashika maagizo ya Mungu maishani mwao, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri na kufika Mbinguni baada ya kuaga dunia.

Mambo ya walawi 11: 13-17.

Mwanzo 3:1-6.

 

ENGLISH: NG’WA GILYA ATE THE BIRD ‘NH’ONDO.’

The above proverb speaks about a bird that is known as Nh’ondo. This bird is never eaten. But Ng’wa Gilya ate it because of his hunger. That is why people said that, “Ng’wa Gilya ate the bird ‘nh’ondo.’”

This proverb is equated to a person who breaks commandments of God, in his life. Such person lives by doing what he wants without keeping the instructions of God, because of his pride. He fails to properly raise his family members because of breaking those orders of God, in his life.

This person resembles Ng’wana Gilya who ate a bird that was never eaten, because he also lives by breaking God’s instructions in his life. That is why people tell him that, “Ng’wa Gilya ate the bird ‘nh’ondo.’”

This proverb instills in people an idea about keeping God’s instructions in their lives, so that they can get Blessings of living well enough to reach the Heavenly kingdom after passing away.

Leviticus 11: 13-17.

Genesis 3:1-6.

 

dictionary-3479364__480

 

1185. NALIB’IMBILA MJISINZA.

Ulusumo lunulo, luhoyelile bhubhimbi bho numba ubho bhudadulikanile. Alihoyi munhu uyo obhimbaga numba bho gutumila jisinza mpaga uduma ugubyedecha kunguno ya gutumila ginhu jidamu jinijo. Uweyi oliadatumilaga ingoye, maswa, na manti amadimu ubhutumami bhokwe. Hunagwene agayomba giki, “nalib’imbila mjisinza.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindimu ugwelelwa wangu iyo agawilagwa nabhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga alemile ugwigwa imihayo ya bhiye kunguno ya nhinda jakwe jinijo. Uweyi agagayiyagwa abhanhu abha guhoya nanghwe aka haya yakwe, kunguno ya bhudamu bho gwelelwa wangu imihayo iyo agawilagwa na bhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mimbiji o mujisinza uyo adabyedechije, kunguno nuweyi alindamu ugugwelelwa wangu imihayo iyo agawilagwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene umunhu uyo agahoyaga nanghwe agayombaga giki, “nalib’imbila mujisinza.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigwa na gwelelwa wangu imihayo iyo bhagawilagwa na bhichabho, bho guleka gubhiza bhadamu guti jisinza, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 95:7b-8.

Wagalatia 3:1-6.

Mathayo 16:21-23.

KISWAHILI: NAEZEKEA CHUMA.

Methali hiyo, huongelea uelezekaji wa nyumba usiowezekana. Alikuwepo mtu aliyekuwa akiezekea chuma nyumba yake kwa muda mrefu bila mafanikio kwa sababu ya kutumia kitu kigumu. Yeye hakutumia kamba, nyasi, na miti migumu inavyokiwa katika kazi yake hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “naezekea chuma.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mgumu wa kuelewa maneno anayoambiwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hukataa ushauri wa wenzake ambao ungeweza kumsaidia vizuri katika familia yake, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Yeye huishi peke yake katika familia yake hiyo, kwa sababu ya ugumu wake huo wa kuelewa anachoambiwa na wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule alieyezekea chuma nyumba yake mpaka akashindwa kufaulu, kwa sababu naye ni mgumu wa kuelewa kile anachoambiwa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana yule anayeongea naye husema kwamba, “naezekea chuma.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa wepesi wa kusikia na kuelewa kwa haraka ushauri wanaopewa na wenzao, badala ya kuwa waguma kama chuma, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 95:7b-8.

Wagalatia 3:1-6.

Mathayo 16:21-23.

ENGLISH: I HAVE AN IRON ROOFING.

The above proverb speaks of an impossible roofing of a house. There was a man who was roofing his house by using metal for a long time without being successful because of using something which is hard. He did not use ropes, grasses, and hardwoods in his work. That is why he said that, “I have an iron roofing.”

This proverb is related to a person who has difficult in understanding words which said to him by his colleagues, in his life. Such person rejects advises of his colleagues that could help him well in his family, because of his pride. He lives alone in his family, because of his difficulty in understanding what his peers say to him in his life.

This person resembles the one who roofed his house by using iron until he failed, because he has also difficult in understanding what his colleagues say in his life. That is why he says to the one who is talking to him that, “I have an iron roofing.”

This proverb imparts in people an idea of being quick to hear and quickly understand the advises which are given to them by their nobles, instead of being stubborn like iron, so that they can raise their families well, in their lives.

Psalm 95:7b-8.

Galatians 3:1-6.

Matthew 16:21-23.

roofing-nails-4631354__480

roof-1559803__480

iron-7391493__480

1184. NGIKULU NG’WAGALA, UNTWE MONDO.

Imbuki ya lusumo lunulo, imhoyelile munhu ngikulu uyo ali na miaka mingi. Ungikulu ng’wunuyo, adulile gugachala amiganiko gakwe kungi niyo kule ulu mulilomela mhayo nebhe nuweyi. Uweyi adulile nulu gudedebhala duhu, nulu gukamala bho nduhu nulu guyomba mhayo ulu alilomela mhayo na munhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ngikulu Ng’wagala, untwe Mondo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe ukunu amiganiko gakwe gali kungi niyo kule naho alitumamila unimo gokwe gunuyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga gujulima kungunda, aliyo amiganiko gakwe gali ha kaya yakwe, kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gutumama nimo gumo bhuli likanza. Uweyi agadumaga uguimala chiza imilimo yakwe kunguno ya gudilila mihayo mingi umubhutumami bho milimo yakwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngikulu uyo wilomelaga mhayo na ng’wiye ukunu amiganiko gakwe gali kule na henaho, kunguno nuweyi agatumamaga nimo ukunu amiganiko gakwe gali kule na ha nimo gunuyo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ngikulu Ng’wagala, untwe Mondo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gugatuula amiganiko gabho haho nimo uyo bhaligutumama, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umubhutumami bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:10-15.

KISWAHILI: BIBI KIZEE MWAGALA, KICHWA MONDO.

Chanzo cha methali hiyo, humuongelea bibi kizee mwenye miaka mingi. Bibi kizee huyo, aweza kuyapeleka mawazo yake kwingine wakati munaongea neno fulani naye. Yeye aweza hata kuduwaa tu kwa kukaa kimya wakati anaongea neno fulani na mwenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “bibi kizee Mwagala, kichwa Mondo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi wakati mawazo yake yako kwingine ambako ni mbali na pale, katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kulima shambani wakati mawazo yake yako nyumbani kwake, kwa sababu ya kukosa umakini wa kutekeleza jambo moja kwanza na kulimaliza. Yeye hushindwa kuzimaliza vizuri kazi zake, kwa sababu ya kufikiria kitu kingine wakati anafanya kazi  zake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule bibi kizee aliyeweka mawazo yake kwingine wakati anaongea na mwenzake, kwa sababu naye huyaweka mawazo yake mbali na kazi anayoifanya wakati huo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “bibi kizee Mwagala, kichwa Mondo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa kuweka mawazo yao kwenye kazi hizo wanazozifanya wakati huo, ili waweze kupata mali nyingi katika kazi zao hizo, maishani mwao.

Mathayo 13:10-15.

 

ENGLISH: OLD LADY MWAGALA, HEAD MONDO.

The cradle of the overhead proverb is talking about an old woman who had many years of old. Such old lady could take her thoughts elsewhere while talking to her. She could even become stunned just by staying silent when she is speaking about something to her partner. That is why people said about her that, “old lady Mwagala, head Mondo.”

This proverb is compared to a person who works when his thoughts are elsewhere, which is far from there, in his life. Such person goes to work to the field while his mind is at home, because of lack of focus enough to do one thing first and finish it. He fails to complete his tasks properly, because of thinking about something else while doing his tasks, in his life.

This person is similar to the old lady who put her thoughts elsewhere when she was talking to her partner, because he also keeps his thoughts away from the work which he is doing at that time. That is why people tell him that, “old lady Mwagala, head Mondo.”

This proverb teaches people about doing their works by putting their thoughts on the works which they are doing at that time, so that they can get a lot of wealth in their works in daily lives.

Matthew 13:10-15.

 

african-6261815__480

1180. ULINOGELA JIB’ELE.

Olihoyi munhu uyo agalima lishamba lya bhulubha bihi na nzila. Umunhu ng’wunuyo, ulimaga gwingila diyu mpaga mhindi kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho. Aliyo lulu, uweyi lyashigaga likanza uyulima hado hado kunguno ya bhunoge bho bhugugutumama likanza lilihu unimo gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu abho bhabhitaga aha nzila yiniyo, bhagang’wila giki, “ulinogela jib’ele.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gutumama nimo ndamu mpaga ogumala chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikomejaga kutumama milimo yakwe bho gwingila diyu mpaga mhindi kunguno aidebhile isolobho ya milimo yakwe yiniyo, aha shigu ijahabhutongi. Uweyi agapandikaga majikolo mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama nimo mpaga ogumala chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nimi obhulubha uyo olimaga gwingila diyu mpaga mhindi, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho gwingila diyu mpaga oimala chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene bhanhu bhagang’wilaga giki, “ulinogela jib’ele.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gwiyumilija mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika majikolo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 13:22-24.

Mathayo 10:16-23.

Mathayo 19:27-29.

KISWAHILI: UNACHOKA KWA FAIDA.

Alikuwepo mtu aliyelima shamba la pamba karibu na njia. Mtu huyo, alikuwa akilima shambani mwake humo kuanzia asubuhi hadi jioni. Lakini ulifika wakati, akawa analima pole pole kwa sababu ya uchovu wa kufanya kazi yake hiyo kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu waliokuwa wakipita kwenye njia hiyo, walimwambia kwamba, “unachoka kwa faida.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kufanya kazi ngumu mpaka anaimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu anazielewa faida za kazi hizo, katika siku za mbeleni. Yeye hupata mali yenye thamani ya kuwa na vitu vingi sana kwenye familia yake, kwa sababu ya uvumilivu wake huo wa kufanya kazi mpaka anaimaliza vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mkulima wa pamba aliyelima kuanzia asubuhi hadi jioni, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa uvumilivu kuanzia asubuhi hadi anazimaliza vizuri, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “unachoka kwa faida.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa uvumilivu mpaga wanazimaliza vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi, maishani mwao.

Luka 13:22-24.

Mathayo 10:16-23.

Mathayo 19:27-29.

ENGLISH: YOU ARE GETTING TIRED FOR PROFITS

There was a man who cultivated a cotton field near a pathway. Such man was farming in his field from morning to evening. But when the time came, he was slowly plowing because of the fatigue of doing his work for a long time. That is why the people who were passing by that way, told him that, “you are getting tired for profits.”

This proverb is compared to the person who endures doing hard work until he finishes it, in his life. Such person tries to do his work from morning to evening because he understands the benefits of such work in the future. He gets a valuable asset enough to have many things in his family, because of his patience of working until he finishes it well, in his life.

This person is similar to the cotton farmer who cultivated from morning to evening, because he also has to do his work patiently from morning until he finishes it well, in his life. That is why people tell him that, “you are getting tired for profits.”

This proverb, teaches people about doing their works with patience until they finish them well, so that they can get the success of having a lot of wealth in their lives.

Luke 13:22-24.

Matthew 10:16-23.

Matthew 19:27-29.

farmer-5353778__480