Author: Sukuma legacy

1149. KALAGU – KIZE. GAB’IWA NA NG’WINIKILI GAGAZWAGA – MINO.

Umunhu ulu ubyalwa agikilaga na b’uyu kunguno atina lino nulu limo. Aliyo lulu ulu agukulaga ligushiga likanza gaguzwa amino genayo, kunguno agoyi gagenhagwa na Mulungu ng’winikili. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “gab’iwa na mwinikili – mino.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nimi uyo agab’ib’aga mbiyu jakwe jazwa ulu yatula imbula, umukikalile kakwe. Unimi ng’wunuyo agab’ib’aga mbiyu olindilila mpaga yatula imbula ya gujizwisha imbuyi jinijo, kunguno ya wisagiji bhokwe bhutale ukuli Mulungu. Uweyi agalimaga migunda mitale iyo agaponaga majiliwe mingi, kunguno ya wisagiji bhokwe bhutale ukuli Mulungu, umubhutumami bho milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Imbiyu ja nimi ng’wunuyo, jigikolaga na mino ayo gagazwagwa ulu lyashiga ilikanza lyago, kunguno ni joyi jigazwaga ulu yatula imbula. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “gab’iwa na ng’winikili – mino.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu uyo agab’inhaga bhupandiki, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umubhutumami bho milimo yabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:1-9.

Mathayo 11:31 – 32.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

YAMEMWAGWA NA MWENYEWE HUWA YANAOTA – MENO.

Mtu akizaliwa huwa kibogoyo kwa sababu ya kutokuwa hata na jino moja. Lakini basi, ukifika wakati wake meno hayo huota kwa sababu huwa yanaletwa na Mungu mwenyewe. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “yamemwagwa na mwenyewe huwa yanaota – meno.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mkulima yule ambaye humwaga mbegi ambazo huota inaponyesha mvua, katika maisha yake. Mkulima huyo, humwaga mbegu zake na kusubiri mpaka mvua inanyesha ya kutosha kuziotesha, kwa sababu ya kuweka matumaini yakwe kwa Mungu. Yeye hulima mashamba makubwa ambayo humpatia mavuno mengi kwa sababu ya kumtegemea Mungu katika utekelezaji wa kazi zake hizo, maishani mwake.

Mbegu hizo, hufanana na yale meno yaliyoota baada ya kufika wakati wake, kwa sababu nazo huota baada ya mvua kunyesha. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “yamemwagwa na mwenyewe huwa yanaota – meno.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi kwa kumtegemea Mungu awajaliaye mafanikio, ili waweze kupata mali nyingi katika kazi zao, maishani mwao.

Mathayo 13:1-9.

Mathayo 11:31 – 32.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THEY WERE SOWED BY THE OWNER GERMINATE – TEETH.

When a person is born, he is a toothless because he does not have even one tooth. But then, when the time comes, those teeth germinate because they are brought by God Himself. That is why people tell each other that, “they were sowed by the owner germinate – teeth.”

This riddle is equaled to the farmer who pours the seeds that grow when it rains in his farm. Such farmer pours his seeds and waits until it rains enough to grow them, because of putting his hope in God. He cultivates large fields that give to him a lot of harvest because of relying on God in the implementation of his works, in his life.

Those seeds are similar to the teeth that germinated after their time have come, because they also germinate after it rains. That is why people tell each other that, “they were sowed by the owner germinate – teeth.”

This riddle teaches people about forcing themselves to work by relying on God who gives to them success, so that they can get a lot of wealth in their daily works.

Matthew 13:1-9.

Matthew 11:31 – 32.

 

woman-5878348__480

1148. KALAGU – KIZE. KENAKA KAGAJIJINOLO – KATUNGE KADOO.

Ikalagu yiniyo, ihoyelile higulya ya katunge kadoo. Akatunge kenako kalikajisumva kadoo ako katina boya umuwili gogo aliyo lulu kagalala nyanoni. Ulu munhu uchola loya ukukoyi adupandika kunguno kadinalo. Hunagwene abhanhu bhagakinatanga giki “kenako kagajijinolo – katunge kadoo.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ngugu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aling’wibanu ugujifunya bho gubhinha bhiye ijikolo jakwe kunguno ya bhugugu bhokwe bhunubho. Uweyi agajituulaga mukaya ijikolo jakwe jinijo mpaga jabhipa bho ndugu ugubhagunanha abhiye kunguno ya bhugugu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na katunge ako kadina b’oya, kunguno nuweyi agikalaga na jikolo umukaya yakwe mpaga jabhipa bho nduhu ugubhagunanha abhiye abho bhali na makoye. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “kenako kagajijinolo – katunge kadoo.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhagunanha abhichacho abho bhali na makoye kugiki bhadule kujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 12:15b.

Luka 16:10.

KISWAHILI: HUYO NI BAHILI – POPO MDOGO.

Kitendawili hicho huongelea juu ya popo mdogo. Popo huyo ni kiumbe kidogo ambacho hakina manyoya katika mwili wake lakini huruka kama ndege. Ndiyo maana watu hukiambia kwamba “huyo ni bahili – popo mdogo.”

 Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni bahili katika maisha yake. Mtu huyo, huvibania kuwapa wenzake vitu vyake kwa sababu ya ubahili wake huo. Yeye huviweka nyumbani mwake vitu vyake hivyo mpaka vinaharibika bila ya kuwasaidia watu walio na matatizo kwa sababu ya ubahili wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kale kapopo ambako hakana manyoya ya kuwapa wengine, kwa sababu naye hubaki na vitu vyake mpaka vinaharibika ya bila kuwasaidia wenzake walioko kwenye matatizo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo ni bahili.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo, ili waweze kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 12:15b.

Luka 16:10.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THAT IS A MISER- A LITTLE BAT.

The overhead riddle is about a little bat. Such bat is a small creature that has no feathers in its body but it flies like a bird. That is why people say that, “that is a miser – a little bat.”

This riddle is equated to a person who is stingy in his life. Such person refuses to give his things to his colleagues because of his stinginess. He keeps his things in his house until they are destroyed without helping the people who have problems because of such meanness, in his life.

This person is like the little bat had no feathers of giving to others, because he also keeps his things until they are destroyed without helping his colleagues who are in anxiety. That is why people tell him that, “that is a miser – a little bat.”

This riddle imparts in people an idea of being generous enough to support their nobles who are in distress, so that they can take good care of their families in their lives.

Luke 12:15b.

Luke 16:10.

 

 

bat-1695186__480

 

1147. SI IB’ELEKE.

Olihoyi munhu uyo agabhilingwa bhanhu gwiza hawinga bhokwe. Abhanhu bhenabho bhagaja ahawinga bhunubho bhugalya mpaga bhigota noyi kunguno galigazugwa majiliwa mingi gete aha kaya yiniyo iyo yalina winga. Hunagwene abhanhu aho bhigota chiniko, bhagayuyomba bho bhuyegi giki, “si ib’eleke.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhabokelaga bho gubhagalila chiza abhanhu aha kaya yakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’winuyo agabhagalilaga bho gubhabhulagila ntugo abhanhu abho bhagajaga aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wizang’holo bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe nyiniyo, kunguno ya gubhabokela chiza abhageni bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhalisha jiliwa abhawinga mpaga bhiguta aha kaya yakwe yiniyo, kunguno nuweyi agabhagalilaga bho gubhabhulagila ntugo abhageni bhakwe aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhageni bhakwe bhenabho bhagayombaga bho bhuyegi giki, “si ib’eleke.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizang’holo bho gubhagalila chiza abhageni bhabho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale umu kaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Yohana 2:1 – 11.

Luka 9:12-17.

KISWAHILI: ARDHI IPASUKE.

Alikuwepo mtu aliyealika watu kwenye harusi yake. Mtu huyo aliwaandalia watu wake chakula cha kutosha kula na kusaza. Watu hao walienda kwenye sherehe hiyo wakala chakula mpaka wakashiba na kusaza kwa sababu kilikuwa kingi sana. Ndiyo maana watu hao walisema kwa furaha kwamba, “ardhi ipasuke.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwapokea watu kwenye familia yake kwa kuwatunza vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatunza kwa kuwachinjia mfugo wageni wake wanaomtembelea kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya ukarimu wake huo. Yeye hupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwakaribisha vizuri wageni wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewalisha watu aliwaalika kwenye harusi yake mpaka wakashiba, kwa sababu naye huwatunza wageni wanaofika kwenye familia yake hiyo kwa kuwachinjia mfugo. Ndiyo maana wageni wake hao huseka kwa furaha kwamba, “ardhi ipasuke.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha kwenye familia zao hizo, maishani mwao.

Yohana 2:1 – 11.

Luka 9:12-17.

ENGLISH: LET THE EARTH SPLIT.

There was a man who invited people to his wedding. He prepared enough food for his people to eat and drink. The people went to the party and ate until they were full. They left the food because there was a lot. That is why they said with joy that, “let the Earth split.”

This saying is equated to a person who welcomes people into his family by taking good care of them, in his life. Such person takes care of his guests who visit his family by slaughtering livestock, because of his generosity. He gets blessings of living happily in his family because of welcoming his guests well in his family.

This person is like the one who fed the people he invited to his wedding until they were full, because he also takes good care of guests who come to his family by slaughtering goats. That is why his guests laugh with joy that “let the Earth split.”

This saying teaches people about being generous enough to welcome their guests well, so that they can get blessings of living happily in their families.

John 2:1 – 11.

Luke 9:12-17.

IMG_20200908_082056_8

1146. MAJACHA GADI NA NSAB’I NULU NG’HAB’I.

Olihoyi munhu uyo alina majacha umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olina jika jinijo gwingila haho bhubyalilwa bhokwe, kunguno ijoyi jigampandikaga munhu ose ab’ize nsab’i nulu nhab’i. Uweyi wikalaga na sabho ningi aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “majacha gadi na nsab’i nulu nhab’i.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhabokelaga bhanhu bha bhuli mbika aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agahoyaga na bhahab’i kihamo na bhasab’i bho nduhu ugunkomanya munhu oseose, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe kunguno amanile igiki abhanhu bhakwe bhenabho bhabhumbwa na Mulungu uyo agang’winhaga nguzu ja gutumama milimo yakwe chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga na majacha ayo olinago nsab’i ng’wunuyo, kunguno nuweyi agikalaga na bhanhu bha bhuli mbika aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “majacha gadi na nsab’i nulu nhab’i.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gubhakomanya abhanhu bho gwikala nabho pye abhose abha bhuli mbika, kunguno abhoyi bhali jisumva ja ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza, umubhulamu bhobho.

Matendo ya mitume 10:34-35.

Matendo ya Mitume 11:8-9.

KISWAHILI: MATEGE HAYANA TAJIRI WALA MASKINI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na matege katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa na kilema hicho tangu kuzaliwa kwake kwa sababu kilema chenyewe hakibagui mtu yeyote awe tajiri au maskini. Yeye alikuwa na mali nyingi kwenye familia yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “matege hayana tajiri wala maskini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwapokea watu wa kila namna kwenye familia yake, katika maisha yake hayo. Mtu huyo, huongea na maskini pamoja na matajiri bila kumbague yeyote, maishani mwake. Yeye huishi na watu wengi sana kwenye familia yake kwa sababu anaelewa kuwa watu wote ni viumbe vya Mungu ampaye nguvu za kufanya kazi zake vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yale matege aliyokuwa nayo yule tajiri, kwa sababu naye huishi na watu wa kila namna kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “matege hayana tajiri wala maskini.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kuwabagua watu kwa kuishi na watu wa kila aina, kwa sababu wote wameumbwa na Mungu, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, maishani mwao.

Matendo ya mitume 10:34-35.

Matendo ya Mitume 11:8-9.

man-on-a-wheelchair-5073594__480

disability-224130__480

wheelchair-5711969__480

ENGLISH: ABNORMAL LEGS HAVE NEITHER RICH NOR POOR.

There was a man who had scars in his life. Such man had a disability since birth because that disability itself did not discriminate between rich and poor. He had a lot of wealth in his family. That is why people told him that, “abnormal legs have neither rich nor poor.”

This saying is related to the person who accepts all kinds of people in his family in life. Such person talks to the poor as well as the rich without discriminating against anyone in his life. He lives with a good number of people in his family because he understands that all people are creatures of God who gives to him the strength to do his daily work well in his life.

This person resembles to the scars that the rich man had, because he also lives with all kinds of people in his family. That is why people tell him that, “abnormal legs have neither rich nor poor.”

This saying teaches people about abandoning habits of discriminating people by living with all kinds of people, because they are all creatures of God, so that they can get blessings of living well, in their families.

Acts 10:34-35.

Acts 11:8-9.

1145. NG’WANA MAKINU AGIKINUKILWA KU MABALA.

Olihoyi munhu uyo witanagwa makinu. Umunhu ng’winuyo oli na nguzu ningi kunguno oliadakangilwe nulu hado pye amakanza. Lushigu lumo, uweyi agafuma ghujiku ugamanhya na ndimu nhali yuumulaga guko kumabala. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ng’wana makinu agikinukilwa ku mabala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagala inguzu yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajitumilaga inguzu jakwe bho gwigimba sagala kugiki bhanhu bhankumilije kunguno ya gugayiwa witegeleja bhokwe umuwikaji bhokwe. Uweyi agilabhulaga sagala umuwigimbi bhokwe bhonubho, kunguno ya kutogwa gukumilijiwa chiniko umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana makinu uyo agabhulagwa ni limu aho ojitumila sagala inguzu jakwe jinijo, kunguno nuweyi agajitumilaga sagala inguzu jakwe mpaga olabhuka, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wana makinu agikinukilwa ku mabala.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujitumila inguzu jabho bho witegeleja bhutale kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Samweli 17:48 -51.

Waamuzi 16:18-22.

KISWAHILI: MWANA MAKINU ALISHINDWA NJE NA KWAKE.

Alikuwepo mtu aliyeitwa Makinu. Mtu huyo, alikuwa na nguzu nyingi kwa sababu hakutishwa hata kidogo wakati wote. Siku moja alitoka nje usiku akakutana na myama mkali aliyemuua mtu huyo nje ya nyumbani kwake. Ndiyo maana watu walisema kwamba “mwana makinu alishindwa nje na kwake.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia vibaya nguzu zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitumia nguvu zake hizo kwa kujidai hovyo ili watu wamsifiye kwa sababu ya kukosa umakini katika maisha yake. Yeye hujiumiza bure katika majigambo yake hayo, kwa sababu ya kupenda sifa kwake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mwana Makinu aliyeuliwa na yule myama mkali alipozitumia vibaya nguvu zake hizo, kwa sababu naye huzitumia vibaya nguzu zake hizo mpaka anaumia bure, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwana Makinu alishindwa nje na kwake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia nguvu zao kwa umakini mkubwa ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

1Samweli 17:48 -51.

Waamuzi 16:18-22.

ENGLISH: MAKINU’S SON WAS DEFEATED OUTSIDE HIS HOME.

There was a man whose was Makinu’s son. He had a lot of power because he was not intimidated at all in his life. One day, he went out at night and met a stronger man than him who killed him outside his house. That is why people said that “Makinu’s son was defeated outside his home.”

This saying is related to a person who misuses his power in his life. Such person uses his power to claim praise carelessly for getting praise from people because of the lack of focus in his life. He hurts himself in vain in his boasting, because of looking for praise from people.

This person is similar to Makinu’s son who was killed by the fierce man when he misused his power, because he also misuses his power until he gets hurt for nothing, in his life. That is why people tell him that, “Makinu’s son was defeated outside his home.”

This saying imparts in people an idea of using their power very carefully so that it can help them well, in their lives.

1 Samuel 17:48 -51.

Judges 16:18-22.

warrior-7623990__480

zulu-kingdom-3411052__480

men-5966213__480