1147. SI IB’ELEKE.

Olihoyi munhu uyo agabhilingwa bhanhu gwiza hawinga bhokwe. Abhanhu bhenabho bhagaja ahawinga bhunubho bhugalya mpaga bhigota noyi kunguno galigazugwa majiliwa mingi gete aha kaya yiniyo iyo yalina winga. Hunagwene abhanhu aho bhigota chiniko, bhagayuyomba bho bhuyegi giki, “si ib’eleke.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhabokelaga bho gubhagalila chiza abhanhu aha kaya yakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’winuyo agabhagalilaga bho gubhabhulagila ntugo abhanhu abho bhagajaga aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wizang’holo bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe nyiniyo, kunguno ya gubhabokela chiza abhageni bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhalisha jiliwa abhawinga mpaga bhiguta aha kaya yakwe yiniyo, kunguno nuweyi agabhagalilaga bho gubhabhulagila ntugo abhageni bhakwe aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhageni bhakwe bhenabho bhagayombaga bho bhuyegi giki, “si ib’eleke.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizang’holo bho gubhagalila chiza abhageni bhabho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale umu kaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Yohana 2:1 – 11.

Luka 9:12-17.

KISWAHILI: ARDHI IPASUKE.

Alikuwepo mtu aliyealika watu kwenye harusi yake. Mtu huyo aliwaandalia watu wake chakula cha kutosha kula na kusaza. Watu hao walienda kwenye sherehe hiyo wakala chakula mpaka wakashiba na kusaza kwa sababu kilikuwa kingi sana. Ndiyo maana watu hao walisema kwa furaha kwamba, “ardhi ipasuke.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwapokea watu kwenye familia yake kwa kuwatunza vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatunza kwa kuwachinjia mfugo wageni wake wanaomtembelea kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya ukarimu wake huo. Yeye hupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwakaribisha vizuri wageni wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewalisha watu aliwaalika kwenye harusi yake mpaka wakashiba, kwa sababu naye huwatunza wageni wanaofika kwenye familia yake hiyo kwa kuwachinjia mfugo. Ndiyo maana wageni wake hao huseka kwa furaha kwamba, “ardhi ipasuke.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha kwenye familia zao hizo, maishani mwao.

Yohana 2:1 – 11.

Luka 9:12-17.

IMG_20200908_082056_8

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.