Author: Sukuma legacy

817. MAKOYE GAGAMANYICHAGA BHUMUNHU.

Amakoye jili jigemelo ja ng’wa munhu ijo jigolecha umo agiyumiligijaga, umukikalile kakwe. Ijigemelo jinijo jigolechaga matwajo gakwe umunhu ng’wunuyo ayo gagamanyichaga igiki alinshikanu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “makoye gagamanyichaga bhumunhu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agolechaga bhushikanu bho gwiyumilija ulu opandikaga mayange, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agolechaga wigulambija bhutale ubho bhugang’wambilija ugugamala wangu amakoye ayo alinago. Uweyi agadulaga uguginja amakoye gakwe genayo, nu gubhambilija abhiye abho bhali na mayange, kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Akahayile kenako, kagikolaga nu munhu uyo alina bhushikanu bho gwiyumilija gugamala wangu amakoye gakwe, kunguno nuweyi ali na wiyumilija bho gugamala wangu amakoye ayo alinago, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “makoye gagamanyichaga bhumunhu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gubhambilija abhanhu bhabho ugugamala wangu amakoye gabho, kugiki bhadule gubhulang’hana chiza ubhumunhu bhobho, umuwikaji bhobho.

Yohane 4:1-2.

KISWAHILI: SHIDA HUDHIHIRISHA UTU.

Shida ni jaribu la mwanadamu ambalo huueleza uvumilivu wake katika mahangaiko ya maisha. Jaribu hilo, huonesha matunda ya mtu huyo ambayo huonesha ukomavu alizo nao katika kuvumilia mahangaiko yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “shida hudhihirisha utu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huonesha hali ya uvumilivu mkubwa katika kuyatatua matatizo yake, maishani mwake. Mtu huyo, hujibidisha kutafuta njia za kuyamaliza matatizo yake kwa uvumilivu mkubwa. Yeye huweza kuyaondoa au kuyamaliza mapema matatizo yanayomkumba, na kuwasaidia pia wenzake walioko kwenye matatizo ili waweze kuondokana nayo, kwa sababu ya uvumilivu mkubwa alio nao, maishani mwake.

Msemo huo, hufanana na mtu yule aliye na uvumilivu wa kuyatatua matatizo yake mapema, kwa sababu naye, anao uvumilivu huo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “shida hudhihirisha utu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwasaidia katika kuyamaliza mapema matatizo yao, ili waweze kuulinda vizuri utu wao, maishani mwao.

Yohane 4:1-2.

africa1

injecting

taking madicine

ENGLISH: PROBLEMS MAKE ONE’S CHARACTER KNOWN.

Adversity is a human trial that describes his/her perseverance in anxieties of life. Such test, in turn, reflects person’s fruits, which also reflects his maturity in enduring his anxieties. That is why people say that, “problems make one’s character known.”

This saying is compared to a man who shows great patience in solving his problems in life. This person strives to find ways for solving his problems with great patience. He manages eradicate them that beset him. He can help those who are struggling to solve their problems, because of his great patience in eradicating them.

This man is similar to the person who has patience in solving his problems, because he, too, has that patience in his life. That is why people say to him that, “problems make one’s character known.”

The saying teaches people on how to be patient enough to help others solve their problems early, so that they can better protect their personality in their societies.

John 4: 1-2.

816. DIMAGA LUSHU ULYE NYAMA.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile munhu uyo agayelaga na lushu lokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalutumamilaga ulushu lwokwe nululo, bho guchembela ginhu iyo alajibhone uko alisiminzila. Uweyi ulu ushiga aho jiliho nyama adukoya uguichemba inyama yiniyo na guilya, kunguno alinajo ijitumamilo jakwe.

Aliyo lulu, umunhu uyo adina lushu, ulu usanga nyama aguduma ugupandika nulu kanofu, ulu adalombile gubhiye, kunguno adayelaga higiki, bho gwikala na jitumamilo jakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “dimaga lushu ulye nyama.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga higiki bho gujiyelana ijitumamilo jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wibhegelejije chiza ijinabhutumami bho milimo yakwe ni jinagubhambilija abho bhali makoye, kunguno ya kujikalana makanza gose ijitumamilo jakwe.  Uweyi agapandikaga matwajo mingi umubhutumami bho milimo yakwe, kunguno ya gwikala higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jakwe jinijo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agikalaga higiki bho guyela na lushu lokwe, kunguno nuweyi agikalaga higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe nzila ja gwikala higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “dimaga lushu ulye nyama.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:10-13.

KISWAHILI: SHIKA KISU ULE NYAMA.

Chanzo cha msemo huo, chamongelea mtu ambaye hutembea na kisu chake, katika maisha yake. Mtu huyo, hukitumia kisu chake hicho, kwa kukatia kitu chochote anacho kiona kule atembeleako. Yeye akikuta nyama hatahangaika kuikata na kuila kwa sababu anacho kitendea kazi chake.

Lakini basi, mtu yule ambaye hana kisu akituta nyama atashindwa kupata hata mnofu mdogo, kwa sababu ya kutokujiweka tayari, katika maisha yake. Ndiyo  maana watu humwambia kwamba, “shika kisu ule nyama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa amejiweka tayari kwa kutembea akiwa na kitendea kazi chake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa amejiandaa katika utekelezaji wa majukumu yake, yakiwemo yale ya kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo, kwa sababu ya kuwa nacho muda wote kitendea kazi chake hicho. Yeye hupata mafanikio mengi katika utendaji wake wa kazi kwa sababu ya kujiweka tayari kwa kutendea akiwa na kitendea kazi chake hicho.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa tayari kwa kutembea akiwa na kisu chake kokote alikoenda, kwa sababu naye huwa yuko tayari kwa kutembea akiwa na kitendea kazi chake hicho, katika maisha yake. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuwa na vitendea kazi vyao popote wanapoenda. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “shika kisu ule nyama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujiweka tayari muda wote kwa kutembea wakiwa na vitendea kazi vyao, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:10-13.

cut-meat-

meat-

 ENGLISH: GET HOLD OF A KNIFE AND EAT MEAT.

The cradle of the above saying speaks of a man who walks with a knife in life. This man was using his knife to cut anything which he saw on his way. If he found meat, he would not bother to cut it and eat because he had a tool cutting it.

But then, the man who does not have a knife will not be able to get even a little meat, because of his unpreparedness in his life. That is why people say to him that, “get hold of a knife and eat meat.”

This saying is compared to a person who is prepared enough to walk with a tool in life. This person carries out his or her responsibilities, including helping those who are in need, because of being prepared. He/she achieves great success in daily works because of his/her willingness to use his/her tool whenever it is needed.

This person is like the one who walked with his knife wherever he went, because he walks with his tool in his life. He also teaches his people on how to be with their tools wherever they go. That is why he tells them that “get hold of a knife and eat meat.”

This saying teaches people on how to be prepared all the time by walking with their tools, in their lives, so that they can have more success in their societies.

Matthew 25: 10-13.

815. UMHAYO UNG’WIZA GUDADUTAGA BHINGI.

Ulusumo lunulo, lulolile bhudamu bho gubokelwa bho mhayo uyo guligowiza, umukikalile ka bhabhu. Aliyohi ng’walimu umo uyo agabhabhilinga bhanhu bha munzengo, kugiki wize abhawile mhayo go gubhasomisha abhana bhabho. Aho bhiza aha lugiko abhanhu bhenabho, agabhawila, “bhachalagi bhagasome abhana bhing’we, kugiki bhize bhadule gung’wambilija aha shigu ja ha bhutongi.”

Nhamhala umo agashosha, “dududula gubhalecha abhana bhise milimo ya gudima mitugo kunguno ya kusoma.” Ung’walimu ng’winuyo agashosha, “unimo go gusoma gulina solobho nhale gukila ugudima imitugo, kunguno ubhusomi bhugalangaga mingi iyo ilikihamo nu gujipandika imitugo na gujilang’hana chiza.”

Aho obhalomela chene ung’walimu ng’wunuyo, bhagehu bhabho bhagazunya ugubhasomisha abhana bhobho. Abhana bhenabho, bhagasoma mpaga bhubhiza matongeji bhatale bha si yabho. Hunabhandya bhanhu bhingi ugubhasomisha abhanha bhabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umhayo ung’wiza gudadutaga bhingi.”

Ulusumo lunulo, lugenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga kubhalanga mihayo ya ng’hana abhiye mpaga bhayidebha, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhudebhile ubhudamu bho guzunyiwa bho mhayo ugong’hana  na bhanhu abho bhaligwigwa lukangala lo gwandya. Hunagwene uweyi agikomeja gugushokela mara hingi umhayo gunuyo, mpaga bhadula gugwelewa chiza, abhanhu bhakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’walimu uyo agabhalanga bhanhu solobho ya gubhasomisha abhana bhabho, kunguno nuweyi agiyumilijaga ugubhatongela abhiye imihayo ya ng’hana, mpaga bhayidebha chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “umhayo ung’wiza gudadutaga bhingi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyumilija guidimilila mihayo ya wiza, bho gubhalanga abhichabho imihayo yiniyo, kugiki bhadule kupandika bhatongeji bhawiza, umuwikaji bhobho.

Marko 16:9-13.

KISWAHILI: NENO JEMA HALIWAVUTII WENGI.

Methali hiyo, huangalia ugumu wa neno jema kupokelewa na watu, katika maisha yao. Alikuwepo mwalimu mmoja ambaye aliitisha mkutano wa wanakijiji ili awaeleze juu ya umuhimu wa kuwasomisha watoto wao. Walipofika kwenye mkutano huo, aliwaambia, “wapelekeni shule watoto wenu wakasome ili waweze kuja kuwasaidia kwenye siku za mbeleni.”

Mzee mmoja alijibu, “hatuwezi kuachisha kazi za kuchunga mifugo watoto wetu kwa sababu ya kusoma.” Mwalimu huyo alijibu, “kazi ya kusoma ni kubwa kuliko kuchunga mifugo, kwa sababu elimu hufundisha mengi, ambayo ni pamoja na namna ya kuipata mifugo hiyo, na njia za kuitunza vizuri.”

Mwalimu alipowaeleza hivyo, bhadhi yao hao wanakijiji walikubali kuwapeleka watoto wao shuleni. Watoto hao, walifaulu hadi wakafikia hatua ya kuwa viongozi wakubwa nchi yao.  Wanakijiji walipoona hivyo, wengi wao walianza kuwasomesha watoto wao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “neno jema haliwavutii wengi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia katika kuwafundisha watu wake ukweli wa kitu chema kitakachoweza kuwasaidia, hadi wanakielewa vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, anauelewa ugumu wa kupokelewa kwa kitu chema, kwa wale wanaokisikia kwa mara ya kwanza. Yeye huendelea kukirudia kitu hicho kwa watu hao, mpaka wanakielewa vizuri, kiasi cha kutosha kufaidika nacho, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na yule mwalimu aliyewaelimisha wanakijiji wake juu ya kuwasomesha watoto wao, hadi wakamwelewa, kwa sababu naye huvulimia katika kuwaelimisha watu juu ya ukweli wa kitu chema kiwezacho kuwasaidia katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “neno jema haliwavutii wengi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kutosha katika kuwaelimisha wenzao, juu ya kitu chema kiwezacho kuwasaidia, katika maisha yao, ili waweze kupata viongozi bora, maishani mwao.

Marko 16:9-13.

people-class

farmer3

ENGLISH: THE GOOD WORD DOES NOT ATTRACT MANY.

This proverb looks at a difficulty of people to receive a good word in their lives. There was a teacher who convened a village meeting to explain about an importance of educating their children. When they arrived at the meeting, he told them, “Send your children to school so that they can come and help you in the future.”

An elder one replied, “We cannot stop our children from the work of herding because of studying.” The teacher replied, “The task of studying is bigger than that of herding livestock, because education teaches a lot, which includes how to get livestock, and how to take good care of them.”

When the teacher told them so, the villagers agreed to send their children to school. Their children succeeded until they reached the point of becoming leaders of their country. Seeing this, many of the villagers allowed their children to go to schools. That is why people say that “good word does not attract many.”

This proverb is likened to a man who perseveres in teaching his people the truth of something which is good that will help them, until they understand it well, in his life. This person understands a difficulty of receiving something which is good, to those who hear it for the first time. He keeps on repeating the same thing to them, until they understand it well enough to benefit from it in their lives.

This man is like the teacher who taught the villagers to educate their children by allowing them to go to school, until they understood him, because he also perseveres in educating people about the truth of something which is good that can help them in their lives. That is why he tells people that “the good word does not attract many.”

This proverb teaches people about being patient enough to educate others, on something which is good that can help them in their future lives, so that they can find good leaders in their societies.

Mark 16: 9-13.

814. BHUBHING’HOLO BHUGANANULAGA ABHANHU.

Ubhubhing’holo jili jito ja gung’wima ginhu umunhu uyo alina makoye. Umunhu uyo alina makoye ng’winuyo, adulile nulu gunanuka bho gucha na nzala aliyo ijiliwa jilihoyi, kunguno ya wiming’holo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhubhing’holo bhugananulaga abhanhu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina ng’holo ya bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalemaga ugubhinha ijiliwa ijo alinajo, abhanhu abho bhalina makoye, kunguno ya wiming’holo bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalekaga bho nduhu ugubhambilija abho bhali na makoye bhenabho, mpaka nose bhananuka aliyo isabho alinajo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo aliming’holo, kunguno nuweyi alina ng’holo ya bhubhi, iyo idabhabhonelaga isungu abhiye abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhubhing’holo bhugananulaga abhanhu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gulekana na ng’holo ya wiming’holo, bho gubhagunana abhichabho abho bhali na makoye, umukikalile kabho, kugiki bhadule gubhulang’hana chiza ubhupanga bho bhanhu bhabho bhenabho.

Luka 6:9-10.

KISWAHILI: UCHOYO HUUA WATU.

Uchoyo ni kitendo cha kumunyima kitu mtu aliyekumbwa na matatizo. Mtu huyo, mwenye matatizo, huweza hata kupoteza maisha kwa kukosa chakula, pamoja na chakula hicho kuwepo, kwa sababu ya uchoyo huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “uchoyo huua watu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana roho mbaya, katika maisha yake. Mtu huyo, hukataa kuwasaidia wenzake walioko kwenye matatizo ya kukosa chakula hata kama ancho chakula hicho, kwa sababu ya uchoyo wake huo. Yeye huwaacha bila kuwasaidia watu hao, ambao mwishowe huwa wanafikia hatua ya kupoteza maisha, wakati mali anazo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye ni mchoyo aliyekataa kuwasaidia wenye shida, kwa sababu naye ana roho mbaya isiyowaonea huruma wenzake hao walioko kwenye matatizo mbalimbali, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uchoyo huua watu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na roho ya uchoyo, kwa kuwasaidiana wenzao waliokumbwa na matatizo, katika maisha yao, ili waweze kuyaokoa na kuyalinda maisha ya wenzao hao.

Luka 6:9-10.

elder

cartoons

chicken1

ENGLISH: GREED KILLS PEOPLE.

Covetousness is an act of denying supporting someone who has problems. This person who has problems may even lose life because of lacking food and other basic needs, despite the food being present, just because of that greed. That is why people say that “greed kills people.”

This saying is likened to a person who has an unkind spirit in life. This person refuses to help his/her colleagues who are suffering from malnutrition, even though he/she has plenty of food because of his/her greed. He/she leaves them without helping those people, who eventually reach the point of losing their lives, while possessions are present in the house.

This person is like the greedy person who refuses to help the needy, because he/she has a bad spirit that does not show compassion to those who are great need of help. That is why people say that “greed kills people.”

This proverb imparts in people an idea of stopping a spirit of greed, by helping each other in trouble, in their lives, so that they can save and protect the lives of their family members.

Luke 6: 9-10.

813. BHUTA BHUDIMANILE NA LUGE.

Ubhuta jili jilanga ja julasila bho guponya masonga ubho bhukikalaga bhudimanile na luge. Ubhuta bhunubho, bhugafumilaga mulinti ilo ligabhejiyagwa chiza mpaka likoma gutungwa na luge.

Uluge lunulo, lugabhizaga lugoye ulo lugatungagwa mpaga lobhugonda ubhuta bho gudimila isonga. Uloyi lugatumamaga nimo kihamo nu bhuta bhunubho, bho nduhu ugulekana. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuta bhudimanile na luge.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhitoji abho bhagikalaga kihamo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga bho gwiyambilija chiza imilimo yabho, umukikalile kabho. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi noyi, kunguno ya bhumo bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nu bhulumani bho bhuta nu luge, kunguno  na bhoyi bhagikalaga bhalumanile kihamo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhuta bhudimanile na luge.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhitoji higulya ya gwikala bhalumanile kihamo bho gwiyambilija uguitumama chiza imilimo yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 9:13.

Waelefeso 5:31.

KISWAHILI: UPINDE HUSHIKANA NA KAMBA.

Upinde ni silaha ya kurushia mishale ambayo huwa imeungana na kamba. Upinde huo, hutokana  na mti uliokatwa na kutengenezwa vizuri mpaka ukafikia hatua ya kufungwa kamba.

Kamba hiyo, huwa ni muunganiko wa nyuzi zilizoshonwa vizuri ambayo hufungwa kiasi cha kutosha kuukunja ule upinde inapotumiwa kuushikilia mshale. Yenyewe hufanya kazi pamoja na upinde bila kuachana nao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “upinde hushikana na kamba.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa wana ndoa ambao huishi kwa kushirikiana pamoja, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana vizuri, katika maisha yao. Wao hupata mafanikio mengi sana kwa sababu ya kuutunza umoja wao huo uliogengwa kwenye muungano wao huo wa ndoa, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na muungano ulioko kati ya upinde na kamba, kwa sababu nao huishi kwa kusaidiana wakiwa wameungano pamoja katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “upinde hushikana na kamba.”

Methali hiyo, hufundisha wana ndoa juu ya kuishi wakiwa wameungana pamoja kwa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 9:13.

Waelefeso 5:31.

bow

arrow

fisherman

ENGLISH: THE BOW IS ATTACHED TO ITS STRING.

A bow is a weapon which is connected to a cord for shooting arrows. It is made of a well-cut and well-formed tree which is bent by that cord while shooting arrows during the hunting time.

This cord is a combination of finely woven fibers that are tied tightly enough to bend the bow while holding an arrow. It works alongside with the bow without abandoning it. That is why the saying goes that, “the bow is attached to its string.”

This proverb is compared to married people who live together in their lives. These people fulfill their responsibilities by helping each other in their lives. They find great success in lives because of maintaining their union which is based on their marital blending in their lifetime.

These people are like an union between a bow and a cord, because they also live in harmony with one another as they are united together in carrying out their responsibilities in their lives. That is why people say to them that, “the bow is attached to its string.”

This proverb instills in married couples an idea on how to live together by helping one another enough to nicely fulfill their daily responsibilities, so that they can have more success in their families.

Matthew 9:13.

Ephesians 5:31.