Ulusumo lunulo lwandija kuli munhu uyo agajilecha mbiti ntugo uyo jalijagudima. Imbiti jinijo jigikalaga ng’wipolu ahikanza ilya limi ibhujiku jigajaga munzengo gujicholela jiliwa. Ijoyi jigadima ntugo huna wiza munhu uyo oliajile mulugendo lokwe ujilecha na jandwa kuyunshola ukunu uweyi ajile duhu bho nduhu ugujidilila. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayomba giki, “nene nsholwa mbiti najile.”
Ulusumo lununo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agandyaga gugutumama nimo bho gudalahijiwe nabhiye umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambilaga gugutumama unimo gunuyo bho nduhu uguyudilila imihayo ya bhanhu abho bhalindalahija kunguno aimanile isolobho ya nimo gunuyo umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikala matwajo mingi mpaka bhoya gundalahija abhanhu bhenabho, kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umubhutumami bhokwe bhunubho.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasholwa na mbiti ukunu ajile bho nduhu ugujidililila, kunguno nuweyi agikomejaga gutumama milimo yakwe bho nduhu ugubhadilila abho bhalindalahija umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene uweyi agayombaga giki, “nene nasholwa mbiti najile.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gutumama milimo yabho bho nduhu ugubhadilila abho bhalibhadalahija umubhutumami bhobho bhunubho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
Ayubu 1:20:
2Thimotheo 2:3-7.
2Thimotheo 2:15-19.
2Thimotheo 4:7-8.
KISWAHILI: MIMI NIMEFYONZWA FISI NIKIWA NAENDA.
Methali hiyo ilianzia kwa mtu yule aliwaachisha fisi mfugo waliokuwa wameukamata. Fisi hao huishi polini wakati wa mchana lakini usiku huingia kwenye makazi ya watu ili kujitafutia chakula.
Fisi hao walimkamata mfugo kwa bahati akaja akapita pale mtu aliyekuwa katika safari zake akawanyanhanya mfuyo huo ndipo wakaanza kumfronza yeye akiwa anaenda bila kuwajali. Ndiyo maana yeye alisema kwamba, “mimi nimefyonzwa fisi nikiwa naenda.”
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hudharauliwa na baadhi ya watu anapoanza kufanya kazi mpya katika utumishi wake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kwa nguvu bila kuwajali wale wanaomdharau kwa sababu anazifahamu faida za kazi hiyo maishani mwake. Yeye hupata mafakinikio mengi mpaga wanaacha kumdharau wale waliokuwa wakifanya hivyo mwanzoni kwa sababu ya uvumilivu wake huo, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo.
Mtu huyo hufanana na yule aliyefyonzwa na fisi bila kuwajali, kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza majukumu yake bila kuwajali wale wanaomdharau, katika utumishi wake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “mimi nimefyonzwa fisi nikiwa naenda.”
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuvumilia kufanya kazi zao bila kuwajali wale wanaowadharau katika utekelezaji wa majukumu yao hayo, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.
Ayubu 1:20:
2Thimotheo 2:3-7.
2Thimotheo 2:15-19.
2Thimotheo 4:7-8.
ENGLISH: I HAVE BEEN ABSORBED BY HYENAS WHILE I GO.
The above proverb was originated from man who chased hyenas from taking his livestock which they had caught. The hyenas live in the field during the day but at night they enter human settlements to find food.
The hyenas caught the herd by chance and he came and passed by a man who was on his travels and snatched the livestock from them and they started to chase him while he was going without paying attention to them. That is why he said that, “I have been absorbed by hyenas while I go.”
This proverb is compared to that person who is despised by some people when he starts a new job in his service. That person, tries to work hard without caring about those who look down on him because he knows the benefits of that work in his life. He achieves a lot of success and they stop looking down on those who were doing it in the beginning because of his patience, in the implementation of his duties.
This person is similar to the one who was absorbed by hyenas without caring for them, because he also has to carry out his duties without caring for those who despise him, in his service. That is why he tells people that, “I have been absorbed by hyenas while I go.”
This proverb teaches people to persevere in doing their works without caring about those who despise them in the execution of their duties, so that they can achieve many successes in their lives.
Job 1:20:
2 Timothy 2:3-7.
2 Timothy 2:15-19.
2 Timothy 4:7-8.
