Imbuki ya kahayile kenako ingilile kuginhu ijo munhu ojimilaga. Iginhu jiniyo, jigibhisaga munda yakwe kunguno jidigelaga. Giko ni mihayo iyo munhu witulaga mu moyo gokwe igabhizaga guti ginhu ijo ojimilaga munhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “omilaga mihayo.”
Akahayile kaneko, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayidebhaga imihayo iyawiza oituula munholo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayidegelekaga imihayo iya wiza bho witegeleja bhutale umumahoya gakwe kunguno ayidebhile solobho yayo umuwikaji bhokwe. Uweyi agayitumilaga chiza imihayo iyo ili mholo yakwe bho gubhalela chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agamila ginhu jibhisa munda yakwe, kunguno nuweyi agayisolanyaga imihayo ikujo oyituula munholo yakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki “omilaga mihayo.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuyisolanya imihayo iyikujo na guituula munholo jabho umumahoya gabho kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Luka 1:26-38.
Luka 2:17-19.
KISWAHILI: AMEMEZA MANENO.
Chanzo cha msemo huo kilitokea kwenye kitu ambacho mtu alikimeza. Kitu hicho, hujificha tumboni mwake kwa sababu huwa hakionekani. Hivyo na maneno ambayo mtu ameyaweka kwenye moyo wake huwa kama kitu alichomeza mtu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemeza maneno.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaelewa maneno ya hekima na kuyaweka kwenye moyo wake katika maisha yake. Mtu huyo, huyasikiliza maneno ya hekima kwa umakini mkubwa na kuyaweka moyoni mwake kwa sababu anafahamu faida yake maishani mwake. Yeye huyatumia vizuri maneno hayo ya hekima kwa kuwalea vyema watu wake, maishani mwake.
Mtu huyo hufanana na yule mtu aliyemeza kitu kikajificha tumboni mwake, kwa sababu naye husikiliza maneno ya hekima na kuyaweka moyoni mwake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemeza maneno.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuyachambua maneno ya hekima katika maongezi yao na kuweka ndani ya mioyo yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Luka 1:26-38.
Luka 2:17-19.
ENGLISH: HE HAS SWALLOWED WORDS.
The source of overhead saying came from something that someone swallowed. Such thing hides in his stomach because it is not visible. So the words that a person has put in his heart are like something that such person had swallowed. That is why people tell him that, “he has swallowed words.”
This saying is related to the person who understands words of wisdom enough to keep them in his heart. Such person listens to the words of wisdom with great attention and keeps them in his heart because he knows its benefits in his life. He uses those words of wisdom for nurturing his people well, in his life.
Such person is like the person who swallowed something which was hidden in his stomach, because he also listens to the words of wisdom and keeps them in his heart. That is why people tell him that, “he has swallowed words.”
This saying imparts in people an idea of analyzing words of wisdom in their speech enough to apply them in their daily lives, so that they can raise their families well, in their family members’ lives.
Luke 1:26-38.
Luke 2:17-19.
