Akahayile kenako kalolile Nzuki iyo yaliyatela hanhu. Inzuki yiniyo, yalidina bhapi hayo yatelela kunguno yabhalemelaga abho bhajaga gujiyapa. Abhanhu bhayogohaga kunguno ya bhutale bhoyo bhunubho. Hunagwene bhagiyitana giki “nzuki ya bhulemela.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agambilijiyagwa na Mulungu ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo alina guzunya gutale ukuli mulungu uyo agang’winhaga nguzu ja gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza mpaga opandika matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandika matwajo minghi umubhutumami bhokwe kunguno ya ubhutungilija bhokwe bhunubho ukuli Nsumbi okwe, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki iyo yaliyakula mpaga yubhalemela uguyapa abhapi bhayo, kunguno nuwei apandikaga matwajo mingi mpaga uduma ugugamala ugugatumila. Hunagwene agagitanaga giki, “nzuki ya bhulemela.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umubhutumami bhobho bhunubho.
Kutoka 4:1-8.
Matendo 5:12-15.
Waebrania 11:1-4.
KISWAHILI: NYUKI ALIYESHINDIKANA.
Msemo huo, huangalia Nyuzi wale walioshindikana kulinhwa. Nyuki hao, waliokuwepo mahali fulani ambao walikosa watu wa kwenda kuwalinha tokea pale walipojenga makazi yao kwa sababu ya kuwaogopa. Watu waliwaogopa kuwalinha kwa sababu ya ukubwa wao huo. Ndiyo maana waliwaita jina la “nyuki aliyeshindikana.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayefanya kazi zake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana imani kubwa kwa Mungu anayempatia nguvu za kujibidisha kufanya kazi vizuri mpaka anafanikiwa kupata mafanikio mengi katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio mengi sana katika utekelezaji wa majukumu yake kwa sababu ya uaminifu wake huo kwa Muumba wake, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na wale nyuki walioshindikana kulinhwa na watu, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake mpaka anapata mafanikio ya kuwashinda watumiaji kuyamaliza. Ndiyo maana watu walimpatia jila la “nyuki aliyeshindikana.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri kwa kumtegemea Mungu, ili waweze kupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yao.
Kutoka 4:1-8.
Matendo 5:12-15.
Waebrania 11:1-4.
ENGLISH: AN UNMANAGEABLE BEE.
This saying looks at the bees which protected their honey until people failed to harvest their honey-bunch. These bees were in a certain place where failed people to go and collect them from where they built their homes because they were afraid of them. People were afraid of them because of their big size. That is why they called them an “unmanageable bee.”
This saying is compared to the person who does his work by relying on God, in his life. Such person has great faith in God who gives him the strength to work hard until he succeeds in getting many successes in his work. He gets a lot of success in the execution of his duties because of his faithfulness to his Creator, in his life.
This person is similar to those bees which people failed to harvest their honey-bunch, because he also has to do his work until he succeeds in winning over the users to finish it. That is why people gave him a name of “unmanageable bee.”
This saying imparts in people an idea of working hard to do their jobs well by relying on God, so that they can get a lot of success in carrying out their responsibilities.
Exodus 4:1-8.
Acts 5:12-15.
Hebrews 11:1-4.


