Akahayile kenako kalolile lugendo ulo lugatongelagwa na ng’winikili olo. Alihoyi nhangi uyo obhawilaga abhanhu mihayo iyo eligela aha shigu ja ha bhutongi.
Unhangi ng’winuyo, olina bhudula bho guyibhona imihayo iyo ililonga aha hashiku ijo jizile kunguno bhuli gwene uyo agabhahangilaga gwilongaga gitumo obhawilila. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “ng’winikili lugendo.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli ntongeji obhanhu uyo ang’wisanije Mulungu, umubhutongeji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, agalombaga kuli Mulungu mihayo ikujo ya gubhalomela abhanhu bhakwe hayo atali ugujuhoya nabho, ulu winhiwa naoja lulu ugujubhalomela kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ukuli Mulungu. Uweyi agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe kunguno ya guzunya gokwe gutale ukuli Mulungu, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nhangi uyo ohangaga mihayo ya nhana ukubhanhu bhakwe, kunguno nuweyi agabhawilaga abhanhu bhakwe mihayo ikujo ya gubhatongela chiza umutumami bhobho bhunabho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ng’winikili lugendo.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhatongela chiza abhanhu bhabho bho gubhawila mihayo yikujo iyagubhambilija ugung’wisana Mulungu, kugiki bhadule gwikala bho mholele, na kupandika matwajo minghi, umuwikaji bhobho.
Ufunuo 3:15-16.
Yohana 1:12-13.
MMILIKI WA SAFARI.
Msemo huo, huangalia safari ambayo huongozwa na mmiliki wake. Alikuwepo nabii mmoja aliyewaambia watu mambo yatakayotokea kwenye siku za mbeleni.
Nabii huyo, alikuwa na uwezo wa kuyaona matukio yale ambayo yatawapata watu, kwa sababu kila tukio alilolitabiri lilitokea kama alivyosema. Ndiyo maana watu walimuita kwamba ni “mmiliki wa safari.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa kiongozi wa watu yule ambaye humtegemea Mungu katika uongozi wake. Kiongozi huyo, humuomba Mungu kwanza kabla hajaenda kutoa ujumbe kwa watu, ili apewe maneno ya hekima ya kuwasaidia watu wake kuishi vizuri, anapopewa ujumbe huo ndipo anaufikisha kwa watu, kwa sababu ya uaminifu wake kwa Muumba wake. Yeye huwaongoza watu vizuri, kwa sababu ya imani yake hiyo kubwa kwa Mungu, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule nabii aliyewatabiria watu wake mambo yajayo ambayo ni ya kweli, kwa sababu naye huwaambia watu maneno ya hekima yawezayo kuwaongoza vizuri maishani mwao. Ndiyo maana watu hao walimuita kuwa ni “mmiliki wa safari.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaongoza watu wao kwa kutumia maneno ya hekima yawezayo kuwasaidia kumtegemea Mungu, ili waweze kuishi kwa amani na kupata mafanikio mengi maishani mwao.
Ufunuo 3:15-16.
Yohana 1:12-13.
ENGLISH: THE ONE IN CHARGE OF THE JOURNEY.
This saying looks at a journey that is led by its owner. There was a prophet who told people the things that would happen in the future.
This prophet had an ability to see events that will happen to people, because every event which he predicted happened as he said. That is why people called him that, he is “the one in charge of the journey.”
This saying is related to a leader of people who relies on God in his leadership. This leader prays to God first before going to give a message to the people, so that he may be given words of wisdom which can help his people in living well. When he is given such message, he conveys it to the people, because of his loyalty to his Creator. He leads people well, because of his great faith in God, in his life.
This person is similar to the prophet who predicted the future to his people which came true, because he also tells people words of wisdom that can guide them well in their lives. That is why those people called him that, he is “the one in charge of the journey.”
This saying teaches people about leading their people by using words of wisdom that can help them enough to rely on God, so that they can live in peace and achieve many successes in their lives.
Revelation 3:15-16.
John 1:12-13.