Unomo ugo ntale ili mihayo iyo agayiyombaga ulu alifunya ilange ukubhanhu bhakwe. Abhanhu abho bhagayigwaga imihayo yakwe bho gulidimila chiza ililange lwake linilo, bhagapandikaga bhunonu. Ubhunonu bhunubho jili mbango ijo bhagajipandikaga ulu bhalikalana chiza ililange lya ntale obho ng’wunuyo. Hunagwene bhagayombaga giki, “nomo go ntale guli na b’unonu.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhana abho bhali na wigwi bho gwiyikalana chiza imihayo ya myaji obho, umukikalile kabho. Abhana bhenabho, abhayigwaga imihayo ya myaji obho ng’wunuyo na guyikalana gufumila ahabhunigini mpaga ha bhutale bhobho, kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo. Abhoyi bhagapandikaga mbango ja gwikala chiza na bhanhu na gub’iza na sabho ningi, umuwikaji bhobho, kunguno ya wigwi bhobho ubho gulikalana chiza ililange lya myaji obho ng’wunuyo.
Abhana bhenabho, bhagikolaga nabho bhagalikalana chiza ililange lya ntale obho, mpaga bhupandika matwajo mingi, kunguno nabho bhali na wigwi bho gulikalana chiza ililange lya myaji bhobho, ilo ligabhenhelaga mpango ja bhusab’i na gwikala chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “nomo go ntale gulina b’unonu.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na wigwi bho gulidilila ilange liza lya bhatale bhabho na gulikalana chiza, kugiki bhadule kupandika mbango ja gusab’a na gwikala chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.
Mithali 7:1-3.
Mithali 6:20-23.
1Yohana 3:18.
Mathayo 23:37-39.
Yohana 1:11-12.
Mithali 22:12.
Waefeso 6:1-4.
KISWAHILI: MDOMO WA MKUBWA UNA UTAMU.
Mdomo wa mkubwa ni maneno anayoyaongea mtu huyo anapowapatia maadili mema watu wake. Watu wanaoyasikia maneno yake hao, kwa kuyajali katika kuyaishi maadili hayo mema, hupata utamu. Utamu huo, ni Baraka wanazozipata wanapoyaishi maadili hayo mema ya mkubwa wao huyo. Ndiyo maana husema kwamba, “mdomo wa mkubwa una utamu.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa watoto wale ambao wana utii wa kuyaishi maadili ya mzazi wao, katika maisha yao. Watoto hao, huyaishi maneno ya mzazi wao kwa kuishi katika maadii mema kuanzia utotoni hadi ukubwani mwao, kwa sababu ya tabia yao hiyo njema. Wao hupata Baraka za kuishi vizuri na watu wao na kuwa na mali ninyi maishani mwao, kwa sababu ya utii wao huo kwenye maadili ya mzazi wao.
Watoto hao, hufanana na wale walioyaishi maadili ya mkubwa wao, mpaga wakapata mafanikio mengi, kwa sababu nao wana utii wa kuyaishi maadili ya mzazi wao, yanayowaletea Baraka za kuishi na watu wao vizuri. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “mdomo wa mkubwa una utamu.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na utii wa kuyajali maadili ya wakubwa wao na kuyaishi vizuri, ili waweze kupata Baraka za kutajirika na kuishi vizuri watu wao, maishani mwao.
Mithali 7:1-3.
Mithali 6:20-23.
1Yohana 3:18.
Mathayo 23:37-39.
Yohana 1:11-12.
Mithali 22:12.
Waefeso 6:1-4.
ENGLISH: “THE MOUTH OF AN ELDER PERSON HAS SWEETNESS.”
The mouth of the elder person has sweetness because of speaking words of wisdom which provide listeners with good manners. People who hear those words learn moral for taking care of their societal members. They become aware of good values enough to find sweetness in applying them to their daily lives. Such sweetness is the blessing which they receive as they live up to their high moral standards. That is why they say that, “The mouth of an elder person has sweetness.”
This proverb is compared to children who are obedient to the moral values of their parents in their lives. These children, in turn, live up to their parent’s words by living a good life from infancy to adulthood, because of their good behaviors. They get blessings of living well with their people because of their obedience to their parent’s values.
These children are like those who lived up to the values of their elders who have had great successes, because they too have the obedience to live up to their parents’ values, which bring them with blessings of living well with their people. That is why they tell people that, “the mouth of an elder person has sweetness.”
This proverb imparts in people a clue on how to be obedient to the values of their socieities enough to live on the morals of their elders by liveing peacefuly with others, so that they may receive blessings of getting rich enough to support their family members in attaining their goals.
Proverbs 7: 1-3.
Proverbs 6: 20-23.
1 John 3:18.
Matthew 23: 37-39.
John 1: 11-12.
Proverbs 22:12.
Ephesians 6: 1-4.