Inyama ya ng’holo ilindoni noyi uguilwa aliyo lulu, ubhoya bhoyo bhudibhowiza ugubhulola. Gashinaga lulu, ubhoya bhunubho bhudulile gunhecha munhu guilya nyama yiniyo uyo alagelele guwilolela bhoyi duhu bho nduhu ugubhonja iyoyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nyama ya ng’holo uguikolelwa kubhoya.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo abhudebhile uwiza bho mioyo ya bhanhu ubho bhuli heke na mahanga gabho. Umunhu ng’winuyo, agikalaga na bhanhu bhose bho nduhu ugubhakomanya kunguno ya mahanga gabho. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umutumami bho milimo yakwe, kunguno ya gwikala kihamo chiza na bhanhu bhakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nyama ya ng’holo iyo iliyawiza kukila ubhoya bhoyo, kunguno nuweyi, alina miito ga gawiza, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ““nyama ya ng’holo uguikolelwa kubhoya.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gulola wiza bho miito ga bhanhu gukila ugugalola mahanga gabho duhu, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichacho, umuwikaji bhobho.
Matendo ya mitume 1:24.
2Wakorintho 10:7.
KISWAHILI: NYAMA YA KONDOO UTAICHUKIA KWENYE MANYOYA.
Nyama ya kondoo ni tamu sana kwa kuila. Lakini manyoya yake siyo mazuri kwa kuyaangalia. Kumbe basi, manyoya hayo yaweza kumuachisha kuila nyama hiyo yule anayeishia kuyangalia hayo tu bila kuamua kuionja nyama ya mnyama huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “nyama ya kondoo utaichukuia kwenye manyoya.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anauelewa uzuri wa mioyo ya watu ambao hutofautiana na sura zao. Mtu huyo, huishi na watu kwa amani bila kuwabagua kwa sababu ya sura zao. Yeye hupata mafanikio mengi maishani mwake, kutokana na ushirikiano wake mzuri alio nao kwa watu wake.
Methali hiyo, hufanana na nyama ya kondoo ambayo ni nzuri kupita manyoya yake, kwa sababu naye ana matendo mema yanayomuwezesha kutambua pia nia njema za watu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nyama ya kondoo utaichukua kwenye manyoya.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuangalia matendo mema ya watu wao badaya kuangalia muonekano wa sura zao tu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.
Matendo ya Mitume 1:24.
2Wakorintho 10:7.
ENGLISH: YOU WILL HATE SHEEP MEAT ON THE WOOL (THERE IS NO ROSE WITHOUT A THORN).
Sheep meat is very sweet to eat. But its wool are not good to look at. In fact, they may stop eating the meat from the one who ends up looking at them without even deciding to taste the meat. That is why people say, “you will hate sheep meat on the wool.”
This proverb is compared to people who understand the kindness of people’s hearts that differ from their appearances. These people live with others in peace without discriminating against them because of their appearances. They find many successes in their lives, and appreciate good cooperation which they have with others.
These people are like sheep, which is better than its wool, because they also have good deeds that enable them to recognize the good intentions of their people who live with them. That is why they tell others that, “you will hate sheep meat on the wool.”
This proverb teaches people to look at the good deeds of their people instead of just looking at their appearances, so that they can live in peace with each other, in their lives.
Acts 1:24.
2 Corinthians 10: 7.