Tanzania

1277. GOSULULA UNKONO.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhusuluzu bho nkono go ng’wa munhu nnebhe. Olihoyi munhu uyo okoyaga ugugugolola unkono kokwe uyo goligwigonda kunguno ya gutumama milimo yake ukunu agugondile bho likanza lilihu. Umunhu ng’wunuyo agigulambije ugugugolola mbaga nose gusula chiza unkono gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu aho bhamona bhagayomba giki, “gosulula unkono.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu nchoji osabho uyo agakoyakoyaga ugwicholela mpaga nose ojipandika umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agagatumilaga chiza amasala gakwe bho gumisha diyu ogatumama milimo yakwe chiza mpaga oyimala kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo bhunubho, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe ubho gutumama milimo chiza bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agigulambija ugugugolola unkono gokwe mpaga gusulula, kunguno nuweyi agigulambijaga gwicholela sabho bho gutumama milimo yakwe chiza mpaga nose ojipandika sabho jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “gosulula unkono.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gugatumila chiza amasala gabho bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho.

1Wakorintho 16:2a-b.

KISWAHILI: MKONO UMENYOKA.

Chanzo cha msemo huo huongelea unyofu wa mkono wa mtu fulani. Alikuwepo mtu aliyekuwa akihangaika kuunyosha mkono wake uliokuwa umekunjika kwa muda mrefu kwa sababu ya kazi yake aliyokuwa akiifanya. Mtu huyo, alijibidisha kuunyosha mkono wake huo mpaka mwishowe ukanyoka vizuri. Ndiyo maana watu walipomuona walisema kwamba, “mkono umenyoka.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mtafutaji wa mali ambaye huhangaika katika kujitafutia mali hizo mpaka mwishowe anazipata, katika kazi zake. Mtu huyo, huzitumia vizuri akili zake kwa kuamka mapema asubuhi na kwenda kufanya kazi vizuri mpaka anazimaliza kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, katika maisha yake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi zake vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejibisha kuunyosha mkono wake mpaka mwishowe ukanyoka, kwa sababu naye hujibidisha katika kujitafutia mali kwa kufanya kazi mpaka anapafanikiwa, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkono umenyoka.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia vizuri akili zao kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mali za kuwawezesha kuziendeleza vizuri, familia zao.

1Wakorintho 16:2a-b.

hand-663725_1280

ENGLISH: THE HAND HAS BEEN STRAIGHT.

The cradle of this saying denotes to an outstretched hand of a certain person. There was a man who was struggling to stretch his arm that had been bent for a long time because of a work which he was doing. He had to stretch his hand until finally it was straight. That is why when people saw him said that, “The hand has been straight.”

This saying is paralleled to a person who seeks wealth by struggling enough to find it for himself in his life. Such person makes a good use of his mind by waking up early in the morning and going to work well until he finishes it because of his hard working life. He gets a lot of treasures in his family because of working hard in his life.

This person is similar to the one who took it upon himself to stretch out his hand until it eventually became straight, because he also struggles to find prosperity by working hard until he succeeds in his life. That is why people tell him that, “the hand has been straight.”

This saying imparts in people a clue of using well their minds by forcing themselves to soundly do their jobs, so that they can acquire a lot of possessions enough to enable them nicely improve their families.

1 Corinthians 16:2a-b.

1276. WITUNDAGA UDABHUNILWE.

Akahayile kenako kalolile witundi bho ng’wa munhu uyo adabhunilwe kwibala. Umunhu ng’wunuyo, agitunda kugiki wiyambilije huna uduma ugwiyambilija kunguno ya gwitunda bho nduhu ugubhunwa ukwibala. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki “witundaga udabhunilwe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aganguhaga gwita ginhu jilebhe ahikanza litale ugushiga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agiyityega guti alisata bho gwilaja kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo aha kaya yake yiniyo. Uweyi agakoyiyagwa na bhuhabhi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gukija gutumama milimo bho gugwisha alalile guti alisata umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agitunda gwiyambilija aliyo adabhunilwe ukwibala, kunguno nuweyi agisatishaga olala aliyo adusataga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “witundaga udabhunilwe.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwita mihayo ya nhana bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Mhubiri 3:1-8.

KISWAHILI: UMECHUCHUMAA BILA KUJISIKIA HAJA.

Msemo huo huangalia uchuchumaaji wa mtu ambaye hajajisikia haja. Mtu huyo, alichuchumaa ili kujisadia haja kubwa lakini alishindwa kujisadia kwa sababu ya kuchuchumaa bila kujisikia haja hiyo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umechuchumaa bila kujisikia haja.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwahi kufanya kitu fulani kabla ya wakati wake kufika, katika maisha yake. Mtu huyo, hujifanya kama anaumwa kwa kujilaza kwa sababu ya uvivu wa kufanya kazi kwenye familia yake. Yeye husumbuliwa mara kwa mara na tatizo la umaskini katika familia yake hiyo kwa sababu ya kutokufanya kazi kwa kisingizio cha kuumwa, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyechuchumaa kujisaidia bila kujisikia haja, kwa sababu naye hujisingizia kuumwa kwa kulala wakati haumwi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umechuchumaa bila kujisikia haja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa wakweli kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Mhubiri 3:1-8.

ENGLISH: YOU HAVE SQUATTED WITHOUT FEELING THE NEED.

The above saying refers to a squatting of a person who has not felt an urge. This man squatted to relieve himself but failed to do so because of squatting without feeling the need. That is why people told him that, “you have squatted without feeling the need.”

This saying is matched to a man who does something before reaching its time in his life. Such person pretends to be sick by lying down because of his idleness in working at his family. He constantly suffers from poverty problem at his family because of not working on a pretext of illness in his life.

This person is similar to the one who squatted to help himself without feeling the need, because he too pretends to be sick by sleeping when he is not sick in his life. That is why people tell him that, “you have squatted without feeling the need.”

This saying teaches people about being honest by forcing themselves to do their jobs well, so that they can soundly improve their families in their lives.

Ecclesiastes 3:1-8.

man-6996612_1280

woman-2704557_1280

toilet-5111311_1280

1275. BHULI LYATO NALIHULI LYALYO.

Ilyato jili jiseme ijo jigabhuchaga bhanhu nulu miligo japela bho gwelela muminzi. Ilyato linilo ligashindikagwa na mahuli ga minzi ayo gagabhukilaga lyabhiza ligimba litale. Aliyo lulu bhuli lyato lyene ligashindikagwa ni gimba lyalyo lya minzi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuli lyato na lihuli lyalyo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu umo agapandikilaga amakoye ayo gagikalaga galekanile na ga ng’wiye, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo agapandikaga makoye ga mbika ningi umubhutumami bho milimo yakwe ayo galiheke nayo bhagapandikaga abhangi. Uweyi agalwaga na makoye genayo mpaga ogamala kunguno ya wiyumilija bhokwe, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni lyato ilo lyagashindikwa na mahuli ga muminzi, kunguno nuweyi agakoyiyaga na makoye gakwe umubhutumami bho milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhuli lyato na lihuli lyalyo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gugamala amakoye gabho bhuli ng’wene, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

2Timotheo 2:24.

Yakobo 5:7.

1Petro 1:19.

KISWAHILI: KILA MASHUA NA WIMBI LAKE.

Ngalawa ni chombo bha kusafirishia watu au mizigo majini. Ngalawa hiyo husukumwa na mawimbi ya maji ambayo huinuka kama mlima na kuipiga katika safari zake. Lakini basi, kila Ngalawa husukumwa na Wimbi Lake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kila Ngalawa na Wimbi Lake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu anavyopata matatizo yake katika maisha yake ambayo hutofautiana na yale wanayopata wenzake. Mtu huyo, hupata matatizo mbalimbali ambayo hutofautikana na yale anayopata mwingine, maishani mwake kwa sababu ya uvumilifu wake. Yeye hupambana na matatizo hayo mpaka anayamaliza kwa sababu ya uvumilifu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ile Ngalawa iliyosukumwa na mawimbi ya maji, kwa sababu naye hukumbwa na matatizo yake katika utelekezaji wa majukumu yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kila Ngalawa na Wimbi Lake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuyatatua matatizo yao katika maisha yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

2Timotheo 2:24.

Yakobo 5:7.

1Petro 1:19.

 

 

food-1-

 

ENGLISH: EVERY BOAT AND ITS WAVE.

A ship is a vessel which is used to transport people or goods in water. This boat is pushed by waves of water that rise like a mountain and beat it in its travels. But then, every boat is moved by its Wave. That is why people say that, “every boat and its Wave.”

This saying is equaled to how a person experiences his difficulties in his life which are different from his fellows’ experience. Such person experiences various glitches that are different from those which are experienced by others, in his life because of his tolerance. He fights those hitches until he varnishes them because of his endurance in his life.

This person resembles the boat which was pushed by waves of water, because he also suffers from his difficulties in fulfilling his responsibilities in life. That is why people tell him that, “every boat and its Wave.”

This saying instills in people an idea of having strong persistence enough to solve their hitches in their lives, so that they can nicely raise their families in their lives.

2 Timothy 2:24.

James 5:7.

1 Peter 1:19.

 

1274. LUGOYE LUGATINIKILAGA GU MHELO.

Imbuki ya lusumo lunulo iholelile bhutiniki bho lugoye aho luganogelaga. Ulugoye lunulo lugatungilagwa ginhu jose jose ukumhelo yalo. Uloyi luganogolekaga ugumhelo yalo kunuko mpaga nose lotinika kunguno ya gumanalutungilwa bho gugandagulwa bhuli likanza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lugoye luganitikilaga gu mhelo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo mpaga wegela gugumala na uguleka ugugumalija, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agakilagaga nulu mongo guganemelela ha mhelo yago, nulu agalimilaga ngese mgunda ntale, ogailekela aha mhelo yago, kunguno ya guduma gwiyumilija chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho. Uweyi agagayiyagwa ijikolo aha kaya yakwe kunguno ya gugayiwa wiyumilija bho guimala chiza imilimo yakwe yiniyo, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu lugoye ulo ugatinikila gumhelo, kunguno nuweyi agatumamaga milimo mpaga wegela uguimala na uyileka, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagangwilaga giki, “lugoye lugatinikilaga gu mhelo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho guyitumama chiza imilimo yabho mpaga bhayimala umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 13:22-24.

Yeremia 10:19.

Mathayo 10:22.

KISWAHILI: KAMBA HUKATIKIA MWISHONI.

Chanzo cha methali hiyo huongelea juu ya ukatikaji wa kamba pale inapochokea. Kamba hiyo hufungiwa vitu mbalimbali kwenye upande wake mwishoni. Yenyewe hulainika sana kwenye sehemu hiyo ya mwishoni inapotumika kufungia vitu mpaga mwishowe hukatika kwa sababu ya kukunjwa mara nyingi inapofungiwa vitu hivyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kamba hukatikia mwishoni.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi na kuiacha anapokaribia kuimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kama vile kuvuka mto na kushindwa anapokaribia mwishoni, au kupalilia palizi na kushindwa kuimaliza anapokaribia mwishoni, kwa sababu ya kushindwa kuvumilia vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yake. Yeye hukosa mali kwenye familia yake kwa sababu ya kukosa uvumilivu huo wa kuzimaliza vizuri kazi zake, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na ile kamba iliyokatikia mwishoni, kwa sababu naye hufanya kazi na kuziachia mwishoni, bila kuzimaliza, katika kazi zake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kamba hukatikia mwishoni.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuzimaliza vizuri kazi zao, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Luka 13:22-24.

Yeremia 10:19.

Mathayo 10:22.

rope-57522__480

ENGLISH: THE STRING BREAKS AT THE END.

The basis of the overhead proverb discusses about a breaking of a rope when it gets tired. This rope is tied to various things on its side at the end. It is very soft at the end when it is used to tie things, and eventually it breaks due to being folded sundry times when those things are tied. That is why people say that, “the string breaks at the end.”

This proverb is related to a person who works and leaves it when he is about to finish it, in his life. Such person, does a job like crossing a river and fails when he gets close to the end, or weeding weeds and fails to finish it when he gets close to the end, because of his inability to endure well, in the implementation of his duties. He lacks capital in his family because of his lack of strong patience enough to finish his works properly, in carrying out of his duties.

This person is like the rope that broke at the end, because he also works and leaves them at the end, without finishing them, in his works. That is why people tell him that, “the string breaks at the end.”

This proverb imparts in people an idea of having strong patience enough to finish their works well, in the fulling their responsibilities, so that they can get a lot of success in their lives.

Luke 13:22-24.

Jeremiah 10:19.

Matthew 10:22.

1273. AHA MITI MINGI NDUHU ABHAZENGI.

Akahayile kenako kaholelile bhanhu abho bhikalaga ng’wipolu lya miti mingi aliyo lulu, bhadazengile inumba. Abhanhu bhenabho bhagishigilwa uguzenga inumba na bhichabho abho bhajaga ung’wipolu linilo bhagagatema amanti bhachala gujuzengela unumba, umuchalo jabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “aha miti mingi nduhu abhazengi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga nikoye aliyo ijagulimalila ilikoye linilo alinajo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adajitumamilaga chiza isabho ijo alijibhona, kunguno ya bhugokolo bhokwe ubho guduma gwiganika chiza. Uweyi agaminyiyagwa na makoye mingi aha kaya yakwe kunguno ya bhogokolo bhokwe bhunubho ubho guduma gubhutumamila chiza ubhusabhi ubho alibhubhona aho ali henaho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagaduma uguzenga numba aliyo bhikalaga ng’wipolu lya manti mingi, kunguno nuweyi agakoyiyagwa na makoye mingi aliyo ijikolo ija gugamalila amakoye genayo alinajo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “aha miti mingi nduhu abhazengi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwikomeja gujitumamila chiza isabho ijo bhalijibhona, kugiki jidule gubhambilija chiza ugugamala amakoye ayo bhalinago, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 22:9

1 Mambo ya nyakati 28:2.

KISWAHILI: KWENYE MITI MINGI HAKUNA WAJENZI.

Msemo huo huongelea juu ya watu walioishi kweye poli la miti mingi bila kujenga nyumba. Watu hao waliwahiwa kujenga nyumba na wenzao walioenda kuikata miti hiyo na kwenda kujenga nyumba zao kwenye vijiji vyao. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “kwenye miti mingi hakuna wajenzi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aishiye na matatizo mengi lakini vitu vya kuyamalizia matatizo hayo anavyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa havitumii vizuri vitu anayoviona katika kuyatatua matatizo yake, kwa sababu ya uvivu wake wa kufikiri vizuri. Yeye huumiizwa na matatizo mengi kwenye familia yake, kwa sababu ya uvivu wake huo wa kushindwa kufikiri namna ya kuitumia vizuri mali anayoiona, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na wale walioshindwa kujenga nyumba pamoja na wao kuishi kwenye miti mingi, kwa sababu naye husumbuliwa na matatizo mengi wakati vitu vya kuyatatulia matatizo hayo anavyo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kwenye miti mingi hakuna wajenzi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kujibidisha kuzitumia vizuri mali wanazoziona, ili ziweze kuyamaliza matizo walio nayo, maishini mwao.

Mwanzo 22:9

1 Mambo ya nyakati 28:2.

ENGLISH: IN MANY TREES THERE ARE NO BUILDERS.

The overhead saying parleys about people who lived in a thicket of many trees without building a house. These people were given an opportunity of building houses by their colleagues who went to cut down those trees enough to take them back home for building their houses in their villages. That is why those people said that, “in many trees there are no builders.”

This saying is paralleled to a person who lives with many difficulties but he has ways of ending them, in his life. Such person does not make good use of those ways which he sees in solving his hitches, because of his laziness in thinking properly. He is hurt by various hitches in his family, because of his indolence of not being able to reason on how to make good use of the treasure which he sees in his life.

This person resembles those who failed to build a house despite their living in many trees, because he is also troubled by several harms while he has possessions of solving them, in his life. That is why people tell him that, “in many trees there are no builders.”

This saying imparts in people an idea of making good use of assets which they see, so that they can solve hitches which they have in their lives.

Genesis 22:9

1 Chronicles 28:2.

forest-7311484_1280