Sukuma

1325. UMUNHU UYO ADIMANILE ING’HANA UDIZUNG’WILA ING’HANA.

Akahayile kenako kandija kuli munhu uyo oyombaga mihayo ya bhulomolomo umukikalile kakwe. Abhanhu abho wikalaga nabho umunhu ng’wunuyo, bhang’wilaga giki  aileke imihayo yiniyo iyabhulongo bho guyomba bhunhana, olema kunguno ya bhuhalali bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “umunhu uyo adimanile ing’hana udizung’wila ing’hana.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alinsembo uyo adigwaga  mihayo ya guwilwa na bhiye kunguno ya nhungwa jakwe ija bhuhalali jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya bhusembo bhokwe ubho gwita mihayo ya bhubhi bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo owilagwa giki aleke guyomba mihayo ya bhulomolomo olema, kunguno nuweyi agawilagwa na bhiye giki, aleke gwita mihayo ya bhubhi, olema, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu abho agabhahalalikaga bhagiwilaga giki, “umunhu uyo adimanile ing’hana udizung’wila ing’hana.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gwita mihayo ya bhubhi bho gwita mihayo ya wiza kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

2Wakonritho 7:14.

Yohane 14:17.

KISWAHILI: MTU ASIYEUJUA UKWELI USIMWAMBIE UKWELI.

Msemo huo, ulianzia kwa mtu yule aliyekuwa alisema maneno ya uongo katika maisha yake. Watu waliokuwa wakiishi naye, walimwambia kwamba aache kusema uongo kwa kusema ukweli, akakataa kwa sababu ya ubishi wake huo. Ndiyo maana watu hao, walisema kwamba, “mtu asiyeujua ukweli usimwambie ukweli.”                                 

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda maovu katika maisha yake. Mtu huyo hutenda maovu kwa wenzake na kukataa kuyaacha pale wenzake hao wanapomshauri kuayaacha, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya ubishi, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake hiyo kwa sagabu ya kutenda maovu hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekataa kuacha kusema uongo aliposhauriwa na wenzake, kwa sababu naye hukataa kuacha kutenda maovu anaposhauriwa na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana wenzake hao, huambiana kwamba, “mtu asiyeujua ukweli usimwambie ukweli.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda maovu kwa kufuata ushauri wa kutenda mema kwa wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

2Wakonritho 7:14.

Yohane 14:17.

ENGLISH: DO NOT TELL THE TRUTH TO A PERSON WHO DOES NOT KNOW IT.

This saying is originated from a person who had told lies in his life. The people who lived with him told him to stop lying by telling the truth, but he refused because of his argumentativeness. That is why those people said, “Do not tell the truth to a person who does not know it.”

This saying is equated to a person who commits evil deeds in his life. Such person commits evil deeds against his nobles and refuses to stop when those nobles advise him to stop, because of his wicked argumentative behavior in his life. He fails to nurture his family well because of committing those evil deeds in his life.

This person is similar to the one who refused to stop lying when advised by his fellows, because he also refuses to stop committing evil deeds when advised by his fellows in his life. That is why those fellows say to each other, “Do not tell the truth to a person who does not know it.”

This saying imparts in people an idea of stopping habits of doing evil deeds by following advice of doing good deeds to their fellows, so that they can nurture their families well, in their lives.

2 Corinthians 7:14.

John 14:17.

1324. UDIZUDALAHA JITENGILWE UDAMANILE UMO B’ALUHILAGA AB’AZUGI.

Ulusumo lunulo lyandija kuli munhu uyo agadalahija jiliwa ijo oliotengelwa. Umunhu ng’wunuyo agagenia ha kaya ya ng’wa munhu nhebhe. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagapemba moto, bhunzugila jiliwa mpaga jupya chiza kunguno ya wizanholo bhobho. Abhanhu bhenabho bhagantengela na kunkaribhusha giki ajilye ijiliwa jinijo.

Aliyo lulu ungeni ng’wunuyo agandya guyujidalahija ijiliwa ijo otengelagwa jinijo kunguno ya libhengwe lyakwe umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “udizidalaha jitengilwe udamanile umo b’ahuhilaga ab’azugi.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu ndoshi uyo agadalahijaga imilimo iyo bhagayitaga abhiye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agamanaga uyidalahija imilimo iyo bhagayitumamaga abhiye bho guyisondagula sagala kunguno ya libhengwe na bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhagwisha ng’holo abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya guyidalahija sagala imilimo iyo bhagayitumamaga aha kaya yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngeni uyo agajidalaha ijiliwa ijo oliotengelwa na bhanhu abho oliobhageniha, kunguno nuweyi agayidahijaga imilimo iyo bhagayitumamaga ibhiye, aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “udizidalaha jitengilwe udamanile umo b’ahuhilaga ab’azugi.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka bhudoshi bho guyidalaha imilimo ya bhichabho kugiki bhadule gubhiza na bhulumbi bho gubhakamya abhichabho gwikomeja gutumama milimo iya gubhapandikila matwajo mingi, umu kaya jabho.

Wagalatia 5:16-26.

Mithali 13:1.

Mithali 29:8.

Mwanzo 21:5.

KISWAHILI: USIDHARAU KILICHOWEKWA MEZANI HUJUI VILE WALIVYOHANGAIKA WAPISHI.

Methali hiyo ilianzia kwa mtu aliyedharau chakula alichowekewa mezani ili akile. Mtu huyo, alienda ugenini kwenye familia ya mtu fulani. Wenyeji wa kwenye familia hiyo walikoka moto, wakampikia chakula mpaga kikaiva vizuri kwa sababu ya ukarimu wao. Watu hao walimuwekea mezani chakula hicho na kumkarisha ili akile.

Lakini mtu huyo, alianza kukidharau chakula hicho alichowekewa mezani kwa sababu ya dharau yake hiyo maishani mwake. Ndiyo maana watu hao, walimwambia kwamba, “usidharau kilichowekwa mezani hujui vile waliyohangaika wapishi.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu mwenye majivuno ambaye hudharau kazi wanazofanya wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzidharau kazi wanazofanya wenzake kwa kuzikosoa ovyo, kwa sababu ya dharau na majivuno yake hayo, maishani mwake. Yeye huwakatisha tamaa ya kufanya kazi watu wa kwenye familia yake kwa sababu ya kuzidharua hovyo kazi wanazozifanya kwenye familia hiyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mgeni aliyekidharau chakula alichokuwa amewekewa mezani ili akile, kwa sababu naye huzidharau kazi walizofanya wenzake kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “usidharau kilichowekwa mezani hujui vile waliyohangaika wapishi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na majivuno ya kudharau kazi za wenzao, ili waweze kuwa na shukrani za kuwatia moyo watu wao, kiasi cha kutosha kujibidisha kufanya kazi za kuwapatia mafanikio mengi, kwenye familia zao.

Wagalatia 5:16-26.

Mithali 13:1.

Mithali 29:8.

Mwanzo 21:5.

 

 

african-4493422_1280

african-food-3957740__480

woman-5975589__480

ENGLISH: NOT DISDAIN WHAT HAS BEEN PLACED ON THE TABLE, YOU DO NOT KNOW WHAT THE COOKS HAVE WORKED HARD FOR.

This proverb is originated from a person who disrespected the food that was set on the table for him to eat. Such person went abroad to a certain person’s family. The people of that family turned on the heat, cooked a delicious meal for him because of their hospitality. Those people put the food on the table for him to eat it.

But he began to disrespect such food that was set on the table because of his disrespect in his life. That is why those people told him that, “Do not disdain what has been placed on the table, you do not know what the cooks have worked hard for.”

This proverb is matched to a proud person who disrespects works which his colleagues do in his life. Such person disrespects the works that his colleagues do by criticizing them carelessly, because of his pride, in his life. He discourages his family members from working hard because he so disdains the works which they do in his family.

This person is like the stranger who disdained the food that was placed on the table for him to eat, because he also disdains the works which are done by his family members. That is why those people tell him that, “Do not disdain what has been placed on the table, you do not know what the cooks have worked hard for.”

This proverb teaches people to do away with pride of disdainful work of their colleagues, so that they can be grateful enough to encourage their people to carry on working hard for bringing them much success in their families.

Galatians 5:16-26.

Proverbs 13:1.

Proverbs 29:8.

Genesis 21:5.

1323. HUJU YA B’UKI.

Ihuju ya b’uki jili nzuki ijo jili na b’uki wingi gete. Abhanhu bhagawapaga ub’uki bhunubho bhuli makanza bho nduhu ugubhumala kunguno ya wingi bhobho bhunubho. Hunagwene abhabhu bhenabho bhagawikolanijaga na huju ilo lililitabha lya minzi mingi bho guwitana giki, “huju ya b’uki.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa kuli munhu uyo alinsabhi o majikolo mingi aha kaya yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na sabho ningi noyi ijo agatumamilaga bho gubhagunana abhiye abho bhali na makoye kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi noyi aha kaya yakwe abho agabhambilija kunguno ya wizang’oholo ubho ugubhutumamila chiza ubhusabhi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki iyo yali na b’uki wingi noyi, kunguno nuweyi alinsabhi o masabho mingi ayo agagatumamilaga bho gubhagunana abhiye abhali na makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “huju ya b’uki.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhagunana abhichabho abho bhali na makoye, kugiki bhadule kupandika mbango ya gwikala bho bhuyegi umukaya jabho.

Mathayo 7:7-8.

Mathayo 8:21-30.

Mwanzo 13:2.

Yakobo 2:5.

KISWAHILI: BWAWA LA ASALI.

Bwawa la asali ni nyuki wenye asali nyingi sana. Watu huilina asali hiyo kila wakati bila ya kuimaliza kwa sababu ya wingi wake huo. Ndiyo maana wao huufananisha na bwawa la hilo ambalo ni dimbwi lenye kina kirefu cha maji kwa kuiita, “bwawa la asali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri wa mali nyingi kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, ana utajiri wa mali nyingi sana ambazo huzitumia kwa kuwasaidia watu wenye matatizo mbalimbali, kwa sababu ya ukarimu wake huo, maishani mwake. Yeye huishi na watu wengi kwenye familia yake anaowasaidia kwa sababu ya ukarimu wake huo wa kuutumia utajiri wake kwa kuwasaidia watu wenye matatizo maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na wale nzuki waliokuwa na asali nyingi, kwa sababu naye na utajiri wa mali nyingi ambazo huzitumia kwa kuwasaidia watu wenye matatizo mbalimbali, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “bwana la asali.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa ukarimu uwawezeshao kuwasaidia wenzao wanaokumbwa na matatizo mbalimbali, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha, katika familia zao.

Mathayo 7:7-8.

Mathayo 8:21-30.

Mwanzo 13:2.

Yakobo 2:5.

 

ENGLISH: HONEY POND.

A honey pond is a bee with a lot of honey. People eat the honey all the time without finishing it because of its abundance. That is why they compare it to a pond, which is a deep pool of water by calling it, “honey pond.”

This saying is paralleled to a person who is rich in countless belongings in his family. This person, has a lot of wealth which he uses for assisting people who face various glitches, because of his generosity in life. He lives with numerous people in his family whom he helps because of his generosity in using his wealth to help people who face problems in their lives.

This person is similar to the bees which had a lot of honey, because he also has a lot of wealth that he uses for helping people who face various problems in life. That is why people call him “honey pond.”

This saying teaches people about having a generous heart that enables them to help their people who are experiencing various problems, so that they can receive God blessings of living happily in their families.

Matthew 7:7-8.

 

honey-4770245_1280

honey-1958464_1280

honey-1970626_1280

1322. MUMO UGAGUZUHILA UDIKOMILE GULIMILA LUGEMBE.

Aho kale olihoyi munhu uyo olina nguzu nyingi uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo agaja gujulima ngunda gokwe bho gutumila lugembe kunguno ya gwisanya nguzu jakwe jinijo. Uweyi agaduma ugulima kunguno ya gutumila lugembe ulo ludadulile ugugulima ungunda gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “mumo ugaguzuhila udikomile gulimila lugembe.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajaga kujutumama nimo na jitumamamilo ijo jidajilanijije nu nimo uyo aligagutumama, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo aliyo oduma uguimala chiza kunguno ya guhadikija gutumamila jitumamilo ijo jidadulile ugugutumama unimo gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agakoiyagwa ni koye lya gugaiwa ijiwa aha kaya yakwe bhuli ng’waka kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gutumamila jitumamilo ijo jidulile ugugumala chiza unimo gokwe gunuyo, umubhutumami bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agahadika gulimila ngunda lugembe uduma, kunguno nuweyi agajaga gujutumama nimo na jitumamilo ijo jidadulile ugugutumama unimo gokwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mumo ugaguzuhila udikomile gulimila lugembe.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gutumama milimo na jitumamilo ijo jidulile uguimala chiza imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umubhutumami bhobho bhunubho.

Mithali 26:13-15.

2 Wathesalonike 3:6-15.

KISWAHILI: HATA UWE NA NGUVU KIASI GANI HUWEZI KULIMIA WEMBE.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyekuwa na nguvu nyingi ambaye aliishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo alienda kulima shamba lake kwa kutumia wembe kwa sababu ya kutegemea nguvu zake hizo. Yeye alishindwa kulima kwa sababu ya kutumia wembe ambao hauwezi kulima shamba lake hilo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “hata uwe na nguvu kiasi gani huwezi kulimia wembe.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huenda kufanya kazi na kitendea kazi kisichoendana na kazi anayoenda kuifanya, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi lakini bila kupata mafanikio ya kuimaliza vizuri kazi yake hiyo, kwa sababu ya kulazimisha kutumia kitendea kazi ambacho hakiwezi kuimaliza vizuri kazi yake hiyo, maishani mwake. Yeye hukumbwa na tatizo la kukosa chakula kila mwaka kwenye familia yake kwa sababu ya kukosa umakini wa kutumia kitendea kazi kinachoweza kuzimaliza vizuri kazi zake hizo, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejaribu kulimia wembe shamba lake akashindwa, kwa sababu naye huenda kufanya kazi na kitendea kazi kisichoweza kuzitekeleza kazi zake hizo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hata uwe na nguvu kiasi gani huwezi kulimia wembe.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kutumia vitendea kazi vinavyoweza kuzimaliza vizuri kazi zao hizo, ili waweze kupata mafaniko mengi, maishani mwao.

Mithali 26:13-15.

2 Wathesalonike 3:6-15.

ENGLISH: NO MATTER HOW STRONG YOU ARE, YOU CANNOT PLOW BY USING A RAZOR.

Once upon a time, there was a very strong man who lived in a certain village. This man went to plow his field by using a razor because he relied on his strength. He failed to plow because he used a blade that could not plow his field. That is why people told him that, “No matter how strong you are, you cannot plow by using a razor.”

This proverb is compared to a person who goes to work with a tool that is not suitable for the work which he is going to do, in his life. Such person, exerts himself to work but without achieving success in completing his work well, because of forcing him to use a tool that cannot complete his work well, in his life. He suffers from problems of not having enough food every year in his family because of not being attentive enough to use a tool that can complete his tasks well, in carrying out his duties.

This person is like the one who tried to plow his field by using a razor and failed, because he also goes to work with a tool that cannot carry out his tasks, in his life. That is why people say to him that, “No matter how strong you are, you cannot plow by using a razor.”

This saying imparts in people a clue of being careful enough to use tools that can complete their tasks well, so that they can achieve several successes, in their lives.

Proverbs 26:13-15.

2 Thessalonians 3:6-15.

razor-blade-2132096_1280

1321. JAHALUGALA.

Ijahalugala jili jiliwa ijo jigaliyagwa ahi kanza lya limi. Bhalihoyi bhanhu bha kaya yimo abho bhalyaga kihamo ijiliwa jabho kunguno ya witogwi bhobho. Abhanhu bhenabho bhalitumilaga ilikanza linilo ilyagulya bho guihoyela mihayo ya gwitongela chiza aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene ilu lyashiga ili kanza lya gulya ijiliwa jabho jinijo bhikaribhushaga bho bhiwilaga giki, “jahalugala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku kaya ya bhanhu abho bhali na bhizanholo umukikalile kabho. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagabhakaribhushaga abhichabho bhalya ijiliwa jabho ulu lyashiga ilikanza lya gujilya ijiliwa jabho jinijo, kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga mbango ja gwikala bho bhuyegi bhutale aha kaya yabho, kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhali na witogwi bho gulya kihamo ijiliwa jabho ija limi jinijo, kunguno nabhoyi bhali na wizanholo bho gubhakaribhusha abhichabho bhalya kihamo nabho ijiliwa ja ha kaya yabho jinijo, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhakaribhushaga abhichabho bhenabho bho guyomba giki, “jahalugala.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhagunana abhichabho abho bhali na makoye, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho jinijo.

Luka 19:1-5.

Mathayo 26:17-19.

KISWAHILI: CHA MCHANA.

Cha mchana ni chakula ambacho huliwa kwenye muda wa mchana. Walikuwepo watu wa familia moja waliokuwa wakila chakula chao pamoja kwa sababu ya upendo wao. Watu hao waliutumia muda huo wa kula chakula kwa kuongelea mipango ya kuongozana vizuri kwenye familia yao. Ndiyo maana ulipofika wakati huo kwa kula chakula cha mchana walikaribishana kwa kusema, “cha mchana.”

Msemo huo hulinganishwa na familia ya watu wale ambao wana ukarimu, katika maisha yao. Watu wa kwenye familia hiyo, huwakaribisha wenzao kula chakula chao unapofika wakati wa kula chakula hicho, kwa sababu ya ukarimu wao huo, maishani mwao. Wao hupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa katika familia yao kwa sababu ya ukarimu wao huo, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwa na upendo wa kula kwa pamoja chakula chao cha mchana, kwa sababu nao wana ukaribu wa kuwakaribisha wenzao kula pamoja nao chakula chao, maishani mwao. Ndiyo maana huwakaribisha wenzao hao kwa kusema, “cha mchana.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwasaidia wenzao ambao wana matatizo, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa kwenye familia zao hizo.

Luka 19:1-5.

Mathayo 26:17-19.

ENGLISH: LUNCH.

Lunch is a meal that is eaten during the day around noon time. There were members of the same family who were eating their meals together because of their love to one another. They used such time of eating for talking about plans of getting along well with their people. That is why when such time of eating reached they welcomed each other by saying, “lunch.”

This saying is related to a family of hospitable people in their lives. These people invite their friends to eat their meals when it is time to eat that meal, because of their hospitality in their lives. They receive blessings of living happily in their families because of their hospitality in their lives.

Those people, resemble those who lived to eat their meals together, because they also have such closeness of inviting their friends to eat their meals with them, in their lives. That is why they welcome their friends by saying, “lunch.”

This saying teaches people about being generous enough to help others who are in trouble, so that they can receive from God blessings of living happily in their families.

Luke 19:1-5.

Matthew 26:17-19.

IMG_20200722_145409_8