Sukuma

1366. NZUGI HAJIKOME NANZULE.

Olihoyi namhala uyo olina kaya nhale iyo yali na bhana bhingi. Unamhala ng’wunuyo oliatogilwe gubhakuminga abhana bhakwe hajikome bhiza bhota moto ukunu alibhalomela kajile ka hakaya yakwe. Uweyi witaga chene bhuli lushigu, kunguno ya gubhalanga gwikala na bhanhu chiza abhana bhakwe bhenabho. Hunagwene obhitanaga bho guyomba giki, “nzugi hajikome nanzule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhabyaji abho bhagafunyaga lilange lya wiza ukubhana bhabho, umuwikaji bhobho. Abhabyaji bhenabho, bhagacholaga likanza lya wiza ilo bhagalitumilaga bho gubhalanga abhana bhabho nhungwa ja gwikala bho witogwa na bhanhu, kunguno ya bhutungilija bhobho bhunubho umukikalile kabho. Abhoyi bhagikalaga na bhuyegi aha kaya yabho kunguno ya gubhinha lilange lya wiza abhana bhabho, umuwikaji bhobho.

Abhabyaji bhenabho bhagikolaga nu namhala uyo obhakumingaga abhana bhakwe hajikome obhalanga gwikala chiza na bhanhu, kunguno na bhoyi bhagabhalangaga abhana bhabho nhungwa ja gwitogwa na bhanhu, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhitanaga bho guyomba giki, “nzugi hajikome nanzule.”

Akahayile kenako kalanga bhabyaji higulya ya guchola likanza lya gubhalanga abhana bhabho lilange lya gwikala chiza na bhanhu, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yoshua Bin Sira 30:1-3.

Mambo ya nyakati 13:1-2.

Ayubu 31:18.

Warumi 2:19.

Wagalatia 3:24.

KISWAHILI: NJONI KWENYE KIKAO NIWAUSIE.

Alikuwepo mzee aliyekuwa na familia yenye watoto wengi. Mzee huyo, alipenda kuwakusanya watoto wake hao kwenye kikao alichokitumia kuwafundisha mwenendo wa kuishi vizuri kwenye familia yake hiyo. Yeye alifanya hivyo kila siku kwa sababu alitaka kuwafundisha watoto wake hao namna ya kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana aliwaita kwa kusema kwamba, “njoni kwenye kikao niwausie.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wazazi wale ambao huwapatia malezi mema watoto wao maishani mwao. Wazazi hao, hutafuta muda mwafaka ambao huutumia katika kuwafundisha watoto wao hao tabia njema za kuishi na watu kwa upendo, kwa sababu ya uaminifu wao huo, katika maisha yao. Wao huishi kwa furaha katika familia yao kwa sababu ya kuwapatia malezi mema watoto hao, maishani mwao.

Wazazi hao hufanana na yule mzee aliyewakusanya watoto wake kwenye kikao, akawafundisha mwenendo wa kuishi vizuri katika familia yake, kwa sababu nao huwafundisha watoto wao malezi ya kuishi kwa upendo na watu, maishani mwao. Ndiyo maana huwaita kwa kusema kwamba, “njoni kwenye kikao niwausie.”

Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kutafuta muda wa kufaa katika kuwafundisha watoto wao malezi ya kuishi vizuri na watu, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 30:1-3.

Mambo ya nyakati 13:1-2.

Ayubu 31:18.

Warumi 2:19.

Wagalatia 3:24.

ENGLISH: COME TO THE MEETING AND I WILL ADVISE YOU.

There was an old man who had a family which had a good number of children. Such old man liked to gather his children in a meeting that he used for nurturing them good conduct of living well with people. He did that every day because he wanted to nurture his children on how to live well with people. That is why he called them by saying, “come to the meeting and I will advise you.”

This saying is compared to parents who provide good upbringing to their children in their lives. These parents look for the right time that they use for nurturing their children on good habits of living well with people, because of their loyalty, in their lives. They live happily in their families because of providing their children with good upbringing in their lives.

These parents are like the old man who taught his children good conduct of living well in his family, because they also teach their children about upbringing of living in true love with people, in their lives. That is why he calls them by saying, “Come to the meeting and I will advise you.”

This saying imparts in parents an idea of nurturing their children on how to live well with people, so that they can raise well their families, in their lives.

Joshua Ben Sira 30:1-3.

Chronicles 13:1-2.

Job 31:18.

Romans 2:19.

Galatians 3:24.

1365. B’UKAGI WANGU MUGULIWA MASUMULE.

Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhatumama nimo umuchalo ja bhusiya. Abhanhu bhenabho bhali bhalemejiwe ugwigasha ulubhaligutumama unimo guniyo kunguno bhalibhadakililwe gugumala wangu unimo gunuyo. Ulu munhu ubhonwa na bhatale bha nimo gunuyo wigashaga ahikanza lyagugutumama unimo gunuyo oliyagwa masumule. Hunagwene abhatumami bhenabho bhikomelejaga gutumama nimo bho guyomba giki, “b’ukagi wangu muguliwa masumule.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo aganyenyekaga ugutumama imilimo ya ng’wigunguli lyakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga unyenyeka ugujiika abhanhu bha ng’wigunguli lyakwe, nulu ugubhambilija abhiye abho bhapandikaga makoye, kunguno ya bhujidadilila bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga makoye gagutulijiwa bhuli makanza aha kaya yakwe kunguno ya bhunyenyeku bhokwe bhunubho ubhoguleka gujutumama milimo ya ng’wigunguli lyakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhigashaga ahikanza lya gutumama milimo yabho, kunguno nuweyi aganyenyekaga ugutumama imilimo iyang’wigunguli lyakwe mpaga otulijiwa ni ligunguli lyakwe linilo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “b’ukagi wangu muguliwa masumule.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka bhunyenyeku bho gutumama milimo ya ng’wigunguli lyabho, kugiki bhadule gwiyambilija gutumama milimo ya gubhenhela matwajo gagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1 Wakorintho 16:16.

Wakolosai 1:10.

KISWAHILI: AMUKENI HARAKA MTATOZWA FAINI.

Hapo zamani walikuwepo watu waliokuwa wakifanya kazi kwenye kijiji cha Busiya. Watu hao walikuwa wamekatazwa kukaa wakati wa kufanya kazi hiyo, kwa sababu walitakiwa kuimaliza mapema kazi hiyo. Mtu aliyeonekana amekaa kabla ya kuimaliza kazi hiyo, alitozwa faini. Ndiyo maana wafanyakazi hao walikuwa wakihimizana kuendelea kuitekeleza kazi hiyo kwa kusema kwamba, “amukeni haraka mtatozwa faini.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukwepa kufanya kazi kwenye kijiji chake katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anakwepa kwenda kwenye matukio mbalimbali yakiwemo yale ya kuzika wafu au kuwasaidia watu waliokumbwa na matatizo kwenye kijiji chake, kwa sababu ya kutokujali kwake, maishani mwake. Yeye hukumbwa na matatizo ya kutengwa na wanakijiji hao mara kwa mara kwenye familia yake, kwa sababu ya utoro wake huo wa kuacha kujiunga na wenzake katika kutatua matatizo ya kijijini mwake wakiwa pamoja na wanzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliokuwa wakitegea kufanya kazi kwa kukaa kabla ya kumaliza kazi yao, kwa sababu naye hukwepa kuhudhulia matukio ya wanakijiji wenzake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amukeni haraka mtatozwa faini.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha ukwepaji wa kwenda kufanya kazi za vijijini mwao, ili waweze kushirikiana vizuri katika kufanya kazi za kuwapatia mafanikio mengi, maishani mwao.

1 Wakorintho 16:16.

Wakolosai 1:10.

ENGLISH: WAKE UP QUICKLY OR YOU WILL BE FINED.

In the past, there were people working in the village of Busiya. These people were forbidden to sit while doing the work, because they were required to finish the work early. Anyone who was seen sitting before finishing the work was fined. That is why the workers used to encourage each other to continue doing the work by saying, “Wake up quickly or you will be fined.”

This proverb is compared to a person who avoids working in his village in his life. That person avoids going to various events including those to bury the dead or help people who have problems in his village, because of his carelessness, in his life. He suffers from the problems of being separated from the villagers from time to time in his family, because of his absence of joining his colleagues in solving the problems of his village while being with his colleagues, in his life.

This person is like those who used to stay up late to work because they avoid attending to the events of their fellow villagers in their lives. That is why people tell them, “wake up quickly, you will be fined.”

This proverb teaches people to stop avoiding going to work in their villages, so that they can cooperate well in doing the work that will bring them much success in their lives.

1Corinthians 16:16.

Colosians 1:10.

1363. WISOLELELWA KULE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile wisolelwa bho ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo, ocholagwa na ng’wiye uyo ojaga agumugilijaga kubhanhu bha mumachalo mingi mpaka nose ugampandikila muchalo ja kule. Hunagwene abhanhu abha ha kaya ya ng’wa munhu uyo oncholaga ng’wiye bhagayomba giki ukulincholwa ng’wunuyo, “wisolelelwa kule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ngosha uyo ocholaga nkima ogutola mpaga umpandika, umukikalile kakwe. Ungosha ng’winuyo, agiyangula kunchola unkima uyo antogilwe mpaga umpandika bho nduhu ugugwa nholo kunguno ya witegeleja bhokwe bhonubho umubhutoji bhokwe. Uweyi agikala chiza noyi nu nkima okwe aha kaya yabho kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gunchola mpaga umpandika unkima uokajile kawiza, umuwitoji bhobho.

Ungosha ung’wunuyo agikolaga nu munhu uyo aganchola ng’wiye uyo oliantogilwe mpaga ugampandikila kule, kunguno nuweyi aganchola unkima uyo antogilwe mpaga umpandika umuwikaji bhokwe bhonubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga unke okwe ng’wunuyo giki, “wisolelelwa kule.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gunchola ng’witoji uyo alina nhungwa jawiza mpaga bhampandike, kugiki bhadule gwikala chiza umuwitoji bhobho bhunubho.

Waefeso 5:21-27.

KISWAHILI: AMEOKOTEWA MBALI.

 Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya upatikanaji wa mtu fulani aliyekuwa akitafutwa na mwenzake. Mtu huyo, alikuwa akitafutwa na mwenzake ambaye alienda akiwauliza watu wa vijiji mbalimbali mpaka mwishowe akamumpatia kwenye kijiji cha mbali sana na kumchukuwa hadi kwake. Ndiyo maana watu wa kwenye familia ya mtu aliyekuwa akimtafuta mwenzake walimwambia yule aliyeletwa kwao kwamba, “ameokotewa mbali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mwanamume yule aliyetafuta mke wa kuoa mpaka akampata, katika maisha yake. Mwanamume huyo aliamua kumtafuta mke mwenye tabia njema aliyempenda mpaka akampata bila ya kukata tamaa kwa sababu ya umakini wake huo katika kuishi maisha ya ndoa. Yeye aliishi vizuri sana na mke wake huo kwenye familia yao kwa sababu ya umakini wake huo wa kumtafuta mpaka akampata mke mwenye tabia njema aliyempenda, maishani mwake.

Mwanamume huyo, hufanana na yule mtu aliyemtafuta mwenzake aliyempenda mpaka akampata, kwa sababu naye alimtafuta mke aliye mpenda mpaka akampata, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia huyo mke wake kwamba, “ameokotewa mbali.”

Msemo huo, hufundisha wana ndoa watarajiwa juu ya kuwa na umakini wa kumtafuta mwana ndoa mwenzao mtarajiwa mwenye tabia njema mpaka wampate ili waweze kuishi vizuri katika maisha yao hayo ya ndoa.

Waefeso 5:21-27.

 

ENGLISH: SHE HAS BEEN PICKED UP FROM A DISTANCE.

The starting point of this saying speaks about finding of someone who was being sought by his companion. There was a man who sought his companion. He went on asking people in various villages until he finally found her in a so distant village. He took her to his place. That is why family members of such person who brought home his companion spoke about her that, “She has been picked up from a distance.”

This saying is related to a man who searched for a wife to marry until he found her in his life. This man decided to look for a decent-nurtured wife whom he loved until he found her without giving up because of his attention in living a married life. He nicely lived with his wife in their family because of his responsiveness of looking for her until he found a decent-nurtured wife whom he loved in his life.

This man is similar to the one who sought for his companion whom he loved until he found her, because he also sought for a wife whom he loved until he found her in his life. That is why people speak about his wife that, “she has been picked up from a distance.”

This saying instills in forthcoming spouses an idea of being diligent enough to search for a respectable-nurtured prospective spouse until they find him/her so that they can happily live in their married lives.

Ephesians 5:21-27.

 

 

1362. MANG’WENG’ULA MHULI.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile kikalile ka mhuli. Imhuli yiniyo ili ndimu nhale iyo ili na makanji kunguno ya bhukali bhoyo. Iyoyi igikalaga ing’wenije duhu na amino gayo gali hanze guti giki ili na mholo ya wiza aliyo igasayaga noyi umukikalile kayo. Hunagwene abhanhu bhagihayaga giki, “mang’weng’ula mhuli.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ang’wenije mino hanze giti munhu mfula alisegasega aliyo ali ndaki noyi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga wisegeleja bho golecha mino gakwe guti ntengeke noyi aliyo umunholo yakwe alinchilu noyi kunguno ya nhungwa jakwe ija gwita mihayo ya bhubhi yinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga widuma na bhanhu bha muchalo jakwe kunguno ya bhudaki bhokwe bhunubho ubho agabhubhisaga bho golecha mino hanze, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni mhuli iyo igikalaga ing’wenije mino hanze aliyo igasayaga noyi, kunguno nuweyi agikalaga ang’wenije mino hanze guti munhu mfula agusegaga aliyo ali ndaki noyi umunholo yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “mang’weng’ula mhuli.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guleka gwiyolecha guti bhatengeke aliyo bhali bhadaki umunholo jabho, kugiki bhadule gwikala chiza umukaya jabho.

2 Timotheo 3:3.

Mathayo 7:15.

KISWAHILI: TABASAMU LA TEMBO.

Chanzo cha msemo huo huangalia maisha ya tembo. Tembo huyo ni myama poli ambaye ni mkubwa na mweye hali ya kutisha kwa sababu ya ukali wake. Yeye huonesha meno yake nje kama anatabasamu la moyo mweupe wa furaha wakati ana hasira kali sana. Ndiyo maana watu huongea juu yake kwa kusema, “tabasabu la tembo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huonesha meno yake kwa nje kama kwamba ni mtu mwema kwa kucheka wakati ni mwenye hasira kali, katika maisha yake. Mtu huyo, hujichekelesha kwa kuonesha meno yake nje ili kujionesha kama ni mwema wakati ana hasira kali ndani yake kwa sababu ya matendo yake kuwa maovu, maishani mwake. Yeye hugombana mara kwa mara na watu wa kwenye kijiji chake kwa sababu ya hasira yake hiyo anayoificha kwa kuonesha meno nje kama mtu mwema, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule tembo aishiye kwa kuonesha meno yake nje wakati ana hasira kali sana maishani mwake, kwa sababu naye huonesha meno nje kama ni mwema wakati ni mwenye hasira kali, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “tabasamu la tembo.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuacha tabia ya kujifanya kuwa wema wakati ni wakatili mioyoni mwao, ili waweze kuishi vizuri kwenye familia zao.

2 Timotheo 3:3.

Mathayo 7:15.

ENGLISH: THE ELEPHANT’S SMILE.

The basis of this saying looks at a life of an elephant. The elephant is a large and fearsome creature because of its fierceness. It shows its teeth as if it is smiling with a happy heart while it is a so angry animal. That is why people talk about it by considering it as, “the elephant’s smile.”

This saying is paralleled to a man who shows his teeth as if he is a blameless one by laughing while he is a so angry one in his life. This person laughs by showing his teeth as if he a kind one while he has an angry heart inside because of his wicked actions in his life. He often quarrels with people who stay in his village because of his anger which he hides by showing his teeth as a respectable person in his life.

This person is like an elephant that showed teeth while it is a so angry animal in life because he also shows his teeth as if he is a kind one while he is a so heated one in his life. That is why people call him “the elephant’s smile.”

This saying teaches people about being so cautious enough to stop pretending to be kind while they are cruel in their hearts, so that they can live well in their families.

2 Timothy 3:3.

Matthew 7:15.

elephant-381985_1280

1361. NG’WENE ALINA LUZUMBA.

Imbuki ya kahayile kenako yihoyelile bhuzengi bho luzumba bho ng’wa munhu nhebhe. Uluzumba ili numba ya ngoko iyo ili ndololo noyi. Umunhu ng’wunuyo agazenga akaluzumba kenako mpaka ukamala chiza. Aliyo lulu uweyi agayingila moyi bho gukoyakoya noyi kunguno ya bhudololo bho kaluzumba kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ng’wene alina luzumba.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe nyanigini, aliyo alintale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ukumilimo yakwe ugatumama hadoo duhu wandya guyigusha kunguno ya gwiganika nyanigini gokwe chiniko, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa ijiliwa aha kaya yakwe bhuli ng’waka kunguno ya gutumama hadoo imilimo yakwe wandya gwigusha, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agazenga kaluzumba kadololo ka ngoko, kunguno nuweyi agatumamaga hadoo duhu imilimo yakwe wandya gwigusha umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wene alina luzumba.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka gutumama nyanigini imilimo yabho bho gwigumbija guitumama imilimo yiniyo nyatale, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

1 Wakorintho 3:9-12.

KISWAHILI: HUYU ANA KAJUMBA.

Chanzo cha msemo huo huongelea ujengaji wa kajumba wa mtu fulani. Kajumba hako ni nyumba ya kuku iliyo ndogo sana. Mtu huyo alijenga kajumba hako mpaka akamaliza vizuri. Lakini basi aliingia mule kwa shida sana kwa sababu ya udogo wa kajumba hako. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “huyu ana kajumba.”

 Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kitoto, wakati yeye ni mtu mzima, katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kufanya kazi zake kidogo tu na kuanza kucheza kama mtoto mdogo kwa sababu ya kufikiri kitoto kwake huko, maishani mwake. Yeye hukosa chakula kwenye familia yake hiyo kwa sababu hiyo ya kufanya kazi zake kwa muda mfupi tu na kuanza kucheza, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyejenga kajumba kadogo ka kuku, badala kujenda nyumba ya kumtosha kuishi yeye, kwa sababu naye hufanya kazi zake kidogo tu na kuanza kucheza, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyu ana kajumba.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kufanya kazi zao kitoto kwa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao yote kikubwa, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

1 Wakorintho 3:9-12.

 

ENGLISH: THIS ONE HAS A HUT.

A starting point of this saying refers to a construction of a person’s hut. This hut was a very small chicken coop. Such person built his hut until he finished it well. But then he entered it with great difficulty because of such smallness of it. That is why people said to him that, “this one has a hut.”

This saying is matched to a person who does his childish work while he is an adult in his life. This person goes to do his work only a little and starts playing like a little child because of thinking as a child in his life. He lacks food at his family because of that doing his work only for a short time and starting to play in his life.

This person resembles the one who built a small chicken coop instead of building a house that is big enough for him to live in, because he also does his work only a little and starts to play in his life. That is why people say to him that, “this one has a hut.”

This adage imparts in people an idea of stopping doing their childish work by striving to fulfill all their responsibilities seriously, so that they can achieve great success in their lives.

1 Corinthians 3:9-12.

 

hut-277233_1280

hut-277229_1280

house-1838361_1280