Sukuma

1415. UGUPONDAGA NG’WITUMBI NUB’UTA UDINAB’O.

Aho kale olihoyi munhu uyo agaluta liwe ng’witumbi aliyo oliadina b’uta umumakono gakwe. Ilitumbi linilo lilipilinga ilo ligikalaga na shinu giti mbiti, nzoka, sub’i, na jingi ijo jigikalaga jilendile moyi.

Abhanhu bhagankumya noyi kunguno umub’upondi bhokwe bhunubho, adulile gujibhulucha ishinu jinijo ija mbika na mbika ahikanza adina b’uta nulu jilanga ja gwigunanila. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “ugupondaga ng’witumbi nub’uta udinab’o.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agandyaga gutumama milimo iyo adina nguzu ja guimalila umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agandyaga gutumama milimo mitale iyi ijikilile inguzu jakwe kunguno ya gukija gwitegeleja chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agakoyiyagwa na bhuhabhi bhuli ng’waka aha kaya yakwe kunguno ya gukija gwitegeleja chiza haho atali ugandya uguitumama imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaponda ng’witumbu bho nduhu gwikala na b’uta umumakono gakwe, kunguno nuweyi agandyaga gutumama milimo iyo adina nguzu ja guimalila, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ugupondaga ng’witumbi nub’uta udinab’o.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwandya gutumama milimo iyo bhali nguzu ja guimalila chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Hesabu 32:30.

Hesabu 32:17.

KISWAHILI: UNAPONDA KWENYE PANGO NA UPINDE HUNA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyetupa jiwe kwenye pango bila ya kuwa na upinde mikononi mwake. Pango hilo ni jiwe ambamo ndani yake huishi wanyama wakali kama vile fisi, nyoka, chui na vingine vinavyoishi humo.

Watu walimshangaa sana kwa sababu utupaji huo wa jiwe bila ya yeye kuwa na upinge au siraha unaweza kuwasababisha wanyama hao kutoka na kumjeruhi. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “unaponda kwenye pando na upinde huna.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanzisha kazi ambazo hana uwezo wa kuzimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, huanzisha kazi kubwa kushinda nguvu zake mpaka anashindwa kuzimaliza, kwa sababu ya kushindwa kufikiri vizuri maishani mwake. Yeye husumbuliwa na tatizo la umaskini kwenye familia yake kila mwaka, kwa sababu ya kuanzisha kazi bila kufikiria vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeponda kwenye pango bila ya kuwa na upinde, kwa sababu naye huanzisha kazi zinashinda uwezo wake bila kufikiria vizuri mpaka anashinda kuzimaliza, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “unaponda kwenye pango na upinde huna.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuanzisha kazi wanazoweza kuzimaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Hesabu 32:30.

Hesabu 32:17.

ENGLISH: YOU ARE THROWING A STONE IN A CAVE WHILE YOU HAVE NO BOW.

Once upon a time there was a man who threw a stone into a cave without having a bow in his hands. The cave is a hole in stone in which wild animals such as hyenas, snakes, leopards and others live.

People were very surprised at him because of throwing a stone without having any resistance or armor could cause animals to come out and injure him. That is why people told him that, “you are throwing a stone in a cave while you have no bow.”

This proverb is matched to a person who starts tasks that he does not have ability to finish, in his life. Such person starts a task that is too big for him to finish, because of his inability to think clearly in his life. He is troubled by problem of poverty in his family every year, because of starting a task without thinking clearly, in his life.

This person resembles the one who trampled in a cave without a bow, because he also starts tasks that are beyond his ability without thinking carefully until he manages to finish them, in his life. That is why people say to him that, “you are throwing a stone in a cave while you have no bow.”

This proverb teaches people about being careful enough to start tasks that they can finish, so that they can achieve great success, in their lives.

Numbers 32:30.

Numbers 32:17.

1414. UGENIHA B’UGENI UGULONJIWA NDUHU.

Akahayile kenako kahoyelile jisumva ijo jigingilaga mukaya bho nduhu ugulongiwa na bhinikili kaya yiniyo.  Ijisumva jinijo jili guti jilungu mifa, danga, nole, nulu jigona ijijigingilaga umukaya ijo jidalongiyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ugeniha b’ugeni ugulonjiwa nduhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhadililaga abhageni ulu bhizaga aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhadililaga abhageni abho bhagangenihaga bho nduhu agubhazugila ijiliwa aha kaya yakwe, kunguno ya wiminholo bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe, kunguno ya gukija ugubhalonja abhageni abho bhangenihaga, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo adajilonjaga ijisumva ijo jingilaga umukaya yakwe, kunguno nuweyi adabhalonjaga abhageni abho bhagangenihaga aha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhageni bhenabho bhagayombaga giki, “ugeniha b’ugeni ugulonjiwa nduhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhalonja abhageni abho abha bhagabhagenihaga, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:35-41.

Matendo 10:28.

Warumi 12:13.

1Thimotheo 5:10.

KISWAHILI: UMEENDA UGENINI LAKINI HAWAKUJALI.

Msemo huo huongelea viumbe wanaoingia nyumbani bila mwenye nyumba kuwajali. Viumbe hayo ni kama vile kilungu yeye, chura, mijusi, na wengine ambayo ni jamii ya hao ambao huingia kwenye nyumba ya mtu bila ya yeye kuwajali. Ndiyo maana watu husema kwamba, “umeenda ugenini lakini hawakujali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hawajali wageni wanaomtembelea kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawajali bhageni ambao humtembelea kuwaacha bila kuwapikia chakula kwenye familia yake, kwa sababu ya uchoyo wake huo maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya uchoyo wake huo wa kutowajali wageni wanaomtembelea, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule ambaye hakuwajali viumbe walioingia nyumbani kwake, kwa sababu naye hawajali wageni wanaomtembelea kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana wageni hao husema kwamba, “umeenda ugenini lakini hawakujali.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwajali wageni wanaowatembelea nyumbani mwao, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 25:35-41.

Matendo 10:28.

Warumi 12:13.

1Thimotheo 5:10.

 

ENGLISH: YOU HAVE BEEN A STRANGER BUT THEY DO NOT CARE YOU.

This saying refers to creatures which enter a house without the owner paying attention to them. These creatures are like deer, frogs, lizards, and others which are a type of those that enter a person’s house without him paying attention to them. That is why people say that, “you have been a stranger but they do not care you.”

This saying is equated to a person who does not care about guests who visit his family, in his life. Such person does not take care about visitors who visit him by leaving them without cooking food for them, because of his greed in his life. He misses blessings of living happily in his family because of his greed of not taking care about visitants who visit him in his life.

This person is like the one who did not care about the creatures that entered his house, because he also does not take care about guests who visit his family, in his life. That is why those guests say that, “you have been a stranger but they do not care you.”

This saying imparts in people an idea of being hospitable and considerate of strangers who visit their homes, so that they can experience blessings of living happily in their family lives.

Matthew 25:35-41.

Acts 10:28.

Romans 12:13.

1 Timothy 5:10.

 

 

1413. AGALYAGA JAGUKANDIWA.

Olihoyi munhu uyo olyaga jiliwa bho nduhu ugutumama imilimo. Umunhu ng’wunuyo oliadajaga gujutumama umilimo kunguno ya gwikalila ha kaya ahikanza ilya milimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “agalyaga jagukandiwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo o milimo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga wigashije ahikanza lya gutumama imilimo mpaga lyashila ilikanza linilo kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa ijiliwa aha kaya yakwe bhuli ng’waka kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho ubho gwikala wigashije ahikanza lya guitumama imilimo yiniyo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo olyaga jiliwa bho nduhu ugutumama imilimo, kunguno nuweyi agikalaga wigashije bho nduhu gutumama imilimo mpaga lyashila ilikanza lya milimo yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agalyaga jagukandiwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhakamu bha gutumama milimo yabho bho gwigulambija guitumama chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho.

Mwanzo 50:21.

Zaburi 81:16.

Mithali 11:21.

Ezekieli 34:23.

KISWAHILI: ANAKULA CHA MASIMANGO.

Alikuwepo mtu ambaye alikuwa akila chakula bila kufanya kazi. Mtu huyo, alikuwa haendi kufanya kazi kwa sababu alikuwa akikaa nyumbani wakati wa kufanya kazi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “anakula cha masimango.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kazi katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia muda wake kwa kukaa nyumbani wakati wa kufanya kazi mpaka muda huo unapita, kwa sababu ya uvivu wake huo maishani mwake.  Yeye hukosa chakula kwenye familia yake kila mwaka kwa sababu ya uvivu wake huo wa kukaa nyumbani bila kufanya kazi, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula chakula bila kufanya kazi, kwa sababu naye hushinda akiwa amekaa nyumbani bila kufanya kazi mpaka wakati huo wa kazi unapita, maishani mwake.  Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anakula cha masimango.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi, kwa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mali za kutumia katika familia zao.

Mwanzo 50:21.

Zaburi 81:16.

Mithali 11:21.

Ezekieli 34:23.

ENGLISH: HE EATS THE FOOD OF INSULTS.

There was a man who ate food without working. Such man did not go to work because he was staying at home during working hours. That is why people said to him that, “he eats the food of insults.”

This saying is equaled to a person who is lazy in his life. Such man spends his time by staying at home during working hours until that time passes, because of his laziness in his life. He lacks food for his family every year because of his laziness in staying at home without working in his life.

This man resembles the one who ate food without working, because he also wins while staying at home without working until such time of work passes, in his life. That is why people said to him that “he eats the food of insults.”

This saying imparts in people an idea being diligent in working, by working hard enough to fulfill their duties well, so that they can earn wealth for their families.

Genesis 50:21.

Psalm 81:16.

Proverbs 11:21.

Ezekiel 34:23.

1412. NG’WICHAGE UNG’WANA AGUGUB’UNA.

1412. NG’WICHAGE UNG’WANA AGUGUB’UNA.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo oliobyalwa na jika ijo jaligungule ukungongo gokwe kunguno ya gubhumbwa chene. Uweyi obhizaga guti giki abhuchije ng’wana ukungongo gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu bhamelaga bho gung’wilaga giki, “ng’wichage ung’wana agugub’una.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhudoshi bho gubhaseka abhanhu abho bhalina jika, umukikalile kakwe. Munhu ng’wunuyo, agabhaluhyaga abhanhu abho bhalina jika jilebhe bho gubhaseka kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe, kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho ubho gubhaseka abhanhu abho bhalina jika, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga nabho bhansegaka uyo oliobyalwa na jika ukungongo, kunguno nuweyi agabhasekaga abhanhu abho bhali na jika, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “ng’wichage ung’wana agugub’una.”

Akahayile kenako kalanga bhahu higulya ya gubhiza na bhutengeke bho gwikala chiza na bhanhu abho bhalina jika, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 9:27-30.

Luka 14:13-14.

2 Samweli 4:4.

KISWAHILI: MSHUSHE MTOTO ATAKUCHOSHA.

Alikuwepo mtu aliyeishi katika kijiji fulani. Mtu huyo, alizaliwa akiwa na kilema kilichoinuka mgongoni mwake kwa sababu ya kuumbwa hivyo. Yeye alionekana kama amebeba mtoto mgongoni mwake. Ndiyo maana watu walimtania kwa kumwambia kwamba, “mshushe mtoto atakuchosha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu aliye na majivuno ya kuwacheka watu wenye vilema, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatesa vilema kwa kuwacheka kwa sababu ya majivuno yakwe hayo, maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo, kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwacheka vilema, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na wale waliomcheka yule aliyekuwa na kilema mgongoni mwake, kwa sababu naye huwacheka watu wenye vilema, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “mshushe mtoto atakuchosha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuishi vizuri na watu walio na vilema, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha, katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 9:27-30.

Luka 14:13-14.

2 Samweli 4:4.

ENGLISH: PUT THE CHILD DOWN, YOU WILL BE BORED.

There was a man who lived in a certain village. Such man was born with a crippled back because of his birthmark. He looked like he was carrying a child on his back. That is why people joked about him by saying that, “Put the child down, you will be bored.”

This saying is compared to a person who is proud enough to laugh at people who have disabilities in his life. Such man tortures disabled ones by laughing at them because of his pride in his life. He misses blessings of living happily in his family because of his pride of laughing at the disabled ones in his life.

This man is like those who laughed at the man who had a crippled back because he also laughs at the disabled people in his life. That is why he says that, “Put the child down, you will be bored.”

This saying imparts in people an idea of having decent habits of nicely living with people who have disabilities, so that they can receive blessings of living happily, in their family lives.

Matthew 9:27-30.

Luke 14:13-14.

2 Samuel 4:4.

1411. KALAGU – KIZE. OSIMINZA NOYI ALIYO ADULAB’ULAGA

Ikalagu yiniyo ihoyelile bhuhumi bho mongo. Umongo gunuyo gugahumaga bho guja bhutongi duhu kunguno gugafumilaga ku nima gujile kuntelemko. Ugoyi gudashokaga inuma kunguno aminzi gago gagahumaga bho gwika hasilili idi bho gulinha higulya. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “osiminza noyi aliyo adulab’ulaga – Mongo.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagadimilaga chiza amalagilo ga bhatale bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agagikalanaga amalagilo genayo bho gubhalanga abhanhu bhakwe gwikala chiza na bhichabho, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho gugikalana chiza amalagilo ga bhatale bhakwe bhenabho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga numongo uyo gugajaga bhutongi bho nduhu ugushoka inuma, kunguno nuweyi agagikalanaga chiza amalagilo ga bhatale bhakwe umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “osiminza noyi aliyo adulab’ulaga – Mongo.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhutungilija bho gugadimila chiza amalagilo ga ng’wa Umulungu, kugiki bhadule kupandika mpango ya gwikala na bhuyegi bho gubhashisha Ng’wigulu, umuwikaji bhobho bhunubho.

Nehemia 9:13-14.

Mithali 13:13.

Mhubiri 8:5.

Yohana 14:15.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

AMETEMBEA MNO LAKINI HAANGALII NYUMA – MTO.

Kitendawali hicho huongelea uendaji wa maji ya mto. Maji hayo ya mto huenda mbele tu kwa sababu ya kutokea mlimani kuelekea mtelemkoni. Yenyewe huwa hayarudi nyuma kwa sababu yanatokea mlimani kushuka chiza, siyo kupanda juu. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “ametembea mno lakini haangalii nyuma – mto.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaiishi vizuri maagizo ya wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyaishi maagizo hayo ya wakubwa wake kwa kuwafundisha watu wake namna ya kuishi vizuri na wenzao, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye huishi kwa furaha kubwa katika familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuyaishi vizuri maagizo hayo ya wakubwa wake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yale maji yaendayo mbele bila kurudi nyuma, kwa sababu naye huyaishi vizuri maagizo ya wakubwa wake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ametembea mno lakini haangalii nyuma – mto.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuyaishi vizuri maagizo ya Mungu, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha ya kuwafikisha Mbinguni.

Nehemia 9:13-14.

Mithali 13:13.

Mhubiri 8:5.

Yohana 14:15.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

HE HAS WALKED A LOT BUT HE DOESN’T LOOK BACK – A RIVER.

This riddle talks about a movement of river water. This river water only moves forward because it comes from the mountain towards the slope. It itself never goes back because it comes from the mountain going down, not upwards. That is why people say that, “he has walked a lot but he does not look back – a river.”

This riddle is compared to a person who lives by observing instructions of his superiors in his life. This person puts into practices instructions of his superiors by teaching his people how to live well with their family members, because of his loyalty in life. He lives with great happiness in his family because of his loyalty to nicely living within the instructions of elders in his life.

This person is like that river water which moves forward without going back, because he also lives well the instructions of his directors in his life. That is why people say to him that, “He has walked far but he does not look back – a river.”

This riddle teaches people about being faithful enough to nicely live according to God’s commandments, so that they can receive blessings of living happily to the point of entering Heaven.

Nehemiah 9:13-14.

Proverbs 13:13.

Ecclesiastes 8:5.

John 14:15.