Shinyanga

1420. LYUB’A LYANG’OLOTA.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo olina mito mab’i gagwiyoja na bhiye kunguno ya nhungwa jakwe ijabhub’i jinijo. Uweyi agapandika jilipilo ng’wa welelo, Ng’wa mudimi kunguno ya gwita mito mab’i genayo umuwikaji bhokwe. Hungwene abhanhu bhayomba giki, “lyub’a lyang’olota.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adadililaga amalagilo ga ng’wa Mulungu bho gwita mito masoga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agagabhinzaga amalagilo ga ng’wa Mulungu bho gubhikolosha abhiye kunguno ya nhinda jakwe ijagulema kudilila gwita mito masoga umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu bha aha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijabhub’i jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo witaga mito mab’i mpaga upandika jilipilo kuli Mudimi, kunguno nuweyi agabhikoloshoga abhiye mpaga oduma ugwikala chiza na bhanhu bha ha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “Lyub’a lyang’olota.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Mulungu kugiki bhadule kupandika mbango ja gujilela chiza ikaya jabho mpaga bhashige ng’wigulu.

Kutoka 20:1-12.

KISWAHILI: MUNGU KAMUNYOSHEA KIDOLE.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo alikuwa na matendo maovu ya kuzozana na wenzake kwa sababu ya tabia yake mbaya. Yeye alipata adhabu kutoka kwa Mungu. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “Mungu kamunyoshea kidole.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hajali maagizo ya Mungu kwa kutenda matendo mema katika maisha yake. Mtu huyo, huyavunja maagizo ya Mungu kwa kuwachokoza wenzake kwa sababu ya kiburi chake cha kukataa kutenda mema, maishani mwake. Yeye hushindwa kuishi vizuri na watu wa kwenye familia yake kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutenda maovu, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetenda maovu mpaka akaadhibiwa na Mungu, kwa sababu naye huwachokoza wenzake mpaka anashindwa kuishi vizuri na watu wa kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “Mungu kamunyoshea kidole.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaishi maagizo ya Mungu ili waweze kupata baraka za kuzilea vyema familia zao mpaka wafike mbinguni.

Kutoka 20:1-12.

ENGLISH: GOD HAS POINTED HIS FINGER AT HIM.

Once upon a time, there was a man who lived in a certain village. Such man had evil deeds of quarreling with his companions because of his wicked behavior. He received punishment from God. That is why people said about him that, “God has pointed his finger at him.”

This saying is related to a person who does not care about God’s instructions in his life. This person breaks God’s instructions by provoking his companions because of his pride in refusing to do good deeds in his life. He fails to live well with his family members because of his behavior of doing evils in his life.

This person is like the one who did evils until he was punished by God, because he also provokes his companions until he fails to live well with his family members in his life. That is why people say about him that, “God has pointed his finger at him.”

This saying teaches people about being careful enough to live according to God’s commandments so that they can receive blessings of raising their families well until they reach heaven.

Exodus 20:1-12.

1419. ILELO IB’INZA MALUNDI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhanhu abho bhagasiminza lugendo mpaga gunoga amagulu gabho. Abhanhu bhenabho bhali nalugengo lulihu gete ulogusimzina mpaga bhunoga shiniko alugushiga ndubu kunguno ya bhulihu bho lugendo lunulo. Hunagwene bhagayiwila giki, “ilelo ib’inza malundi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazunya abho bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu ulo guja ng’wigulu, umukakile kabho. Abhazunya bhenabho bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu ulo guja ng’wigulu bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kunguno ya bhutungulija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagasiminzaga na bhuyeji umulugendo lobho lunulo kunguno ya gwikala kimoja na Yesu bho gugikalana chiza amalagilo gakwe, umukikalile kabho kenako.

Abhazunya bhenabho bhagikolaga nabho bhagasiminza lugendo lulihu bho gwiyumilija mpaka bhunoga, kunguno nabhoyi bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu lo guja ng’wigulu Kihamo na Yesu, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “ilelo ib’inza malundi.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gusiminza kimoja na Yesu bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kugiki bhadule gushiga ng’wigulu.

Yoshua 9:13.

1 Wafalme 19:7.

KISWAHILI: LEO IVUNJA MIGUU.

Chanzo cha msemo huo huongelea watu waliokuwa waliotembea safarini mpaka miguu yao ikachoka. Watu hao walikuwa na safari ya mwendo mlefu wa kutembea mpaka wakachoka hivyo bila ya kufika kwa sababu ya urefu wa safari hiyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “leo ivunja miguu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa waumini wale ambao huvumilia kutembea safari ya kwenda mbinguni, katika maisha yao. Waumini hao, huvumilia kusafiri mwendo mrefu wa kwenda mbinguni kwa kuyaishi maagizo ya Bwana, kwa sababu ya uaminifu wao huo, maishani mwao. Wao hutembea kwa furaha katika safari yao hiyo hiyo kwa sababu ya kuishi pamoja na Yesu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake, katika maisha yao.

Waumini hao hufanana na wale waliotembea safari ndefu kwa kuvumilia mpaka wakachoka, kwa sababu nao huvumilia kutembea safari ndefu ya kwenda mbinguni pamoja na Yesu, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “leo ivunja miguu.”

Msemo huo, hufundisha waumini juu ya kuwa na uvumilivu kwa kutembea pamoja na Yesu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake, ili waweze kufika mbinguni.

Yoshua 9:13.

1 Wafalme 19:7.

ENGLISH: TODAY IS BREAKING LEGS.

The origin of this saying refers to people who walked on a journey until their legs got tired. These people had a long trip to walk until they got tired without arriving. That is why they said that, “today is breaking legs.”

The saying is paralleled to believers who endure their journey to heaven, in their lives. These believers endure long trip to heaven by living the Lord’s instructions, because of their faithfulness, in their lives. They walk happily on their same journey because of living with Jesus by putting into practice his instructions, in their lives.

These believers are like those who walked a long trip by enduring until they got tired, because they also endure long trip to heaven with Jesus, in their lives. That is why they say that, “today is breaking legs.”

This saying imparts in believers an idea of being patient in walking with Jesus by living his instructions, so that they can reach heaven.

Joshua 9:13.

1 Kings 19:7.

1417. NIBHUKILE.

Aho kale olihoyi munhu uyo oli na bhatumami bhokwe. Abhatumami bhakwe bhenabho bhalibhadantokigishaga umubhutumami bhobho bhunubho kunguno bhatumamaga chayachaya. Hunagwene agayomba giki, “nibhukile.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agaitumamaga chiza imilimo yakwe bho nduhu gulagija bhangi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaka oyimala chiza bho nduhu gulagija bhanhu bhangi kunguno ya gutogwa guidilila chiza imilimo yakwe yiniyo umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na sabho ningi noyi akaya yakwe kunguno ya guidilila bho guitumama chiza imilimo yakwe yiniyo mpaga oyimala chiza umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agibhukila guitumama chiza imilimo yakwe aho bhayitumama sagala abhatumami bhakwe, kunguno nuweyi agaitumamaga mpaga oyimala chiza imilimo yakwe bho nduhu gubhalagija bhanhu bhangi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nibhukile.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guyidilila imilimo yabho bho gwigulambija guyitumama mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Ezekieli 34:10-15.

Yohana 10:11-15.

KISWAHILI: NIENDE MWENYEWE.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyekuwa na wafanyakazi wake. Wafanyakazi hao wahakumfurahisha katika utendaji wao wa kazi kwa sababu walifanya kazi hovyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “niende mwenyewe.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleza vizuri majukumu yake bila ya kuwaagiza watu wengine, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake mpaga anazimaliza vizuri bila ya kuwaachia watu wengine kwa sababu ya kuzijali vizuri kazi zake hizo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya kuzijali kazi zake hizo kwa kuzitekeleza vizuri mpaga anazimaliza, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeenda mwenyewe kuitekeleza vizuri kazi iliyofanywa hovyo na wafanyakazi wake, kwa sababu naye huzitekeleza kazi zake mpaka anazimaliza vizuri bila kuwaagiza watu wengine, maishani mwake.  Ndiyo maana yeye husema kwamba, “niende mwenyewe.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuzijali kazi zao kwa kujibidisha kuzitekeleza vizuri mpaka mwisho ili waweze kupata mali za kutumia vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Ezekieli 34:10-15.

Yohana 10:11-15.

ENGLISH: LET ME GO MYSELF.

Once upon a time there was a man who had his employees. The employees did not please him in their work performance because they did not work well. That is why he said that, “let me go myself.”

This saying is equaled to the person who performs his duties well without ordering other people, in his life. This persons struggles enough to finish his works well without leaving them to other people because of taking decent care of his work in his life. He earns a lot of wealth in his family because of taking care of his work by performing it well, in his life.

This person is similar to the one who went himself to perform the work well done by his employees, because he also performs his works until he nicely completes them without ordering other people, in his life. That is why he says that, “let me go myself.”

This adage teaches people enough to take care about their works by striving to finish them well so that they can obtain decent wealth enough to use in their family lives.

Ezekiel 34:10-15.

John 10:11-15.

1416. IGEMBE NAGEMA NG’WELELE.

Aho kale olihoyi nhimi uyo olimilaga ligembe lya makono. Unhimi ng’wunuyo olialisanije iligembe lyakwe linilo kunguno olilimilaga chiza mpaga lyang’wenhela jiliwa aha kaya yakwe. Uweyi olidimilaga china iligembe linilo guti numo agabhukikaja ng’wana ng’welele, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayomba giki, “igembe nagema ng’welele.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutungilija bho gwihanda gutumama chiza nimo uyo gugang’wenhelaga jiliwa, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agihandaga gugudumama unimo gokwe bho gubhalanga abhanhu bhakwe higulya ya gwigulambija kugugutumama chiza mpaga gobhapandikila jiliwa, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga jiliwa ja gulya chiza bhuli ng’waka aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho gwigulambija gugutumama chiza unimo gokwe gunuyo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu nhimi uyo olilimilaga chiza iligembe lyakwe mpaga lya ng’wenhela jiliwa aha kaya yakwe, kunguno nuweyi agagudimilaga chiza unimo gokwe gunuyo bho gwigulambija gugutumama chiza mpaga opandika jiliwa ja gulya chiza aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “igembe nagema ng’welele.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gwigulambija guyitumama chiza imilimo yabho iyo igabhenhelaga jiliwa, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila chiza umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mwanzo 3:19.

Mithali 24:27.

KISWAHILI: JEMBE NIMEJARIBU MTOTO MCHANGA

Hapo zamani alikuwepo mkulima aliyelimia jembe la mkono. Mkuliwa huyo alilitegemea jembe lake hilo kwa sababu ya kulilimia vizuri mpaka linamletea chakula kwenye familia yake. Yeye alilishikilia vizuri jembe hilo kama anavyobeba mtoto mchanga, maishani mwake. Ndiyo maana alisema kwamba, “jembe nimejaribu mtoto mchanga.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujikaza kuifanya vizuri kazi ile ambayo humletea chakula, katika maisha yake. Mtu huyo, huishikilia kazi yake hiyo kwa kuwafundisha watu juu ya kujibidisha kuitekeleza vizuri mpaka inawapatia chakula, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata chakula cha kula vizuri kila mwaka kwenye familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kujibidisha kuitekeleza vizuri kazi yake hiyo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule mkulima aliyelilimia vizuri jembe lake mpaka likamletea chakula kwenye familia yake, kwa sababu naye hujibidisha kuitekeleza vizuri kazi yake hiyo mpaka inamletea chakula cha kula kila mwaka kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “jembe nimejaribu mtoto mchanga.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kujibidisha kuzitekeleza vizuri kazi zao zinazowaletea chakula, ili waweze kupata mali za kutumia vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 3:19.

Mithali 24:27.

ENGLISH: A HOE HAS TESTED A BABY.

Once upon a time, there was a farmer who cultivated farms by using a hand hoe. This farmer relied on his hoe because it worked well until it brought food to his family. He held the hoe tightly like he was carrying a baby, in his life. That is why he said that, “a hoe has tested a baby.”

This saying is equaled to a person who strives to do well the work that brings him food, in his life. Such person holds on to his work by teaching people about working hard enough to do it well until it provides them with food, because of his loyalty, in his life. He gets good food to eat every year for his family because of his loyalty to work hard enough to finish well his work in his life.

This person resembles the farmer who cultivated his farm until it brought food to his family, because he also strives to carry out his work well until it brings food to his family every year, in his life. That is why he says that, “a hoe has tested a baby.”

This proverb teaches people about being honest enough to carry out their work well that brings them food, so that they can obtain wealth for using well in their families, in their lives.

Genesis 3:19.

Proverbs 24:27.

1415. UGUPONDAGA NG’WITUMBI NUB’UTA UDINAB’O.

Aho kale olihoyi munhu uyo agaluta liwe ng’witumbi aliyo oliadina b’uta umumakono gakwe. Ilitumbi linilo lilipilinga ilo ligikalaga na shinu giti mbiti, nzoka, sub’i, na jingi ijo jigikalaga jilendile moyi.

Abhanhu bhagankumya noyi kunguno umub’upondi bhokwe bhunubho, adulile gujibhulucha ishinu jinijo ija mbika na mbika ahikanza adina b’uta nulu jilanga ja gwigunanila. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “ugupondaga ng’witumbi nub’uta udinab’o.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agandyaga gutumama milimo iyo adina nguzu ja guimalila umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agandyaga gutumama milimo mitale iyi ijikilile inguzu jakwe kunguno ya gukija gwitegeleja chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agakoyiyagwa na bhuhabhi bhuli ng’waka aha kaya yakwe kunguno ya gukija gwitegeleja chiza haho atali ugandya uguitumama imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaponda ng’witumbu bho nduhu gwikala na b’uta umumakono gakwe, kunguno nuweyi agandyaga gutumama milimo iyo adina nguzu ja guimalila, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ugupondaga ng’witumbi nub’uta udinab’o.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwandya gutumama milimo iyo bhali nguzu ja guimalila chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Hesabu 32:30.

Hesabu 32:17.

KISWAHILI: UNAPONDA KWENYE PANGO NA UPINDE HUNA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyetupa jiwe kwenye pango bila ya kuwa na upinde mikononi mwake. Pango hilo ni jiwe ambamo ndani yake huishi wanyama wakali kama vile fisi, nyoka, chui na vingine vinavyoishi humo.

Watu walimshangaa sana kwa sababu utupaji huo wa jiwe bila ya yeye kuwa na upinge au siraha unaweza kuwasababisha wanyama hao kutoka na kumjeruhi. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “unaponda kwenye pando na upinde huna.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanzisha kazi ambazo hana uwezo wa kuzimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, huanzisha kazi kubwa kushinda nguvu zake mpaka anashindwa kuzimaliza, kwa sababu ya kushindwa kufikiri vizuri maishani mwake. Yeye husumbuliwa na tatizo la umaskini kwenye familia yake kila mwaka, kwa sababu ya kuanzisha kazi bila kufikiria vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeponda kwenye pango bila ya kuwa na upinde, kwa sababu naye huanzisha kazi zinashinda uwezo wake bila kufikiria vizuri mpaka anashinda kuzimaliza, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “unaponda kwenye pango na upinde huna.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuanzisha kazi wanazoweza kuzimaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Hesabu 32:30.

Hesabu 32:17.

ENGLISH: YOU ARE THROWING A STONE IN A CAVE WHILE YOU HAVE NO BOW.

Once upon a time there was a man who threw a stone into a cave without having a bow in his hands. The cave is a hole in stone in which wild animals such as hyenas, snakes, leopards and others live.

People were very surprised at him because of throwing a stone without having any resistance or armor could cause animals to come out and injure him. That is why people told him that, “you are throwing a stone in a cave while you have no bow.”

This proverb is matched to a person who starts tasks that he does not have ability to finish, in his life. Such person starts a task that is too big for him to finish, because of his inability to think clearly in his life. He is troubled by problem of poverty in his family every year, because of starting a task without thinking clearly, in his life.

This person resembles the one who trampled in a cave without a bow, because he also starts tasks that are beyond his ability without thinking carefully until he manages to finish them, in his life. That is why people say to him that, “you are throwing a stone in a cave while you have no bow.”

This proverb teaches people about being careful enough to start tasks that they can finish, so that they can achieve great success, in their lives.

Numbers 32:30.

Numbers 32:17.