sayings

1291. LYATUMUKILA SI KI?

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhasimbi bha ng’ana. Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhubhugilija uko jiligele ing’ana jinijo kunguno ya witegeleja bhobho ubho guhaya gumana chiza uko jiligelela kugiki bhaje koyi bhagajisimbe. Hunagwene bhagabhujaga giki, “lyatumikila si ki?”

Akahayile kenako kakagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagwitilaga bhuengeji bhutale bhuli nimo uyo alihaya gugutumama haho atali ugugwandya umubhutumami bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo agawitaka ubhukengeji bhunubho bho gubhugilija chiza ukubhanhu abho bhagudebhile chiza unimo gunuyo, kugiki nanghwe agudebhe chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gugwitila bhukengeji bhuli nimo gwene uyo alihaya gugutumama aho atali ugugwandya, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhabhugilijaga chiza uko jigelelaga ing’ana kugiki bhaje bhagajisimbi koyi, kunguno nuweyi agagwitilaga bhukengeji bhuli nimo gwene uyo alihaya gugutumama hayo atali ugugwandya kugiki adebhe chiza isolobho jago na agwandye lulu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhujaga giki, “lyatumukila si ki?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugwitila bhukengeji bhuli nimo gwene uyo bhali haya gugutumama haho bhatali ugugwandya, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umubhutumami bho milimo yabho yiniyo.

Mambo ya walawi 5:4.

Waamuzi 19:30.

KISWAHILI: LIMELIPUKIA ARDHI GANI?

Chanzo cha msemo huo huangalia wachimbaji wa Alimasi. Watu hao huwa wanaulizia mahali ambapo Almasi hizo zimeonekana kwa sababu ya umakini wao wa kutaka kufahamu vizuri kule zilipoonekana ili waende kuzichimba huko. Ndio maana watu hao huwa wanauliza kwamba, “limelipukia Ardhi gani?”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya utafiti mkubwa wa kila kazi anayotaka kuifanya kabla hajaianza kuitekeleza katika kazi zake. Mtu huyo huufanya utafiti huo kwa kuulizia kwa watu wanaoifahamu vizuri kazi hiyo kwa sababu ya umakini wake huo wa kutaka kuifahamu vizuri kazi hiyo kabla ya kuianza, maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake kwa sababu ya umakini wake huo wa kuifanyia utafiti kila kazi anayotaka kuifanya kabla hajaianza kuitekeleza, katika kazi zake.

Mtu huyo hufanana na wale walioulizia vizuri kule zilipopatikana zile Almasi ili waende kuzichimba huko, kwa sababu naye huifanyia utafiti kila kazi anayotaka kuifanya kabla hajaianza ili afahamu faida zake ndipo aianze kuitekeleza, maishani mwake. Ndiyo maana mtu huyo huuliza kwamba, “limelipukia Ardhi gani?”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuifanyia utafiti kila kazi ile wanayotaka kuifanya kabla hawajaianza kuitekeleza, ili waweze kupata mafanikio mengi katika kazi zao.

Mambo ya walawi 5:4.

Waamuzi 19:30.

ENGLISH: WHICH LAND HAS IT EXPLODED?

The cradle of the above saying looks at the diamond miners. These people always ask where the Diamonds have been seen because of their interest in knowing exactly where they were seen so they can go there and mine them. That is why people always ask, “Which land has it exploded?”

This saying is related to a man who does a lot of researches on every job which he wants to do before implementing it in his work. Such person does research by asking people who know the job well because of his good attention enough to clearly know the job before starting it in his life. He gets a lot of success in his family because of his focus on researching every job which he wants to do before implementing it in his jobs.

This person is similar to those who asked well where the Diamonds were found so they could go there to mine them, because he also researches every job which he wants to do before starting it so as to know its benefits enough to implement it, in his life. That is why he asks that, “Which Land has it exploded?”

This saying teaches people about being careful enough to research every job which they want to sort out before doing it, so that they can get a lot of success in their jobs.

Leviticus 5:4.

Judges 19:30.

 

hand-5443280_1280

caterpillar-4374222_1280

ice-4444860_1280

1290. OGWITULA UNG’WATYA.

Ugwatya guli nti go bhugota ubho bhugitanagwa Ng’watya. Ubhugota bhunubho bhulibhukali noyi ulu munhu ubhubeha agwityamula noyi kunguno ya bhukali bhogo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wila umunhu ng’wunuyo giki, “ogwitula ung’watya.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agikoloshaga bhanhu bhantula mpaga bhaminya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikoloshaga bhanhu bhakali bho gubhibhengwa kunguno ya nhinda jakwe jinijo umukikalile kakwe. Uweyi agatulagwa mpaga uminyiwa na bhanhu abhakali bhenabho kunguno ya nhinda jakwe ija gubhitila libhengwe abhanhu bhenabho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabeha ng’watya mpaka wityamula, kunguno nuweyi agabhikoloshaga bhanhu bhakali mpaga bhantula, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ogwitula ung’watya.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhinda ja gubhikolosha sagala abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umuwikaji bhobho bhunubho.

1Wafalme 2:34.

1 Wafalme 13:26.

KISWAHILI: AMEPAMBANA NA NG’WATYA.

Ng’watya ni mti wa dawa kali inayoitwa Ng’watya. Dawa hiyo ni kali sana kiasi kwamba mtu akiivuta atapiga chafya kwa sababu ya ukali wake huo. Ndiyo maana watu humuambia mtu huyo aliyeuvuta kwamba, “Amepambana na Ng’watya.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwachokoza watu ambao humzidi nguvu mpaka kufikia hatua ya kumuumiza, katika maisha yake. Mtu huyo huwachokoza watu wenye nguvu kuliko yeye ambao huwadharau kwa sababu ya kiburi chake hicho. Yeye hupigwa mpaka anaumizwa na watu hao wenye nguvu kupita yeye, kwa sababu ya kiburi chake hicho cha kuwadharau watu, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyevuta dawa kali ya ng’watya akapiga chafya, kwa sababu naye huwacholokoza watu ambao humzidi nguvu mpaka wanamuumiza, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amepambana na Ng’watya.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na kiburi cha kuchokoza hovyo watu wao, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa maishani mwao.

1 Wafalme 2:34.

1 Wafalme 13:26.

ENGLISH: HE HAS FOUGHT WITH “NG’WATYA.” (SUKUMA TRADITIONAL NAME OF A MADICINAL TREE).

Ng’watya is a Sukuma name which is given to a strong medicinal tree. Such medicine is so strong that if someone inhales it, will sneeze because of its severity. That is why people tell the person who inhales it that, “He has fought with Ng’watya.”

This saying is matched to a person who provokes people who overpower him to the point of hurting him, in his life. Such person provokes stronger people than him by looking down on them because of his egotism. He is beaten until he is hurt by those people who are stronger than him, because of his arrogance of despising people in his life.

This person resembles the one who inhaled a strong medicinal tree until he sneezed, because he also irritates people who defeat him to the point of hurting him in his life. That is why people tell him that, “he has fought with Ng’watya.”

This saying imparts in people an idea of ending pride of recklessly provoking their people, so that they can happily live in their lives.

1 Kings 2:34.

1 Kings 13:26.

martial-arts-150005_1280

punch-7465021_1280

stick-fight-412666__480

1288. GANAYA MAHENYENGE.

Amahenyenge ili mihayo iyo itina bhunhana umugati yayo. Ulihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, oyombaga mihayo mingi noyi aliyo lulu imihayo yakwe yiniyo yali ya bhule duhu kunguno yali itiyanhana. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ganaya mahenyenge.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayombaga mihayo ya bhulongo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, akayombaga mihayo ya bhulomolomo umumahoya gakwe kunguno ya bhulongo bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalisanyaga abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya guyomba mihayo ya bhulomolomo yiniyo, umumahoya gakwe genayo.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo oyambaga mihayo iyo itina bhunhana, kunguno nuweyi agayombaga mihayo ya bhulongo umumahoya gakwe. Hunagwene abhanhu bhagayitanaga imihayo yakwe yiniyo giki, “ganaya mahenyenge.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhanhu bha nhana bho guyomba mihayo ya nhana umumahoya gabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 5:9.

Kutoka 20:16.

Kutoka 23:1, 7.

Mambo ya walawi 19:11-12.

Kumbukumbu la torati 19:18.

KISWAHILI: HAYA NI MANENO YA BURE.

Maneno ya bure ni maneno yasiyo na ukweli ndani yake. Alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo alikuwa akiongea maneno mengi lakini maneno yake hayo yalikuwa ya bure kwa sababu hayakuwa na ukweli. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “haya ni maneno ya bure.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea maneno ya uongo katika maisha yake. Mtu huyo, huongea maneno ya uongo katika maongezi yake kwa sababu ya uongo wake huo maishani mwake. Yeye huwagombanisha watu waliopo kwenye familia yake kwa sababu ya kuongea maneno ya uongo katika maongezi yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akiongea maneno yasiyokuwa na ukweli, kwa sababu naye huongea maneno ya uongo katika maongezi yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “haya ni maneno ya bure.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa wa kweli kwa kuongea maneno ya kweli katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 5:9.

Kutoka 20:16.

Kutoka 23:1, 7.

Mambo ya walawi 19:11-12.

Kumbukumbu la torati 19:18.

ENGLISH: THESE ARE EMPTY WORDS.

Idle words are words that have no truth in them. There was a man who lived in a certain village. He was speaking voluminous words, but his words were useless because they had no truth. That is why people said that, “these are empty words.”

This saying is paralleled to a person who speaks made-up words in his life. Such person says deceitful words in his discourse because of his lies in life. He quarrels people who stay in his family because of saying made-up words in his communication.

This person resembles the one who used to speak words that had no truth in them, because he also speaks deceitful words in his life. That is why people say that, “these are empty words.”

This saying imparts in people a clue of being true by speaking the truth in their lives, so that they can nurture their families well in their lives.

Exodus 5:9.

Exodus 20:16.

Exodus 23:1, 7.

Leviticus 19:11-12.

Deuteronomy 19:18.

women-5935801__480

woman-6672896_1280

man-7351001_1280

1287. WINA MBOGO BHULI UBHEBHE?

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile higulya ya mbogo. Imbogo yiniyo ili ndimu ya mumapolu iyo iliya makanji noyi kunguno ya bhukali bhoyo na Makala gayo umukikalile kayo. Iyoyi ilijidamu ugwikala mubhanhu kunguno ya bhukali bhoyo bhunubho umuwikaji bhobho. Hunagwene ulu bhanhu bhuibhona ha kaya ya ng’wa munhu bhagabhujaga umunhu ng’wunuyo giki, “wina mbogo bhuli ubhebhe?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nkima uyo atolilwe na ngosha nkali umukikalile kakwe. Unkima ng’wunuyo, agikalaga ukalihilwa sagala nu nkosha ng’wunuyo, kunguno ya bhukali bho sagala ubho alinabho ungosha ng’wunuyo. Uweyi akikalaga asunduhalile noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhukali bho ngosha ng’wunuyo, umuwikaji bhobho.

Ungosha ng’wunuyo, agikolaga ni mbogo iyo ili ndimu nhali, kunguno nuweyi agikalaga umkalihila sagala unkima okwe ng’wunuyo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagamujaga unkima ng’wunuyo giki, “wina mbogo bhuli ubhebhe?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka bhukali bho sagala umuwikaji bhobho, kugiki bhadule kujilanhana chiza ikaya jabho jinijo, umukikalile kabho.

Ayubu 41:10.

2 Timotheo 3:3.

KISWAHILILI: KWA NINI UNA NYATI WEWE?

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya Nyati. Nyati huyo ni mnyama poli ambaye anatisha kwa sababu ya ukali wake na kiburi alicho nacho katika maisha yake. Yeye huwa ni vigumu kuishi kwa watu kwa sababu ya ukali wake huo maishani mwake. Ndiyo maana watu wakimuona yupo kwenye familia fulani humuuliza mwenye familia hiyo kwamba, “kwa nini una Nyati wewe?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mwanamke aliyeolewa na mwanamume mkali katika maisha yake. Mwanamume huyo humkaripia hovyo mke wake huyo kwa sababu ya ukali wake huo wa hovyo, maishani mwake. Yeye humkosesha raha mke wake katika familia yake kwa sababu ya ukali wake huo wa hovyo, katika maisha yake.

Mwanamume huyo, hufanana na yule Nyati ambaye ni mnyama mkali, kwa sababu naye humkaripia hovyo mke wake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuuliza yule mke wake kwamba, “kwa nini una Nyati wewe?”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha ukali wa kuwakaripia wenzao hovyo maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na kuzilea vyema familia zao, katika maisha yao.

Ayubu 41:10.

2 Timotheo 3:3.

ENGLISH: WHY DO YOU HAVE A BUFFALO?

The cradle of an overhead saying parleys about Buffalo. This buffalo is a wild animal that is scary because of its fierceness as well as its pride in life. It is difficult for people to live with it because of its harshness. That is why when people see it in a certain family, ask the owner of that family that, “Why do you have a Buffalo?”

This saying is related to a married woman who has a violent man in her life. This man scolds his wife carelessly because of his careless severity in his life. He makes his wife uncomfortable in his family because of his reckless severity in his life.

This man is similar to the violent Buffalo, because he also scolds his wife carelessly in his life. That is why people ask his wife that “Why do you have a Buffalo?”

This saying teaches people about stopping harshness of reprimanding their wives carelessly in their lives, so that they can live in peace enough to nurture well their families.

Job 41:10.

2 Timothy 3:3.

 

buffalo-6351369_1280

african-buffalo-1285217_1280

1286. MAYU NILANG’HANIJAGE SHILI.

Akahayile kenako kalolile shili. Ishili jinijo jili jiliwa ijo jigasanjiyagwa mumasangu kugili ganone chiza. Ijoyi jigalimagwa jazwa na gulandala chiza mpaga amadutu gajo gabhiza makubhi manonu gagulila abhanhu. Abhanhu bhagajilanhanaga mpaga jakula na kupya chiza kunguno ya wiza bhojo bhunubho. Hunagwene bhagiwilaga giki, “mayu nilang’hanijage shili.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ng’wana ng’waniki uyo agalelagwa chiza na bhabyaji bhakwe umukikalile kakwe. Ung’waniki ng’wunuyo, agakulaga adebhile ugutumama imilimo nu gwikala chiza na bhanhu kunguno ya gulangwa chiza na bhabyaji bhakwe bhenabho. Uweyi agayilelaga chiza ikaya yakwe bho gubhalang’hanila ilange lya wiza abhanhu bhakwe kunguno ya lilange lya wiza ilo winhiwa na bhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Ung’waniki ng’wunuyo agikolaga ni shili ijo jigalang’hanwa chiza mpaga jibhiza jiliwa jinonu, kunguno nuweyi olelwa chiza mpaga udebha ugubhalang’hana abhanhu bhakwe bho gubhalela chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “mayu nilang’hanijage shili.”

 Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhalanga chiza abhana bhabho kugiki bhadule gukula ni lange lya kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 6:4.

Esta 2:7.

Mithali 22:6.

1Thimotheo 5:10.

KISWAHILI: MAMA NITUNZIE KUNDE.

Msemo huo, huangalia kunde. Kunde hizo ni chakula ambacho huchanganywa kwenye makande ili kuyanogesha. Zenyewe zinapopandwa huota na kutambaa mpaga majani yake huwa mboga tamu ya watu kulia chakula. Watu huzitunza vizuri kunde hizo mpaga zinakomaa na kuiva kwa sababu ya utamu wake huo. Ndiyo maana watu hao huambiana kwamba, “mama nitunzie kunde.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa msichana yule aliyelelewa vizuri na wazazi wake, katika maisha yake. Msichana huyo, hukua akiwa anayaelewa vizuri majukumu ya kufanya kazi na kuishi vizuri na watu kwa sababu ya malezi hayo mema aliyolelewa na wazazi wake. Yeye hufanikiwa kuilea vizuri familia yake kwa kuwatunza na kuwakuza watu wake katika malezi mema kwa sababu ya kulelewa vizuri na wazazi wake hao, maishani mwake.

Msichana huyo hufanana na zile kunde zilizotunzwa vizuri mpaga zikafikia hatua ya kuwa chakula kizuri, kwa sababu naye amelelewa vizuri mpaka akafahamu kuwatunza watu wake kwa kuwalea vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “mama nitunzie kunde.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea watoto wao kwa kuwapatia malezi mema ya kuwawezesha kuishi vizuri na watu ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Waefeso 6:4.

Esta 2:7.

Mithali 22:6.

1Thimotheo 5:10.

ENGLISH: MOTHER, TAKE CARE OF THE BEANS FOR ME.

This saying looks at the beans. These beans are foods which are mixed in dough to make it nice. When they are planted, they sprout and crawl, and their leaves become delicious vegetable for people to eat. People take good care of them when they mature and ripen because of their sweetness. That is why people tell each other that, “mother, take care of the beans for me.”

This saying is equated to a girl who was raised well by her parents, in her life. Such girl grows up with a good understanding of responsibilities of working and living well with people because of good upbringing in which she was brought up by her parents. She manages to raise her family well by taking care of and nurturing her people in a good upbringing because of being well raised by her parents in life.

This girl resembles those were well-cared-for beans until they reach the point of being good food, because she has also been well-raised until she learned to take care of her people by raising them well in her life. That is why they tell people that, “mother, take care of the beans for me.”

This saying teaches people about nurturing their children by providing them with good education enough to enable them live well with people so that they can raise their families well, in their lives.

Ephesians 6:4.

Esther 2:7.

Proverbs 22:6.

1 Timothy 5:10.

 

bush-beans-3702999_1280