sayings

1340. OJAGA DAGASHIDA.

Akahayile kenako kahoyelile bhuji bho kujigasho ja ndugu bho ng’wa munhu nhebhe. Aho kale olihoyi munhu uyo ojaga kujigasho ja ndugu bhuli ng’waka kunguno ya gutogwa gubhatongela chiza abhanhu bha muludugu lokwe lunulo. Abhanhu bha muchalo jakwe jinijo bhagandebha nose igiki agajaga kujigasho jinijo bhuli ng’waka kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene bhagayomba giki, “ojaga dagashida.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ntongeji obhanhu uyo agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umutumami bhokwe. Untongeji ng’wunuyo, agitaga jigasho na bhanhu bhakwe ja guhoyela bhutumami bho milimo yabho na njila ja gugamala wangu amakoye gabho bhuli ng’waka kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gubhadilila chiza abhnhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajibhejaga chiza ichalo jakwe jinijo kunguno ya gubhatongela chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe.

Untongeji ng’wunuyo agikolaga nuyo ojaga kujigasho ja ndugu bhuli ng’waka, kunguno nuweyi agitaga jigasho ja guhoyela milimo yabho na bhanhu bha muchalo jakwe bhuli ng’waka, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhanyombaga giki, “ojaga dagashida.”

Akahayile kenako kalanga bhatongeji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwitano jigasho na bhanhu bhabho ja guhoyelela milimo yabho bhuli ng’waka kugiki bhadule kupandika mafumilo matale, umukaya jabho.

Zaburi 133;1.

KISWAHILI: AMEENDA KWENYE KIKAO CHA NDUGU.

Msemo huo huongelea juu ya uendaji wa kwenye kikao cha ndugu wa mtu fulani. Hapo zamani alikuwepo mtu yule ambaye alikuwa akienda kwenye kikao cha ndugu kila mwaka kwa sababu ya upendo wa kuongoza vizuri watu wa ukoo wake. Watu wa kijiji hicho walimfahamu mwishowe kuwa yeye huenda kwenye kikao cha ukoo kila mwaka. Ndiyo maana walisema kwamba, “ameenda kwenye kikao cha ndugu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa kiongozi yule ambaye huwaongoza vizuri watu wake katika utumishi wake. Kiongozi huyo, huitisha mkutano wa watu wake wa kuongelea juu ya maendeleo ya kazi zao pamoja na utatuzi wa matatizo yao kwa sababu ya umaskini wake huo wa kuwajali vizuri wake hao, maishani mwake. Yeye hukiendeleza vizuri kijiji chake hicho kwa sababu ya kuwaongoza vizuri wake hao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeenda kwenye kikao cha ndugu kila mwaka, kwa sababu naye huitisha mkutano wa watu wa kuongelea juu ya maendeleo yao, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ameenda kwenye kikao cha ndugu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kufanya mkutano na watu wao kwa ajili ya kuongelea juu ya maendeleo yao, kila mwaka ili waweze kupata maendeleo makubwa, katika familia zao.

Zaburi 133:1.

 

ENGLISH: HE HAS GONE TO A RELATIVES’ MEETING.

This proverb talks about someone’s going to a relatives’ meeting. In the past, there was a man who went to a meeting of relative each year because of leading well his clan. The populaces of that village eventually learned that he nicely led such meeting every year. That is why they said that, “He has gone to a relatives’ meeting.”

This proverb is equaled to a leader who leads his people well in his service. This leader calls a meeting of his people so as to talk about progress of their works as well as solving their problems because of his responsiveness of caring well for his people. He develops his village well because of leading nicely his people.

This person is similar to the one who went to a relatives’ meeting every year, because he also calls a meeting of people for talking about their progress in his life. That is why people say, “He has gone to a relatives’ meeting.”

This saying imparts in people clue of being watchful enough to hold a meeting with their people for talking about their progress, each year so that they can achieve great progress in their families.

Psalm 133:1.

 

africa-4856283__480

africa-5274085_1280

festival-950064__480

1338. WANILOKOLA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhakoyiyagwa ni koye lya gugayiwa jiliwa kuli likanza lilihu umuchalo jilebhe. Abhanhu bhenabho ligashiga likanza ilo bhagapandika jiliwa ja gufumila kuli munhu umo uyo agabhagunana kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhanhu bhenabho. Umo obhanhu abho bhagagunanwa bhenabho agulumba noyi ukuli ngunani obho ng’wunuyo. Hunagwene agayomba giki, “wanilokola.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja kufunya bhulumbi ukubhanhu abho bhagang’wambilijaga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitumilaga inhungwa jakwe jinijo bho gubhizuka na gubhalumbilija pye abhanhu abho bhagang’wambilijaga kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalelaga abhanhu bha ha kaya yakwe bho gwikala na bhulumbi ukubhichabho abho bhagabhagunanaga umukikalile kabho kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agafunya bhulumbi ukuli munhu uyo agabhinha jiliwa kunguno nuweyi agabhalumbilijaga abhanhu abho bhagang’wambilijaga umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “wanilokola.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa ja gufunya bhulumbi ukubhichabho abho bhagabhambilijaga ulu bhalina makoye, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji bhutale umukaya jabho.

Luka 17:11-15.

Luka 10:25-37.

KISWAHILI: NASHUKURU.

Walikuwepo watu waliokuwa wakisumbuliwa na tatizo ka kukosa chakula kwa muda mrefu katika kijiji fulani. Watu hao, ulifika wakati ambao walipata chakula kutoka kwa mtu mmoja aliyeamua kuwasaidia kwa sababu ya upendo wake kwao. Mmoja wa watu hao waliosaidiwa alishukuru sana kwa mtu yule aliyewasaidia. Ndiyo maana alisema kwamba, “nashukuru.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia ya kutoa shukrani kwa watu wanaomsaidia, katika maisha yake. Mtu huyo, huitumia tabia yake hiyo njema kwa kuwakumbuka na kuwashukuru watu waliomsaidia katika maisha yake kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huwalea watu walioko kwenye familia yake hiyo kwa kuishi maisha ya kutoa shukrani kwa wenzao wanaowaidia, katika maisha yao.

Mtu huyo hufanana na yule aliyetoa shukrani kwa mtu aliyewapatia chukula walipokuwa na njaa, kwa sababu naye huwashukuru watu wale wanaomsaidia maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nashukuru.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kutoa shukrani kwa wenzao wanaowasaidia katika kutatua matatizo yao, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa, katika familia zao.

Luka 17:11-15.

kanigo1

hands-5618238_1280

roast-1771671_1280

ENGLISH: I AM GRATEFUL.

There were people who suffered from food shortage hitch for a long time in a certain village. There came a time when they received food from a person who decided to support them because of his kindness to them. One of those people who were assisted was very grateful to such person who aided them. That is why he alleged that, “I am grateful.”

This saying is compared to an individual who has habit of giving thanks to people who support him in his life. This person uses his respectable custom by remembering and thanking people who assisted him in his life because of his helpfulness in his life. He nurtures people who stay in his family by living a life of giving thanks to their dukes who support them in their lives.

This person is similar to the one who gave thanks to the person who gave them food when they were hungry, because he also thanks people who aid him in his life. That is why he says, “I am grateful.”

This saying clarifies in societies an idea of expressing gratitude to their societal members who support them in solving their glitches, so that they can live happily in their families.

Luke 17:11-15.      

1337. NANGI O GWISAMULA.

Unangi o gwisamula ali ng’walimu uyo agabhakomelejaga abhanhu gutumama nimo bho nguzu mhya. Ung’walimu ng’wunuyo abhakomelejaga abho bhali ng’wilika lyakwe kutumama milimo bho nguzu chiza ulu obhabhona bhandya gugogoloha kunguno ya wigulambija bhokwe ubho gutumama milimo chiza chiniko umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nangi o gwisamula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalangaga abhanhu bha ha kaya yakwe gwigulambija gutumama milimo chiza, umukikalile kakwe.  Umunhu ng’wunuyo agabhahugulaga abhanhu bhakwe ulu bhagogoloha ugutumama imilimo yabho kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gwigulambija gutumama yakwe chiza bhunubho, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya gubhakomeleja gutumama milimo chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo abhakomeleja abhanhu bha ng’wilika lyakwe kutumama milimo bho nguvu mhya, kunguno nuweyi agabhakolelejaga abhanhu bha ha kaya yakwe gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, ulu bhanogaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nangi o gwisamula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwikomeja gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yeremia 6: 22.

Waebrania 12:12-15.

Yohana 11:11.

KISWAHILI: MFUNDISHAJI WA KUTIA HAMASA.

Mfundishaji wa kutia hamasa ni mwalimu yule ambaye huwahimiza watu kufanya kazi kwa nguvu mpya. Mwalimu huyo huwahimiza wale walioko kwenye lika lake kufanya kazi kwa nguvu zaidi kila anapoona dalili za wao kuanza kuchoka, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mfundishaji wa kutia hamasa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwafundisha watu wanaoishi kwenye familia yake kujibidisha kufanya kazi vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatia hamasa watu wake hao ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri kila wanapoonesha dalili za kuchoka, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi vizuri, maishani mwake.  Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake kwa sababu ya kuwahimiza watu wake kufanya kazi vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewahimiza watu wa kwenye lika lake kujibidisha kufanya kazi kwa nguvu mpya, kwa sababu naye huwahimiza watu wanaoishi kwenye familia yake kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mfundishaji wa kutia hamasa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kwa badii kubwa zaidi kuliko ile ya mwanzo, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao.

Yeremia 6:22.

Waebrania 12:12-15.

Yohana 11:11.

kenya-school

differential-calculus-2820672_1280

teacher-476342_1280

ENGLISH: A MOTIVATIONAL TEACHER.

A motivational teacher is an educator who encourages students to work with renewed energy. This educator encourages those who in his class to work harder whenever he sees signs of them starting to get tired, because of his own hard working life. That is why people call him a “motivational teacher.”

This saying is related to a person who teaches people who live in his family to work hard enough to fulfill their responsibilities well. Such person encourages his people enough to work hard in doing their labors whenever they show signs of getting tired, because of his creativity in his life. He achieves a lot of success in his family because of encouraging his people to work well in his life.

This person resembles the one who encouraged students in his class to work hard with renewed strength, because he also encourages people who live in his family to work hard enough to fulfill their duties well. That is why people called him the “motivational teacher.”

This saying imparts in people an idea of working hard enough to finish their jobs with a greater change than it was before, so that they can achieve more success in their lives.

Jeremiah 6:22.

Hebrews 12:12-15.

John 11:11.

1336. ADEBHILE GWANULA.

Akahayile kenako kalolile wanuji bho ng’wa munhu nkuji. Olihoyi munhu uyo ong’wambilijaga munhu uyo oliokula mpaga uduma ugubhuka ubho weyi ng’winikili kunguno ya bhujiko bhokwe bhunubho. Uweyi omfunyaga hanze unkuji ng’wunuyo bhuli lushigu idiyu na gung’wanula bho gunchala mukaya ulu wila ubhujiku kunguno oliomala inguzu ja gwiyinja weyi ng’winikili aha hanze henaho. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga ung’wanuji ng’wunuyo giki, “adebhile gwanula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhambilijaga chiza abhabyaji bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhambilijaga abhabyaji bhakwe bhenabho bho gubhagulila myenda na jiliwa ija gulya shigu ningi kunguno ya jikujo lyakwe na bhutogwa bhokwe bhunubho ukubhabyaji bhokwe bhunabho. Uweyi agabhalanhanaga bho gubhinha ijo jidulile gubhambilija umubhukuji bhobho pye ishigu ja wikaji bhobho kunguno ya likujo lyakwe linilo ukubhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

 Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ong’wambilija umunhu uyo oliokula bho gunfuma hanze idiyu, na gumchala mukaya imhindi, kunguno nuweyi agabhambilijaga abhabyaji bhakwe pye jishigu ja bhulamu bhobho umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “adebhile gwanula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo kubhabyaji bhabho bho gubhambilija pye ishugu ja bhulamu bhobho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala shigu ningi ukuwelelo, na bhuyegi Ng’wigulu.

Yohana 21: 18:

1Wakorintho 13:11.

Yoshua Bin Sira 3:12-16.

Mhubiri 11:7.

1Wathesalonike 5:14.

KISWAHILI: ANAFAHAMU KUANUA.

Msemo huo huangalia uanuaji wa mtu mzee kutoka sehemu moja hadi nyingine. Alikuwepo mtu aliyekuwa akimtunza mtu ambaye alikuwa amezeeka mpaka akashindwa kusimama peke yake bila kusaidiwa kwa sababu ya uzee wake huo. Yeye alikuwa akimtoa nje mzee yule kila siku asubuhi na kumrudisha ndani ikifika jioni kwa sababu alikuwa ameishiwa nguvu za kujiondoa mwenyewe pale nje yule mzee. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “anafahamu kuanua.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia vizuri wazazi wake katika maisha yake, Mtu huyo, huwasaidia wazazi wake hao kwa kuwanunulia chakula wanachohitaji na mavazi wanayoyahitaji siku zote za maisha yao, kwa sababu ya heshima yake na upendo wake kwao, maishani mwake. Yeye huwatunza kwa kuwapatia mahitaji yao katika maisha yao yote kwa sababu ya heshina aliyo nayo kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemsaidia yule mzee kwa kumtoa nje wakati wa asabuhi na kumrudisha ndani wakati wa jioni, kwa sababu naye huwasaidia wazazi wake kwa kuwapatia mahitaji yao siku zote za uhai wao, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anafahamu kuanua.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa wazazi wao kwa kuwapatia mahitaji yao maishani mwao, ili waweze kupata Baraka za kuishi miaka mingi duniani, na heri mbinguni.

Yohana 21: 18:

1Wakorintho 13:11.

Yoshua Bin Sira 3:12-16.

Mhubiri 11:7.

1Wathesalonike 5:14.

 

ENGLISH: HE KNOWS HOW TO RETURN TO THE SHADOW FROM THE SUN.

This proverb refers to a taking of an old person from one place to another. There was a man who took care of a person who had grown old until he could no longer stand alone without helping him because of his old age. He used to take the old man out every morning and bring him back in when it got to the evening. He did so because the old man had run out of strength to get out on his own. That is why people told him that, “he knows how to return to the shadow from the sun.”

This proverb is matched to a person who helps his parents well in his life. Such person helps his parents by buying them food and clothes which they need in their lives, because of his respect and love for them, in his life. He takes care of them by providing them with their basic needs throughout their lives because of the respect which he has for them, in his life.

This person is like the one who helped the old man by taking him out in the morning and bringing him back in at night, because he also helps his parents by providing them with their needs all the days of their lives, in his life. That is why people say to him that, “he knows how to return to the shadow from the sun.”

This proverb teaches individuals about respecting their parents by providing them with their needs in lives, so that they can receive the blessings of living long on earth, and happiness in heaven.

John 21: 18:

1 Corinthians 13:11.

Joshua Ben Sira 3:12-16.

Ecclesiastes 11:7.

1 Thessalonians 5:14.

 

hands-5017314_1280

face-7218927_1280

old-3975765_1280

1334. GOLEMELAGA HITIMA.

Olihoyi munhu uyo agigwa mhayo ntale uyo gugaminya umunholo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, aho ogwigwa umhayo gunuyo agandya guchola bhanhu bho gubhawila kugiki bhadule gung’wambilija umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhayomba giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhawilaga bhiye bhang’wambilija ulu opandikaga milimo mitale, nulu mihayo mitale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agacholaga wambilijiwa kubhiye wangu ulu opandikaga mihayo iyo igaibhunaga imholo yakwe, nulu ulu opandikaga milimo mitale iyo ijikilile nguzu jakwe, kugiki adule uguimala wangu kunguno ya gwikala gokwe chiza na bhiye umuwikaji bhokwe. Uweyi agagamala wangu amakoye ga ha kaya yakwe pye ni milimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwanguha kulomba wambilijiwa hayo itale ugunemela, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agigwa mihayo iyo igaiminya inholo yakwe ubhawila bhiye wangu, kunguno nuweyi agacholaga wambilijiwa kubhiye ulu opandigaka makoye matale nulu nimo ntale uyo gujikilile inguzu jakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guchola bhanhu bhagubhambilija wangu ulu bhapandikaga makoye matale nulu milimo mitale iyo ijikilile inguzu jabho, kugiki bhadule gwambilija wangu hayo bhatali ugukeleja, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:15-16.

KISWAHILI: LIMEKATALIA ININI.

Alikuwepo mtu yule ambaye alisikia neno kubwa ambalo liliumiza moyo wake, Mtu huyo alipolisikia neno hilo alianza kutafuta watu wa kuwashirikisha ili aweze kupata utatuzi wa tatizo hilo mapema. Ndiyo maana alisema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwashirikisha wenzake ili kupata msaada kila anapopata tatizo kubwa au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapokumbwa na tatizo linalomzidi nguvu, au anapopata kazi kubwa inayohitaji msaada kutoka kwa wenzake, kwa sababu ya umakini wake wa kuishi vizuri na watu, maishani mwake. Yeye huyamaliza mapema matatizo yanayoikumba familia yake, pamoja na kazi zinazidi uwezo wake kwa sababu ya kuwashirikisha wenzake mapema kabla hajachelewa kuomba msaada huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesikia tatizo kubwa akawashirikisha wenzake mapema, kwa sababu naye hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapopata tatizo au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta watu wa kuwasaidia mapema wanapopata tatizo kubwa au kazi inayozidi uwezo wao ili waweze kupata utatuzi wake mapema kabla hawajachele, maishani mwao.

Mathayo 18:15-16.

madagascar-4601287_1280

ENGLISH: IT HAS JAMMED IN THE LIVER.

There was a man who heard a miserable word that hurt his heart. After hearing such word, he started looking for people to share it with so that he could find a solution to it as soon as possible. That is why he said, “It has jammed in the liver.”

This saying is related to a person who shares it with his colleagues to get help whenever he encounters a huge delinquent or a huge task that is beyond his ability, in his life. Such person seeks support from his colleagues early whenever he encounters a problem that is beyond his ability, or when he gets a huge task that requires relief from his colleagues, because of his single-mindedness on living well with people, in his life. He ends hitches that beset his family early, as well as tasks that are beyond his ability because of sharing it with his colleagues early before it is too late to ask for that aid, in his life.

This person is similar to the one who heard a big problem and shared it with his colleagues early, because he also seeks help from his colleagues early whenever he encounters a problem or a huge task that is beyond his ability, in his life. That is why he says, “It has jammed in the liver.”

This saying instills in individuals a clue of seeking support early when they encounter an enormous difficult or a task that is beyond their ability so that they can find a solution early before it is too late, in their lives.

Matthew 18:15-16.