sayings

1434 YAFUNYAGA ITONE LYA MININGA.

Aho kale yalihoyi noni iyo yabhalisha jiliwa abhana bhayo. Aho jashila ijiliwa ijo yabhalisijaga, igipundula umwili goyo kugiki gadule gufuma mininga gagubhalisija abhana bhayo. Abhana bhayo bhenabho bhagagang’wa amininga gayo mpaga yucha. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “yafunyaga itone lya mininga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalanhaga abhanhu bhakwe bho bhutogwa bhutale umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikomejaga kutumama milimo midamu bho nguzu mpaga uyimala kugiki adule gubhapandikila jiliwa abhanhu bhakwe, kunguno ya bhutogwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga bhudula bho guyibheja chiza ikaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho gwigulambija gutumama milimo ya gubhapandikila jiliwa abhanhu bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni noyi iyo igipundula umili goyo mpaga yucha kugiki idule gubhapandikala jiliwa abhana bhayo, kunguno nuweyi akikomejaga gutumama milimo bho nguzu mpaga obhapandikila jiliwa abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki,  “ofunyaga itone lya mininga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho guduja gwigulambija gutumama milimo ya gubhalanhanila chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umubhulamu bhobho bhunubho.

Ezekieli 24:8.

Mathayo 27:25.

Yohana 6:54-56.

Waefeso 1:7.

Ufunuo 12:11.

 

KISWAHILI: AMETOA TOLE LA DAMU.

Hapo zamani alikuwepo ndege aliyekuwa akiwalisha chakula watoto wake. Kilipoisha chakula alichokuwa akiwalishia, ndege huyo aliamua kujitoboa mwili wake ili atoe damu ya kuwalishia watoto wake hao. Watoto hayo waliendelea kunywa damu yake hiyo mpaka alipokufa. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “ametoa tone la damu.”

Msema huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatunza kwa upendo watu wake katika maisha yake. Mtu huyo hujibidisha kufanya kazi ngumu mpaka anazimaliza kwa lengo la kuwapatia mahitaji ya kutosha kuwalisha watu wake hao kwa sababu ya upendo wake huo kwao, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kuindeleza vizuri familia yake kwa sababu ya upendo wake huo wa kujibidisha kufanya kazi za kutosha kuwapatia mahitaji watu walioko kwenye familia yake hiyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule ndege aliyejitoboa mwili wake kwa ajili ya kuwapatia chakula watoto wake mpaka akapoteza maisha yake, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi mpaka anafanikiwa kuwapatia watu wake mahitaji ya kutosha kutumia, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “ametoa tone la damu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo kwa watu wao unaowawezesha kujibidisha kutekeleza majukumu ya kuwatunza vizuri watu wao hao, ili waweze kupata maendeleo makubwa katika familia zao hizo, maishani mwao.

Ezekieli 24:8.

Mathayo 27:25.

Yohana 6:54-56.

Waefeso 1:7.

Ufunuo 12:11.

ENGLISH: HE HAS GIVEN A DROP OF BLOOD.

Once upon a time, there was a bird feeding its young. When the food it had gathered was exhausted, the bird chose to pierce its own body so that its blood might become food for its young. The chicks continued to drink the blood until the bird finally died. Because of this act of total self-giving, people began to say, “he has given a drop of blood.”

This saying is used to describe a person who loves his people deeply and cares for them with great devotion. Such a person works tirelessly, sacrificing personal comfort, strength, and even health in order to provide for those who depend on him. His goal is not personal gain, but to ensure that his family or community has enough to live with dignity.

Like the bird that pierced its own body to sustain its young, this person gives of himself without measure. Through hard work and self-sacrifice, he succeeds in maintaining his family and meeting their needs. For this reason, people say of him, “he has shed a drop of blood,” meaning that he has given his very life for the good of others.

This saying teaches the value of self-giving love—a love that accepts responsibility and willingly sacrifices for the well-being of others. It reminds people that true progress in family and community life is achieved through dedication, perseverance, and love that is ready to give everything.

Ezekiel 24:8 – Blood poured out as a testimony of sacrifice.

Matthew 27:25 – Blood associated with responsibility and covenant.

John 6:54–56 – Life given through blood, bringing life to others.

 

 

1432. OCHING’WA DUSHI HANGONGO.

Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhagandya gusola si ya bhichabho bho nguzu. Abhananzengo bhagandya bhulugu bho gubhalasa masonga abhanishi bhabho bhenabho mpaga bhubhahebha kunguno ya bhumani bhobho ubho gubhalasa masonga. Abho bhahewa abhanishi bhenabho bhagayuja umo ugalaswa isonga hangongo. Hunagwene bhagahaya giki, “oching’wa dushi hangongo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasolaga jikolo ja bhanhu bho nguzu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agasolaga jikolo ja bhiye bho nguvu mpaka wikenya nabhiniki jikolo kunguno ya bhuvamiji bhokwe ubho gutumila nguzu bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agatulagwa mpaga uminyiwa na bhinikili jikolo kunguno ya gusola jikolo jabho bho gutumila nguzu chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagasola si ya bhichabho bho gutumila nguzu mpaka bhulaswa masongwa, kunguno nuweyi agasolaga jikolo ja bhiye bho nguzu, mpaga aminyiwa na bhinikili jikolo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “oching’wa dushi hangango.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka kusola sabho ja bhichacho bho gwigulambilaja gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Isaya 22:3.

Zaburi 78:9.

KISWAHILI: AMECHOMWA MSHALE MGONGONI.

Hapo zamani walikuwepo watu waliochukua ardhi ya wenzao kwa nguvu. Wananchi hao walioanza vita kwa kuwapiga mishale hao maadui waliovamia ardhi yao mpaka wakawashinda kwa sababu ya ufundi wao wa kutumia mishale. Wao waliwashinda maadui hao kwa kuwapiga mshale mgongoni kila mmoja. Ndiyo maana walisema kwamba, “amechomwa mshale mgongoni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchukua vitu wa watu kwa mguvu, katika maisha yake. Mtu huyo, huvamia na kuchukua vitu vya watu kwa kutumia nguvu hivyo, mpaka anagombana na wenye mali hizo, kwa sababu ya uvamizi wake huo wa kutumia nguvu, maishani mwake. Yeye upigwa na wenye mali mpaka anaumizwa kwa sababu ya tabia yake hiyo kuchukua mali za watu kwa nguvu, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na wale waliochukuwa ardhi ya wenzao kwa kutumia nguvu mpaka wakapigwa mishale, kwa sababu naye hukuchua vitu vya watu kwa nguvu mpaka anaumizwa na wenye mali, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amechomwa mshale mgongoni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kuchukua mali za wenzao kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Isaya 22:3.

Zaburi 78:9.

ENGLISH: EVEN THOUGH YOU GROW LONG HAIR.

Once upon a time there was a man who grew long hair on his head. Such man despised an old man and a woman who had lived for many years because of his long hairs. He lacked an attention to understand that elders had seen many decent and evil deeds in their lives. That is why the elders told him that, “even though you grow long hair.”

This saying is equaled to a person who despises his elders in his life. This person thinks that he knows more by not listening to his elders when they give him good upbringing to live well with people, because of his contempt, in his life. He lacks an upbringing to take decent care of his family because of his contempt for his elders, in his life.

This person is like the one who grew long hair and despised his elders, because he also despises his elders for not listening to their upbringing, in his life. That is why his elders tell him that, “even though you grow long hair.”

This saying imparts in people an idea of stopping to despise their elders by listening carefully to their upbringing, so that they can raise their families well, throughout their lives.

Joshua Bin Sira 8:6.

1431. MUMO MUGINENEJA SUNZU.

Aho kale olihoyi munhu uyo olina masunzu malihu ukuntwe gokwe. Umunhu ng’wunuyo agayundalaha unhamla nu ngikulu uyo alina myaka mingi kunguno ya gulihya masunzu gakwe genayo. Uweyi agaduma ugwitegeleja chiza igiki abhanhu bhenabho bhabhona miito mingi amiza na mab’i umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “mumo mugineneja sunzu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhitilaga libhengwe abhatale bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo, agitulaga bhumani bho guleka gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe ulu bhalinanga kajile kawiza kunguno ya libhengwe yakwe linilo umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa ililange ilya guyilanhanila chiza ikaya yakwe kunguno ya libhengwe lwakwe linilo, ukubhatale bhakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalihya masunzu uyubhadalaha unamhala nu ngikulu okwe, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhatale bhakwe bho guleka gubhadegeleka chiza umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene bhagang’wilaga giki, “mumo mugineneja sunzu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleta gubhitila libhengwe abhatale bhabho bho gulikalana chiza ililange lyabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yoshua Bin Sira 8:6.

KISWAHILI: HATA MUREFUSHE SINGA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyerefusha singa kichwani mwake. Mtu huyo alimdharau mzee na bibi aliyeishi miaka mingi kwa sababu ya kurefusha singa zake hizo. Yeye alikosa umakini wa kuelewa mwamba wazee hao wameona matendo mengi mema na mabaya katika maisha yao. Ndiyo maana wazee hao walimwambia kwamba, “hata murefushe singa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwafanyia dharau wakubwa wake katika maisha yake. Mtu huyo, hujidhania kujua zaidi kwa kuacha kuwasikiliza vizuri wakubwa wake wanapompatia malezi mema ya kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya dharau zake hizo, maishani mwake. Yeye hukosa malezi ya kuitunza vizuri familia yake kwa sababu ya dharau zake hizo kwa wakubwa wake hao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyerefusha singa akawadharau wazee wake, kwa sababu naye huwadharau wakubwa wake wa kuacha kuyasikiliza vizuri malezi yao, maishani mwake. Ndiyo maana wakubwa wake hao humwambia kwamba, “hata murefushe singa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau wakubwa wao kwa kuyasikiliza vizuri malezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 8:6.

ENGLISH: EVEN THOUGH YOU GROW LONG HAIR.

Once upon a time there was a man who grew long hair on his head. Such man despised an old man and a woman who had lived for many years because of his long hairs. He lacked an attention to understand that elders had seen many decent and evil deeds in their lives. That is why the elders told him that, “even though you grow long hair.”

This saying is equaled to a person who despises his elders in his life. This person thinks that he knows more by not listening to his elders when they give him good upbringing to live well with people, because of his contempt, in his life. He lacks an upbringing to take decent care of his family because of his contempt for his elders, in his life.

This person is like the one who grew long hair and despised his elders, because he also despises his elders for not listening to their upbringing, in his life. That is why his elders tell him that, “even though you grow long hair.”

This saying imparts in people an idea of stopping to despise their elders by listening carefully to their upbringing, so that they can raise their families well, throughout their lives.

Joshua Bin Sira 8:6.

1429. NAGWISANIJE.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilibhe. Umunhu ng’wunuyo aling’wikobya aliyo ni nguzu oliatinajo. Uweyi oliatogilwe yombo ya gwikenya na bhanhu kunguno ya olihoyi uyo oliang’wisanije igiki agubhumala duhu ubhulugu bhunubho. Hunagwene ong’wilaga giki, “nagwisanije.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi bho gung’wisanya ntale okwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahaga abhanhu bho gubhitila mihayo ya sagala kunguno ya bhudoshi bho gung’wisanya ntale okwe uyo agang’wambilija ugugamala amamihayo gakwe genayo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya gwita mihayo ya bhubhi yiniyo umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo obhikobyaga abhiye na gwikenya nabho bho gung’wisanya uyo ubhumalaga ubhulugu bhokwe bhunubho, kunguno nuwei agitata mihayo ya bhubhi bho gung’wisanya ntale okwe mpaka oduma uguyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agang’wilaga giki, “nagwisanije.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gung’wisanya munhu mpaga bhabhitila mihayo ya bhubhi abhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Matendo ya mitume 24:5.

1Petro 3:8-12.

1Wathesalonike 5:15.

KISWAHILI: NAKUTEGEMEA.

Alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo alikuwa mchokozi wakati hakuwa na nguvu. Yeye alipenda kelele ya kugombana na watu kwa sababu alikuwepo yule aliyemtegemea kwamba ataimaliza tu hiyo vita. Ndiyo maana alimwambia kwamba, “nakutegemea.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatendea maovu watu kwa kumtegemea mkubwa wake katika maisha yake. Mtu huyo huwadhalau watu kwa kuwatendea mambo ya hovyo kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kumtegemea mkubwa wake ambaye humsaidia katika kuyamaliza matatizo hayo, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia hiyo yake kwa sababu ya kutenda maovu hayo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewachokoza watu mpaka akagombana nao kwa kumtegemea yule aliyevimaliza vita vyakwe, kwa sababu naye huwatemdea maovu watu kwa kumtegemea mkuwa wake mpaka anashindwa kuilea vyema familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana humwambia kwamba, “nakutegemea.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kumtegemea mtu mwenye uwezo mpaka wanawatendea maovu wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Matendo ya mitume 24:5.

1Petro 3:8-12.

1Wathesalonike 5:15.

ENGLISH: I DEPEND ON YOU.

There was a man who lived in a certain village. Such man was a bully while he was powerless. He liked making noise by arguing with people because there was the one whom he relied on enough to end any war. That is why he told him that, “I depend on you.”

This saying is related to a person who does evils to people by relying on his elder brother in his life. This person humiliates people by doing evil things to them because of his arrogance of relying on his elder brother who helps him in solving those problems, in his life. He fails to raise his family because of committing those evil deeds, in his life.

This person is similar to the one who provoked people until he quarreled with them because of relying on the one who ended his wars, because he also does evils to people by relying on his elder brother until he fails to nicely raise his family, in his life. That is why he tells him that, “I depend on you.”

This adage imparts in people an idea of stopping to rely on someone in power to the point of doing evils to their fellow human beings, so that they can better raise their families, in their lives.

Acts 24:5.

1 Peter 3:8-12.

1 Thessalonians 5:15.

1428. LYAB’ALEMELILE UGULIB’EJA.

Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhihayaga bhamani bha guzenga numba. Abhanhu bhenabho bhaginhiwa numba ya guzenga muchalo jilebe. Aho bhamala uguizenga inumba yiniyo igab’iza ijile lwande guti giki ili haya gugwa kunguno ya guyizenga shib’i. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “lyab’alemelile ugulib’eja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agituulaga bhubhani bho gutumama nimo uyo agadagumanile chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga gutumama milimo bho nduhu ugwikala ni jitumamililo jayo mpaka oduma uguyimala chiza kunguno ya gwigimba bhumani bho sagala umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agaikenagulaga salaga imilimo yakwe kunguno ya gwituula bhumani bho guitumama aliyo adayideb’ile chiza umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhihayaga giki bhamani bha guzenga numba mpaka nose bhuyikenagula inumba iyo bagayizenga, kunguno nuweyi agituulaga bhumani bho gutumama milimo iyo adayidebhile chiza mpaga uyikenagula sagala, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyab’alemelile ugulib’eja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guleka gwituula bhumani bho milimo iyo bhadayidebhile chiza, kugiki bhadule guitumama chiza imilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mwanzo 11:1-9.

Mathayo 21:42.

Matendo 4:11.

1 Petro 2:7-10.

KISWAHILI: LIMEWASHINDA KULITENGENEZA.

Hapo zamani walikuwepo watu waliojidai kuwa wanafahamu kujenga nyumba. Watu hao walipewa nyumba ya kujenga kwenye kijiji fulani. Walipomaliza kuijenga nyumba hiyo ilienda upande kama inataka kuanguka kwa sababu ya kujengwa vibaya. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “limewashinda kulitengeneza.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujitia kujua kufanya kazi ambayo haielewi vizuri katika maisha yake. Mtu huyo, huanza kufanya kazi bila ya kuwa na vitendea kazi vinavyotakiwa mpaka anashindwa kuimaliza vizuri kazi hiyo, kwa sababu ya kujifanya mjuaji kwenye vitu asivyovihamu vizuri, maishani mwake. Yeye huziharibu hovyo kazi zake kwa sababu ya kutia kujua kwake kwa kufanya kazi asizozielewa vizuri, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na wale waliojifanya wajuaji wa kujenga nyumba mpaka wakaiharibu nyumba hiyo, kwa sababu naye hujifanya mjuaji wa kufanya kazi asizozielewa vizuri mpaka anaziharibu kazi hizo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “limewashinda kulitengeneza.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuacha kujifanya wajuaji wa kufanya kazi wasizozielewa vizuri, ili waweze kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Mwanzo 11:1-9.

Mathayo 21:42.

Matendo 4:11.

1 Petro 2:7-10.

ENGLISH: IT FAILED THEM TO BUILD IT.

In the past, there were people who claimed to know how to build a house. These people were given a house to build in a certain village. When they finished building the house, it looked as if it was about to collapse because it was poorly built. That is why people said that “it failed them to build it.”

This saying is related to a person who pretends to know how to do a job that he does not understand well in his life. This person starts working without having the required tools until he fails to finish the job well, because of pretending to be knowledgeable about things that he does not understand well, in his life. He destroys his works in such a way because of putting his knowledge into doing jobs that he does not understand well, in his life.

This person resembles to those who pretended to know how to build a house until they destroy the house, because he also pretends to be knowledgeable about doing jobs that he does not understand well until he destroys those jobs, in his life. That is why people say to him that, “it failed them to build it.”

This saying teaches people about being careful enough to stop pretending to be experts in tasks which they do not understand well, so that they can properly fulfill their responsibilities in their lives.

Genesis 11:1-9.

Matthew 21:42.

Acts 4:11.

1 Peter 2:7-10.