Olihoyi munhu uyo olimilaga ngese ya jiliwa jidododo. Umunhu ng’wunuyo oyilimilaga ingese yiniyo bho witegeleja bhutale noyi kunguno galigatali ugukula chiza amandege genayo. Hunagwene ulu bhamuja abhanhu abho bhabhitaga hoyi ijo ajitaga oyombaga giki, “nagwandilaga duhu.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aganguhaga gujutumama milimo yakwe chiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agipunaga diyu ogandya gutumama milimo yakwe bho nguzu mpaga oimala chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaja sabho ja gutumamila chiza aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo olimilaga ngunda go mandege madododo bho witegeleja bhutale, kunguno nu weyi aganguhaga gujutumama milimo yakwe bho witegeleja bhutale mpaga oyimala chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nagwandilaga duhu.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwanguha kuitumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.
Marko 4:26-29.
Yakobo 5:7.
KISWAHILI: NACHAMBUA TU.
Alikuwepo mtu aliyekuwa akipalilia palizi ya mahindi. Mtu huyo, alikuwa akipalilia palizi hiyo kwa umakini mkubwa sana kwa sababu yalikuwa hayajakua vizuri mahindi hayo. Ndiyo maana walipomuuliza watu waliopita pale alichokuwa akikifanya, alisema kwamba, “nachambua tu.”
Msema huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwahi kwenda kufanya kazi zake katika maisha yake. Mtu huyo, huamka asubuhi na kwenda kufanya kazi kwa mguvu mpaga anaimaliza vizuri kwa sababu ya umakini wake huo wa kujibidisha kufanya kazi zake maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi za kumsaidia vizuri katika familia yake hiyo, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyepalilia shamba la mahindi madogo kwa umakini mkubwa mpaka akaimaliza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “nachambua tu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwahi kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mali za kutumia vizuri katika familia zao hizo, maishani mwao.
Marko 4:26-29.
Yakobo 5:7.
ENGLISH: I AM JUST ANALYZING.
There was a man who was weeding corn field. Such man was weeding the corn field very carefully because such corn had not grown well. That is why when people who passed by asked him what he was doing, he said, “I am just analyzing.”
This saying is equated to a person who always goes to do his work in his life. Such person wakes up in the morning and goes to work with great energy and finishes it well because of his attention to doing his work in his life. He earns a lot of wealth enough to help him well in his family, because of his attention, in his life.
This person resembles the one who weeded a small corn field with great attention until he finished it well, in his life. That is why he tells people that, “I am just analyzing.”
This saying imparts in people an idea of being attentive enough to always carrying out their duties well, so that they can earn decent wealth for using well in their family lives.
Mark 4:26-29.
James 5:7.













