Riddles

1070. KALAGU – KIZE. MUNHU NAMBU AHA KAYA ODUDUNDUGAJA AYISE – NZUKI.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile wikaji bho nzuki. Inzuki jinijo jigingilaga na gwikala munumba ja bhanhu abho bhagajizunilijaga kunguno ya gujiganikila giki jili bhudugu nabho. Aliyo lulu, ulushigu jasayaga jigabhalumagulaga mpaga lulu gubhabhulaga gete abhamo bhabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagahayaga giki, “munhu nambu ahakaya odudundukaga ayise – Nzuki.”

Ikalagu yiniyo, igalengajiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ahumulile aliyo munholo yakwe alina bhuchilu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga kihamo na bhiye umutumami bho milimo yakwe, uyo agakenyiyagwa hadoo duhu opelana na gwandya kutula bhanhu kunguno ya bhuchilu bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalabhulaga bhanhu bhingi noyi abho agikalaga nabho kunguno ya bhulambu na bhujidigwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki ijo jigasayaga jandya gubhaluma abhanhu bhahene aho jigikala, kunguno nuweyi agakenyiyagwa hadoo duhu wandya gubhatula abhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “munhu nambu ahakaya odudundukaga ayise – Nzuki.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gwikala na bhanhu chiza bho guleka bhuchilu bho sagara, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 4:10 – 14.

Wagalatia 1:7-8.

Mathayo 26:14 – 16.

Tito 1:5-11.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU KICHWA NGUMU HAPA NYUMBANI AMETUSHINDA SISI – NYUKI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia maisha ya nyuki. Nyuki hao huingia na kuishi kwenye nyumba za watu wale ambao huwaruhusi kwa sababu ya kuwafikiria kuwa ni ndugu zao. Lakini siku wamekasirika huwauma hata mpaka kuwaua kabisa baadhi ya watu hao waishio kwenye nyumba hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu kichwa ngumu hapa nyumbani ametushinda sisi – Nyuki.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa kimya lakini ndani ya moyo wake anahasira kali, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi pamoja na wenzake katika utekelezaji wa majukumu yao, ambaye akichokozwa kidogo tu hukasirika na kuanza kuwapiga watu wale anaoishi nao kwa sababu ya hasira yake hiyo kali. Yeye huwaumiza watu wengi wale wanaoishi naye, kwa sababu ya kiburi na hasira zake hiyo kali, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale nyuki waliokasirika na kuanza kuwauma watu wa kwenye familia ya pale walipo, kwa sababu naye pia huchokozwa kidogo tu na kuanza kuwapiga watu anaoishi nao. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu kichwa ngumu hapa nyumbani ametushinda sisi – Nyuki.”

Kitendawili hiyo, hufundisha watu juu ya kuishi vizuri na watu kwa kuachana na hasira zisizo na maana katika maisha yao, ili waweze kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Mwanzo 4:10 – 14.

Wagalatia 1:7-8.

Mathayo 26:14 – 16.

Tito 1:5-11.

bees-326337__480

bees-345628__480

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

A STUBBORN PERSON WHO HAS DEFEATED US AT HOME – BEE.

The origin of this paradox looks at the life of bees. The bees enter and live in houses of people who allow them because they think that they are their relatives. But when they are angry, they bite them until they completely kill some of the people who stay in that house. That is why people say that, “a stubborn person who has defeated us at home – bee.”

This paradox is compared to the person who stays silent but in his heart he is very angry, in his life. Such person lives with his colleagues in the execution of their duties, who if provoked just in a little matter gets angry and starts beating people whom he lives with because of his strong anger. He hurts many people who live with him, because of his pride and strong anger, in his life.

This person resembles the bees that got angry and started stinging the people who live in that family where they are, because he is also provoked just in a little  matter and starts hitting people whom he lives with. That is why people tell him that, “a stubborn person who has defeated us at home – bee.”

This riddle teaches people on how to live well with people by letting go of unnecessary anger in their lives, so that they can help each other in carrying out their responsibilities well, in their lives.

Genesis 4:10 – 14.

Galatians 1:7-8.

Matthew 26:14 – 16.

Titus 1:5-11.

bees-352206__480

1068. KALAGU – KIZE. DULI NG’WIPOLU ABHANHU ABHATALE DULI BHABHILI – LIMI NA NG’WEJI

Ikalagu yiniyo, ihoyelile Limi na Ng’weji umu jigiyambiligijaga ugutumama imilimo. Ilimi nu Ng’weji jili ginhu jitale pye jose ijo jigatumamaga bho gutiima ukunhu jilikabhanya. Ilimi ligatiimaga ulu wela ubhujiku ilikanza ilo Ung’weji gugandyaga gutiima kunguno pye ijose jili nisana. Giko lulu iginhu jinijo jigikalaga jilitale umukikalile ka ng’wa munhu. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “duli ng’wipolu abhanhu abhatale duli bhabhili – Limi na Ng’weji.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhitoji abho bhakilaga chiza umuwitoji bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo ya gulela abhana bhabho bho gubhina isana lya gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagabhakujaga chiza abhana bhabho kunguno ya gwikala gobho ng’wisana bhuli makanza chiniko, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni Limi nu Ng’weji ijo jigiyambilijaga chiza ugubhatiimila abha musi, kunguno nabhoyi bhagiyambilijaga chiza ugubhalanga ilanje ilya wiza abhana bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “duli ng’wipolu abhanhu abhatale duli bhabhili – Limi na Ng’weji.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhitoji higulya ya gwiyambilija chiza ugubhalela abhanhu bhabho bho gubhina ilange lya wiza, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

 Tobiti 8: 6.

Tobiti 8: 17.

Zaburi 104:19-23.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

TUPO PORINI WATU WAKUBWA TU WAWILI – JUA NA MWEZI.

Kitendawili hicho, chaongelea juu ya uwepo wa Jua na Mwezi vinavyosaidiana kufanya kazi. Jua na Mwezi ni vitu vikubwa vyote vifanyavyo kazi ya kuumulikia ulimwengu kwa kubadilishana. Jua huanza Mchana na Mwezi huangaza usiku. Hivyo vyote ni vitu vikubwa machoni pa wanadamu. Ndiyo maana watu huhadithiana wakisema kwamba, “tupo porini watu wakubwa tu wawili – Jua na Mwezi.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa wana ndoa waishio vizuri katika ndoa yao, maishani mwao. Watu hao, hushirikiana vizuri kuwalea watoto wao kwa kuwapatia malezi mema yawezayo kuwapatia mwanga wa kuishi vizuri na watu maishani mwao, kwa sababu ya ushirikiano wao huo mzuri. Wao huwakuza katika malezi mema watoto wao sababu ya wao wenyewe kuyaishi hayo maadili mema katika maisha yao.

Watu hao hufanana na Jua na Mwezi ambavyo husaidiana vizuri katika kuwamulikia walioko duniani, kwa sababu nao husaidiana vizuri katika kuwalea ndani ya maadili mema watoto wao, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tupo porini watu wakubwa tu wawili – Jua na Mwezi.”

Kitendawili hicho huwafundisha wana ndoa juu ya kushirikiana vizuri katika kuwalea watoto wao ndani ya maadili mema, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Tobiti 8:6, 17.

Zaburi 104:19-23.

sun-1260227__480

solar-eclipse-1116853__480

solar-eclipse-7469532__480

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

WE ARE TWO BIG PEOPLE IN THE WILDERNESS – THE SUN AND THE MOON.

The overhead riddle talks about the presence of the Sun and the Moon that help each other to work. The Sun and the Moon are both large objects that work to illuminate the world in exchange. The Sun begins at Day and the Moon shines at night. So they are all great things in the eyes of people. That is why people tell stories to each other saying, “We are two big people in the wilderness – the Sun and the Moon.”

This paradox is compared to married people who live well in their marriage. These people, cooperate well enough to raise their children by providing them with good upbringing that can give to them a light of living well with others in their lives, because of their good cooperation. They raise their children in a good upbringing because they themselves live those good values ​​in their lives.

These people are like the Sun and the Moon which help each other well in enlightening those who live on earth, because they also help each other well in bringing up their children in good values, in their lives. That is why they say that, “We are two big people in the wilderness – the Sun and the Moon.”

This riddle teaches married couples to cooperate well in raising their children in good morals, so that they can live in peace with others in their lives.

Tobit 8:6, 17.

Psalm 104:19-23.

 

1066. KALAGU – KIZE. LINGONGONGO LILIMUNZILA YALYO – LILELI.

Ikalagu yiniyo, yilolile leli iyo ili nzila ya gubhitila ilingongo linilo. Ileli yiniyo igalilanghanaga lingongono linilo lulu kunguno bhuli bhulitilo moblo ilyoyi. Ligabhizaga guti zipu iyo yigabhitilaga munzila yayo uluilifunga jose jose. Hunagwene abhanhu bhagayomba  giki “lingongongo lilimunzila yalyo – lileli.”

Ikalagu yiniyo, igalengajiyagwa kuli munhu uyo agabhudimilaga chiza uwitanwa bhobho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagikalanaga chiza amalagilo ga witanwa bhokwe umukikalile gakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalangaga na bhanhu bhakwe inzila ja gwikala bhabhudimilile ubhunhana kunguno ya bhutengeke bhokwe umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni leli ijo jigalidimilaga ilingongongo lyabhita chiza umunzila yalyo, kunguno nuweyi agagadimilaga amalagilo ga nzila ya nhana, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lingongongo lilimunzila yalyo – lileli.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhatungilija bho gujikalana chiza inhungwa ijawiza, kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho umuwikaji bhobho.

Kutoka 28:2 – 5.

Mithali 31:21b – 25.

Marko 1:6-7.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA. GARI MOSHI LIMO RELINI – LELI.

Kitendawili hicho, chaangalia leli ambayo ni njia inamopitia treini hiyo. Leli hiyo, huilinda treini hiyo kwa sababu ndiyo njia yake inayoyashikilia mataili yake hayo ya chuma. Yenyewe huwa kama zipu ambayo hupitia kwenye njia yake wakati wa kufunga kitu chochote kile. Ndiyo maana watu husema kwamba, “gari moshi limo relini – leli.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishikilia vizuri njia ya kuishi kwenye maadili mema, katika maisha yake. Mtu huyo huyaishi vizuri maadili hayo kwa kufanya kazi vizuri kwa sababu ya uaminifu wake huo. Yeye huwafundisha pia wenzake juu ya kuziendeleza njia hizo njema kwa kuushikiria ukweli katika kazi na katika maisha ya kila siku kwa sababu ya umakini wake huo wa kutunza familia yake.

Mtu huyo hufanana na ile leli inavyoishirikia treini yake mpaka inaweza kupita vizuri kwenye njia yake hiyo, kwa sababu naye huyashikiria vyema maadili hayo mema katika maisha yake.  Ndiyo maana watu humwambia kwamba “gari moshi limo relini – leli.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu kwa kuyaishi vyema maadili hayo mema, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 28:2 – 5.

Mithali 31:21b – 25.

Marko 1:6-7.

train-60539__480

 

 

ENGLISH:  I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE TRAIN IS ON ITS RAILWAY – RAILWAY LINE.

This riddle looks at the path that the train takes. The rail protects the train because it is the way that holds its steel tires. It is like a zipper that goes through its path when closing anything. That is why people say that, “the train is on its railway – railway line.”

This paradox is compared to a person who holds well the way of living on good values, in his life. Such person lives on values ​​well by working well because of his honesty. He also teaches his colleagues to develop those good ways by holding to the truth in works and in everyday life because of his focus on taking care of his family.

This person is similar to the railway that holds the steel tires until the train manages to pass well on its path, because he also holds on good values ​​in his life. That is why people tell him that “the train is on its railway – railway line.”

This riddle imparts in people an idea of being honest by living on values, so that they can raise their families well, in their lives.

Exodus 28:2 – 5.

Proverbs 31:21b – 25.

Mark 1:6-7.

 

 

.

1056. KALAGU – KIZE. NZENGANWA ONE ALYOGOHILILE GETE ILINWANI LYANE – NYAU NA NGOSO.

Ikalagu yiniyo, ihoyelile kikalile ka Nyau na Ngoso aha kaya ya ng’wa Munhu nhebhe. Ingoso iipambukile gete Inyau kunguno ya gogoha guliwa. Aliyo lulu inyau yiniyo ilibhunwani nu munhu kunguno ikagalaga kihamo nawe na iginhiwagwa jiliwa nu munhu ung’wunuyo.

Ingoso iyene igikalaga kule na bhanhu abho bhagiitanaga  nzenganwa kunguno bhagamanaga bhutung’wana bhuli makanza. Hunagwene ung’winikili kaya agayombaga giki, “nzenganwa one alyogohilile gete ilinwani lyane – Nyau na Ngoso.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagikalaga na widumi na bhazengananwa bhabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagikalaga bhikungile umumahoya gabho kunguno ya bhule ng’wene gwikala agucholaga nzila ja gunkelela ung’wiye, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhiyoja kunguno ya gwikala bhalikungila gwikelela bhuli ng’wene chiniko, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na kikalile ka nyau ni ngoso umojididebhelile chiniko, kunguno na bhoyi bhagikalaga bhikungile bho gwikelela chiniko, umuwikaji bhobho. Hunagwene munhu abhagayombaga giki, “nzenganwa one alyogohilile gete ilinwani lyane – Nyau na Ngoso.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gubhakelela abhichabho umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala chiza, umubhulamu bhobho.

1Samwili 7:48-51.

Luka 16:9.

Matendo ya mitume 9:15-18.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

JIRANI YANGU ANAMWOGOPA RAFIKI YANGU – PAKA NA PANYA.

Kitendawili hicho chaongelea juu ya maisha ya Paka na Panya kwenye nyumba ya mtu fulani. Panya humwogopa paka kwa sababu ya kuepuka kuliwa. Lakini paka huyo ana urafiki na binadamu kwa sababu ya kuishi pamoja naye na kupewa chakula na mtu huyo.

Kwa upande mwingine panya yeye huishi mbali na watu ambao humuita jirani yao kwa sababu ya kupishana naye mara kwa mara wanapokutana. Ndiyo maana mwenye nyumba hiyo, husema kwamba, “jirani yangu anamwogopa rafiki yangu – Paka na Panya.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao huishi katika hali ya kuwa na uadui na jarani zao, katika maisha yao. Watu hao, huishi kwa kuviziana katika maongezi yao kwa sababu ya kila mmoja wao kutafuta ujanja wa kumdhulumu mwenzake, maishani mwao. Wao huishi katika ugonvi wa mara kwa mara kwa sababu ya kuishi kwa kunyemeleana kila mmoja, katika maisha yao hayo.

. Watu hao, hufanana na maisha yale ya Paka na Panya kwenye nyumba ya mtu yule, kwa sababu nao huishi kwa kuviziana katika familia yao na majirani zao. Ndiyo maana mtu huwaambia kwamba, “jirani yangu anamwogopa rafiki yangu – Paka na Panya.”

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kuwapunja wengine kwa ujanja katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku ili waweze kuishi vizuri na kwa amani na wenzao, maishani mwao.

1Samwili 7:48-51.

Luka 16:9.

Matendo ya mitume 9:15-18.

baby-rat-2656841__480

cat-4014761__480

cat-2624965__480

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

MY NEIGHBOR IS AFRAID OF MY FRIEND – CAT AND RAT.

This riddle talks about the life of Cat and Rat in someone’s house. Rats are afraid of cats because of avoiding being eaten. But the cat is friendly with human beings because of living with them by being given food by them.

On the other hand, the Rat lives away from people who call it their neighbor because of the constant altercation with it when they meet. That is why the owner of that house says that, “my neighbor is afraid of my friend – Cat and Rat.”

This paradox is related to people who live in a state of enmity with their neighbors, in their lives. Those people, live by stalking each other in their conversations because of each of them being looking for tricks to abuse the other, in their lives. They live in constant conflict because of living by stalking each other, in their lives.

These people are similar to the life of the Cat and the Rat in that person’s house, because they also live by chasing each other in their family and their neighbors. That is why someone tells them that, “my neighbor is afraid of my friend – Cat and Rat.”

This riddle teaches people to abandon the habit of slyly deceiving others in the execution of their daily duties so that they can live well in peace with their societal members.

1 Samuel 7:48-51.

Luke 16:9.

Acts 9:15-18.

 

 

1055. KALAGU – KIZE.BHUB’IKWE BHOKWE B’UYEGI GUB’ANHU – MBIYU.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile mbiyu iyo igazwaga ya byala bhana bhingi. Imbiyu yiniyo igafugilagwa hasi huna yazwa na gubyala matwajo minghi.

Ubhubhikwe bhoyo bhunubho bhugikolaga na gujikwa bho gubhiswa mugati ya si, aliyo lulu ubhoyi bhugenhaga bhuyegi ukubhalimi bha jiliwa jinijo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhub’ikwe bhokwe b’uyegi g’ub’anhu.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho nguzu ningi iyo igenhaga b’uyegi ukubhanhu bha hakaya yakwe yiniyo. Umunhu ng’wunuyo, agaluhaga bho gutumama milimo gwingila diyu mpaga lyagagwa ilimi kunguno ya gubhacholela sabho ja gudula gubhagunana abhanhu bhakwe bhenabho. Uweyi agabhenhelaga bhuyegi bhutale abhanhu bha ha kaya yakwe, kunguno ya sabho nyingi ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni mbiyu iyo igazwaga yabhenhela bhuyegi abhalimi bhayo, kunguno nuweyi agigulambijaga kutumama milimo yakwe bho nguvu mpaga opandika sabho ya gubhenhela bhuyeji abhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhub’ikwe bhokwe b’uyegi gubhanhu – Mbiyu.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho nguvu nyinghi, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhenhela b’uyegi abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 13:31-32.

Marko 4:8-9.

 

KISWAHILI: KTENDAWILI – TEGA.

KUZIKWA KWAYO FURAHA KWA WATU – MBEGU.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia uzikwaji wa mbegu ambayo huzaa matunda mengi. Mbegi hiyo, ikizikwa chini huota na kuzaa matunda hayo mengi. Uzikwaji wake huo hufanana na kufichwa chini ya ardhi lakini basi wenyewe huo huleta furaha kwa wakulima wa zao hilo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kuzikwa kwayo furaha kwa watu – mbegu.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huteseka kwa kufanya kazi kwa nguvu ziwaleteazo furaha watu wa familia yake. Mtu huyo, huteseka kwa kufanya kazi kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu ya kuwatafutia watu wake mali za kuweza kuwasaidia. Yeye huwaletea furaha kubwa watu wake kwa sababu ya mali nyingi anazozipata kutoka kwenye kazi zake hizo.

Mtu huyo hufanana na ile mbegu iliyoota ikawaletea furaha wale walikuma, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa nguvu nyingi mpaka akapata mali za kuwaletea furaha watu walioko kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kuzikwa kwayo furaha kwa watu – mbegu.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa nguvu nyingi, ili waweze kupata mali za kuwaletea furaha watu wao, maishani mwao.

Mathayo 13:31-32.

Marko 4:8-9.

seeds-1302793__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

ITS BURIAL IS HAPPINESS TO THE PEOPLE – THE SEED.

The foundation of this riddle looks at the burial of a seed that bears many fruits. This seed when it is buried in the ground, germinates and bears many fruits. Its burial is similar to being hidden under the ground, but then it itself brings happiness to the farmers of that crop. That is why people say that, “its burial is happiness to the people – the seed.”

This paradox is compared to the person who suffers by working hard enough to bring happiness to his family members. This person suffers by working hard from morning to evening because of finding assets that can help his people. He brings great happiness to his people because of the wealth which he gets from his works.

This person is like the seed that germinated and brought happiness to the farmers, because he also does his work with a lot of energy until he gets the wealth that brings happiness to his family members. That is why people tell him that, “its burial is happiness to the people – the seed.”

This riddle teaches people about forcing themselves to do their work with a lot of energy, so that they can get wealth that can bring happiness to their family members.

Matthew 13:31-32.

Mark 4:8-9.