Imbuki ya lusumo lunulo ilolile ng’hasha ya walwa. Ing’hasha yiniyo jili jisanjo ijo ulu giki bhanhu bhuhaya gusiza walwa b’agandijaga guyib’eja iyagwiza gubhusanja uwalwa wenubho kunguno ya gubhukalihya. Iyoyi ilolile na mihayo ya b’akulugenji iyakale iyo mpaga na lelo dugwitumamilaga. Hunagwene abhanhu bhagayiyombaga giki, “Ng’hasha ya b’akulugenji yalema gutela.”
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalikalanaga chiza ililange lya bhatale bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agalikanaga ililange lya bhatale bhakwe bhenabho bho gubhalanga abhanhu bhakwe nhungwa ja gwikala na bhanhu chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gubhalanga abhanhu bhakwe nhungwa ja gwikala na bhanhu chiza, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nhi ng’hasha ya bhakulugenji iyo igabhukalihyaga uwalwa, kunguno nuweyi agalikanaga chiza ililange lya bhabyaji bhakwe bho gubhalanga abhanhu bhakwe nhungwa ja gwikala na bhanhu chiza umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki “Ng’hasha ya b’akulugenji yalema gutela.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gulikalana chiza ililange lya bhatale bhabho bho gubhalanga abhanhu bhabho nhungwa ja gwikala na bhichabho chiza, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale, umukaya jabho.
Mathayo 24:35.
Luka 21:32.
1Wakorintho 7:31.
KISWAHILI: CHACHU YA WAKUU IMEKATAA KUFIFIA.
Chanzo na maana ya methali hii inaangalia chachu ya pombe. Chachu hiyo ni kikolezo ambacho watu wakitaka kupiga pombe huanza kukitengeneza kinachokuja kuchanganywa na pombe ili kuikoleza. Chachu hiyo pia ni maneno ya wakuu yaliyo ya zamani ambayo bado tunayatumia hadi leo. Ndiyo maana watu huisema kwamba, “chachu ya wakuu imekataa kufifia.”
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaishi vizuri malezi ya wakubwa wake katika maisha yake. Mtu huyo, huyaishi malezi hayo ya wakubwa wake kwa kuwafundisha watu wake maadili ya kuishi na watu vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye hupata furaha kubwa katika familia yake kwa sababu ya umakini wake huo wa kuwafundisha watu wake maadili ya kuishi vizuri na watu, katika maisha yake.
Mtu huyo hufanana na ile chachu ya wakuu iliyokoleza pombe, kwa sababu naye huyaishi vizuri maadili ya wakuu wake kwa kuwafundisha watu wake maadili ya kuishi na watu vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humfananisha na chachu kwa kusema kwamba, “chachu ya wakuu imekataa kufifia.”
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuyaishi malezi ya wakubwa wao kwa kuwafundisha watu wao maadili ya kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa, katika familia zao.
Mathayo 24:35.
Luka 21:32.
1Wakorintho 7:31.
ENGLISH: THE YEAST OF THE ELDERS HAS REFUSED TO FADE.
The origin of meaning of this proverb looks at the yeast of alcohol. This yeast is a flavoring that people who want to prepare alcohol begin to make which is then mixed with alcohol to flavor it. It is also an old saying of the elders that we still use up to this day. That is why people say that, “The yeast of the elders has refused to fade.”
This proverb is related to a person who lives well the upbringings of his elders in his life. This person lives these upbringings of his elders by teaching his people about values of living well with their fellows, because of his attention, in his life. He finds great happiness in his family because of his attention of teaching his people the values of living well with others, in his life.
This person is like the yeast of the elders that fermented alcohol, because he also lives well the values of his elders by teaching his people about the values of living well with others, in his life. That is why people compare it to this yeast by saying that, “the yeast of the elders has refused to fade.”
This proverb teaches people about living the upbringing of their elders by teaching their people about the values of living well with their nobles, so that they can live with great happiness, in their families.
Matthew 24:35.
Luke 21:32.
1 Corinthians 7:31.















