Mwanza

1473. OGAYIWA NG’HINGO GITI NG’ONGE JILIPUGANYA MU GITI.

Oliyoyi munhu uyo ulina nhingo nguhi. Umunhu ng’wunuyo, agakoyaga ugumila ing’honge kunguno ya bhuguhi bho ng’hingo yakwe yiniyo. Uweyi obhizaga guti inhonge ijo jibhisanyaga mugiti. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ogayiwa ng’hingo giti ng’onge jilipuganya mu giti.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhitola muludugu lobho, umukikalile kabho. Abhitoji bhenabho bhali bhadimanile chiza umuludugu lobho kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gwita bhukengeji bho gwidebha chiza umubhudugu bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagadumaga uguilela chiza ikaya yabho kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho ubho gwidebha chiza umubhudugu bhobho bhunubho, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni ng’honge ijo jibhisanyaga mugiti, kunguno nabhoyi bhitola mubhudugu bhobho bho nduhu ugwidebha chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “ogayiwa ng’hingo giti ng’honge jilipuganya mugiti.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwidebha chiza umubhudugu bhobho haho bhatali ugwitola, kugiki bhadule ugujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Wakorintho 8:38-39.

KISWAHILI: UMEKOSA SHINGO KAMA TONGE KUCHENGANA GIZANI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na shingo fupi. Mtu huyo, alipata shida ya kumeza tonge kwa sababu ya ufupi wa shingo yake. Yeye alifanana na tonge zilizopishana kwenye giza. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umekosa shingo kama tonge kuchengana gizani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu waliooana ndani ya undugu wao katika maisha yao. Wana ndoa hao, hawakuuelewana vizuri katika undugu wao kabla ya kuoana kwa sababu ya kukosa umakini wa kuuelewa vizuri undugu wao, maishani mwao. Wao hushindwa kuilea vyema familia yao, kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuuelewa vizuri undugu wao kabla ya kuoana, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na zile tonge zilizopishana gizani kwenye shingo fupi, kwa sababu nao wameoana ndani ya undugu wao bila ya kuelewana vizuri, maishani mwao. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba, “umekosa shingo kama tonge kuchengana gizani.”

Msemo huyo, hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kufanya utafiti wa kuwaolewa ndugu zao kabla ya kuoana, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

1Wakorintho 8:38-39.

 

ENGLISH: YOU HAVE A SHORT NECK LIKE PIECES OF STIF FOOD PASSING EACH OTHER IN THE DARK.

There was once a man who had a very short neck. Because of this, he struggled to swallow food easily. People described his condition in a figurative way, saying it was like “pieces of food passing each other in the dark.” From this image came the saying: “You have a short neck like pieces of stif food passing each other in the dark.”

This saying is compared to people who marry within their own close family without first taking time to understand one another well. Before marriage, they do not carefully examine their relationship, their differences, or their responsibilities. Because of this lack of understanding, they may later struggle to build and guide their family properly.

Just as food passing in a short neck faces difficulty, these couples face confusion and misunderstanding in their marriage. The “darkness” in the saying symbolizes a lack of knowledge, preparation, and wisdom before entering into marriage.

Therefore, this saying teaches that people should be careful and thoughtful before marriage. They should take time to understand one another deeply, seek guidance, and prepare themselves well so that they can raise their families in peace and unity throughout their lives.

The teaching also connects with the spirit of love and responsibility found in First Epistle to the Corinthians 8:38–39, which reminds believers about the importance of acting in love and wisdom in their relationships.

Hence, marriage requires understanding, preparation, and wisdom. Entering it without knowledge and careful thought can lead to unnecessary struggles.

1472. NGUNGA GODUNG’WA LIMI.

Aho kale lyalihoyi linti ilo litanagwa lingunga. Ilingunga linilo lyahulumaga bhuli makanza nulu ib’ize chu ja limi lisebhu kunguno lyalihasoga. Ilyoyi lyahurumaga duhu pye amakanza genayo kunguno ya gwikala ha bhulolo bhusoga chiniko. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ngunga godung’wa limi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ha kaya ya bhutogwa bhutale, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe na bhuyegi bhutale na bhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhutogwa bhutale ubho bhalinabho bhunubho, umuwikaji bhobho bhunubho. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutogwa bho bhanhu bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ngunga uyo gohulumaga pye amakanza nulu lyasebhaga ilimi, kunguno nuweyi agikalaga na bhanhu bhabhutogwa ubho bhugang’winhaga bhuyegi bhuli makanza, aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witaga giki, “ngunga godung’wa limi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhambilija gutumama milimo yabho chiza na bhuyegi, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Ezekieli 31:4-5.

Ayubu 8:16-19.

Zaburi 104:16-19.

KISWAHILI: MGUNGA ULIOSHINDA JUA.

Hapo zamani ulikuwepo mti ulioitwa Mgunga. Mkunga huyo ulisitawi kila wakati hata iwe kiangazi cha Jua kali kwa sababu ulikuwa kwenye udongo mzuri. Wenyewe ulisitawi wakati wote huo kwa sababu ya kuwa pazuri hivyo. Ndiyo maana watu waliuita jina la “mgunga ulioshinda Jua.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayeishi kwenye familia yenye upendo mkubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kwa furaha kubwa katika familia yake hiyo, kwa sababu ya upendo wa watu hao, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake hiyo kwa sababu ya upendo walionao watu hao, katika maisha yao hayo.

Mtu huyo, hufanana na ule mgunga uliokuwa kwenye udongo mzuri mpaka ukasitawi hata wakati wa Jua kali, kwa sababu naye huishi na watu wenye upendo uliompatia furaha kila wakati kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mgunga ulioshinda Jua.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwasaidia kufanya kazi zao vizuri na kwa furaha, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Ezekieli 31:4-5.

Ayubu 8:16-19.

Zaburi 104:16-19.

 

THE MGUNGA THAT OVERCAME THE SUN

Once upon a time, there was a tree called Mgunga. The Mgunga tree always flourished, even during the hot summer, because it grew in rich and fertile soil. It continued to grow strong and healthy because it was planted in a good place. That is why people called it the Mgunga that overcame the Sun.”

This saying is compared to a person who lives in a family filled with great love. Because of the love in that family, the person works with joy and peace. He takes good care of his family, and he fulfills his responsibilities happily, because he is strengthened by their love.

Just like the Mgunga tree that flourished even under the burning Sun because it was planted in good soil, this person thrives in life because he lives among loving and supportive people. That is why he is called “the Mgunga that overcame the Sun.”

This saying teaches people that love is like fertile soil. When there is love in a family, people gain strength to work hard, remain patient during difficulties, and raise their families well throughout their lives.

Book of Ezekiel 31:4–5.

Book of Job 8:16–19.

Psalms 104:16–19.

These passages also describe how trees planted in good conditions grow strong and flourish, just as a person rooted in love grows and prospers in life.

 

 

1471. BATINDIJI PYE.

Akahayile kenako kahoyelile ndimu iyo igitanagwa ng’holo. Indimu yiniyo, igikalaga ndyehu bhuli makanza kunguno ya kabhumbulwe kayo kenako, umuwikaji bhoyo. Iyoyi igabhizaga guti giki igutindilaga, umukikalile kayo kenako. Hunagwene abhanhu bhagajitinaga ing’holo jinijo giki, “bhatindiji pye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinyehu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhanhu bho gwiyambilija kutumama milimo yabho chiza, kunguno ya bhulyehu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhulyehu bhokwe bhunubho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’holo iyo ilindyehu kunguno nuweyi ali na bhulyehu bho gubhalela chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “batindiji pye.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhulyehu bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

 Hebabu 12:3.

Yeremia 11:19.

 

KISWAHILI: WASINZIAJI WOTE.

Msemo huo, huongelea juu ya mnyama anayeitwa kondoo. Mnyama huyo huishi kwa utulivu kila wakati kwa sababu ya kuumbwa kwake hivyo maishani mwake. Kondoo huyo, huonekana kana kwamba, anasinzia katika maisha yake. Ndiyo maana watu huwaita kondoo wote kuwa ni “wasinziaji wote.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mpole katika maisha yake. Mtu huyo, huishi na watu kwa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, kwa sababu ya upole wake huo, maishani mwake. Yeye huwalea vyema watu walioko kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya upole wake huo, katika maisha yake hayo.  

Mtu huyo, hufanana na yule kondoo anayeishi kwa utulivu, kwa sababu naye ana upole wa kuwalea vyema watu wake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ni, “wasinziaji wote.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upole wa kuwawezesha kuishi na wenzao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Hebabu 12:3.

Yeremia 11:19.

 

ENGLISH: ALL SLEEPERS.

This saying refers to an animal called a sheep. A sheep is known for its calm and peaceful nature. It does not fight aggressively but lives quietly among others. Because of its gentle behavior, people say that sheep seem as if they are always asleep. That is why they are called “all sleepers.”

This proverb is compared to a person who is gentle in his life. A gentle person lives peacefully with others. He cooperates with people, helps them carry out their duties, and avoids conflict. Because of his calm spirit, he builds unity in his community.

Such a person also raises his family well. Through patience and kindness, he guides his children and supports his household with wisdom. He resembles the sheep that lives peacefully among the flock. For this reason, people may describe him as “all sleepers,” meaning he is calm, humble, and gentle.

This saying imparts in people an idea of importance of gentleness. A gentle person is able to live well with others, maintain harmony, and build a strong family through patience and love.

In Book of Hebrews 12:3, believers are encouraged to consider Christ, who endured opposition with patience, so that they may not grow weary.

In Book of Jeremiah 11:19, the prophet compares himself to a gentle lamb led to the slaughter, showing humility and innocence.

These scriptures remind us that gentleness and patience are signs of strength, not weakness.

 

 

1469. NH’UMO GO HUMILA WILALI.

Golihoyi mongo uyo gohumaga wilali ijidiku ni chu bho nduhu ugukama. Umongo gunuyo gugahumaga pye amakanza bho nduhu ugutinika kunguno ya wingi bho minzi gago. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nh’umo go humila wilali.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudimilaga mhayo go ng’wa mulungu bhuli makanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagudimilaga umhayo go ng’wa Mulungu bho gugikalana chiza amalagilo gakwe na gwikala na bhanhu chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yake kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho gugudimila chiza umhayo go ng’wa Sebha, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mongo uyo gugahumaga pye amakanza bho nduhu ugukama, kunguno nuweyi agasalilaga pye amakanza bho nduhu ugunoga, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nh’umo go humila wilali.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gugadimila amalagilo ga ng’wa Mulungu bhuli makanza bho nduhu ugunoga, kugiki bhadule kupandika mbango ja gubhashisha ng’wigulu.

Mathayo 24:35.

Marko 13:31.

Luka 21:33.

KISWAHILI: MTIRIRIKO UMETIRIRIKA KIMOJA.

Ulikuwepo mto ambao ulikuwa ukitiririka kimoja wakati wote wa kiangazi na wa masika bila ya kukoma. Mto huo ulitiririka wakati wote bila ya kukatika kwa sababu ya wingi wa maji yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “mtiririko umetiririka kimoja.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hulishikiria neno la Mungu kila wakati, katika maisha yake. Mtu huyo, hulishikilia neno la Mungu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake na kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya unyofu wake huo maishani mwake. Yeye hupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuliishi vyema neno la Mungu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na ule mto uliotiririka wakati wote bila kukoma, kwa sababu naye hulishikiria neno la Mungu kila wakati bila kushoka, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtiririko umetiririka kimoja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuyaishi maagizo ya Mungu wakati wote bila kushoka, ili waweze kupata baraka za kuwafikisha mbinguni.

Mathayo 24:35.

Marko 13:31.

Luka 21:33.

 

ENGLISH: THE FLOW HAS FLOWED ALL THE TIME.

There was a river that flowed continuously throughout summer and winter without ever stopping. It flowed at all times because it had an abundance of water. For this reason, people said, “The flow has flowed all the time.”

This saying is compared to a person who holds firmly to the Word of God at all times in his life. He remains faithful by following God’s instructions and living well with other people. Because of his honesty and obedience, he receives blessings and lives peacefully and happily with his family.

That person is like the river that never stops flowing. Just as the river flows continuously, he continues to live according to God’s Word without giving up. That is why people say about him, “The flow has flowed all the time.”

This saying teaches people to remain faithful to God’s commandments at all times without failing, so that they may receive blessings and inherit eternal life.

Matthew 24:35 – “Heaven and earth will pass away, but My words will never pass away.”

Mark 13:31 – “Heaven and earth will pass away, but My words will never pass away.”

Luke 21:33 – “Heaven and earth will pass away, but My words will never pass away.”

 

 

 

1467. YAPULA NSU.

Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhali bhaja kulombo na nva yabho. Inva yao yiniyo yanunhilijaga unsu go ndimu ulu yabhijimija mpaka yakupandika chiza na gwiyubhona indimu yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomga giki, “yapula nsu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina masala gagujichola isabho mpaga ujipandika umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagatumamilaga chiza amasala gakwe bho guitilila bhukengeji imilimo yakwe na gwigulambija guitumama chiza mpaga oyimala, kunguno ya masala gakwe genayo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi apandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gugatumamila chiza amasala gakwe genabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni nva iyo yanunhilijaga unsu go ndimu ulu yabhijimija mpaga yayipandika, kunguno nuweyi agagatumamilaga chiza amasala gakwe bho gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza mpaga opandika sabho ningi aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “yapula nsu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gudebha ugugatumamila chiza amasala gabho bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umukaya jabho jinijo.

Mwanzo 10:9.

Mwanzo 25:27.

Yeremia 16:16.

KISWAHILI: AMENUSA HARUFU.

Hapo zamani walikuwepo watu waliokuwa wanawinda wanyama poli na mbwa wao. Mbwa huyo alikuwa akimtafuta mnyama wanayemuwinda anapowapotea kwa kunusa harufu yake mpaka anampata. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “amenusa harufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana akili za kutafuta mali mpaka anaipata katika maisha yake. Mtu huyo, huitumia vizuri akili yake hiyo kwa kuzifanyia utafiti kazi zake na kujibidisha kuzitekeleza vizuri mpaka anazimaliza kwa sababu ya akili yake hiyo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya kuzitumia vizuri hivyo akili zake hizo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule mbwa aliyemtafuta mnyama kwa kunusa harufu yake mpaka akampata, kwa sababu naye huitumiza vizuri akili yake kwa kutafuta kazi na kuzitekeleza vizuri mpaka anafanikiwa kupaka mali nyingi katika familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kamba, “amerusa harufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kuzitumia vizuri akili zao kwa kujibidisha kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao hizo.

Mwanzo 10:9.

Mwanzo 25:27.

Yeremia 16:16.

ENGLISH: IT HAS SNIFFED THE SMELL.

In the past, people hunted wild animals with the help of dogs. When the animal escaped or became lost, the dog would search for it by following its scent. The dog carefully sniffed the ground and tracked the smell until it found the animal. Because of this ability, people would say, “It has sniffed the smell.”

This saying is compared to a person who has intelligence and determination to search for success and wealth in life. Just as the dog follows the scent without giving up, a wise person uses his mind carefully. He studies his tasks, plans well, and works hard until he achieves his goals. Through persistence and intelligence, he succeeds and brings prosperity to his family.

That person is like the hunting dog that tracks the animal by its scent until it finds it. In the same way, he uses wisdom and careful thinking to identify opportunities and carry out his work successfully. Because of this effort and intelligence, he gains wealth and improves his life.

Therefore, when people say, “It has sniffed the smell,” they are praising someone who is clever, observant, and hardworking in seeking success.

This saying teaches people to use their minds wisely, work diligently, and to remain focused until they achieve their goals and bring prosperity to their families.

Genesis 10:9 – Nimrod was described as a mighty hunter before the Lord.

Genesis 25:27 – Esau was a skillful hunter, a man of the field.

Jeremiah 16:16 – The Lord speaks of sending many hunters who will search and find.