Mwanza

1462. OBALAGASHA UKUNGUBHALA ILIMI LYASEB’AGA.

Imbuki ya kahayile kenako kahoyelile jisunva ijo jigitanagwa kungub’ala. Ikungub’ala yiniyo jilijisunva ijo jikolile na bhushishi. Akajisunva kenako kali kabhuluguti gete ako kagigelaga ilimu ulu lyaseb’a. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki “obalagasha ukungub’ala ilimi lyaseb’aga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gutumama milimo yakwe chiza nulu lyaseb’aga ilimi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo bhugelaga ubhujiku ogatumama milimo yakwe chiza mpaga lyagalib’ila ilimi kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe nulu lyasebaga ilimi, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nakakungub’ala ako kagigelaga ulu lyaseb’aga ilimi, kunguno nuweyi agiyumilijaga gutumama milimo yakwe chiza nulu lyasebhaga ilimi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “obalagasha ukungub’ala ilimi lyaseb’aga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wiyumilija bho gutumama milimo yabho chiza, nulu lyaseb’aga ilimi, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 12:36-40.

Luka 13:24-26.

Yakobo 5:7-8.

2Thimotheo 4:5.

KISWAHILI: KACHANGAMUKA KIUMBE JAMII YA SISIMIZI JUA LIMEKUWA KALI.

Chanzo cha msemo huo humwongelea kiumbe jamii ya sisimizi. Jamii hiyo ya sisimizi ni kiumbe kinachofanana na sisimizi. Kiumbe hicho ni kichangamfu sana ambacho huonenaka wakati jua linapokuwa kali sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kachangamuka kiumbe jamii ya sisimizi jua limekuwa kali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kufanya kazi zake hata wakati wa jua kali, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu ya uvumilivu wake huo wa kufanya kazi  vizuri hata wakati wa jua kali, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya uvumilivu wake huo wa kuyatekeleza vizuri majukumu yake wakati wote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na kile kiumbe jamii ya sisimizi ambacho huonekana wakati wa jua kali, kwa sababu naye huyatekeleza vizuri majukumu yake hata wakati wa jua kali, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “kachangamuka jamii ya sisimizi jua limekuwa kali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao hata wakati wa jua kali, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao, maishani mwao.

Luka 12:36-40.

Luka 13:24-26.

Yakobo 5:7-8.

2Thimotheo 4:5.

 

ENGLISH: AN ANT HAS WOKEN UP; THE SUN HAS BECOME STRONG.

The origin of this saying refers to a small creature similar to an ant. This creature is very active and is usually seen when the sun is very hot. Because it continues to move and work even under intense heat, people say, “An ant has woken up; the Sun has become strong.”

This saying is compared to a person who endures hardship and continues to work even during difficult conditions, such as the hot Sun. Such a person works from morning until evening because of his patience and determination. Through this endurance and commitment to his duties, he is able to provide well for his family and gain wealth in his life.

That person is likened to the ant that appears and remains active during the hot Sun. Just as the ant does not stop working because of the heat, the person continues to carry out his responsibilities faithfully at all times. For this reason, people say about him, “An ant has woken up; the Sun has become strong.”

This saying teaches people to be patient and hardworking enough to carry out their duties diligently even in difficult conditions, so that they may achieve success and prosperity in their lives and families.

Luke 12:36–40.

Luke 13:24–26.

James 5:7–8.

2 Timothy 4:5.

 

 

1461. MBUCHA MILIGO

 

Akahayile kenako kalolile nzobe iyo yabhuchaga miligo. Inzobe yiniyo, ili ndimu iyi abhanhu bhagaitumilaga bho gubhucha milimo yabho kunguno ya wivumilija bhoyo na nguzu jayo jiniyo. Iyoyi igabhambilija abhanhu bhenabho uguyibhucha imiligo yabho bhasiminza mpaga bhashiga uko bhajile umulugendo lobho lunulo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayitanaga giki “mbucha miligo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilija gubhambilija bhanhu gubhucha milimo yabho chiza, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, alina nguzu ningi na wiyumilija bhutale ubho gubhabhukija bhanhu miligo yao kunguno ya bhutogwa bhokwe bhunubho ukubhiye, umuwikaji bhokwe. Uweyi agayilalega chiza ikaya yakwe bhogubhalanga abhanhu bhakwe gutumama milimo yabho bho gwiyambilija chiza, kunguno ya wiyumilija na bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzobe iyo yabhambilijaga bhanhu gubhucha milimo yabho chiza, kunguno nuweyi agabhambilija abhanhu bhakwe ukubhucha chiza imiligo yabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanga giki, “mbucha miligo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gubhambilija bhichabho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mwanzo 44:13.

Marko 11:1-4.

Mathayo 21:1-7.

Yohana 12:12-16.

KISWAHILI: MBEBA MIZIGO.

Msemo huo humuongelea punda. Punda huyo ni myama ambaye watu humtumia kuwabebea mizigo yao kwa sababu ya nguvu alizonazo na uvumilivu wake huo. Mwenyewe huwasaidia watu hao katika kubeba mizigo yao wanaposafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine. Ndiyo maana watu humuita jina la “mbeba mizigo.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia katika kuwasaidia watu kubeba mizigo yao vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, ana nguvu na uvumilifu wa kutosha kuwasaidia watu kutatua shida zao zikiwemo zile za kuwabebea mizigo yao, kwa sababu ya upendo na uvumilivu wake huo, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake hiyo kwa kuwafundisha watu wake juu ya kuyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana vizuri, katika maisha yao.

Mtu huyo, hufanana na yule punda aliyewasaidia watu kubeba mizigo yao kutoka sehemu moja hadi nyingine, kwa sababu naye huwasaidia watu wake kwa kuwabebea mizigo yao, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “mbeba mizigo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kutosha kusaidiana vizuri katika kuyatekeleza vyema majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 44:13.

Marko 11:1-4.

Mathayo 21:1-7.

Yohana 12:12-16.

 

ENGLISH: LOAD CARRIER

This saying refers to a donkey. A donkey is a strong and enduring animal that people use to carry luggage. It helps people transport their belongings when traveling from one place to another. Because of its strength and patience, people call it a “load carrier.”

This saying is also used to describe a person who is patient and willing to help others carry their burdens in life. Such a person has the strength, endurance, and love needed to help people solve their problems, including difficult responsibilities. He supports others willingly and faithfully, just as a donkey carries heavy loads without complaint.

This person also raises his family well by teaching them to fulfill their responsibilities and to help one another in their daily lives. Like the donkey that carries luggage from place to place, he carries burdens of his people and supports them through life’s journeys. That is why he is called a “load carrier.”

This saying teaches people to be patient and supportive by helping one another to fulfill responsibilities faithfully. By doing so, families and communities can achieve great success in life.

Genesis 44:13.
Mark 11:1–4.
Matthew 21:1–7.
John 12:12–16.

1460. JILANGA BADUMA.

Akahayile kenako kanhoyelile munhu ndoo uyo aganhanga munhu uyo bhadalenijije imyaka nulu hado. Aho kale olihoyi namhala uyo ojidimaga ng’ombe jakwe. Umudimi bhokwe bhunubho, igabyala ng’ombe yakwe. Aho yabyala henaho uweyi akagabucha akadilanha, ing’ombe yukagayiwa akana kayo yushoka uko yabyalilaga. Huna wiza ng’wana okwe niyo ndoo ung’wila giki, “b’ab’a ukatuula hasi akana kayo yakabhona, obucha hangi ulu yahaya gunyamuka okatuula hasi hangi.” Oho wita giko unamhala ng’wunuyo ing’ombe yu golola guja kaya.

Unamhala ng’wunuyo agapelana noyi ugulangwa na ng’wana okwe mpaga usola lugoye uginija, kulwa gukolwa gulangwa na ng’wana wakwe chiniko. Hunagwene abhanhu bhagang’witana ung’wana ng’wunuyo giki “jilanga baduma.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina widohya bho gubhalanga bhanhu bhose lilange lya wiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agalitumilaga ilikanza lyakwe bho gubhalemala pye abhanhu bhakwe kajile kagwikala na bhichabho chiza kunguno ya widohya bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya widohya bhokwe ubho gubhalanga ilange lya wiza pye abhanhu bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo agananga myaji okwe nzila ja uichala kaya ing’ombe yakwe iyo yaliyabyala yiniyo mpaga uishisha, kunguno nuweyi agabhalangaga lilange lyawiza abhanbhu bhakwe mpaga bhikala na buyeji bhutale aha kaya yabho yiniyo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jilanga baduma.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhalanga lilange lya wiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho jinijo.

Luka 2:41-51.

Yohana 2:1-11.

KISWAHILI: MFUNDISHA WAKUBWA.

Msemo huo, humwongelea mtu mdogo aliyemfundisha mtu wasiyelingana naye miaka hata kidogo. Hapo zamani alikuwepo mzee aliyekuwa akichunga mifugo yake. Ng’ombe wake alizaa yeye akambeka yule ndama, yule ng’ombe akamkosa mtoto wake akarudi alikozalia. Ndipo mtoto wa mzee huyo, akamwambia “baba muweke chini ndama ili ng’ombe amuone, hafalafu unambeba tena, ng’ombe akirudi nyuma unamuweka mtoto wake huyo chini tena.” Mzee yule alipofanya hivyo, yule ng’ombe alimfuata mpaka nyumbani.

Mzee huyo alikasirika sana kufundishwa na mtoto wake mpaka akachukua kamba kwenda kujinyonga kwa sababu hasira yake hiyo ya kufundisha na mtoto wake. Ndiyo maana watu walimuita huyo mtoto jina la, “mfundisha wakubewa.”  

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kuwafundisha maadili mema watu wote, katika maisha yake. Mtu huyo huutumia muda wake kwa kuwafundisha watu wake wote mwenendo wa kuishi vizuri na wenzao kwa sababu ya unyenyekevu wake huo maishani mwake. Yeye huishi kwa furaha kubwa katika familia yake hiyo kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuwafundisha maadili mema watu wake wote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtoto aliyemfundisha baba yake namna ya kumpeleka nyumbani ng’ombe aliyezaa, kwa sababu naye huwafundisha watu wake wote, namna ya kuishi vizuri na wenzao, mpaka wanaweza kuishi kwa furaha kubwa katika familia zao. Ndiyo maana watu hao humuita jina la “mfundisha wakubwa.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwafundisha watu wao maadili ya kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kuishi kwa kuraha kubwa katika familia zao hizo, maishani mwao.

Luka 2:41-51.

Yohana 2:1-11.

 

ENGLISH: TEACHER OF THE ELDERS.

This saying refers to a young person who teaches wisdom to someone older than himself.

Once upon a time, there was an old man herding his cattle. One of his cows gave birth, and the old man carried the calf as he walked home. The cow, missing her calf, kept returning to the place where it had given birth. Seeing this, the old man’s son said to him: “Father, put the calf down so that the cow can see it. If she goes back again, put the calf down once more.”

When the old man followed his son’s advice, the cow saw her calf and followed them all the way home.

However, the old man became very angry because his own son had taught him what to do. Out of shame and anger at being corrected by someone younger, he even took a rope intending to hang himself. Because of this incident, people began to call the child the teacher of the elders.”

This saying is compared to a person who has humility and teaches good morals to all people, regardless of their age. Such a person spends his life guiding others on how to live well with their fellow human beings. Because of his humility and wisdom, he brings peace and happiness to his family and community.

That person is like the child who taught his father how to bring the cow home. In the same way, he teaches people how to live well with one another, so that they may enjoy harmony and happiness in their families. For this reason, people call him the teacher of the elders.”

This saying teaches the importance of humility, both in giving and receiving instruction, and reminds people that wisdom can come from anyone, regardless of age. Accepting good advice leads to peace, comfort, and a good life within families and communities.
Luke 2:41–51.
John 2:1–11.

 

 

1459. BULI OGALUKA LIFA GUNICHIMA?

Akahayile kenako kahoyelile bhuching’wa bho lifa bho munhu uyo oliadalimanile giki lifa ilinilo. Umunhu ng’wunuyo liganchima ilifa linilo aho obhitila hoyi kunguno oliganikilaga giki lidi lifa. Hunagwene aho lyanchima agabuja giki “buli ogaluka lifa gunichima.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agang’wigalukaga unwani okwe bho gung’witila mihayo ya bhubhi, umukikalile kabho. Umunhu ng’wunuyo aganndyaga gunsiga na gundalahija sagala ung’wiye mpaka nose, bhoya ugwikala kihamo kunguno ya gunminya chiniko ung’wiye, umuwikaji bhobho. Uweyi agabhubhinzaga ubhunwani bhobho bho gung’witila mihayo ya bhubhi chiniyo ung’wiye kunguno ya gung’wigaluka bho gunminya chiniko, umukikalile kabho kenako.

Umunhu ng’winuyo agikolaga ni lifa ilo liganchima uyo oliganikila giki lidi lifa, kunguno nuweyi agaminyaga ung’wiye bho gug’witila mihayo ya bhubhi mpaga obhubhinza ubhunwani bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Hunagwene ung’wiye agamujaga giki, “buli ogaluka lifa gunichima?”

Akahayile kenako kalanga bhanwani higulya ya guleka nhungwa ja gwiigaluka bho gwiitila mihayo ya bhubhi, kugiki bhadule gwikala bho mholele umubhunwani bhobho bhunubho.

Mathayo 26:14-16.

Mathayo 10:21.

Mathayo 24:9.

Marko 14:10-11.

KISWAHILI: KWA NINI UMEGEUKA MWIBA KUNICHOMA?

Msemo huo humuongelea mtu aliyechomwa mwiba ambao aliufikiria kuwa si mwiba. Mtu huyo, ulimchoma mwiba huo alipopitia hapo kwa sababu ya kuufikiria kuwa ni kitu kingine cha kawaida kisichoweza kumuumiza, katika mawazo yake. Ndiyo maana ulipomchoma aliuliza kwamba, “kwa nini umegeuka mwika kunichoma?”

Msemo huo hulinganishwa kwa rafiki anayemgeuka rafiki yake kwa kumtendea maovu, katika maisha yake. Mtu huyo, humsengenya rafiki yake huyo na kumdharau mpaga mwishowe urafiki wao unavunjika kwa sababu ya kumuumiza hivyo mwenzake, maishani mwao. Yeye huuvunja urafiki wao huo kwa sababu ya kumtendea maovu hayo yanayoumiza moyo wa mwenzake huyo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na ule mwiba uliomchoma yule ambaye alifikiria kuwa siyo mwiba, kwa sababu naye humuumiza rafiki yake kwa kumtendea maovu mpaka urafiki wao unavunjika, maishani mwao. Ndiyo maana yule aliyeumizwa humuuliza mwenzake huyo kwamba, “kwa nini umegeuka mwiba kunichoma?”

Msemo huo, hufundisha marafiki juu ya kuacha tabia ya kugeukana kwa kutendeana maovu katika urafiki wao, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 26:14-16.

Mathayo 10:21.

Mathayo 24:9.

Marko 14:10-11.

 

ENGLISH: WHY DID YOU TURN INTO A THORN AND PRICK ME?

This saying refers to a person who was pricked by a thorn that he did not recognize as a thorn. As he passed by, he thought it was something harmless and could not hurt him. Because of this mistaken trust, the thorn pricked him. That is why, in pain and surprise, he asked, “Why did you turn into a thorn and prick me?”

This saying is compared to a close friend who later turns against his friend by doing evil to him in life. Such a person gossips about his friend, despises him, and betrays the trust between them. In the end, their friendship breaks because of the pain and harm he causes. The evil actions hurt the heart deeply, just as a thorn wounds the body.

That person is like the thorn that pricked the one who thought it was harmless. He was trusted, but instead of protecting the friendship, he caused pain until the relationship was destroyed. That is why the one who is hurt asks, “Why did you turn into a thorn and prick me?”

This saying teaches friends not to turn against one another through evil actions, gossip, or betrayal. It encourages faithfulness and love in friendship, so that people may live together in peace.

Matthew 26:14–16.
Matthew 10:21.
Matthew 24:9.
Mark 14:10–11.

 

 

1458. KALAGU – KIZE. AB’O B’AB’ILINGAGWA BIZAGA PYE NA NG’HOME – BUSIGA BUHOLILE.

Ikalagu yiniyo ilolile busiga ulu giki buhola ung’wigulya bugab’izaga guti nang’ha gwa ng’home. Ubusiga bhunubho bugabhizaga na ng’home yiniyo ukwigwilya kunguno bhugajilanijaga ulu bhuhola mpaga bholenganila pye chiza. Ubhoyi bhudikilakilaga. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga bho guyomba giki “ab’ob’ab’ilingagwa bizaga pye na ng’home – busiga buholile.”

Ikalagu yiniyo, ikagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalina masala gagwiyambilija chiza ulu ng’wichabho obhabhilingaga kunimo gokwe, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagib’ilingaga gwiyambilija gutumama milimo yabho bhuli ng’wene obhuka na jitumamilo jakwe bhagatumama milimo yabho bho ng’wigwano gutale, kunguno ya masala gabho agawiza genayo, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi bhuli ng’wene aha kaya yakwe kunguno ya masala gabho genayo aga ng’wigano go gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza chiniko, umuwikaji bhobho bhunubho.

 Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nu busiga ubho bugalenganilaga chiza ulu bohola, kunguno nabhoyi bhalina ng’wigwano go gubhuka na jitumamilo jabho ulu bhab’ilingagwa gujiyambilija gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhayombaga giki, “ab’ob’ab’ilingagwa bizaga pye na ng’home – busiga buholile.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala ga ng’wigwano go gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Wakorintho 11:3.

Waefeso 1:22-23.

Waefeso 4:15.

Waefeso 5:23.

Wakolosai 1:18.

Wakolosai 2:10.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

WALIOALIKWA WAMEFIKA WOTE NA RUNGU – MASUKE YA MTAMA.

Kitendawili hicho, huangalia mtama uliotoa masuke yake. Mtama huyo, hutoa masuke ambayo huonekana kama fimbo yenye rundu kwa juu kwa sababu ya kuendana yote vizuri hivyo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwa kusema kwamba, “walioalikwa wamefika wote na rungu – masuke ya mtama.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wenye akili za kusaidiana vizuri wanapoalikwa na mwenzao kwenda kumsaidia kufanya kazi yake, katika maisha yao. Watu hao hualikana pamoja kwenda kuyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana ambapo kila mmoja hubeba kitendea kazi kinachofaa kwa kazi hiyo, kwa sababu ya akili zao hizo zenye uelewano wa kusaidia vizuri katika kazi zao, maishani mwao. Wao hupata mali nyingi za kutumia kila mmoja kwenye familia yake kwa sababu ya ushirikiano wao huo mzuri, katika maisha yao.

Watu hao hufanana na ule mtama ambao hutoa masuke yanayoendana vizuri, kwa sababu nao husaidiana vizuri katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao kila wanapoalikwa na mwenzao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaongelea kwamba, “walioalikwa wamefika wote na rungu – masuke ya mtama.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kuwawezesha kushirikiana vizuri, katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata maendeleo mengi katika familia zao, maishani mwao.

1Wakorintho 11:3.

Waefeso 1:22-23.

Waefeso 4:15.

Waefeso 5:23.

Wakolosai 1:18.

Wakolosai 2:10.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE — LET IT COME.
ALL THE INVITED HAVE ARRIVED WITH THE CLUB – MILLET STALK.

This riddle refers to millet when it has produced its stalk. A millet stalk produces clubs that are tightly bound together, forming a shape like a stick with a clustered head. Because the grains fit together so well, people use this image when telling stories, saying: All the invited have arrived with the club — the millet stalk.”

This riddle is compared to people who have good understanding and wisdom, and who help one another when they are invited by their partners to work together in life. Such people invite one another to carry out their responsibilities, and each person comes prepared with the right tool for the task. Their intelligence enables them to cooperate well and support each other in their work.

Through this cooperation, they gain prosperity that benefits their families, because they live in unity and mutual support. These people are like millet ears that grow closely together on one stalk, strong and productive because of their togetherness. That is why people speak about them by saying:
“All the invited have arrived with the club — the millet stalk.”

This riddle teaches people to have wisdom and understanding so they can cooperate well in fulfilling their responsibilities. Through such cooperation, they achieve progress and success in their families and in their lives.

1 Corinthians 11:3.

Ephesians 1:22–23.

Ephesians 4:15.

Ephesians 5:23.

Colossians 1:18.

Colossians 2:10.