Mwanza

1370. NADOYA UGUTULA IG’UDA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile ningi uyo wikalaga mubhutemi bho Buduhe. Uningi ng’wunuyo olinkumuku noyi kunguno wimbaga chiza mpaga abhadegeleki bhakwe bhatogwa. Uweyi oliagutolilwe noyi unimo gokwe gunuyo. Hunagwene agayomba giki, “nadoya ugutula ig’uda.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli untumami omilimo uyo agaitumamaga chiza imilimo yakwe yiniyo umuwikaji bhokwe. Untumami ng’wunuyo, agandyaga uguitumama imilimo yakwe nulu lyashiga duhu ilikanza lyayo iyo agaitumamaga chiza mpaga lyashila ilikanza linilo bho nduhu ugwilendeja, kunguno oliaitogilwe noyi imilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho ubho guitumama chiza imilimo yakwe umukikalile kakwe kenako.

Untumami ng’wunuyo, agikolaga nu ningi uyo oliagutogilwe unimo gokwe mpaga ogutumamaga chiza, kunguno nuweyi aitogilwe imilimo yakwe iyo agaitumamaga mpaga oyimala chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nadoya ugutula ig’uda.”

Akahayile kenako kalanga bhatumami higulya ya golecha bhutogwa ukumilimo yabho bho guitumama chiza imilimo yabho yiniyo mpaga bhaimala, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umukaya jabho jinijo umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 10:22.

Yakobo 5:7- 8.

Ufunuo 8:3.

KISWAHILI: SITAACHA KUPIGA NGAO.

Chanzo cha msemo huo huangalia manju aliyeishi kwenye utawala wa Buduhe. Manju huyo alijulikana sana kwa sababu ya umaarufu wake wa kuimba vizuri mpaka wasikilizaji wake wanafurahi. Yeye aliipenda sana kazi yake hiyo ya kuimba. Ndiyo maana alisema kwamba, “sitaacha kupiga ngao.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mfanyakazi yule ambaye huzitekeleza vizuri kazi zake maishani mwake. Mfanyakazi huyo, huanza kuyatekeleza vizuri majukumu yake unapofika muda wa kazi hizo mpaka unaisha muda huo, kwa sababu anazipenda vizuri kazi zake hizo, katika maisha yake. Yeye hupata mali nyingi katika familia yake hiyo kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake, maishani mwake.

Mfanyakazi huyo, hufanana na yule manju aliyeipenda kazi yake mpaka akaitekeleza vizuri, kwa sababu naye anazipenda kazi zake hizo ambazo huzitekeleza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “sitaacha kupiga ngao.”

Msemo huo, hufundisha wafanyakazi juu ya kuonesha namna wanavyozipenda kazi zao kwa kuzitekeleza vizuri mpaka wanazimaliza, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 10:22.

Yakobo 5:7- 8.

Ufunuo 8:3.

ENGLISH: I WILL NOT STOP BEATING THE SHIELD.

The origin of this saying is based on a traditional dance leader who lived during the supremacy of Buduhe. Such leader was very famous for his fame of singing well until his listeners were happy. He liked his singing very much. That is why he said, “I will not stop beating the shield.”

This saying is related to a worker who performs his duties well in his life. This worker begins to perform his duties well when the time for those duties arrives until the time is over, because he likes his duties well, in his life. He earns a lot of wealth in his family because of his diligence in performing his duties well, in his life.

This worker is similar to the traditional dance leader who liked his work until he performed it well, because he also likes his duties that he performs well, in his life. That is why he says, “I will not stop beating the shield.”

This saying imparts in people an idea of showing how much they like their jobs by doing them well until they finish them, so that they can gain many riches in their families.

Matthew 10:22.

James 5:7- 8.

Revelation 8:3.

 

 

 

 

1369. LYANG’ENG’ENYA LYA NG’WANAGASEMELA.

Aho kale olihoyi ngikulu uyo witanagwa Ng’wanagasemela. Ung’wanagasemela ng’wunuyo oli na kaya yakwe iyo wikalaga weyi na bhizukulu bhakwe. Ikaya yiniyo ikalaga na makoye ga gubhiza na nzala nhale bhuli ng’waka. Bhuli ng’wene uyo ojaga aha kaya yiniyo agingaga adalile. Hunagwene abhanhu bhagaihaya ikaya yiniyo giki, “lyang’eng’enya lya Ng’wanagasemela.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku kaya ya bhanhu abho bhadatumamaga milimo yabho chiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagikalaga bhigashije duhu nulu lyashigaga ilikanza lya gulima kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo yabho bhunubho. Abhoyi bhagikalaga bhukoya na nzala nhale bhuli ng’waka aha kaya yabho yiniyo, kunguno ya bhugokolo bho guleka gutumama milimo yabho ahikanza lya gulima, umuwikaji bhobho bhunubho.

Ikaya ya bhanhu bhenabho igikolaga ni ya ngikulu uyo okoyaga na nzala nhale bhuli ng’waka aha kaya yakwe, kunguno na bhoyi bhagikala bhukoya na nzala yiniyo iyagugayiwa jiliwa bhuli ng’waka aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayihayaga ikaya yabho yiniyo giki, “lyang’eng’enya lya Ng’wanagasemela.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho chiza kugiki bhadule kupandika jiliwa ja gubhalisha abhanhu bhabho pye amakanza ga bhulamu bhobho.

Mithali 13:4.

Mithali 15:19.

Mithali 19:24.

Mithali 20:4.

Mithali 21:25.

KISWAHILI: HALI NGUMU YA NG’WANAKASEMELA.

Hapo zamani alikuwepo bibi kizee aliyeitwa Ng’anakasemela. Ng’wanakasemela huyo, alikuwa na familia yake aliyoishi yeye na wajukuu zake. Familia hiyo ilikuwa ikisumbuliwa na tatizo la njaa kila mwaka. Kila mtu aliyeenda kwenye familia hiyo alitoka pale bila kula chakula. Ndiyo maana watu waliisema familia hiyo kuwa ni “hali ngumu ya Ng’wanakasemela.”

Msemo huo, hulinganishwa kwenye familia ya watu wale ambao huwa hawafanyi kazi zao vizuri, katika maisha yao. Watu hao, huwa wamekaa tu hata  wakati wa kulima ukiwa umefika kwa sababu ya uvivu wao huo wa kufanya kazi zao. Wao hukumbwa na tatizo la njaa kwenye familia yao kila mwaka kwa sababu ya uvivu wao huo wa kuacha kufanya kazi wakati wa kilimo, maishani mwao.

Familia wa watu hao, hufanana na yile ya bibi kizee aliyesumbuliwa na tatizo la njaa kila mwaka, kwa sababu nao hukumbwa na tatizo la kukosa chakula kwenye familia yao hiyo kila mwaka. Ndiyo maana watu huisema familia hiyo kuwa ni “hali ngumu ya Ng’wanakasemela.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri ili waweze kupata chakula cha kutosha kuwalisha wanafamilia wao, wakati wote wa uhai wao.

Mithali 13:4.

Mithali 15:19.

Mithali 19:24.

Mithali 20:4.

Mithali 21:25.

ENGLISH: THE DIFFICULT SITUATION OF NG’WANAKASEMELA.

Once upon a time, there was an old lady named Ng’anakasemela. Such Ng’wanakasemela had a family where she and her grandchildren lived. Her family was plagued by hunger every year. Everyone who went to that family left it without eating. That is why people called that family “the difficult situation of Ng’wanakasemela.”

This saying is compared to a family of people who do not work well in their lives. These people just sit around even when it is time to farm because of their laziness in doing their works. They suffer from hunger in their family every year because of their laziness of staying without working during farming time in their lives.

This family is similar to that of the old lady who suffered from hunger every year, because they also suffer from problem of lacking food in their family every year. That is why people refer to the family as “the difficult situation of Ng’wanakasemela.”

This saying teaches people of working hard enough to do their jobs well so that they can have enough food for feeding their family members, throughout their lives.

Proverbs 13:4.

Proverbs 15:19.

Proverbs 19:24.

Proverbs 20:4.

Proverbs 21:25.

1367. NINGUJI ONGUNDA GONE AGALOLAGA PYE IJILILI.

Olihoyi munhu uyo oliosuga nva umuchalo ja Gabale. Inva yiniyo yatumamaga nimo go gulinda ngunda gokwe bhuli makanza. Iyoyi yajaga yulola pye ijijili guti munhu alilingula ngunda kunguno ya kujilanhana chiza ijiliwa ja mungunda gunuyo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo ayomba giki, “ninguji ongunda gone agalolaga pye ijilili.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajilanhanaga chiza isabho jakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatuulaga bhalindi bhawiza abho bhagajilanhanaga chiza isabho jakwe mpaga bhaduma ugujiibha abhasambo, kunguno ya bhulanhani ubho wiza bhunubho. Uweyi agikalaga na sabho ningi noyi aha kaya yakwe, kunguno ya kujilanhana chiza isabho jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ogulanhanaga ungunda gokwe bho gutumila nva iyo yalingulaga pye ijilili, kunguno nuweyi agajilanhanaga isabho jakwe bho gutuula bhalindi bha wiza umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “ninguji ongunda gone agalolaga pye ijilili.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujilanhana chiza isabho jabho bho gutuula bhalindi bha wiza, kugiki bhadule gujitumamile chiza isabho jabho bho nduhu ugusolwa na bhasomba, umuwikaji bhobho.

1 Samweli 14:16.

2 Samweli 13:34.

1 Wafalme 14:27.

KISWAHILI: MLINZI WA SHAMBA LANGU HUANGALIA VILAVYO VYOTE.

Alikuwepo mtu aliyefuga mbwa kwenye kijiji cha Gabale. mbwa huyo alifanya kazi ya kulinda shamba lake kila wakati. Yeye alikuwa akilinda kwa kukagua vyote vilivyomo ndani yake kwa sababu alitaka kuyalinda vizuri mazao yote hayo. Ndiyo maana alisema kwamba, “mlinzi wa shamba langu hukagua vilavyo vyote.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huitunza vizuri mali yake katika maisha yake. Mtu huyo, huweka walinzi waaminifu ambao huilinda vizuri mali yake hiyo mpaga wezi wanashindwa kuichukua kwa sababu ya kuilinda vizuri mali yake hiyo. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake kwa sababu ya kuilinda vizuri mali yake hiyo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeweka mbwa wa kumlindia shamba lake ambaye alikagua vyote vilivyomo, kwa sababu naye huweka walinzi ambao huitunza vyema mali yake hiyo maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “Mlinzi wa shamba langu hukagua vilavyo vyote.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitunza vizuri mali zao, kwa kuweka walinzi waaminifu, ili waweze kuzitumia vizuri hali hizo bila ya kuchukuliwa na wezi, maishani mwao.

1 Samweli 14:16.

2 Samweli 13:34.

1 Wafalme 14:27.

ENGLISH: MY FIELD GUARD CHECKS ALL INSECTS.

There was a man who kept a dog in the village of Gabale. Such dog worked enough to protect safe his field at all times. He was guarding it by checking everything in it because he wanted to look after all the crops well. That is why the dog keeper said, “the guard of my field checks all the goodies.”

This proverb is compared to a person who takes good care of his property in his life. Such man, puts loyal guards who protect his property well to the point of preventing thieves from stealing it because of the good protection of his property. He gains a lot of wealth in his family because of having such decent security of his possessions, in his life.

This person is like the one who put a dog to guard his field which checked everything in it, because he also puts guards who take good care of his belongings in his life. That is why he says, “The guard of my field checks all insects.”

This proverb teaches people about taking good care of their possessions, by placing faithful guards, so that they can make good use of those possessions without being taken by thieves, in their lives.

1 Samuel 14:16.

2 Samuel 13:34.

1 Kings 14:27.

 

 

 

1366. NZUGI HAJIKOME NANZULE.

Olihoyi namhala uyo olina kaya nhale iyo yali na bhana bhingi. Unamhala ng’wunuyo oliatogilwe gubhakuminga abhana bhakwe hajikome bhiza bhota moto ukunu alibhalomela kajile ka hakaya yakwe. Uweyi witaga chene bhuli lushigu, kunguno ya gubhalanga gwikala na bhanhu chiza abhana bhakwe bhenabho. Hunagwene obhitanaga bho guyomba giki, “nzugi hajikome nanzule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhabyaji abho bhagafunyaga lilange lya wiza ukubhana bhabho, umuwikaji bhobho. Abhabyaji bhenabho, bhagacholaga likanza lya wiza ilo bhagalitumilaga bho gubhalanga abhana bhabho nhungwa ja gwikala bho witogwa na bhanhu, kunguno ya bhutungilija bhobho bhunubho umukikalile kabho. Abhoyi bhagikalaga na bhuyegi aha kaya yabho kunguno ya gubhinha lilange lya wiza abhana bhabho, umuwikaji bhobho.

Abhabyaji bhenabho bhagikolaga nu namhala uyo obhakumingaga abhana bhakwe hajikome obhalanga gwikala chiza na bhanhu, kunguno na bhoyi bhagabhalangaga abhana bhabho nhungwa ja gwitogwa na bhanhu, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhitanaga bho guyomba giki, “nzugi hajikome nanzule.”

Akahayile kenako kalanga bhabyaji higulya ya guchola likanza lya gubhalanga abhana bhabho lilange lya gwikala chiza na bhanhu, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yoshua Bin Sira 30:1-3.

Mambo ya nyakati 13:1-2.

Ayubu 31:18.

Warumi 2:19.

Wagalatia 3:24.

KISWAHILI: NJONI KWENYE KIKAO NIWAUSIE.

Alikuwepo mzee aliyekuwa na familia yenye watoto wengi. Mzee huyo, alipenda kuwakusanya watoto wake hao kwenye kikao alichokitumia kuwafundisha mwenendo wa kuishi vizuri kwenye familia yake hiyo. Yeye alifanya hivyo kila siku kwa sababu alitaka kuwafundisha watoto wake hao namna ya kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana aliwaita kwa kusema kwamba, “njoni kwenye kikao niwausie.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wazazi wale ambao huwapatia malezi mema watoto wao maishani mwao. Wazazi hao, hutafuta muda mwafaka ambao huutumia katika kuwafundisha watoto wao hao tabia njema za kuishi na watu kwa upendo, kwa sababu ya uaminifu wao huo, katika maisha yao. Wao huishi kwa furaha katika familia yao kwa sababu ya kuwapatia malezi mema watoto hao, maishani mwao.

Wazazi hao hufanana na yule mzee aliyewakusanya watoto wake kwenye kikao, akawafundisha mwenendo wa kuishi vizuri katika familia yake, kwa sababu nao huwafundisha watoto wao malezi ya kuishi kwa upendo na watu, maishani mwao. Ndiyo maana huwaita kwa kusema kwamba, “njoni kwenye kikao niwausie.”

Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kutafuta muda wa kufaa katika kuwafundisha watoto wao malezi ya kuishi vizuri na watu, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 30:1-3.

Mambo ya nyakati 13:1-2.

Ayubu 31:18.

Warumi 2:19.

Wagalatia 3:24.

ENGLISH: COME TO THE MEETING AND I WILL ADVISE YOU.

There was an old man who had a family which had a good number of children. Such old man liked to gather his children in a meeting that he used for nurturing them good conduct of living well with people. He did that every day because he wanted to nurture his children on how to live well with people. That is why he called them by saying, “come to the meeting and I will advise you.”

This saying is compared to parents who provide good upbringing to their children in their lives. These parents look for the right time that they use for nurturing their children on good habits of living well with people, because of their loyalty, in their lives. They live happily in their families because of providing their children with good upbringing in their lives.

These parents are like the old man who taught his children good conduct of living well in his family, because they also teach their children about upbringing of living in true love with people, in their lives. That is why he calls them by saying, “Come to the meeting and I will advise you.”

This saying imparts in parents an idea of nurturing their children on how to live well with people, so that they can raise well their families, in their lives.

Joshua Ben Sira 30:1-3.

Chronicles 13:1-2.

Job 31:18.

Romans 2:19.

Galatians 3:24.

1365. B’UKAGI WANGU MUGULIWA MASUMULE.

Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhatumama nimo umuchalo ja bhusiya. Abhanhu bhenabho bhali bhalemejiwe ugwigasha ulubhaligutumama unimo guniyo kunguno bhalibhadakililwe gugumala wangu unimo gunuyo. Ulu munhu ubhonwa na bhatale bha nimo gunuyo wigashaga ahikanza lyagugutumama unimo gunuyo oliyagwa masumule. Hunagwene abhatumami bhenabho bhikomelejaga gutumama nimo bho guyomba giki, “b’ukagi wangu muguliwa masumule.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo aganyenyekaga ugutumama imilimo ya ng’wigunguli lyakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga unyenyeka ugujiika abhanhu bha ng’wigunguli lyakwe, nulu ugubhambilija abhiye abho bhapandikaga makoye, kunguno ya bhujidadilila bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga makoye gagutulijiwa bhuli makanza aha kaya yakwe kunguno ya bhunyenyeku bhokwe bhunubho ubhoguleka gujutumama milimo ya ng’wigunguli lyakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhigashaga ahikanza lya gutumama milimo yabho, kunguno nuweyi aganyenyekaga ugutumama imilimo iyang’wigunguli lyakwe mpaga otulijiwa ni ligunguli lyakwe linilo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “b’ukagi wangu muguliwa masumule.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka bhunyenyeku bho gutumama milimo ya ng’wigunguli lyabho, kugiki bhadule gwiyambilija gutumama milimo ya gubhenhela matwajo gagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1 Wakorintho 16:16.

Wakolosai 1:10.

KISWAHILI: AMUKENI HARAKA MTATOZWA FAINI.

Hapo zamani walikuwepo watu waliokuwa wakifanya kazi kwenye kijiji cha Busiya. Watu hao walikuwa wamekatazwa kukaa wakati wa kufanya kazi hiyo, kwa sababu walitakiwa kuimaliza mapema kazi hiyo. Mtu aliyeonekana amekaa kabla ya kuimaliza kazi hiyo, alitozwa faini. Ndiyo maana wafanyakazi hao walikuwa wakihimizana kuendelea kuitekeleza kazi hiyo kwa kusema kwamba, “amukeni haraka mtatozwa faini.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukwepa kufanya kazi kwenye kijiji chake katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anakwepa kwenda kwenye matukio mbalimbali yakiwemo yale ya kuzika wafu au kuwasaidia watu waliokumbwa na matatizo kwenye kijiji chake, kwa sababu ya kutokujali kwake, maishani mwake. Yeye hukumbwa na matatizo ya kutengwa na wanakijiji hao mara kwa mara kwenye familia yake, kwa sababu ya utoro wake huo wa kuacha kujiunga na wenzake katika kutatua matatizo ya kijijini mwake wakiwa pamoja na wanzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliokuwa wakitegea kufanya kazi kwa kukaa kabla ya kumaliza kazi yao, kwa sababu naye hukwepa kuhudhulia matukio ya wanakijiji wenzake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amukeni haraka mtatozwa faini.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha ukwepaji wa kwenda kufanya kazi za vijijini mwao, ili waweze kushirikiana vizuri katika kufanya kazi za kuwapatia mafanikio mengi, maishani mwao.

1 Wakorintho 16:16.

Wakolosai 1:10.

ENGLISH: WAKE UP QUICKLY OR YOU WILL BE FINED.

In the past, there were people working in the village of Busiya. These people were forbidden to sit while doing the work, because they were required to finish the work early. Anyone who was seen sitting before finishing the work was fined. That is why the workers used to encourage each other to continue doing the work by saying, “Wake up quickly or you will be fined.”

This proverb is compared to a person who avoids working in his village in his life. That person avoids going to various events including those to bury the dead or help people who have problems in his village, because of his carelessness, in his life. He suffers from the problems of being separated from the villagers from time to time in his family, because of his absence of joining his colleagues in solving the problems of his village while being with his colleagues, in his life.

This person is like those who used to stay up late to work because they avoid attending to the events of their fellow villagers in their lives. That is why people tell them, “wake up quickly, you will be fined.”

This proverb teaches people to stop avoiding going to work in their villages, so that they can cooperate well in doing the work that will bring them much success in their lives.

1Corinthians 16:16.

Colosians 1:10.